
Sunday, May 10, 2009
Friday, May 08, 2009
Wamelipua Mabomu Yaliobaki!
Haya, jeshi la wananchi wanasema kuwa mabaki ya mabomu yamelipuliwa. Huko watu wanaumwa POST TRAUMATIC STRESS DISORDER! Hivi watu wamepata ushauri kweli (counselling). Yaliyotokea ni mazito na watu wataathirika kwa mingi. Naona Red Cross wanajitahidi kusaidia huko.
************************************************************
Kutoka ippmedia.com
Bombs defused safely
2009-05-08
By Felister Peter and Correspondent Zuwena Shame
There was palpable panic among residents of Dar es Salaam`s Mbagala suburb yesterday as the time for detonation of 75 bombs drew near.
The reason: many relived memories of last week`s accidental bomb explosions that have claimed more than 20 lives and left over 4,000 families homeless.
However, a special team of Tanzania People`s Defence Forces (TPDF) field engineers defused the bombs without incident.
Military and other authorities monitoring the detonation exercise spoke of a generally smooth execution of the operation, whose conclusion now suggests that people inhabiting surrounding areas can live without fear of similar destructive blasts in the future.
Despite official assurances by political leaders and the army that yesterday`s explosions would cause no harm to people or their property, scores of families fled the area set aside for the detonation exercise hours earlier.
Defence and National Service minister Hussein Mwinyi announced on Wednesday that bombs which did not go off during last week`s tragic incident but had lost ``stability`` would be detonated yesterday afternoon.
He called on residents of areas near the military camp where the accident occurred, which was also earmarked for yesterday`s event, to keep at least 500 meters away.
But that distance sounded too close for comfort for the devastated residents, most of whom appeared completely unable to withstand any further explosions.
Long queues were seen yesterday as people vacated the area since early morning, many using public transport to go to distant destinations like Kongowe, Yombo Vituka, Kibada as well as Ikwiriri in Coast Region.
Mbagala Kuu and Maendeleo primary schools remained closed for the rest of the afternoon, with parents and guardians taking their children away from the vicinity.
They did not want the children to experience more deafening blasts and the risk of death or injuries.
The accidental explosions at the military stockroom at Mbagala on Wednesday last week left 25 people dead and caused massive destruction to property, with at least 4,631 houses destroyed or seriously damaged.
Hours before yesterday`s detonations, armed police and military officers were seen patrolling the area to make sure that everything was set for the smooth implementation of the exercise.
An ongoing exercise to verify the extent of the destruction and the assistance needed by surviving victims of the earlier explosions was suspended, as most members of families in need of help had long moved to safer ground.
The entire area was all but deserted, with shops, restaurants and other businesses at the local market remained closed. Calls for patience had done little to calm nerves.
Hemedi Seukwa, whose house was reduced to rubble in last week’s tragic incident, said his wife and three children had left for Mtoni Kijichi - some 2 km away - hours earlier and were unlikely to return before nightfall.
``My wife told me that she would not return before Sunday, and then only upon being assured of normalcy. I am taking care of what few earthly belongings we are left with, or thieves will disappear with everything.
And I too must leave this danger zone now,``explained a panicky Seukwa, as he gathered his belongings ready for departure.
Moments later, the firing started. The subsequent two hours of scheduled deafening explosions, from around 5pm, brought most routine activities in the area to a standstill.
The bomb explosions brought a totally new experience to the majority of the people, residents of a country that has known decades of uninterrupted peace and tranquility.
Speaking to journalists shortly after the detonations, Dar es Salaam Regional Commissioner William Lukuvi said the exercise was a resounding success.
``It was very professionally and successfully executed. There was neither loss of life or limb nor damage to property,`` he noted.
He added that the bombs destroyed were those which remained in the ill-fated armoury and not the ones collected from residential areas after last week`s blasts.
But The Guardian witnessed two people, Mbagala woman Matilda Saidi and Balili Secondary School student Rosemary Daniel, faint shortly after the first explosions. They were immediately whisked away by Red Cross staff for first aid.
Meanwhile, Lukuvi told journalists that a woman injured in last week`s blasts died yesterday, bringing the number of people killed in the tragic incident to 26.
He said Temeke municipal hospital had reported receiving 18 more people hurt in the first blasts, ten of whom were attended to and discharged and the rest were admitted.
SOURCE: Guardian
************************************************************
Kutoka ippmedia.com
Bombs defused safely
2009-05-08
By Felister Peter and Correspondent Zuwena Shame
There was palpable panic among residents of Dar es Salaam`s Mbagala suburb yesterday as the time for detonation of 75 bombs drew near.
The reason: many relived memories of last week`s accidental bomb explosions that have claimed more than 20 lives and left over 4,000 families homeless.
However, a special team of Tanzania People`s Defence Forces (TPDF) field engineers defused the bombs without incident.
Military and other authorities monitoring the detonation exercise spoke of a generally smooth execution of the operation, whose conclusion now suggests that people inhabiting surrounding areas can live without fear of similar destructive blasts in the future.
Despite official assurances by political leaders and the army that yesterday`s explosions would cause no harm to people or their property, scores of families fled the area set aside for the detonation exercise hours earlier.
Defence and National Service minister Hussein Mwinyi announced on Wednesday that bombs which did not go off during last week`s tragic incident but had lost ``stability`` would be detonated yesterday afternoon.
He called on residents of areas near the military camp where the accident occurred, which was also earmarked for yesterday`s event, to keep at least 500 meters away.
But that distance sounded too close for comfort for the devastated residents, most of whom appeared completely unable to withstand any further explosions.
Long queues were seen yesterday as people vacated the area since early morning, many using public transport to go to distant destinations like Kongowe, Yombo Vituka, Kibada as well as Ikwiriri in Coast Region.
Mbagala Kuu and Maendeleo primary schools remained closed for the rest of the afternoon, with parents and guardians taking their children away from the vicinity.
They did not want the children to experience more deafening blasts and the risk of death or injuries.
The accidental explosions at the military stockroom at Mbagala on Wednesday last week left 25 people dead and caused massive destruction to property, with at least 4,631 houses destroyed or seriously damaged.
Hours before yesterday`s detonations, armed police and military officers were seen patrolling the area to make sure that everything was set for the smooth implementation of the exercise.
