Showing posts with label FBI. Show all posts
Showing posts with label FBI. Show all posts

Friday, March 29, 2013

Mtuhumiwa wa Mauaji ya Father Evaristus Mushi Akamatwa Zanzibar!

BREAKING NEWS: MTUHUMIWA WA MAUAJI YA PADRI EVALIST MUSHI AKAMATWA ZANZIBAR

Jeshi la polisi linamshikilia Omari Musa Mkame Mkazi wa Mwanakwerekwe Zanziba anaye sadikiwa kuwa ni muuaji wa padre Evalist Mushi. Amekamatwa alasiri hii maeneo ya Kariakoo, Zanzibar.

Ni kwa msaada wa mchoro wa mfano wa muhusika ulioachorwa na FBI.

Suspect in Father Mushi Killing




Saturday, March 05, 2011

Jessica Tata Anatafutwa na FBI/Interpol Kwa ajili ya Mauji

(Pichani Jessica Tata)

Jessica Tata (22) Mmarekani mwenye asili ya Nigeria anatafutwa na polisi kwa makosa ya kuua watoto wadogo wanne huko Houston, Texas.

Jessica alikuwa na Day Care nyumbani kwake. Kulikuwa na watoto wadogo saba mle wote chini ya miaka mitatu. Aliwaaacha wenyewe na kwenda dukani. Alivyorudi alikuwa nyumba yake inaungua moto. Aliwadanganya polisi kuwa alikuwa chooni nyumbani wakati wote kumbe mwongo! Hakufungwa jela kwa vile polisi hawakutegemea kuwa angekimbia.

Hivi sasa Jessica Tata yuko katika orodha ya wahalifu wakuu 15 wa U.S. Marshals (Top 15 Most Wanted List). Wana hisi kuwa amekimbilia Nigeria kwa ndugu zake.

Mkimwona huyo mwanamke mshenzi wajulishe U.S. Marshals au Interpol!

Mungu alaze roho za hao malaika mbinguni. Amen.

Mnaweza kuona Poster Hapa: http://www.usmarshals.gov/investigations/most_wanted/tata/tata15.pdf

***********************************************************************

Kutoka CNN.COM

(CNN) -- A Houston day care owner is among the U.S. Marshals Service's "most wanted," more than a week after authorities say she carelessly started a fire that killed four children and then fled.

The federal agency on Friday added Jessica Tata to its "15 Most Wanted" fugitive list, cautioning the public that she should be considered "armed and dangerous."

Houston fire department investigators twice tried to talk to the 22-year-old Tata on February 25, the day after the blaze in which seven children were trapped inside the home day care, according to a press release Friday from the U.S. Marshals. She initially refused and then, later that day, referred all questions to her lawyer -- the last known contact between her and law enforcement.

A U.S. Marshals task force later discovered that Tata flew to Georgia on Sunday, and officials have said they believe she may have gone on to Nigeria.

She subsequently was charged with six counts of reckless injury to a child, three counts of abandoning a child under 15 and four counts of manslaughter -- one apiece for the four children's deaths. Another three children were injured, but survived.

In addition, the U.S. Marshals release notes that Tata is also wanted for "unlawful flight to avoid prosecution."

Houston Fire Chief Terry Garrison said Wednesday that the department trusted the day care center operator after she told authorities she would talk about the fatal fire.

He told reporters that investigators initially believed Tata, who was upset at the fire scene, was a victim. She did not say much at the scene or the hospital.

"What she told us was not truthful," said Garrison, adding that investigators did not learn that until later. Tata said she was in the center's bathroom, the chief said. Witnesses contradicted that account, according to an arrest affidavit.

Tata left the seven children unsupervised in the home day-care facility and drove off in her car, according to the affidavit.

The blaze likely originated on an electric stove, which was on and had a pot on it containing oil, according to Houston Fire Department arson investigator Thomas Wood. A definitive cause for the fire will be announced once the investigation is complete.

Neighbors John Chestnut and Geoffrey Deshano told investigators that they heard Tata screaming soon after she pulled into her driveway and went to the front door, the arrest affidavit said. No other adults or day care employees were at the facility, the men said.

The two told reporters that Tata's car was full of groceries when she returned to the house, adding that they called 911 and tried to help get the children out as smoke seeped from the building.

Investigators said they did not believe Tata to be a flight risk.

"Somewhere along the way, we may have made a mistake," Garrison said. "We're going to learn from our mistake. We're not going to blame anybody. We're not going to make excuses."

Wednesday, September 16, 2009

Twiga Maarufu Afariki Dunia Boston!



Wadau kuna kilio hapa Boston, MA leo. Twiga 'mcheza sinema maarufu' hapa Marekani kafa hapa Boston! Alikuwa anaigiza katika sinema, The Zookeeper' (stelingi wake Kevin James). Huyo twiga alikuwa anaitwa Tweet. Alimaliza kuigiza katika scene yake ya mwisho huko Franklin Park Zoo. Alikuwa analishwa chakula cha jioni, ndipo kaanguka na kufa papo hapo! Nitauliza wacheza sinema wenzangu wa hapa Boston waliokuwa huko mambo yalikuaje halafu nitawajulisha.

