Showing posts with label Panya. Show all posts
Showing posts with label Panya. Show all posts

Wednesday, September 30, 2015

Panya ni Mbogo huko China!

Mchina akitayarisha mboga ya Panya buku!

Wadau mnaopenda kula kwenye Chinese Restaurant, halahala! Wachina wanapenda sana kula panya. Utaagiza pork fried rice kumbe unapata panya fried rice.  Au unaagiza Chicken Chow Mein, unapata, Panya Chow Mein.  Angalia vile vyakula vyenye nyama zisizojulikana kumba ni nyama ya paka au pamya.

Wednesday, December 15, 2010

Mifugo Wodini Mwaisela



Wadau, nilikuwa pale Mwaisela Ward namba 8, majuzi ghafla nikasikia watu wanapiga kelele kwenye wodi ya vitanda vitano (viko vitanda tisa). Halafu nikasikia wagonjwa wakisema kuwa kuna mifugo wodini. Kumbe walimwua panya!
Watu walienda kuangalia ni nini? Mgonjwa huyo alisema aliwua kwa kumpiga na kiatu. Manesi walisema kweli panaya wapo wanapanda kwenye mabomba ya vyoo.

Pichani ni mgonjwa aliyemwua huyo panya akienda kumtupa kwenye takataka za Biohazard.