An ongoing exercise to verify the extent of the destruction and the assistance needed by surviving victims of the earlier explosions was suspended, as most members of families in need of help had long moved to safer ground.
The entire area was all but deserted, with shops, restaurants and other businesses at the local market remained closed. Calls for patience had done little to calm nerves.
Hemedi Seukwa, whose house was reduced to rubble in last week’s tragic incident, said his wife and three children had left for Mtoni Kijichi - some 2 km away - hours earlier and were unlikely to return before nightfall.
``My wife told me that she would not return before Sunday, and then only upon being assured of normalcy. I am taking care of what few earthly belongings we are left with, or thieves will disappear with everything.
And I too must leave this danger zone now,``explained a panicky Seukwa, as he gathered his belongings ready for departure.
Moments later, the firing started. The subsequent two hours of scheduled deafening explosions, from around 5pm, brought most routine activities in the area to a standstill.
The bomb explosions brought a totally new experience to the majority of the people, residents of a country that has known decades of uninterrupted peace and tranquility.
Speaking to journalists shortly after the detonations, Dar es Salaam Regional Commissioner William Lukuvi said the exercise was a resounding success.
``It was very professionally and successfully executed. There was neither loss of life or limb nor damage to property,`` he noted.
He added that the bombs destroyed were those which remained in the ill-fated armoury and not the ones collected from residential areas after last week`s blasts.
But The Guardian witnessed two people, Mbagala woman Matilda Saidi and Balili Secondary School student Rosemary Daniel, faint shortly after the first explosions. They were immediately whisked away by Red Cross staff for first aid.
Meanwhile, Lukuvi told journalists that a woman injured in last week`s blasts died yesterday, bringing the number of people killed in the tragic incident to 26.
He said Temeke municipal hospital had reported receiving 18 more people hurt in the first blasts, ten of whom were attended to and discharged and the rest were admitted.
SOURCE: Guardian
Wednesday, May 06, 2009
Kipanya Asema:
Maafa Mbagala


(Picha kwa Hisani ya Global Publishers. Kwa Picha zaidi Bofya Hapa)Idadi rasmi ya waliokufa kwa ajali ya mabomu Mbagala ni 23. Lakini watu wanadai waliokufa huenda ikafika zaidi ya mia! Serikali inasema itawalipa fidia watu waliopoteza mali katika ajali huo.
Nina swali. Je, serikali na jeshi wanachukua hatua gani kuhakikisha jambo kama hilo halitokee tena?
Na samahani, lakini watu Bongo wanahitaji kuelimishwa. Mnaona hiyo picha ambayo watu wameshika kipande cha kombora? Si ingelipuka watu zaidi wangekufa. Watu wakimbie siyo wakimbilie! Hizo silaha siyo toy. Na si ajabu kuna watu wameweka vitu wasivyovijua majumbani mwao, tutasikia oh, sijui alitaka kutengeza nini, alivyoigonga ikalipuka.
**************************************************************************
Kutoka Ippmedia.com
Ni vilio tu!
2009-05-05
Na Emmanuel Lengwa na Moshi Lusonzo
Wakati hadi sasa taarifa rasmi juu ya idadi kamili ya watu waliopoteza maisha katika mlipuko wa mabomu uliotokea wiki iliyopita Jijini Dar es Salaam ni 23, baadhi ya wananchi wa maeneo ya Mbagala, wanadai kuwa idadi ya waliokufa ni kubwa zaidi na kwamba miili yao huenda imekwama kwenye tope la mto Kizinga.
Kadhalika madiwani wa kata za Mbagala na Mbagala Kuu wameonyesha wasiwasi wao wakidai kuwa, wana hofu kwamba watu kadhaa wakiwemo watoto ambao walitoweka tangu siku ya tukio hilo la mlipuko, wakawa wamefia kwenye mto huo.
Kwa upande wake, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleimani Kova amesema hadi sasa jumla ya watoto 19 wakazi wa Mbagala, tangu siku ulipotokea mlipuko huo, hawajulikani waliko.
Kufuatia hofu hiyo, jana Baraza la Madiwani la Manispaa ya Temeke liliitisha kikao cha dharura kujadili hali hiyo.
Katika kikao hicho, Diwani wa Kata ya Mbagala Kuu, ambapo ndipo lilipotokea tukio hilo, Bw. Anderson Charles alisema kuna uwezekano mkubwa wa kuwepo watoto wengi waliozama ndani ya mto Kizinga na kuwa miili yao imekwama kwenye tope la mto huo.
Akasema kasi ya uokoaji inayoendelea kufanywa na wananchi kwa kushirikiana na Polisi ni ndogo, hivyo akaomba Jeshi la Wananchi wa Tanzania, JWTZ, kufanya operesheni maalum kusaka miili ya watoto hao na kuiopoa mtoni.
Hoja ya Bw. Charles iliungwa mkono na Diwani wa Kata ya Mbagala, Bw. Peter Osoro aliyesema kuwa baada ya milipuko, watoto wengi walikimbia na kuingia mtoni, wakiwa na nia ya kuvuka mto Kizinga kwenda ng\'ambo maeneo ya Yombo.
Kwa mujibu wa diwani huyo, watoto wengi walizama mtoni katika maeneo ya Kingugi na Bugudadi mahali ambapo wengi wao walitaka kuvuka wakidhani maji ya mto ni machache, lakini wakajikuta wakizama kwenye tope na kupoteza maisha.
Aidha Bw. Osoro akasema kuwa hadi sasa kuna familia nyingi zinahaha kutafuta ndugu, jamaa pamoja na watoto wao, na hivyo kuna umuhimu mkubwa wa kupeleka kikosi cha JWTZ kufanya operesheni maalum.
Mkurugenzi wa Manispaa ya Temeke, Bw. Steven Kongwa aliwahakikishia madiwani hao ambao wengi wao walikuwa wakibubujikwa machozi kuwa, juhudi kubwa za kuwasaidia wahanga wa tukio hilo zinaendelea na hivyo akawataka waheshimiwa madiwani wasiwe na huzuni sana.
Kwa upande wake, Meya wa Manispaa ya Temeke, Bw. Jerome Bwanausi, ambaye pia ni mwenyekiti wa kamati ya maafa hayo, alisema kamati yake iko imara na wahanga wote wanapewa misaada.
