Showing posts with label Albert Mangwea. Show all posts
Showing posts with label Albert Mangwea. Show all posts

Saturday, June 15, 2013

Sitaki kufa Masikini kama Mangwea! -Ommy Dimpoz

 Jamani, sasa hii kuita watu Celebrity sijui Supastaa huko Bongo Unawafanya wengine wawe na AKILI FINYU!
******************************************
KUTOKA FACEBOOK -   
Sheria ni Msumeno   

Ommy Dimpoz
 MAJANGA!!!!! --HUYU NDIYE OMMY DIMPOZ, MSANII WA BONGO ALIYEAMUA KUMTUKANA MAREHEMU MANGWEA!.

MATUSI : Sitaki kufa Masikini kama Mangwea!
NGWAIR,AMEKUFA AFRIKA KUSINI,HATA KUUSAFIRISHA MWILI KUULETA TANZANIA IMEBIDI MPAKA WATU WACHANGIE,ILE NI AIBU SANA",alisema Ommy kwa dharau.

... Vile vile Ommy baada ya kushinda tuzo ya video bora ya mwaka Ommy alibwabwaja:"jamani tumechoka kuzika wasanii maskini wenye majina makubwa",kama vile haitoshi Ommy alizidi kusisitiza kuwa HATAKI KUFA MASKINI KAMA NGWAIR,

Nikitazama sura yako ya upole,vidimpozi vyako hivyo yaani hata huelekeani na shombo hili ulilojipaka,
Kwa kweli nimesikitika sana hasa msanii kama wewe Ommy Dimpoz umekuja juzi tu umeshaanza kujikweza na dharau kiasi hiki?, ukweli nyimbo zako binafsi nazipenda na una kipaji ila utumbo huu uliotoa utaumeza maana Mungu hajaribiwi, hakuna mwenye mamlaka juu ya kifo,ni Msiba gani hukuona mchango?,

je Umasikini wa Ngwair ni lini uliupima? uliwahi kusikia familia yake imelala njaa?, alishawahi kukupiga mizinga?,
Ninachojua mimi Marehemu(Dead Body) kamwe hapewi tuhuma kwa sababu hayupo around kuji-defend,once ukiamua kushusha tuhuma dhidi ya dead body jiandae kujibiwa na Mungu aliyemchukua.

Kama unahitaji kuhamasiha utajiri kwa wasanii ni vema ukaandaa mikutano na Warsha na walio hai,sasa wewe unamuita Marehemu Fukara????? this is Shit!!!, Babu zako,wajomba zako,na woooooote wamekufa matajiri???, Once U talk again,talk in decent way.

### Aisee hiki ni kituko,sijui fans wangu mnaonaje hili!!!
 
 

Thursday, June 06, 2013

Mazishi ya Albert Mangwea Leo


 





Wadau mbali mbali wakiwa wamekusanyika kwa wingi kwenye uwanja wa Ndege Julius Nyerere kwa ajili ya kuupokea Mwili wa Marehemu Albert Mangwea uliowasili mchana huu kutokea nchini Afrika ya Kusini.

The Late Albert Mangwea

Saturday, June 01, 2013

Albert Mangwea atazikwa Jumatatu Morogoro

The Late Albert Mangwea

 

By FATUMA ABDU, Tanzania Daily News

Tanzania Music Federation (TMF) in collaboration with a committee coordinating the burial of the late Albert Mangwea, has asked Tanzanian to contribute funds in order to transport the body of the artist from South Africa.

TMF and the committee leaders told reporters in Dar es Salaam on Thursday Mangwea’s body is expected to arrive in the country from Johannesburg on Saturday. The committee spokesman Adam Juma said that Tanzanians are aware of the deceased’s contribution towards developing Bongo flava and urged them to participate in his burial.

For his part, TMF President Addo Mwasongwe asked Tanzanians to be patient as they wait for Mangwea’s body to arrive. Some of the artists who attended the press conference talked about how they were shocked by the late musician’s sudden death.


TID, Juma Mchopanga (popularly known as as Jay Moe), Professor J, Noora, Mez B, and producer P. Funk described the deceased as being generous and a man of the people. The late Mangwea is expected to be buried in Morogoro on Monday.

********************************

AUTOPSY REPORT

The Medical report from Helen Joseph hospital, Dr Shirley Radcliffe  confirming that Albert Mangwair died from “alcohol toxicity” after drinking too much,Over-exhaustion and drugs overdose....The inquest heard that Albert 28, collapsed in the his friends home had been more than five-times the legal S.A drink-drive limit with 416mgof alcohol per 100 millilitres of blood in his system....Radcliffe described the mreasons for ICU admission included hypoxemia and one of his friend found “two empty vodka bottles[found] on the Car” and he had been suffering from the eating disorder Bulimia for several months before his death and endless partying session with little or no resting...sample taken from his stomach showed poly-drug cocktail and he overdosed Heroin,Cocaine 'crack' and cannabis 0.08gms was also found in his blood...and his death was caused by massive heart attack and respiratory failure followed by sudden Heart stop...and end up dead within seconds! R.I.P Mangwear!

*********************************************