Hii
hatari sana!! Mwanaume anayejulikana kwa jina la Remy Joseph (35)
anashikiliwa na polisi kwa kumchinja mke wake wa ndoa kabisa aitwaye
Josephine Ndengaleo Mushi waliyeishi
naye miaka 10 na kuzaa watoto wawili. Tukio hilo la kutisha lilijiri
ndani ya chumba kimoja kilichopo ghorofa ya pili ya Hotel Friend’s
Corner Ltd iliyopo Manzese Argentina, Dar ambapo walikuwa wamechukua
chumba katika hoteli hiyo kwaajili ya kulala hapo.
Polisi walifanya uchunguzi chumbani na kugundua kuwa, marehemu
Josephine alichinjwa shingoni, akakatwa mbavu mbili, moyo na maini
vilikuwa nje ‘vikimwagika’, mwisho alichomwa kisu utosini.. Cha
kusikitisha zaidi, mwili wa marehemu Josephine ulipigishwa magoti,
sehemu ya miguu mpaka magoti ikiwa sakafuni na kifuani kulalia kitanda.
Halafu ulifunikwa shuka
Katika hali iliyoonesha kuwa, mtuhumiwa
baada ya kutenda ukatili huo alitaka kujinyonga, polisi walikuta waya wa
umeme wa tivii ukining’inia kwenye pangaboi lakini ukiwa umekatika. Na
pia damu na alama za kujikata visu shingoni.
Sababu ya kufanya hivyo haijujulikana ila ndugu wa mke wa marehemu walielezea kuwa mme alikuwa akimhisi vibaya mkewe.
R.I.P Josephine Mushi
Showing posts with label Manzese. Show all posts
Showing posts with label Manzese. Show all posts
Tuesday, February 03, 2015
Tuesday, July 31, 2007
Bongoland II - Manzese

Picha hizi zinatoka Kwenye site ya Sam Fischer, ambaye ni Cameraman kwenye sinema ya Bongoland II. http://web.mac.com/samfischer/iWeb/Site/Africa%20Photos%202.html
Hapo juu Star wa Bongoland II Peter Omari, na actor mwingine wanajiandaa kuacti scene kwenye gari.
Scene inapangwa. Hapa Sam Fischer anapanga jinsi atakavyopiga picha ya scene ya kupigana.
Stunt Coordinator, Jason Hilton, akicheza Kung Fu na watoto wa Manzese.
Hapa wanapadisha camera kwenye crane.
Akina Sam walitengeneza Crane kwa ajili yakupandisha camera na kupiga scene kutoka juu. Ila bahati mbaya crane ilivunjika na haikuweza kutumika.
Uchochoro wa Manzese. Amini msiamini, zamani hii ilikuwa barabara ambayo magari yalikuwa yanapita. Baba mdogo alikuwa ana drive hapo na kupaki gari yake kwenye gereji yake. Sasa asante ujenzi holela hakuna barabara tena.
Labels:
Bongoland II,
Jason Hilton,
Manzese,
Sam Fischer
Friday, July 27, 2007
Picha zaidi za Bongoland II Film Shoot Dar es Salaam
Cameraman and Cinematographer Sam Fischer, akifanya vitu vyake mitaani Dar es Salaam.
Moja wa Interns kutoka kampuni ya Sofia Records akirekodi somo kuhusu film editing kwenye shoot ya Magomeni.
Mama Thecla Mjatta akisome script kabla ya scene huko Tanki Bovu.
Gayle alikuwa in charge kwenye msawala ya chakula. Hapa yuko Manzese.
Bwana Kibira alimdraftio baba yangu kuwa extra kwenye scene. Nyuma ni Mzee Olutu na Mama Thecla Mjatta .
Mbele ni mcheza sinema maarufu wa Bongo, Shafii. anaposi na interns wa UCLA, baba yangu na Peter Omari.
Mama Mjatta na Mzee Olotu wakipata maelezo kutoka kwa Mwuongoza sinema, Josiah Kibira kabla ya kufanya scene Manzese.Kwa kweli nashukuru kuwa nilipata nafasi ya kushiriki katika sinema ya Bongoland II. Ninamshukuru hasa Bwana Josiah Kibira, kwa kuandika script nyingine safi na kufanikisha kutengeneza kwenye sehemu halisi (authentic location) Dar es Salaam. Kwa kweli safari ilikuwa ndefu mpaka kukamilisha lakini yeye na timu yake walikamilisha.
Natumaini sinema ya Bongoland II ikitoka mtaifurahia mno.
Hizi ni picha zaidi na bado sijasafisha mikanda mingine.
Kwa habari zaidi za Bongoland II someni:
Natumaini sinema ya Bongoland II ikitoka mtaifurahia mno.
Hizi ni picha zaidi na bado sijasafisha mikanda mingine.
Kwa habari zaidi za Bongoland II someni:
Labels:
Abdul Thecla Mjatta,
Bongoland II,
Josiah Kibira,
Manzese,
Mzee Olotu,
Peter Omari,
Shaffii
Thursday, July 26, 2007
Utengenezaji wa Sinema ya Bongoland II mjini Dar es Salaam
Msaidizi wa Josiah Kibira, Chris Audet kutoka Minnesota, akipanga mambo ya shoot. Hapa ni Manzese.
Mama Thecla Mjata anayecheza kama Mama yaka Juma, na Mzee Olotu anayecheza kama Uncle, akitoka kwa hasira ndani ya nyumba. Hapo ni eneo la Tenki Bovu.
Cameraman Sam Fischer, wakiandaa kufanya scene barabarani na Thecla Mjatta na Mzee Olotu.
Hapa ni Manzese. Tulipiga sinema kwenye maeneo hayo. Utatuona tunkimbia maeneo la uchochoroni, hapo ni sehemu moja tulipokimbia. Huyo baba ni Baba Saidi, mjumbe wa eneo hilo la Manzese. Pia alikuwa anakaanga samaki safi sana waliotoka freshi Ferry.
Labels:
Bi Hindu,
Bongoland II,
Liz Michael,
Magomeni,
Manzese,
Peter Omari
Subscribe to:
Comments (Atom)