Akasema mazishi ya maiti zote za ajali hiyo yamegharimiwa na kamati ya maafa ya mkoa wa Dares Salaam ambayo iko chini ya Mkuu wa Mkoa, Bw. William Lukuvi.
Madiwani hao walimpongeza Rais Jakaya Kikwete kwa kutembelea majeruhi na wahanga wa tukio hilo.
Aidha waliwashukuru watu wote waliotoa misaada ya hali na mali kusaidia wahanga wa tukio hilo.
Katika hatua nyingine, Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova amesema kuwa watoto 19 ambao hawajulikani waliko wanahisiwa kuwa wamekimbilia maeneo mbalimbali na wengine wamehifadhiwa majumbani na wasamaria wema.
Ametoa wito kwa watu wanaowahifadhi watoto wasio wao majumbani au wale wanaojua walipo, watoe taarifa ili juhudi za kuwakutanisha na wazazi wao ziweze kufanyika.
``Kuna watoto wamekimbilia maeneo ya mbali, wapo waliofika hadi Arusha, lakini pia kuna wengine wamehifadhiwa na wasamaria wema, nawaomba wote wajitokeze kutoa taarifa zao ili tuwakutanishe na wazazi wao,`` akasema Kamanda Kova.
Ameonya kuwa miongoni mwa watoto hao wamo watoto wa kike na wanafunzi, hivyo kutotoa taarifa zao inaweza kuleta hisia mbaya baadaye na ikawa shida.
SOURCE: Alasiri
Kwa habari zaidi someni:
http://thecitizen.co.tz/newe.php?id=12244
http://www.thisday.co.tz/News/5685.html
http://www.upi.com/Top_News/2009/04/30/Tanzania-munitions-dump-explodes/UPI-26051241071540/
Tuesday, May 05, 2009
The Harlem Renaissance Revisited - Mchezo wa Kuigiza
Wadau, wiki hii niko katika mchezo wa kuigiza, 'The Harlem Renaissance Revisited with a Gospel Flavor'. Hii picha tulipiga jumamosi iliyopita tukiwa kwenye mazoezi na costumes (Dress rehearsal). Pichani ni mimi (nimeketi), Charles Jackson anyeigiza kama Joe the Bartender na moja wa waongoza mchezo Bibi Ruby Hill.Katika mchezo huo inayotakoea Harlem, New York miaka ya 1920's mimi naigiza kama Ms. Thelma, mama anayetaka kuwa tajiri kiasi kwamba kasahau mapenzi katika maisha yake.
Mchezo unahusu jinsi wasanii waMarekani weusi walivyobaguliwa na kukimbilia nje ya nchi ili kustawi vipaji vyao. Mchezo umetungwa na Mzee Haywood Fennell Sr.
Kwa habari zaidi tembelea:http://oscarmicheauxrep.tripod.com/id13.html
THE HARLEM RENAISSANCE REVISITED WITH A GOSPEL FLAVOR
DATES: May 7-9, 2009
TIME: 7:15PM
PLACE: Lilla G. Frederick Middle School
270 Columbia Road
Dorchester, MA
TICKETS: $15 Adults $10 Children & Seniors
Je, ni Kweli? Is it Really True?

JE NI KWELI?
TANZANIAN HUSBANDS
The SAMBAA
Has one Wife
Has one girlfriend
But he loves his wife the most.
The CHAGAA
Has one wife
Has one girlfriend
But he loves his girlfriend the most.
The NGONI
Has one wife
Has one girlfriend
But he loves the house maid the most.
The SUKUMA
Has two wives
Has two girlfriends
He loves the wives sisters the most.
COASTERIAN/ZANZIBARIAN
Has 4 wives
Has 0 girlfriends
He loves the house boy the most.
The JALUO
Has 4 wives
Has 4 girlfriends
He loves his neighbours wife the most.
The NYAMWEZI
Has one, two three wives
Has several girlfriends
He loves the barmaid the most.
THE KURYA
One wife
Many girl friends
He will beat all of them
THE MASAI
Two wives
One girl friend
He loves his cows the most
THE SOMALI'S
Four wives
No girl friend
Loves his miraa the most
Mdau
New York
Labels:
Cheating husbands,
Girlfriend,
Lovers,
Mistress,
Wives
Monday, May 04, 2009
Wanawake Wa White House
Hebu cheki wanwake wa White House : Mke wa Rais Obama, Michelle, Mama yake mzazi, pamoja na watoto wa rais, Sasha na Malia. MaKKK lazima wanalia!
Labels:
Malia Obama,
Michelle Obama,
Sassha Obama,
White House
Kazi ya Kuendesha Mabasi Boston
NAACP Boston Branch
MBTA
will be hiring 300 bus drivers
First Transit in conjunction with the MBTA will be hiring 300 bus driver positions. You DO NOT need a CDL. This position is an opportunity to get in on the ground floor with a national company that also includes First Student Transportation (the yellow schoolbuses), Greyhound Buses and also other First Transit sites which house City Metro buses and other ventures.
Our drivers need to have 5 years driving experience, clean MVR's no more than 1 moving violation in 12 months or 2 in 36 months; no DUI's, no crimimal history and be able to follow a map. Training will be provided. The drivers will service a geographical location in the southern burbs of Boston and will stretch from Needham to Randolph to Walpole to Quincy. We also provide benefits. We are a para-transit division also known as The Ride.
To apply - please come to our Job Fair. We are hosting a two day event at the Sheraton Braintree, Directions below.
Sunday, May 3rd from 1:00 - 5:00 PM
and
Monday, May 4th from 9:00 - 2:00 PM
The Sheraton Braintree is located at the intersection of I-93/I-95.
Please take I-93 and get off at Exit 6. It looks like a large brown castle on top of the hill.
Address:
37 Forbes Road
Braintree, MA 02184
________________________________________
Karen L. Payne, President
NAACP Boston Branch
Phone: 617.438.5816
eMail: Info@NAACPBoston.org
WebSite: http://www.naacpboston.org/
MBTA
will be hiring 300 bus drivers
First Transit in conjunction with the MBTA will be hiring 300 bus driver positions. You DO NOT need a CDL. This position is an opportunity to get in on the ground floor with a national company that also includes First Student Transportation (the yellow schoolbuses), Greyhound Buses and also other First Transit sites which house City Metro buses and other ventures.
