Monday, May 09, 2016
Tanzia - Maggid Muhidin (Mtoto wa Kaka Michuzi)
Friday, December 06, 2013
Tanzania Kuomboleza Kifo cha Nelson Mandela Kwa siku Tatu
"Afrika ya Kusini, Afrika na dunia kwa ujumla imepoteza mtu mashuhuri na shujaa mkubwa wa Karne ya 20 na 21.Tunaelewa machungu waliyonayo wananchi wa Afrika ya Kusini kwa kupoteza kiongozi shupavu, jasiri, mwana mapinduzi , mvumilivu na mstahimilivu". Ameongeza Rais Kikwete.
Rais amemuelezea Mzee Mandela kuwa ni kielelezo cha aina yake kwa wanadamu kwa moyo wake wa kusamehe, huruma na upendo uliomuwezesha kuwaunganisha wananchi wa Afrika ya Kusini kuwa taifa moja baada ya kipindi kirefu cha mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi.
"Mandela ni mfano bora kwa wanadamu wa jinsi binadamu muungwana anavyopaswa kuwa . Ni wajibu wa wana Afrika Kusini, Afrika na dunia kwa jumla kuiga mfano wake hasa moyo wake wa uzalendo, kujitolea hata maisha yake kwa ajili yake na wananchi wenzake" .Rais ameongeza kusema, "Tuzidi kumuombea kwa Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Marehemu Mzee Mandela mahali pema peponi".
Aidha, Mheshimiwa Rais ameagiza kuwa katika siku hizo 3 bendera zote zipepee nusu mlingoti.
Mwisho.
Saturday, June 08, 2013
Mzee Mh. Nelson Mandela Amelazwa Tena
*****************************************
![]() |
| Former South African President, Nelson Mandela |
Johannesburg (CNN) -- Former South African leader Nelson Mandela is in "serious but stable condition" at a Pretoria hospital with a recurring lung infection, the presidential spokesman said Saturday.
Saturday, June 01, 2013
Albert Mangwea atazikwa Jumatatu Morogoro
![]() |
| The Late Albert Mangwea |
By FATUMA ABDU, Tanzania Daily News
Tanzania Music Federation (TMF) in collaboration with a committee coordinating the burial of the late Albert Mangwea, has asked Tanzanian to contribute funds in order to transport the body of the artist from South Africa.
AUTOPSY REPORT
*********************************************
Thursday, March 07, 2013
Mhariri Absalom Kibanda Ajeruhiwa Vibaya
| Mhariri Absalom Kibanda |
Kwa ufupi
“Nilifika nyumbani kwangu kama saa sita usiku nikitokea kazini na nilipofika kwenye lango la kuingia ndani nilipiga honi ili mlinzi anifungulie. Lakini ghafla nilivamiwa na kundi la watu
Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Absalom Kibanda ametekwa na watu wasiofahamika na kisha kumjeruhi vibaya kwa nondo, mapanga na kisha kumng’oa meno, kucha na kumharibu jicho la kushoto.
Tukio hilo la kinyama linafanana kwa kiasi fulani na lile la alilofanyiwa Mwenyekiti wa Chama cha Madaktari Tanzania, Stephen Ulimboka.
Tukio hilo la kusikitisha lilitokea juzi usiku wakati Kibanda akirejea nyumbani kwake Goba Punguni, Kata ya Mbezi Juu, kutoka kazini.
Tayari mwandishi huyo mkongwe wa habari, amesafirishwa jana kwenda Afrika Kusini kwa matibabu zaidi. Aliondoka jana akisindikizwa na daktari kutoka Taasisi ya Mifupa Muhimu (Moi).
