Showing posts with label Football Widows. Show all posts
Showing posts with label Football Widows. Show all posts

Wednesday, June 09, 2010

Waandishi wa Habari Waibiwa Afrika Kusini!!!

Duh! Hii kali. Waandishi wa habari walioenda kwenye mashindano ya World Cup, huko Afrika Kusini wameibiwa hotelini kwao! Kazi ipo. Picha waliokuwa wanajenga kuwa Afrika Kusini ni salama, hakuna wezi wala vibaka, watu wanapendana inadoa kubwa kweli sasa.

******************************************************************************

World Cup Journalists Robbed

By Richard Allen Greene, CNN

(CNN) -- Three journalists covering the World Cup in South Africa were robbed of money, passports, cameras and computers early Wednesday, police said.
Armed suspects entered three hotel rooms where the journalists were staying near the town of Magaliesburg, police Col. Charmaine Muller told CNN.
Two of the victims "slept through the whole thing", but a Portuguese photographer woke up as it was taking place at about 4 a.m. local time (10 p.m. Tuesday ET), she said.
A suspect pointed a gun at him and told him to keep quiet, she said.
Police were called after the suspects left and are still investigating, she added. No one has been caught yet.
Hundreds of thousands of sports fans and journalists are descending on South Africa for the World Cup soccer tournament, the biggest sporting event in the world this year. It begins Friday.

Sunday, February 03, 2008

Leo wanacheza Superbowl aka The Stupid Bowl!


Leo timu yetu maarufu ya Football, The New England Patriots watacheza katika SuperBowl. Wapinzani wao ni timu ya New York Giants. Wanacheza huko Glendale, Arizona.

Timu yetu haijashindwa katika mchezo hata moja msimu huu. Wakishinda Superbowl watukuwa wamevunja rekodi katika mchezo huu.

Mchezo wa football siipendi. Si ule mpira wa miguu wanaocheza Tanzania, Soccer, hii inafanana zaidi na rugby, kazi kuumizana! Wanaume wanakuwa vichaa kipindi hiki. Leo kuna Superbowl party nyingi tu.

Huwezi kupata tiketi kwenda kuona Superbowl laivu kwa chini ya dola $2,000! Na watu wako tayari kulipa hizo pesa kwa jinisi walivyo washabiki! Wako tayari kuingia katika madeni ili waende.

Katika msimu wa football kuna kuwa na 'football widows', yaani wajane wa Football. Kwa maana hiyo wanaume wao walivyo na ushabiki na mchezo hawajali wake zao.

Akina dada wanaotaka wachumba wanashauriwa wajifunze lugha ya football, Touchdown, field goal penalty. Halafu wajidai kuwa wanapenda huo mchezo. Hapo utampata mwanaume!

Haya tutaona nani atashinda hiyo SuperBowl. Wengi waniita The Stupid Bowl kwa jinis watu wanavuoingiliwa na kiwewe! LOH!

Kwa habari zaidi za SuperBowl soma:

http://www.nfl.com/superbowl