Our drivers need to have 5 years driving experience, clean MVR's no more than 1 moving violation in 12 months or 2 in 36 months; no DUI's, no crimimal history and be able to follow a map. Training will be provided. The drivers will service a geographical location in the southern burbs of Boston and will stretch from Needham to Randolph to Walpole to Quincy. We also provide benefits. We are a para-transit division also known as The Ride.
To apply - please come to our Job Fair. We are hosting a two day event at the Sheraton Braintree, Directions below.
Sunday, May 3rd from 1:00 - 5:00 PM
and
Monday, May 4th from 9:00 - 2:00 PM
The Sheraton Braintree is located at the intersection of I-93/I-95.
Please take I-93 and get off at Exit 6. It looks like a large brown castle on top of the hill.
Address:
37 Forbes Road
Braintree, MA 02184
________________________________________
Karen L. Payne, President
NAACP Boston Branch
Phone: 617.438.5816
eMail: Info@NAACPBoston.org
WebSite: http://www.naacpboston.org/
Labels:
Bus Driver,
Kazi,
MBTA,
NAACP Boston Branch
Tanzia - Margareth Nemhina Kumbuka
NASIKITIKA KUTANGAZA HABARI YA MSIBA WA MAMA MKWE WANGU MRS MARGARETH NEMHINA KUMBUKA ALIYEFARIKI HUKO BALTIMORE, MARYLAND, UNITED STATES.
MAANDALIZI YA KUPELEKA MWILI WA MAREHEMU TANZANIA KWA MAZISHI YANAFANYIKA. MSIBA UPO NYUMBANI KWA MWANAE WA KIKE MAHADIA KUMBUKA HUKO BALTIMORE.
FOR INFO
TEL:443-824-4228
MAREHEMU ALIKUWA MKAZI WA LONDON UK NA ALIKUWA NI MWALIMU KATIKA UNIVERSITY OF LONDON. MSIBA PIA UTAKUWA NYUMBANI KWAKE LONDON 59 YORK WAY,
WHETSTONE,
LONDON,
N20 0DF
FOR INFO TEL:
+447788878333
OR
07951503042
BWANA ALITOA, BWANA AMETWAA. JINA LAKE LIHIMIDIWE - AMEN
ACHU MCHUJUKO
*************************************************
Pole sana mdogo wangu Mahadia. Mungu ailaze roho yake mama yetu mahala pema mbinguni. Amen.
MAANDALIZI YA KUPELEKA MWILI WA MAREHEMU TANZANIA KWA MAZISHI YANAFANYIKA. MSIBA UPO NYUMBANI KWA MWANAE WA KIKE MAHADIA KUMBUKA HUKO BALTIMORE.
FOR INFO
TEL:443-824-4228
MAREHEMU ALIKUWA MKAZI WA LONDON UK NA ALIKUWA NI MWALIMU KATIKA UNIVERSITY OF LONDON. MSIBA PIA UTAKUWA NYUMBANI KWAKE LONDON 59 YORK WAY,
WHETSTONE,
LONDON,
N20 0DF
FOR INFO TEL:
+447788878333
OR
07951503042
BWANA ALITOA, BWANA AMETWAA. JINA LAKE LIHIMIDIWE - AMEN
ACHU MCHUJUKO
*************************************************
Pole sana mdogo wangu Mahadia. Mungu ailaze roho yake mama yetu mahala pema mbinguni. Amen.
SERIKALI KULIPA FIDIA WALIOATHIRIKA NA MABOMU YA MBAGALA - PINDA
WAZIRI MKUU Mizengo Pinda amesema Serikali imekubali kubeba mzigo wa kulipa fidia fidia kwa wakazi wa Mbagala jijini Dar es Salaam ambao wamehabiriwa nyumba na mali zao kutokana na mlipuko wa mabomu uliotokea wiki iliyopita.
Akizungumza na wakazi wa Mbagala Kuu, wilayani Temeke alipokwenda kuwapa pole jana jioni (Jumamosi, Mei 2, 2009), Waziri Mkuu aliwataka wanakamati waliopangiwa kufanya kazi ya tathmini ya mali zilizoharibika zikiwemo majumba, mali, misikiti na makanisa na kuikamilisha mapema iwezekenavyo.
Alisema kamati iliyoteuliwa ifanye kazi ya kukagua mali na kufanya tathmini ili Seriklai ione namna na kutoa kufidia ikiwa ni kutekeleza agizo la Rais Jakaya Kikwete ambalo lilitolewa Mei Mosi, 2009.
“Serikali imeshaanza kugharimia gharama za mazishi kwa watu waliokufa katika ajali hii, na itaangalia jinsi ya kuwapa pole wale waliofiwa ili kupunguza makali ya maisha na kuwasaidia waliopata ulemavu kwa matibabu na vifaa,“ alisema Waziri Mkuu.
Alisema kazi iliyo mbele ni kubwa lakini Srikali itajitahidi kuendelea kuwahudumia hadi warejee katika hali zao za awali.
Aliwashukuru watu waliojitolea kwa nafasi mbalimbali ikiwemo wale waliojitosa katima mto Mzinga ili kuopoa maiti za watu waliokufa wakati wakijitahidi kujiokoa kutoka kwenye ajali hiyo.
Waziri Mkuu pia alielezwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bw. William Lukuvi juhudi za kuwakimu wahanga ikiwa ni pamoja na kuwapatia magodoro, vyandarua, mablanketi, vyakula na maji ya kunywa.
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
DAR ES SALAAM..
JUMAPILI, MEI 3, 2009.
Akizungumza na wakazi wa Mbagala Kuu, wilayani Temeke alipokwenda kuwapa pole jana jioni (Jumamosi, Mei 2, 2009), Waziri Mkuu aliwataka wanakamati waliopangiwa kufanya kazi ya tathmini ya mali zilizoharibika zikiwemo majumba, mali, misikiti na makanisa na kuikamilisha mapema iwezekenavyo.
Alisema kamati iliyoteuliwa ifanye kazi ya kukagua mali na kufanya tathmini ili Seriklai ione namna na kutoa kufidia ikiwa ni kutekeleza agizo la Rais Jakaya Kikwete ambalo lilitolewa Mei Mosi, 2009.