Mkasa Wenyewe
Akizungumza kwa tabu alipokuwa katika chumba cha wagonjwa wanaohitaji uangalizi maalumu (ICU), hospitalini Moi, Kibanda ambaye pia ni Mhariri Mtendaji wa New Habari (2006), alisema:
“Nilifika nyumbani kwangu kama saa sita usiku nikitokea kazini na nilipofika kwenye lango la kuingia ndani nilipiga honi ili mlinzi anifungulie. Lakini ghafla nilivamiwa na kundi la watu ambao walivunja kioo cha gari langu upande niliokuwa nimekaa. Nilitokea kupitia mlango wa abiria lakini sikuweza kuwakimbia watu wale kwani walinikamata na kuanza kunishambulia kwa vitu vizito.”
“Baada ya kutoka kwenye gari, nahisi nilikanyaga sehemu mbaya, nikateleza na kuanguka wakanifuata...niliona kama watu watatu hivi wakaanza kunishambulia. Sikuwa nafahamu kilichojiri, lakini nilisikia mwingine akimwambia mwenzake afande ‘mshuti... mshuti’ huyo alipoelekeza mtutu na kujaribu ‘kushuti’ (kupiga risasi) ilikuwa kama vile imegoma.
“Nikiwa bado niko chini, wakanipiga kwa kitu cha ncha kali kwenye jicho la kushoto, wakaning’oa meno na kucha katika vidole vya mkono wa kulia, walinipiga sana na nilipata maumivu makali. Baada ya kunipiga na kunijeruhi waliniburuza hadi bembeni ya nyumba yangu na kunitupa na wakaondoka, baadaye majirani na wasamaria wema walikuja kuniokoa.
Mashuhuda Baada ya Tukio
Akizungumza jana, mzazi mwenzake, Angella Semaya alisema wakati Kibanda alipovamiwa hakusikia lolote: “Niliamshwa na kelele za majirani ndipo nami nikaenda eneo la tukio. Sikuamini kama alikuwa Kibanda kwani alikuwa ametapakaa damu huku akigugumia maumivu makali... kwanza sikumjua kama ni yeye kwa jinsi alivyokuwa.”
“Nina wasiwasi na hawa watu kuwa wametumwa kwa kuwa hawakuchukua chochote zaidi ya kumdhuru mwili,” alisema. Angella aliondoka jana na Kibanda pamoja na Mwandishi wa Habari, Eric Kabendera ili kumsindikiza Afrika Kusini atakapokuwa anapata matibabu.
Ofisa Mtendaji Mkuu wa Kampuni ya New Habari (2006), Hussein Bashe alisema: “Tulikuwa na Kibanda hadi usiku kama 5:30 hivi, tukifuatilia matokeo ya Uchaguzi Mkuu wa Kenya na tulipoona hakuna kinachoendelea zaidi, tukaagana kurudi makwetu.”
“Kwa kweli taarifa za kuvamiwa na kushambuliwa kwake zimetushtua, kwani ameumizwa sana hasa jicho. Daktari alishauri jicho liondolewe lakini nilikataa, jopo la madaktari bingwa wa macho wamemtazama na kuthibitisha kweli limeumia sana, tumewasiliana na mwajiri wetu ameamua kumpeleka Afrika Kusini kwa matibabu zaidi.
“Nawashukuru madaktari kwa jinsi walivyompokea na kumshughulikia katika kiwango kinachotia moyo. Pia waandishi kwa umoja waliouonyesha kwa kujitokeza haraka na kumjulia hali.”
Tasnia ya Habari
Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), limeelezea kushtushwa na tukio la kutekwa, kupigwa na kujeruhiwa kwa mwenyekiti wake.
Taarifa ya TEF iliyotolewa jana na Katibu wake, Neville Meena, imesema shambulio hilo ni uthibitisho kwamba mazingira ya kikazi ya waandishi wa habari Tanzania siyo salama tena... “Tunapaswa kuchukua hatua za kutathmini upya mazingira ya kazi zetu, ili kuhakikisha kwamba walau tunakuwa salama.”
