Showing posts with label Mwaisela. Show all posts
Showing posts with label Mwaisela. Show all posts
Friday, December 17, 2010
Wednesday, December 15, 2010
Mifugo Wodini Mwaisela
Wadau, nilikuwa pale Mwaisela Ward namba 8, majuzi ghafla nikasikia watu wanapiga kelele kwenye wodi ya vitanda vitano (viko vitanda tisa). Halafu nikasikia wagonjwa wakisema kuwa kuna mifugo wodini. Kumbe walimwua panya!
Watu walienda kuangalia ni nini? Mgonjwa huyo alisema aliwua kwa kumpiga na kiatu. Manesi walisema kweli panaya wapo wanapanda kwenye mabomba ya vyoo.
Pichani ni mgonjwa aliyemwua huyo panya akienda kumtupa kwenye takataka za Biohazard.
Subscribe to:
Comments (Atom)