“Serikali imeshaanza kugharimia gharama za mazishi kwa watu waliokufa katika ajali hii, na itaangalia jinsi ya kuwapa pole wale waliofiwa ili kupunguza makali ya maisha na kuwasaidia waliopata ulemavu kwa matibabu na vifaa,“ alisema Waziri Mkuu.
Alisema kazi iliyo mbele ni kubwa lakini Srikali itajitahidi kuendelea kuwahudumia hadi warejee katika hali zao za awali.
Aliwashukuru watu waliojitolea kwa nafasi mbalimbali ikiwemo wale waliojitosa katima mto Mzinga ili kuopoa maiti za watu waliokufa wakati wakijitahidi kujiokoa kutoka kwenye ajali hiyo.
Waziri Mkuu pia alielezwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Bw. William Lukuvi juhudi za kuwakimu wahanga ikiwa ni pamoja na kuwapatia magodoro, vyandarua, mablanketi, vyakula na maji ya kunywa.
IMETOLEWA NA:
OFISI YA WAZIRI MKUU,
DAR ES SALAAM..
JUMAPILI, MEI 3, 2009.
Friday, May 01, 2009
Athari za Mabomu Dar
Picha kutoka Global PublishersJe, walioathirika watapata fidia gani?
***********************************************
Mabomu Dar: Inatisha!
2009-05-01
Na Waandishi Wetu,Jijini
Hali imekuwa ya kutisha kufuatia taarifa zaidi za athari ya janga la kulipukiwa mabomu na makombora ya kivita pale karibu na Kambi ya Jeshi la Wananchi Mbagala baada ya vifo vya watu kuongezeka maradufu.
Hadi sasa, kuna taarifa kuwa waliokufa kutokana na tukio hilo lililozua hofu kubwa Jijini juzi baada ya milipuko kutokea kwenye ghala la silaha pale Mbagala, wameshafikia zaidi ya watu 13.
Taarifa zinadai kuwa idadi hiyo imetokana na kubainika kuwa kuna raia wengine wamefariki na pia askari sita wa JWTZ wanahofiwa kufa kwa kukatwa vipande vipande na mabomu hayo, hivyo idadi ya wafu kuongezeka toka ile ya jana iliyokuwa chini ya watu 10.
Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, ndiye aliyebainisha hayo wakati akizungumza na Alasiri leo asubuhi.
Aidha, inadaiwa kuwa majumba ya raia zaidi ya 300, Kanisa la Pentekoste, Misikiti miwili ya Mbagala Kuu na Mbagala kwa Mwanakote yamefumuliwa kwa baadhi ya makombora hayo na kusababisha hasara kubwa.
Pia, taarifa zaidi toka kwenye eneo la tukio zinadai kuwa baadhi ya makaburi ya pale Mbagala kwa Mwanakote, nayo yamefumuliwa vibaya, hasa yale yaliyokuwa yameshajengewa.
Pia kambi hiyo hivi sasa imesalia kama gofu, baada ya majengo karibu yote kambini hapo kusambaratishwa kwa mabomu na makombora.
Kuhusiana na raia aliyeongezeka katika wafu, Kamanda Kova amemuelezea kuwa ni mtoto anayekadiriwa kuwa na umri wa chini ya miaka 12 ambaye mwili wake uliokotwa katika Mto Kizinga.
Naye Brigedia Jenerali Meela wa JWTZ, amekaririwa na vyombo vya habari akisema kuwa wanajeshi wao sita wanahofiwa kufariki dunia katika mlipuko huo na kwamba hadi sasa bado hawajaonekana tangu baada ya tukio hilo.
Hata hivyo, kuna taarifa kuwa vipande vya miili ya baadhi ya askari vimeshaonekana na kuhisiwa kuwa ni pamoja na hao sita.
Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, William Lukuvi amesema Serikali imeamua kugharimia gharama zote za mazishi ya watu waliopoteza maisha katika tukio hilo.
Akasema leo wanawazika watu wanne, ambao ni wakazi wa Mbagala, kazi ambayo itafanyika leo huko huko Mbagala.
Akasema ndugu wa marehemu hao wameambiwa kusema bajeti ya mazishi ya wapendwa wao ili Serikali itoe fedha hizo.
Akadai kuwa jamaa za watu wanne wanaozikwa leo wameomba shilingi milioni moja kwa kila marehemu mmoja na Serikali imekubali kuwapatia.
``Hadi hivi sasa tunavyoongea ndugu wa marehemu hao wapo ofisini kwa Meya kupewa fedha hizo za kugharimia mazishi,`` akasema Bw. Lukuvi.
Akasema wapo watu wawili ambao walizikwa jana na familia zao tayari zimesema kuwa zimetumia sh. Milioni 2.5 kila moja na Serikali itazirejesha.
``Wenzetu waliozikwa jana walikuwa ni waislamu, kwa imani yao wasingeweza kusubiri hadi fedha zitolewe ndio wazike, hata hivyo wameshasema gharama walizotumia kwa mazishi kuwa ni Mil. 2.5 kila familia na Serikali itazirejesha,`` akasema Bw. Lukuvi.
Aidha akasema ipo miili ya watu wawili ambayo inatarajiwa kusafirishwa kwenda mikoani, mmoja ukisafirishwa kwenda Singida na nyingine mwingine Musoma mkoani Mara.
Akasema jamaa wa marehemu hao pia wameambiwa watamke bajeti ya mazishi na kufika katika Ofisi ya Meya Adam Kimbisa, ili kupewa fedha za mazishi.
Akasema kwa taarifa alizonazo maiti hizo za kwenda mikoani zitasafirshwa kesho ambapo Serikali imeahidi kuwa bega kwa bega na jamaa wa marehemu hao.
Tukio hilo lilitokea juzi na jana, Rais Jakaya Kikwete aliwatembea wahanga katika pale Mbagala na pia katika Hospitali ya Temeke.
SOURCE: Alasiri
***********************************************
Mabomu Dar: Inatisha!
2009-05-01
Na Waandishi Wetu,Jijini
Hali imekuwa ya kutisha kufuatia taarifa zaidi za athari ya janga la kulipukiwa mabomu na makombora ya kivita pale karibu na Kambi ya Jeshi la Wananchi Mbagala baada ya vifo vya watu kuongezeka maradufu.