Alisema mwendelezo wa vitendo vya kuwashambulia waandishi wa habari ambavyo katika siku za karibuni vimeibuka, vinalifanya jukwaa liamini kwamba wanahabari sasa wanatishwa ili wasiweze kutekeleza majukumu yao ipasavyo.
“Utesaji huu aliofanyiwa Kibanda unafanana na ule aliofanyiwa Dk Ulimboka. (Rejea vitendo vya kupigwa kichwani, kung’olewa kucha na meno).
Aidha, Meena alisema: “Tunaamini kwamba yaliyomkuta Kibanda hayawezi kutenganishwa na msimamo wake kikazi au kama mtu binafsi. Tunasema hivyo tukizingatia kwamba wahusika hawakuchukua chochote liwe, gari au vitu vilivyokuwamo ndani ya gari hilo vikiwamo laptop, ipad, simu za mkononi na vinginevyo.”
"Tunaamini vyombo vya dola, vitachunguza na kuwatia mbaroni kisha kuwachukulia hatua za kisheria wahusika wa tukio hili na mengine kadhaa ambayo sasa yamegeuka kuwa sehemu ya utamaduni katika nchi yetu.”
Awali, Mjumbe wa Bodi ya TEF, Theophil Makunga alisema wakati huu wanahabari na wanafamilia wakisubiri uchunguzi juu ya tukio hilo, kitendo hicho hakina budi kulaaniwa.
“Hatuwezi kusema nini chanzo cha tukio hilo kwa sasa, lakini tunaamini limetokana na kazi yake. Tunalaani vikali kwani tunaweza kusema kazi yetu sasa si salama tena,” alisema Makunga.
Mhariri Mtendaji wa Nipashe, Jesse Kwayu alisema tukio hilo halina uhusiano na ujambazi kutokana na mazingira ya jinsi lilivyotokea na kutaka hatua za haraka za kisheria zichukuliwe dhidi ya wahusika.
Mhariri wa Habari wa Tanzania Daima, Edson Kamukara alisema: “Matukio ya kutekwa na kushambuliwa kwa waandishi wa habari yamekuwa yakishika kasi... ni jambo la kusikitisha na hatuwezi kukaa kimya kwa hili.”
Baada ya Tukio
Katika taarifa yake jana, Dk Nchimbi alisema Inspekta Jenerali wa Polisi (IGP), Said Mwema ameteua timu ya maofisa wa polisi wanne kutoka Makao Makuu ya Upelelezi kuungana na wapelelezi kutoka Kanda Maalumu ya Polisi Mkoa wa Kinondoni ili kuhakikisha waliohusika wanakamatwa.
Baadaye jana Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova alisema ofisi yake imeunda jopo la maofisa wa polisi tisa ambao wameshaanza kazi ya upelelezi wa tukio hilo.
Kova alisema kitendo alichofanyiwa Kibanda si cha kihalifu, bali kukomoana na visasi kwa kuwa upelelezi wa awali umeonyesha kuwa waliomvamia hawakuchukua chochote.
Akizungumzia tukio hilo, Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo), Assah Mwambene alisema Wizara ya Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo kupitia idara yake imepokea kwa mshtuko tukio la kupigwa na kutendewa ukatili.
Alisema kitendo kilichofanywa kwa mhariri huyo ni ukatili uliopitiliza na kwamba wanaliachia Jeshi la Polisi lifanye kazi yake.
Wamjulia Hali
Kabla ya Kibanda kupelekwa Afrika Kusini, viongozi mbalimbali wakiongozwa na Makamu wa Rais, Dk Gharib Bilal walifika kumjulia hali. Wengine ni Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dk Hussein Mwinyi, Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe, Mkurugenzi wa Idara ya Habari (Maelezo), Assah Mwambene na Yussuf Omar Chunda na Mwenyekiti wa Wamiliki wa Vyombo vya Habari Tanzania (MOAT), Dk Reginald Mengi.
