Showing posts with label Caribbean Carnival. Show all posts
Showing posts with label Caribbean Carnival. Show all posts
Sunday, September 12, 2010
Kibonge Afurahisha!
Huyo mama alifurahisha watu na uchezaji wake, alikuwa mwepesi kweli ingawa kibonge. Alikuwa anaongoza gari katika msafara wa Festival leo hapa Cambridge, MA.
Labels:
Cambridge MA,
Caribbean Carnival,
kubwa,
Matako Makubwa,
Parade
Sunday, September 13, 2009
Caribbean Festival Kwetu Cambridge Leo! Part II
Mara parade ilivyoisha hawakuchelewa kuanza usafi!
Kulikuwa na polisi kibao kutulinda! Bila shaka mmesikia habari za fujo wanazofanya kwenye hiyo parade wakiwa Boston, hata watu wamepigwa risasi na kuchomwa visu, na hata kufa. Kwetu Cambridge, mambo shwari! Tatizo hao wanaume wanaolinda wanawake zao kwenye parade. Umtizime GF au mke wa mtu utakoma! Wanaume wao wako karibu! Lakini wengine wako karibu uchi utaweza kuacha kuwtazama kweli?
Hao walipita kwenye sidewalk, maana hawakuwa official. Walikuwa wananuka bangi, ile mziki wao ulinikumbusha muziki wa asili ya waKulya.


Nimeshika bendera ya Jamaica, ni nchi alikozaliwa mama yangu. Huyo baba sijui nitammwona wapi nimpe picha yake!
Huyo baba alikuwa amelewa. Alikuwa anasakata rhumba, alisema yeye ni mzuri wa ajabu (Most handsome Man) na wanamwita Denzel Washington au Billy Dee Williams. Jirani yangu anayetoka Jamaica kamwambia, "don't kid yourself!" Alisema anatoka Trinidad.
Labels:
Cambridge MA,
Caribbean Carnival,
River St.
Caribbean Festival Kwetu Cambridge Leo!
Wadau, leo hapa Cambridge, Massachusetts, tulivamiwa na watu wa Boston. Walikuwa hapa kwa ajili ya Caribbean Carnival ambayo infanyika kila mwaka. Mwaka huu walichelewa kuifanya, kawaida wanafanya August na ndo tunaaga summer (kipindi cha joto). Nimepiga picha kadhaa kwa ajili yenu.


Subscribe to:
Comments (Atom)






