Hadi sasa, kuna taarifa kuwa waliokufa kutokana na tukio hilo lililozua hofu kubwa Jijini juzi baada ya milipuko kutokea kwenye ghala la silaha pale Mbagala, wameshafikia zaidi ya watu 13.
Taarifa zinadai kuwa idadi hiyo imetokana na kubainika kuwa kuna raia wengine wamefariki na pia askari sita wa JWTZ wanahofiwa kufa kwa kukatwa vipande vipande na mabomu hayo, hivyo idadi ya wafu kuongezeka toka ile ya jana iliyokuwa chini ya watu 10.
Kamanda wa Polisi wa Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, ndiye aliyebainisha hayo wakati akizungumza na Alasiri leo asubuhi.
Aidha, inadaiwa kuwa majumba ya raia zaidi ya 300, Kanisa la Pentekoste, Misikiti miwili ya Mbagala Kuu na Mbagala kwa Mwanakote yamefumuliwa kwa baadhi ya makombora hayo na kusababisha hasara kubwa.
Pia, taarifa zaidi toka kwenye eneo la tukio zinadai kuwa baadhi ya makaburi ya pale Mbagala kwa Mwanakote, nayo yamefumuliwa vibaya, hasa yale yaliyokuwa yameshajengewa.
Pia kambi hiyo hivi sasa imesalia kama gofu, baada ya majengo karibu yote kambini hapo kusambaratishwa kwa mabomu na makombora.
Kuhusiana na raia aliyeongezeka katika wafu, Kamanda Kova amemuelezea kuwa ni mtoto anayekadiriwa kuwa na umri wa chini ya miaka 12 ambaye mwili wake uliokotwa katika Mto Kizinga.
Naye Brigedia Jenerali Meela wa JWTZ, amekaririwa na vyombo vya habari akisema kuwa wanajeshi wao sita wanahofiwa kufariki dunia katika mlipuko huo na kwamba hadi sasa bado hawajaonekana tangu baada ya tukio hilo.
Hata hivyo, kuna taarifa kuwa vipande vya miili ya baadhi ya askari vimeshaonekana na kuhisiwa kuwa ni pamoja na hao sita.
Kwa upande wake Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, William Lukuvi amesema Serikali imeamua kugharimia gharama zote za mazishi ya watu waliopoteza maisha katika tukio hilo.
Akasema leo wanawazika watu wanne, ambao ni wakazi wa Mbagala, kazi ambayo itafanyika leo huko huko Mbagala.
Akasema ndugu wa marehemu hao wameambiwa kusema bajeti ya mazishi ya wapendwa wao ili Serikali itoe fedha hizo.
Akadai kuwa jamaa za watu wanne wanaozikwa leo wameomba shilingi milioni moja kwa kila marehemu mmoja na Serikali imekubali kuwapatia.
``Hadi hivi sasa tunavyoongea ndugu wa marehemu hao wapo ofisini kwa Meya kupewa fedha hizo za kugharimia mazishi,`` akasema Bw. Lukuvi.
Akasema wapo watu wawili ambao walizikwa jana na familia zao tayari zimesema kuwa zimetumia sh. Milioni 2.5 kila moja na Serikali itazirejesha.
``Wenzetu waliozikwa jana walikuwa ni waislamu, kwa imani yao wasingeweza kusubiri hadi fedha zitolewe ndio wazike, hata hivyo wameshasema gharama walizotumia kwa mazishi kuwa ni Mil. 2.5 kila familia na Serikali itazirejesha,`` akasema Bw. Lukuvi.
Aidha akasema ipo miili ya watu wawili ambayo inatarajiwa kusafirishwa kwenda mikoani, mmoja ukisafirishwa kwenda Singida na nyingine mwingine Musoma mkoani Mara.
Akasema jamaa wa marehemu hao pia wameambiwa watamke bajeti ya mazishi na kufika katika Ofisi ya Meya Adam Kimbisa, ili kupewa fedha za mazishi.
Akasema kwa taarifa alizonazo maiti hizo za kwenda mikoani zitasafirshwa kesho ambapo Serikali imeahidi kuwa bega kwa bega na jamaa wa marehemu hao.
Tukio hilo lilitokea juzi na jana, Rais Jakaya Kikwete aliwatembea wahanga katika pale Mbagala na pia katika Hospitali ya Temeke.
SOURCE: Alasiri
Thursday, April 30, 2009
Statement from U.S. Embassy on Bomb Explosions in Dar
From: DAR CA-ACS (Dar Es Salaam ) drsacs@state.gov
Subject: From US Embassy on explosions in Dar es Salaam (28 April 2009)
Date: Wednesday, April 29, 2009, 5:30 AM
Before noon today (28 April 2009), bombs stored at a munitions storagefacility in Mbagala, Dar es Salaam, accidently exploded. We have beentold that the situation is not yet contained and there could be furtherexplosions.We have been told that the authorities are evacuating the downtown area.The British High Commission, located downtown, has closed. The UnitedStates Government Center for Disease Control offices downtown are alsoclosing. The Embassy compound in Msasani remains open.
We have varying reports as to what extent flight operations at the airport may beaffected.American citizens are advised to avoid downtown and the area aroundMbagala. Americans should follow news reports closely. We will updateas we get more information.Updated information on travel and security in Tanzania may be obtained from the Department of State by calling 1-888-407-4747 toll free in theUnited States and Canada, or for callers outside the United States andCanada, a regular toll line at 1-202-501-4444. For further informationplease consult the Country Specific Information for Tanzania, the East Africa Travel Alert, and the Worldwide Caution Travel Alert, which areavailable on the Bureau of Consular Affairs Internet website athttp://travel.state.gov <http://travel.state.gov/> .
The Consular Section of the U.S. Embassy in Tanzania can be contacted bytelephone [255](22) 266-8001 x 4122 and fax [255](22) 266-8238. You may also contact the U.S. Embassy in Tanzania via email atdrsacs@state.gov.After hours American Citizen emergencies should call [255](22) 266-8001.