Mengi na Mbowe Akizungumza tukio hilo, Dk Mengi mbali ya kulaani, aliwataka waandishi wa habari kuandika ukweli na kuhakikisha haki inapatikana kwa kuwa jambo hilo ni zito.
Alisema kuna haja ya polisi kufanya uchunguzi wa kina ili ukweli halisi upatikane na wahusika wafikishwe katika vyombo vya sheria.
Mbowe alisema: “Tuungane katika kutetea uhuru wa vyombo vya habari. Uvamizi wa Kibanda ni doa kubwa katika tasnia ya habari bila kujali yuko chombo gani na yeye ndiye mkuu wa Jukwaa la Wahariri, ni wazi atakuwa amezungukwa na maadui wengi.”
Imeandikwa na Joyce Mmasi, Aidan Mhando, Bakari Kiango, Salhim Shao, Beatrice Moses na Aziza .
Saturday, January 14, 2012
Mahafali ya Kwanza Oprah Winfrey Leadership Academy South Africa
![]() |
| Oprah na Wanafunzi Wake |
Oprah Winfrey Leadership Academy for Girls celebrates first graduates
Winfrey spoke Friday on the eve of the first graduation at her school. Of the 75 students who started at the Oprah Winfrey Leadership Academy for Girls in 2007, 72 will graduate on Saturday.
All are headed to universities in South Africa and the United States to pursue such studies as medicine, law, engineering, and economics.
Across South Africa, more than half a million members of the class of 2011 disappeared before the 496,000 remaining took their final exams. Only a quarter of those who graduated did well enough to qualify for university study.
“We’re taking a victory lap here, for transformation,” Winfrey said. “Every single girl is going to leave here with something greater to offer the world than her body.”
South Africa is struggling to overcome the inequalities of apartheid, which ended in 1994. The country has too few schools at all levels, and many lack such basics as libraries and are staffed by undereducated teachers.
Earlier this week, a stampede at a Johannesburg university campus killed a mother who had accompanied her son to an in-person application day. Thousands were vying for a few hundred spots at the university.
Winfrey, who spent $40 million on her campus, said her focus was “just to change one girl, affect one person’s life.” But she acknowledged hers “is not a sustainable model for most people in most countries.”
Another new class starts at Winfrey’s school next week. But to help more young Africans, Winfrey said she would be working with established philanthropies to identify schools around the developing world that can be strengthened with money.
She hopes to adapt some of the practices of her school, including creating strong support networks for students.
“It takes a lot of support, it takes a whole team,” she said, saying teachers and communities would have to be active participants.
Her focus on girls was not among the strategies she would change. Winfrey said studies have shown helping girls helps entire communities, in part because girls and women give back so much.
“I know what it’s like to be a poor girl with your heart’s desire to do well in the world,” she added. “I chose to use my philanthropy to do what I know.”
Winfrey said she also might work more quietly in the future, to spare those she helps the kind of scrutiny celebrity draws.
The achievements at Winfrey’s school came despite turmoil in its first years.
A woman working as a dormitory matron at the school was accused of abusing teenagers soon after it was opened. She was acquitted in 2010. Winfrey, who has spoken of being abused as a child and called the allegations against the matron crushing, and has said the trial’s outcome was “profoundly” disappointing.
Winfrey settled a defamation lawsuit filed in Philadelphia by the school’s former headmistress, Nomvuyo Mzamane, who claimed Winfrey defamed her in remarks made in the wake of the scandal.
Last year, a baby born to a student at the school was found dead. The events would have been newsworthy had they involved any school, but drew particularly frenzied attention because of the Winfrey connection.
As a celebrity, Winfrey said: “All of your mistakes are amplified and show up on the evening news.”
Winfrey said there were times when she wondered if her project would fail, but she could not give up, both for herself and for Nelson Mandela, who she says inspired her to build the school.
