Showing posts with label ngwair. Show all posts
Showing posts with label ngwair. Show all posts

Saturday, June 15, 2013

Sitaki kufa Masikini kama Mangwea! -Ommy Dimpoz

 Jamani, sasa hii kuita watu Celebrity sijui Supastaa huko Bongo Unawafanya wengine wawe na AKILI FINYU!
******************************************
KUTOKA FACEBOOK -   
Sheria ni Msumeno   

Ommy Dimpoz
 MAJANGA!!!!! --HUYU NDIYE OMMY DIMPOZ, MSANII WA BONGO ALIYEAMUA KUMTUKANA MAREHEMU MANGWEA!.

MATUSI : Sitaki kufa Masikini kama Mangwea!
NGWAIR,AMEKUFA AFRIKA KUSINI,HATA KUUSAFIRISHA MWILI KUULETA TANZANIA IMEBIDI MPAKA WATU WACHANGIE,ILE NI AIBU SANA",alisema Ommy kwa dharau.

... Vile vile Ommy baada ya kushinda tuzo ya video bora ya mwaka Ommy alibwabwaja:"jamani tumechoka kuzika wasanii maskini wenye majina makubwa",kama vile haitoshi Ommy alizidi kusisitiza kuwa HATAKI KUFA MASKINI KAMA NGWAIR,

Nikitazama sura yako ya upole,vidimpozi vyako hivyo yaani hata huelekeani na shombo hili ulilojipaka,
Kwa kweli nimesikitika sana hasa msanii kama wewe Ommy Dimpoz umekuja juzi tu umeshaanza kujikweza na dharau kiasi hiki?, ukweli nyimbo zako binafsi nazipenda na una kipaji ila utumbo huu uliotoa utaumeza maana Mungu hajaribiwi, hakuna mwenye mamlaka juu ya kifo,ni Msiba gani hukuona mchango?,

je Umasikini wa Ngwair ni lini uliupima? uliwahi kusikia familia yake imelala njaa?, alishawahi kukupiga mizinga?,
Ninachojua mimi Marehemu(Dead Body) kamwe hapewi tuhuma kwa sababu hayupo around kuji-defend,once ukiamua kushusha tuhuma dhidi ya dead body jiandae kujibiwa na Mungu aliyemchukua.

Kama unahitaji kuhamasiha utajiri kwa wasanii ni vema ukaandaa mikutano na Warsha na walio hai,sasa wewe unamuita Marehemu Fukara????? this is Shit!!!, Babu zako,wajomba zako,na woooooote wamekufa matajiri???, Once U talk again,talk in decent way.

### Aisee hiki ni kituko,sijui fans wangu mnaonaje hili!!!