Subject: From US Embassy on explosions in Dar es Salaam (28 April 2009)
Date: Wednesday, April 29, 2009, 5:30 AM
Before noon today (28 April 2009), bombs stored at a munitions storagefacility in Mbagala, Dar es Salaam, accidently exploded. We have beentold that the situation is not yet contained and there could be furtherexplosions.We have been told that the authorities are evacuating the downtown area.The British High Commission, located downtown, has closed. The UnitedStates Government Center for Disease Control offices downtown are alsoclosing. The Embassy compound in Msasani remains open.
We have varying reports as to what extent flight operations at the airport may beaffected.American citizens are advised to avoid downtown and the area aroundMbagala. Americans should follow news reports closely. We will updateas we get more information.Updated information on travel and security in Tanzania may be obtained from the Department of State by calling 1-888-407-4747 toll free in theUnited States and Canada, or for callers outside the United States andCanada, a regular toll line at 1-202-501-4444. For further informationplease consult the Country Specific Information for Tanzania, the East Africa Travel Alert, and the Worldwide Caution Travel Alert, which areavailable on the Bureau of Consular Affairs Internet website athttp://travel.state.gov <http://travel.state.gov/> .
The Consular Section of the U.S. Embassy in Tanzania can be contacted bytelephone [255](22) 266-8001 x 4122 and fax [255](22) 266-8238. You may also contact the U.S. Embassy in Tanzania via email atdrsacs@state.gov.After hours American Citizen emergencies should call [255](22) 266-8001.
Wednesday, April 29, 2009
Ghala La Silaha Lalipuka Mbagala, Dar es Salaam
BBC wanasema watu kadhaa wamekufa!http://news.bbc.co.uk/2/hi/africa/8024656.stm
Kutoka MICHUZI BLOG:
BREKING NYUZZZZZZ: GHALA LA SILAHA LALIPUKA MBAGALA, DAR
GHALA LA SILAHA LA JESHI LIMELIPUKA NA KUSHIKA MOTO KWENYE KAMBI YA JESHI ILIYOKO MBAGALA KIZUIANI NA KUSABABISHA MILIPUKO MIKUBWA YA MABOMU NA KULETA KIZAAZAA JIJI ZIMA.
GLOBU YA JAMII ILIYO KATIKA ENEO LA TUKIO IMESHUHUDIA ASKARI WA JESHI LA ULINZIM POLISI NA ZIMAMOTO WAKIWA WAMEJAZANA NJIA PANDA KUELEKEA KAMBINI HUKO AMBAKO MOSHI MZITO NA MILIPUKO IMEKUWA IKISIKIKA TOKA ASUBUHI.
KUNA HABARI KWAMBA BAADHI YA MABOMU YANARUKA MAZIMA MAZIMA NA KUTUA KILOMETA KADHAA TOKA MBAGALA NA KULIPUKA. KATIKATI YA JIJI TAYARI WATU WAMETANGAZIWA WASHUKE MAGHOROFANI.
HABARI ZINASEMA KWAMBA MOTO HUO WA AINA YAKE UNAWEZA KUZIMIKA KWA UTAALAMU WA HALI YA JUU ILA USALAMA DHIDI YA MLIPUKO WA MABOMU NI MDOGO. WAKAZI WENGI WA MBAGALA WAMESHAONOLEWA SEHEMU HIYO WAKATI JUHUDI ZA KUTHIBITI MOTO NA MILIPUKO IKENDELEA.
GLOBU YA JAMII INAENDELEA KUWA ENEO LA TUKIO NA INAAHIDI PICHA NA HABARI KEDEKEDE BAADAYE KIDOOOOO....
BREKING NYUZZZZZZ: GHALA LA SILAHA LALIPUKA MBAGALA, DAR
GHALA LA SILAHA LA JESHI LIMELIPUKA NA KUSHIKA MOTO KWENYE KAMBI YA JESHI ILIYOKO MBAGALA KIZUIANI NA KUSABABISHA MILIPUKO MIKUBWA YA MABOMU NA KULETA KIZAAZAA JIJI ZIMA.
GLOBU YA JAMII ILIYO KATIKA ENEO LA TUKIO IMESHUHUDIA ASKARI WA JESHI LA ULINZIM POLISI NA ZIMAMOTO WAKIWA WAMEJAZANA NJIA PANDA KUELEKEA KAMBINI HUKO AMBAKO MOSHI MZITO NA MILIPUKO IMEKUWA IKISIKIKA TOKA ASUBUHI.
KUNA HABARI KWAMBA BAADHI YA MABOMU YANARUKA MAZIMA MAZIMA NA KUTUA KILOMETA KADHAA TOKA MBAGALA NA KULIPUKA. KATIKATI YA JIJI TAYARI WATU WAMETANGAZIWA WASHUKE MAGHOROFANI.
HABARI ZINASEMA KWAMBA MOTO HUO WA AINA YAKE UNAWEZA KUZIMIKA KWA UTAALAMU WA HALI YA JUU ILA USALAMA DHIDI YA MLIPUKO WA MABOMU NI MDOGO. WAKAZI WENGI WA MBAGALA WAMESHAONOLEWA SEHEMU HIYO WAKATI JUHUDI ZA KUTHIBITI MOTO NA MILIPUKO IKENDELEA.
GLOBU YA JAMII INAENDELEA KUWA ENEO LA TUKIO NA INAAHIDI PICHA NA HABARI KEDEKEDE BAADAYE KIDOOOOO....
Tuesday, April 28, 2009
Ushoga Unashamiri Marekani!
(Pichani ) Mcheza sinema Cynthia Nixon (kulia)na Mpenzi Wake ChristineWadau, siku hizi kuna mtindo wa ajabu. Wanawake wanaacha wanaume wao waliofunga ndoa nao, wanawake wengine wanaacha boyfriends wao, wanawake wengine wanatupa wachumba wao.... na kuanza urafiki na mwanamke! Loh!
Nadhani shida ni kuwa hao wanaume hawawezi kuwaridhisha kimapenzi. Mwanamke anaelewa wapi patamu mwilini mwake, na wanaume wengine si wavumilivu kujua haja za wapenzi wao. Hivyo ushoga unashamiri!
Mwisho wa dunia lazima uko karibu!
Wadau, mnasemaje hapo?