South Africa’s education problems result from decades of blacks being denied resources and dignity under apartheid. Since the dawn of multiracial democracy in 1994, progress in righting the educational and other wrongs of the past has been slow and fitful.
Graeme Bloch, an education specialist at Johannesburg’s University of the Witwatersrand, said he is among those who worry elite schools like Winfrey’s can produce elitists. But he praised Winfrey for trying to ensure her students understood they needed to give back to their communities.
The Winfrey students, who call their school’s founder Mam Oprah, lectured in their communities about AIDS, created and ran breast-cancer awareness campaigns, even picked up trash in the streets of Henley-on-Klip, where the school is located.
Winfrey’s was among just 544 out of some 6,500 South African schools whose entire graduating class passed national final year exams last year. Many of the schools with a 100 percent pass rate were either private like Winfrey’s, or among the best public schools that had been reserved for whites under apartheid and received the bulk of public school funding.
Black students attend South Africa’s elite schools — on scholarship or because their families are among an emerging black middle and upper class. But Winfrey’s is among the few top schools that can say all the students it shepherded through the exams were from poor families, most of them black.
Laurence Corner directs the Student Sponsorship Programme, which for the past decade has raised funds from corporations and individuals to place promising students from South Africa’s poorest communities in its best schools.
Corner said that while his own program and schools like Winfrey’s can enroll relatively few students, they have wide impact.
Entire communities start to see their young people have potential, and people are inspired to become philanthropists, he said.
“It’s very important for disadvantaged communities to have role models from their own communities,” he said
Friday, January 13, 2012
Viongozi WaAfrika Washinda Njaa Afrika Kusini!
Ilikuwa kasheshe kweli kweli! Ungedhani waafrika kusini wangejitahidi zaidi hasa kwa vile wanatamba kuwa wao wanatabia za kizungu kuliko waafrika wengine. Utawasikia, Oh, ukienda Jo'berg ni sawa na kwenda California!
Ila hii ni publicity safi sana kwa Nando's! Kuku wa Nando's OYEEE!
******************************************
Hungry African leaders 'had to buy own food' at ANC centenary celebrations
African leaders reportedly sent staff to Nando’s after discovering a shortage of food and bedding at their luxury accommodation.
They are often accused of living like kings while their impoverished peoples suffer. Not this time, it would seem.
African leaders who attended last weekend's centenary celebrations of the African National Congress (ANC) had to embark on some hasty shopping when they found no food or bedding at their accommodation, according to a newspaper report.
Such was the indignity that the president of Uganda, Yoweri Museveni, was apparently forced to dispatch security guards to fetch him some grilled chicken from Nando's.
The heads of state, including some of the continent's most feared autocrats, were "angry and disappointed" by the gaffe, an article in Volksblad said. But the South African government disputes the report and says it has received no complaints. It did acknowledge, however, that Museveni may have decided to order food in addition to that provided.
There was no shortage of logistical hiccups during the events in Bloemfontein marking 100 years of Africa's oldest liberation movement. More than 40 heads of state were put up at the Woodland Hills Wildlife Estate on the edge of the city – which might have proved less luxurious than it first appeared.
"The leaders allegedly had to buy their own bedding, food, pots, pans, glasses and bottled water because the ANC had ordered the owners of the houses it rented at Woodland Hills Wildlife Estate to remove all their possessions," Volksblad claimed. "There was apparently only liquor provided."
At least 15 women hired as housekeepers, waitresses and cleaners at the estate came forward to reveal how foreign dignitaries were treated, the paper said. Mampho Mmelaedi, who was working at the house used by Museveni, was quoted as saying: "Ugandan officials had to leave Woodlands to go and buy duvets, food and other necessities for the president as there was a bed without linen."
Motladi Metsing added: "Namibian officials went to buy food, pots, plates and glasses to cook for the president. I could see he was angry and disappointed."