Nzoga ya Tweet itafanyiwa uchunguzi na wataalam wa wanyama pia FBI (Federal Bureau of Investigation) wanachungza kifo cha Tweet. Tweet alikuwa ameigiza katika yale matangazo ya Toys R Us, na sinema za Evan Almighty na Ace Ventura. Watoto wananjua zaidi kama Geoffrey.

Rest in Peace Tweet!
Kwa habari zaidi someni:



Monday, October 27, 2008

Njama ya Kumwua Obama

Paul Schlesselman, left, and Daniel Cowart said they planned to kill more than 100 African-Americans.

Wadau, si nilisema wabaguzi bado wapo hapa Marekani na hawapendi kuona maendeleo ya watu weusi.

Leo jioni, Federal Bureau of Investigation (FBI) wametangaza kuwa skinheads (wabaguzi) wawili wamekamatwa wakiwa wakipanga kumwua Senator Barack Obama ambaye anagombea urais wa Marekani kupitia chama cha Democrats.

Pia hao wabaguzi walikuwa wamepanga kuua watu weusi mia moja. Wasingechagua watu wa kuua. Walipanga kwenye kwenye shule za weusi kusudi waue wengi! Walipanga wapite kwenye maenoe ya weusi na magari yao na kuwinda weusi! Jamani!

Leo nilikuwa naongea na watu hapa Boston na tulikubali kuwa weusi wako hatarini Obama akishinda. Kwanza hao McCain na Palin wamechochea ubaguzi kiasi kwamba wabaguzi wanaona ni haki yao kuua weusi. Juzi kwenye rally ya Palin mbaguzi alifoka Obama ni 'n-word' lakini Palin hakusema kitu.
Wadau mlio nje ya Marekani, ninawaomba mtuombee sisi ndugu zenu tulio kwenye mikoa ya hapa Marekani. Mtuombee usalama maana kuna watu wametabiri kuwa Obama akishinda na atashinda watu watakufa.'
Kwa habari zaidi someni:

Monday, March 31, 2008

Ahmed Khalfan Ghailani atashitakiwa Marekani!



Mnakumbuka yale mshamubulizi kwenye ubalozi wa Marekani, mjini Dar es Salaam mwaka 1998? Yalisababisha vifo vya watu 11 na mamia ya watu waliumia.

Sasa, leo serikali ya Marekani imetangaza kuwa Ahmed Khalfan Ghailani, mwenye asili ya Pemba atashitakiwa kuhusiano na mashambulizi hayo. Ghailani amekuwa akishikiliwa huko Guantanamo Bay muda mrefu sasa.

***********************************************************************************

3-31-08

SAN JUAN, Puerto Rico - The U.S. has charged a Guantanamo prisoner with war crimes for the deadly 1998 al-Qaida attack on the American embassy in Tanzania.

The Pentagon said Monday that Ahmed Khalfan Ghailani could receive the death penalty if convicted by a military tribunal at the U.S. military prison.

The charges against Ghailani include murder and attacking civilians for his alleged role in a bombing that killed 11 people and wounded hundreds.

He is the 15th person charged in the military tribunals at Guantanamo, where trials are expected to get under way in late spring or early summer.

****************************************************************************

Kutoka FBI:

Ahmed Khalfan Ghailani

From The FBI

Wanted by the FBI: Murder of U.S. Nationals outside the United States. Conspiracy to murder U.S. Nationals outside the United States. Attack on a federal facility resulting in death.

Description: Born in Zanzibar, Tanzania, Ahmed Ghailani is a five-foot three-inch to five-foot four-inch tall male who weighs 150 pounds. He has black hair and brown eyes and a dark complexion. He has used multiple dates of birth: March 14, 1974, April 13, 1974, April 14, 1974, and August 1, 1970. He speaks Swahili.

Aliases: Ahmad Khalafan Ghilani, Ahmed Khalfan Ahmed, Abubakar K. Ahmed, Abubakary K. Ahmed, Abubakar Ahmed, Abu Bakr Ahmad, A. Ahmed, Ahmed Khalfan, Ahmed Khalfan Ali, Abubakar Khalfan Ahmed, Ahmed Ghailani, Ahmad Al Tanzani, Abu Khabar, Abu Bakr, Abubakary Khalfan Ahmed Ghailani, Mahafudh Abubakar Ahmed Abdallah Hussein, Shariff Omar Mohammed, "Foopie", "Fupi", "Ahmed the Tanzanian"

Caution: Ahmed Ghailani was indicted in the Southern District of New York, on December 16, 1998, for his alleged involvement in the August 7, 1998, bombings of the United States Embassies in Dar es Salaam, Tanzania, and Nairobi, Kenya. He should be considered armed and dangerous.

Reward: The Rewards For Justice Program, United States Department of State, is offering a reward of up to $5 million for information leading directly to the apprehension or conviction of Ahmed Ghailani.

What to Do: If you have any information concerning this case, please contact your Local FBI Office or the nearest American Embassy or Consulate.