Showing posts with label Dallas. Show all posts
Showing posts with label Dallas. Show all posts

Wednesday, July 21, 2010

Tanzanian Community Picnic in Dallas!

This sounds like a lot of fun! Enjoy!



Family Picnic!

Association of Tanzanian Natives in Dallas invites you to a Family Picnic on Saturday, July 24, 2010 starting at 4:00 pm to 10:00 pm.

Location: - Cottonwood Park, 1400 W. Belt Line Rd, Richardson, TX 75080

Picnic Format: “Bouncer” for kids, soccer, basketball, barbeque “nyama choma”, soft drinks, African traditional music, auction – “harambee” of some items such as vitenge, mashati, vinyago, tea, coffee, African food. Association of Tanzanian Natives in Dallas will make arrangements for grills, ice boxes, paper/plastic plates, etc. Please bring few dollars to purchase BBQ, food, drinks and some items.
Bring friends and families and let us have an afternoon of fun as we support our community and family event!


For directions or any other information, please call:
Prosper Kiswaga: 214-830-9906
Gloria Padmore: 940-735-1027
Peter Kihwili: 214-395-0303
http://www.tanzaniadallas.com/

Thursday, May 20, 2010

Mtumishi wa Mungu Mama Habiba Atakuwa Dallas!

Wapendwa katika shamba la Bwana. Ninayoheshima kukukaribisha ili uweze kukutana na mtumishi wa Mungu Mama Habiba.Inawezekana umewahi kumsikia huyu mtumsihi kwa namna moja au nyingine au hujawahi kumsikia.Mama Habiba ni mama aliyepewa karama ya maombezi na Mungu na amekuwa akiifanya hii kazi kila Mungu alipompeleka.Watanzania wengi wanaoishi hapa Marekani wamekuwa wakisafiri kwenda Houston ili kuombewa na mama huyu na wengine wengi kwa mamia wemekuwa wakiombewa kwa njia ya simu.Mama Habiba atakuwa mgeni wetu kuanzia Jumamosi mpaka Jumapili (22&23/5).

Mama Habiba atafuatana na ujumbe wa watu kama 20 ukiongozwa na Dr.Jerrry Mng'wamba.
Kutokana na uwezo wa ukumbi wetu na ushauri tuliopewa hatutaweza kuchukua watu zaidi baada ya ukumbi kujaa.Ninakushauri ujitahidi kuwahii ili uwe na uhakika wa kupata nafasi ya kukaa bila usumbufu.Milango itakuwa wazi kuanzia saa kumi na moja kamili jioni.

Kwa Maelezo zaidi; 214 554 7381, 682 552 6402, 214 773 6697

Mungu akubariki sana na naomba ufoward huu ujumbe kwa kila mtu bila kujali dini,kabila au nchi anayotoka.

Pastor
Venue:
Trinity Church
12727 Hillcrest Road
Dallas, Texas 75230

Jumamosi kuanzia saa 12 jioni 6:00PM

Jumapili 9:00AM to 11:00AM (saa tatu hadi saa tano asubuhi)
na 5:00PM - 8:00PM (saa 11 hadi saa mbili jioni)

Monday, February 23, 2009

Mkutano Dallas


Jumuia ya Watanzania Dallas
Ndugu Wajumuia,

Kwa niaba ya mwenyekiti wa muda ndugu Simon Nkanda, napenda kuchukua fursa hii kuwakumbusha kuwepo kwa mkutano mkuu utakaofanyika Jumamosi ya tarehe 28, Februari 2009, kwenye ukumbi wa 12727 Hillcrest Dallas TX 75230. Mkutano huu utaanza saa kumi na moja jioni mpaka saa nne usiku. Tukio hili kubwa na la kihistoria lina nia na madhumuni ya kuimarisha jumuia ya Watanzania waishio jijini Dallas na vitongoji vyake. Katika harakati zake za kuunda jumuia hii mwenyekiti, katibu, na viongozi wa kamati mbalimbali wa muda walichaguliwa. Vilevile hatua nyingine ya kihistoria iliyochukuliwa ni kuundwa kwa katiba ambayo jumuia hii itafuata mwenendo, taratibu na muelekeo wa kimaendeleo. Mkutano huu utachukua fursa ya kutambulisha jumuia ya Watanzania hapa Dallas na vitongoji vyake umuhimu wa kuwa na amani, upendo, ushirikiano, umoja na kufuata tararatibu ambazo zitaimarisha jumuia hii. Katika mkutano huu, mwenyekiti, katibu, na viongozi wa kamati mbalimbali watatambulishwa. Vile vile katika jitihada za kuimarisha jumuia hii, hatua zimechukuliwa za kusajili jumuia hii, kuanzishwa mfuko wa dharura, kuanzishwa mtandao mpya, kutumia njia ya teknohama ili kuimarisha mawasiliano na kuutaarifu ubalozi wa Tanzania hapa Marekani tukio hili la kihistoria. Kiongozi wa ubalozi wa Tanzania huko Washington D.C. , Dr Mkama atahudhuria mkutano huu. Kijiweni restaurant wanafadhili mkutano huu na watatoa huduma ya chakula.. Kutakuwa na wageni kuoma miji mingine hapa Marekani ambao watahudhuria mkutano huu. Tunaomba Watanzania wote mliopo Dallas na vitongoji vyake mjitokeze kwa wingi ili tukamilishe jitihada hizi. Tukumbuke tena, “Our real values are expressed in our actions, in what we do and how we do it”.

Kwa maelezo zaidi tunaomba muwasiliane na:

Ndugu Simon Nkanda Ndugu Abdul Amiri
Phone: 469-585-8476 Phone: 214-535-6329
(Mwenyekiti wa muda) ( Katibu wa muda)