Kenalemang Pula claimed the Nigerian delegation arrived on Sunday morning and had packed their bags by lunchtime. And President Thomas Boni of Benin allegedly "stormed out" of Woodlands Hills immediately.
Paul Kagame from Rwanda, Teodoro Obiang from Equatorial Guinea, Bingu wa Mutharika from Malawi and Namibia's Hifikepunye Pohamba were also denied the hospitality to which they have become accustomed, Volksblad added.
"They kept asking us if we worked for the ANC or for the South African government," one of the women told the paper. "Understandably, they kept shouting at us. We were embarrassed to be there."
Around 55 houses owned by private individuals had been rented out for an estimated 50,000 rand (£3,997) a day.
Valentine Rantsoareng, joint owner of the Rantsoareng hotel group, which was contracted to equip the houses, denied there had been a failure. "I think people who make these allegations are somewhat dissatisfied because they haven't been paid yet, but I have only now received the receipt for it," he told Volksblad. He added that some of the heads of state had deviated from the menu and "asked for chicken".
A spokesman for Nando's said: "The Nando's restaurant in question was very busy throughout the weekend. Although a number of VIPs, dignitaries and security personnel purchased meals from the franchise during this time, neither the franchisee nor Nando's South Africa can confirm that they were linked to the Ugandan president."
The South African government denied it had committed a diplomatic blunder. Clayson Monyela, South Africa's spokesman for international relations, said: "We don't know what these people are referring to. The African heads of state in Bloemfontein were looked after in terms of the standard protocol courtesies extended to heads of state.
"We have not received any official complaint from any of them. Some of them stayed over until Monday and had bilateral meetings with President [Jacob] Zuma. This is just a malicious thing and we don't know where it came from."
He added: "They may have requested one or two things that were not provided in the standard hospitality. It's not unexpected. If President Zuma wants something that isn't provided he sends his staff out to get it. That's standard."
The ANC's centenary celebrations were marred by technical hitches: accreditation was chaotic for many; a golf tournament teed off late after a mix-up over the deputy president's diary.
African heads of state missed Zuma lighting the "centenary flame" in the church where the ANC was founded because they arrived well after midnight. The president had to request a recap from the chaplain on their behalf before all returned to a gala dinner that overran until 3am.
Thousands of ANC supporters who travelled to a birthday rally were angry when they were locked out of the stadium, which emptied long before the event was over.
http://www.guardian.co.uk/world/2012/jan/11/african-leaders-nandos-anc-centenary
Thursday, September 15, 2011
SA Divers Unable to Reach Sunken MV Spice Islander
*******************************************************************************
![]() |
South African divers spotted on Tumbatu Island yesterday preparing to begin searching for bodies of Zanzibar marine tragedy victims still unaccounted for. (Photo: Khalfan Said) |
SA divers fail to reach sunk MV Spice Islander
By The guardian reporter
15th September 2011
South African divers spotted on Tumbatu Island yesterday preparing to begin searching for bodies of Zanzibar marine tragedy victims still unaccounted for. (Photo: Khalfan Said)Efforts to reach the sunken MV Spice Islander lying 360 metres deep in the water at Nungwi proved futile yesterday after divers discovered that the equipment they had could only go down 54metres.
The information dashed any hopes of the divers from South Africa reaching the boat to see if there were any more bodies trapped inside.
The Head of the Operation Colonel Joachim Zakaria said the divers informed them of the technical hitch, adding: “We have been informed by the head of divers from South Africa that he had communicated with his colleague on the possibility of bringing in a submarine and a special vessel for scanning the area of the accident but the process will be pending until June next year,” he said.
The scanning vessel has the capability to locate the area where the boat has sunk, making it easier to reach it by a submarine.
He was speaking to The Guardian yesterday aboard the Tanzania People’s Defense Forces Kasa boat which has docked between Tumbatu and Mwana Mwana Islands, to coordinate the diving operation which started on Tuesday, involving a group 22 divers from South Africa, TPDF and KMKM.
