Showing posts with label Mwaisela. Show all posts
Showing posts with label Mwaisela. Show all posts

Friday, December 17, 2010

Mwaisela Block Muhimbili

Mwaisela Block Mwaisela Annex

Ward Number 8 Upande unaotazamana na Orthopedic Institute


Wheelchair Mbovu Ward 8, Watu wanaitumia kukalia tu

Mimi Mwaisela Ward 8

Kunguru

Mwaisela Annex


Mwaisela Ward 8 Emergency Exit


Mwaisela Ward 8 Emergency Exit -lakini mbona hutaweza kupita ikitokea kasheshe?

Panya aliyekamatwa Mwaisela Ward 8 na Mgonjwa

Mdudu aina ya Preying Mantis

Mwaisela Ward 8 upande uinaotazamana na Jangwani

Wednesday, December 15, 2010

Mifugo Wodini Mwaisela



Wadau, nilikuwa pale Mwaisela Ward namba 8, majuzi ghafla nikasikia watu wanapiga kelele kwenye wodi ya vitanda vitano (viko vitanda tisa). Halafu nikasikia wagonjwa wakisema kuwa kuna mifugo wodini. Kumbe walimwua panya!
Watu walienda kuangalia ni nini? Mgonjwa huyo alisema aliwua kwa kumpiga na kiatu. Manesi walisema kweli panaya wapo wanapanda kwenye mabomba ya vyoo.

Pichani ni mgonjwa aliyemwua huyo panya akienda kumtupa kwenye takataka za Biohazard.