Showing posts with label Russia. Show all posts
Showing posts with label Russia. Show all posts

Saturday, October 31, 2015

Ndege ya Urusi Yaanguka Misri

Aina ya Ndege iliyoanguka leo huko Misri


Ndege ya abiria ya Urusi imeanguka nchini Misri leo. Ndege hiyo ya shirika la Metrojet ilikuwa na abiria 224.  Serikali ya Misri inasema kuwa wameona mabaki ya ndege huko Sinai Peninsula na abiria wote wamepoteza maisha.  Abiria hao walikuwa wakitoka kutalii nchini Misri. Ndege ilitoka Sharm-El Sheikh kwenda St. Petersburg, Urusi.

Mungu alaze roho zao mahala pema mbinguni. Amen.

Kwa habari zaidi BOFYA HAPA:

Thursday, December 30, 2010

Tanzia - Bobby Farrell wa Boney M

Bobby Farrell 1949 -2010


REST IN PEACE DEAR BROTHER, Your Music lives on!
"I'm Crazy like a fool! Watch out Daddy Cool!"

Bobby Farrell, frontman of the 1970s pop group Boney M, was found dead in his hotel bed in St. Petersburg on Thursday while on tour in Russia. He was 61.

Farrell was discovered by hotel staff after he failed to respond to a wakeup call. He had given a concert in St. Petersburg on Wednesday evening.

His agent, John Seine, said he had complained of breathing problems, but the cause of death has yet to be determined.

Boney M was put together by German singer and songwriter Frank Farian in 1974, and had a huge following in Europe, including the Soviet Union, in the 1970s.

Farrell, who was more a dancer and showman than a singer, was the male face of the group, which included three other West Indian session singers — Marcia Barrett, Liz Mitchell and Maizie Williams.

Farian had a hit with Baby Do You Wanna Bump? and created Boney M to support the song.

The group went on to have hits such as Daddy Cool, Sunny, By the Rivers of Babylon and a favourite in North America, Rasputin'.

Boney M had 38 top-10 hits, including 15 that hit No. 1 in Germany, where they were then based, including Brown Girl in the Ring and Mary's Boychild.

Farrell was born Alphonso Farrell on Oct. 6, 1949, in Aruba. He left home at 15 as a sailor, then worked as a DJ in Germany before being picked by Farian to front Boney M.

In 1978, Boney M was the first Western music group to perform in the Soviet Union. They sang for an audience of 2,700 Russians in Red Square after being invited by Soviet leader Leonid Brezhnev.

The original group broke up in 1986. Williams is also touring with a group referred to as Boney M.

Farrell had been performing as Bobby Farrell of Boney M with three female backup singers. He continued to perform Boney M hits, and a mixture of calypso and disco songs.

Farrell, who made his home in Amsterdam, had been scheduled to perform a New Year's Eve concert in Rome.

Read more: http://www.cbc.ca/arts/music/story/2010/12/30/bobby-farrell-obit.html#ixzz19bzeEOhu

Tuesday, June 29, 2010

Mashushushu wa KiRusi wakamatwa kwetu Cambridge

Kunbe Cold War haijaisha. Wadau, mbavu sina. Tangu jana jioni habari kubwa hapa Boston ni kuwa mashushushu kutoka Urusi wamekamatwa Cambridge. Watu wanashangaa. Walikuwa wanaishi kama mke na mume na eti walionekana kama watu wa kawaida. Of course walikuwa wazungu! Mwanamke eti alikuwa mrembo kweli mwenye nywele blonde! Mnaweza kuona picha yake HAPA. Kwenye taarifa ya habari wakati wa editorial wakiwaongelea, waliweka na muziki wa sinema za James Bond.

Kinachoniudhi ni kuwa kama wewe ni mweusi na unakaa Cambridge hao jirani zako wa kizungu wantakufanyia background check! Ukipita kwenye mitaa kadhaa wanaita polisi maana wanadhani mwizi au una nia mbaya! Kuna siku mimi na marehemu mume wangu tulikuwa tunatembea kwa mguu kwenye mtaa fulani. Nyumba ilikuwa inauzwa tukasimama mbele na kuliangalia. Tukaendelea na safari, si tulifuatwa na mzungu na kuulizwa maswali ya jela. Aliona aibu alipogundua kuwa tulikuwa jirani zake.

Anyway, nirudi kwa hao waRusi. Hao kwa vile walikuwa wazungu hakuna anayesema kitu. Ndo FBI wameshutua watu jana kusema hao walikuwa mashushushu! Na mimi ningesema si hao tu, wako na wengine. Walikuwa wanavizia wasomi wa Harvard na MIT. walikuwa wankaa nyumba fulani enye rangi ya njano huko Trowbridge St. karibu na Harvard Square na Cambridge Rindge & Latin High School.

Wanasema kuwa nia ya hao mashushushu ilikuwa kuishi kama waMarekani na kujuana na watu wenye uhusiano na siasa na mambo ya kitaaluma. Habari walizokuwa wanapata eti walikuwa wanatuma Urusi katika picha.

Mbinu waliotumia ni kukaa nyumba ambayo wanakaa wanafunzi. Wanafunzi wamahama hama hivyo watu jirani wanaokaa muda mrefu katika eneo hawapati nafasi ya kuwajua, na ukiwaona una sema wanafunzi tu.

Haya wazungu hebu acheni kushuku kila mweusi kuwa ni mbaya, wacheki na wazungu wenzenu! Tumechoka!

Kwa habari zaidi someni:

http://www.foxnews.com/us/2010/06/29/authorities-arrest-alleged-russian-spies-massachusetts/

http://www.cnn.com/2010/CRIME/06/29/russian.spying.arrests/?hpt=T2

http://www.washingtonpost.com/wp-dyn/content/article/2010/06/29/AR2010062902062.html