He said what they were doing currently was to go through the coastal areas of Tanga to Mombassa to establish if there were any more bodies and property which have been left out.
“Where the boat capsized is the route for marine vessels, thus it is the responsibility of the divers to clear it to avoid other accidents,” Colonel Zakaria said.
“What our colleagues are doing now in collaboration with Tanzanian divers is not to reach the sunken boat, but to ensure that the area is cleared,” said the Operations Assistant Colonel Joel Makunde.
A Commander of the South Africa Divers brigade Wyne Combrick said TPDF has asked them to remain for two weeks, to clear the area.
“The exercise is going on well although we have not managed to reach the capsized boat. We are proceeding with the work of ensuring the area surrounding the scene is cleared.
The MV Spice Islander capsized and sunk on Saturday on its way to Pemba from Dar es Salaam via Zanzibar.
According to the government report 202 people have so far been confirmed dead, while over 600 survived. Hundreds of people are still looking for missing relatives who were on the boat.
The death toll has risen slightly from 197 to 202 after five bodies were found along the shores of Mombasa in Kenya on Tuesday.
Sunday, July 31, 2011
Serikali Iombe Wananchi Msamaha - Mgao wa Umeme
*******************************************************************
Imeripotiwa kuwa Waziri wa Afrika Mashariki, Samuel Sitta, ameitaka serikali iwaombe radhi wananchi kwa mgao wa umeme unaoendelea. Kauli hiyo ya Sitta imewafanya maadui wake ndani ya serikali, CCM na baadhi ya vyombo vya habari vinavyotumiwa kuibuka na kumuita waziri huyo kuwa ni msaliti na lazima afukuzwe kazi.Lazima tukubali kuwa tuna tatizo kubwa sana la uwajibikaji katika nchi hii. Ni wajibu wa serikali kuhakikisha kuwa Watanzania wanapata umeme kwa ajili ya kuhakikisha ukuaji wa uchumi, upatikanaji wa huduma za jamii na maisha ya kila siku ya wananchi.
Leo hii, wastani wa asilimia 15 tu ya Watanzania milioni 44 wanapata umeme. Na serikali imeshindwa kuhakikisha kuwa asilimia hiyo ndogo ya wanaopata umeme wanapata huduma ya uhakika. Hapa ndipo dhana ya uwajibikaji inapokuja.
Kitendo cha serikali yenyewe kulazimika kuitoa bajeti ya wizara ya nishati na madini Bungeni ili
wakajipange upya ni ishara nyingine kuwa serikali haiko makini kwenye kutatua mgao wa umeme. Ni baada tu ya kuona kuwa Wabunge wamekuja juu na huenda hawatapitisha bajeti hiyo ndiyo serikali ikashituka usingizini na kusema wanahitaji muda wa kujipanga zaidi.
Wakati serikali imeongeza bajeti ya miundombinu kwa asilimia 85 na kufikia shilingi trilioni 2.78 ($1.73 billion), ilitenga shilingi bilioni 402.4 ($250m) tu kwa wizara ya nishati na madini katika kipindi hiki ambacho taifa liko kwenye janga kubwa la umeme. Ni kweli tunahitaji barabara, bandari, reli na airport, lakini ni lazima tuweke vipaumbele sawa. Kama pesa hazitoshi kufanya vyote kwa wakati mmoja, serikali makini ingetatua tatizo la umeme kwanza ndipo ijenge barabara.