Hebu soma hi habari:
Ugonjwa wa Homa ya Nguruwe (Swine Flu)

Duh! Wadau, hapa Marekani watu wana haha ile mbaya kwa hofu ya kuambukizwa ugonjwa wa SWINE FLU! Mwaka juzi ilikuwa homa ya ndege (bird flu), mwaka huu ni homa ya nguruwe.
Nakuambia, mtu akikohoa, akipiga chafya, watu wanamtazama mara ishirini! Wanopanda kwenye suubway na masabi kwenda kazini wana wasiwasi kuwa wataambukizwa. Huko makazini, waliosafiri kwenda Mexico wanaambiwa wakae nyumbani mpaka walete vyeti kusema kuwa ni wazima wa afya. Wataalamu wanasema kuwa kiini (epicenter) cha huo ugonjwa ni Mexico.
Huko Scotland kuna mke na mume waliofunga ndoa hivo karibuni na walikuwa kwenye Honeymoon huko Mexico. Leo kuna habari kuwa wote wawili ni wagonjwa. Doh! Waliosafiri nao kwenye ndege ni wazima kweli?
Huo ugonjwa unaambukizwa kirahisi, hivyo mtu moja akiingia kwenye jengo, mamaia ya watu wanaweza kuumwa. Na huko Mexico maelefu ya watu wanaumwa na mamia wamekufa! Wataalamu wanasema huo ni mwanzo maelfu na maelfu ya watu wataaugua na kufa.
Mungu atunusuru kwa kweli. Kwa sasa bado hatujasikia kesi ya mtu hapa Massachusetts, lakini watu wavayo safiri safiri kwa gari, ndege, treni, lazime ugonjwa utaingia punde tu.
****************************************************
ATLANTA – The number of confirmed swine flu cases in the United States has jumped to 64, federal officials said Tuesday, and states reported at least four more.
The U.S. Centers for Disease Control and Prevention said the new count includes "a number of hospitalizations." CDC officials had previously said just one person had been hospitalized.
The CDC said there were 17 new cases in New York City, four more in Texas and three additional cases in California. That brings the total numbers of cases confirmed by federal officials to 45 in New York City, 10 in California, six in Texas, two in Kansas and one in Ohio.
State health officials in California have confirmed three other cases, and Indiana authorities have confirmed one.
The increase is not surprising. For days, CDC officials have said they expected to see more confirmed cases — and more severe illnesses. Health officials across the country have stepped up efforts to look for cases, especially among people with flu-like illness who had traveled to Mexico.
CDC officials also warned that updates in the number of confirmed cases would at time be disjointed, as different states announce new information before the CDC's national count is updated.
Monday, April 27, 2009
Sinema Mpya ya Josiah Kibira
TWO AFRICAS IN AMERICA...One African...One American...
This is our upcoming documentary currently in production. We hope to have it completed by the end of this summer. SEE THE TRAILER HERE
More details about the documentary CLICK HERE
Kibira Films Official Website
Sunday, April 26, 2009
Maonyesho ya Bongoland II - Kansas City
Mwongoza sinema na mtunzi wa sinema, Bongoland II, Josiah Kibira, ameniletea hii barua aliyoandikiwa na watu wa Kansas City Film Festival.
*****************************************************************************
Bongoland II screening in KC a success
Josiah,
Thank you again for working with me, the Sister Cities Association of Kansas City (SCAKC) and The KC Film Jubilee to bring your film Bongoland II to our movie market. Our annual international film festival is being held from April 22nd – 26th. Bongoland II was shown Thursday night at 7:45 PM in our new AMC Main Street theater in downtown KC. It ran with English subtitles, and was well attended by a diverse audience which included Tanzanian immigrants. From 6:00 – 7:30 PM, we also hosted a reception for the Bongoland opening - attended by the mayor, members of our city council and other supporters in the beautiful Marquee Bar & Grill located in the theater.
On a personal note, I had a great experience watching Bongoland II! It was the first movie by an African filmmaker that I have seen. I loved the scenery, the drama and the complexity of modern day issues confronted by people living and working in Tanzania today. For those who can understand Swahili, I’m sure the movie experience would have been even better – not having to read English subtitles. I wish you great success as an up and coming filmmaker.
I hope we can work with you again in the future, and invite you to visit our lovely city one day. In June we are hosting a visit by the Tanzanian ambassador. FilmFest is a film extravaganza that includes a juried film show and is held here every year. For more information about FilmFest and the KC Filmmakers Jubilee got to www.kcfilmfest.org and www.kcjubilee.org.
All the best!
Eslun Tucker
*****************************************************************************
Bongoland II screening in KC a success
Josiah,
Thank you again for working with me, the Sister Cities Association of Kansas City (SCAKC) and The KC Film Jubilee to bring your film Bongoland II to our movie market. Our annual international film festival is being held from April 22nd – 26th. Bongoland II was shown Thursday night at 7:45 PM in our new AMC Main Street theater in downtown KC. It ran with English subtitles, and was well attended by a diverse audience which included Tanzanian immigrants. From 6:00 – 7:30 PM, we also hosted a reception for the Bongoland opening - attended by the mayor, members of our city council and other supporters in the beautiful Marquee Bar & Grill located in the theater.
On a personal note, I had a great experience watching Bongoland II! It was the first movie by an African filmmaker that I have seen. I loved the scenery, the drama and the complexity of modern day issues confronted by people living and working in Tanzania today. For those who can understand Swahili, I’m sure the movie experience would have been even better – not having to read English subtitles. I wish you great success as an up and coming filmmaker.
I hope we can work with you again in the future, and invite you to visit our lovely city one day. In June we are hosting a visit by the Tanzanian ambassador. FilmFest is a film extravaganza that includes a juried film show and is held here every year. For more information about FilmFest and the KC Filmmakers Jubilee got to www.kcfilmfest.org and www.kcjubilee.org.
All the best!
Eslun Tucker
Thursday, April 23, 2009
Bongoland II Itaonyeshwa Kansas City Leo

Wadau, sinema Bongoland II itaonyeshwa katika Kansas City Film Festival leo jioni (7:45pm),
Mnaweza kupata habari zaidi hapa:
http://www.kansascity.com/238/story/1155127.html
Mnaweza kupata habari zaidi hapa:
http://www.kansascity.com/238/story/1155127.html
Subscribe to:
Comments (Atom)