Narudia tena, tatizo la umeme nchini si ukame. Ni matokeo ya serikali kutotoa kipaumbele kwa suala hili tangu ilipoingia madarakani. Ndiyo maana serikali imekiri yenyewe kuwa katika kipindi chake cha kwanza cha miaka mitano, imeongeza megawati 145 tu kwenye gridi ya taifa. Lazima kuwe na hatua za dharura, muda mfupi na muda mrefu (immediate, medium-term na long-term) za kukabiliana na tatizo hili. Serikali inabidi isimamishe safari za nje, posho, semina, manunuzi ya Landruiser VX, na matumizi mengine ya anasa ili pesa zote ziende kwenye umeme. Na ikibidi hata ikope pesa nje ili kuwekeza kwenye umeme. Kwenye global financial crisis, serikali ilitoa 1.7 trillion shillings (over $1 billion) na kugawa pesa hizi kwa kampuni zenye utata. Leo hii serikali inasemaje haina pesa za kuzalisha umeme na kutoa $250m tu? Athari za mgao wa umeme ni kubwa mara dufu kuliko zile za global financial crisis.
Serikali inabidi ifanye budget re-allocation kubwa na kutoa pesa kwenye wizara na mufungu mengine na kuzipeleka kwenye umeme.
Huko Afrika Kusini mwaka 2008 wakati nchi hiyo ilipokutwa na tatizo la umeme, aliyekuwa Rais wa wakati huo, Thabo Mbeki, alikuwa na uungwana wa kwenda mbele ya Bunge la nchi hiyo na kuwaomba radhi wananchi kwa mgao wa umeme. Sijaona mkuu wa nchi yetu akichukua hatua kama hii.
Thabo Mbeki alisema kuwa Eskom (TANESCO ya Afrika Kusini) ilikuwa inaomba pesa serikalini kila siku iwekeze kwenye umeme serikali ikakataa na kuwambia wasubiri mpaka baadae. Mbeki akakiri kuwa Eskom ilikuwa sahihi na serikali ilikosea. Na akaomba radhi. Wataalamu wa TANESCO waliikataa Richmond, vigogo serikalini wakalazimisha wapewe mkataba na matokeo yake tumeyaona. Hakuna aliyeomba radhi, na mhusika kuu akabaki kusema hajutii maamuzi yake na kujisifu kuwa yeye ni hodari wa kufanya maamuzi magumu. TANESCO kila siku imekuwa ikiomba pesa za miradi mikubwa ya umeme lakini serikali imekuwa ikiwaambia waendelee kusubiri tu. Hakuna aliyekiri kosa, kuomba radhi wala
kuwajibika.
Angalia:
http://www.news24.com/SouthAfrica/Politics/Mbeki-apologises-for-power-cuts-20080208-2
http://www.iol.co.za/news/politics/mbeki-apologises-for-sa-power-cuts-1.382421
http://www.southafrica.info/about/government/stateofnation2008-electricity.htm
Idara ya hali ya hewa iko pale kufanya utabiri wa hali ya hewa. Hivyo basi, tangu mwaka 2005 walitabiri kuwa 2010/11 kutakuwa na upungufu wa mvua. Hata hii leo wanaweza kutoa utabiri wa hali ya hewa ya mwaka 2015/16 itakuwaje. Serikali ilikuwa na taarifa tangu miaka mitano au hata kumi iliyopita kuwa mwaka huu kutakuwa na mvua chache na hii itaathiri uzalishaji wa umeme, upatikanaji wa chakula, mfumuko wa bei, nk. Serikali iache kusingizia ukame. Iombe radhi kwa taifa kuwa mgao huu wa umeme unatokana na serikali yenyewe kutotoa kipaumbele kwa tatizo hili na kutojipanga kukabiliana nalo. Na iseme ukweli chanzo cha mgao ni nini, umeleta athari gani kwa taifa, serikali inafanya nini na tatizo hili litaisha lini. Serikali sikivu ingewaomba radhi wananchi wake. Na wananchi makini na wazalendo wangedai uwajibikaji kutoka serikalini, si visingizio vya ukame!
Mdau
Saturday, July 17, 2010
Zilipendwa - Dont' Go Lose It Baby
Nilikuwa napenda sana huo wimbo wa Hugh Masekela na kideo chake. Hasa wale wakina dada na nywele zao natural. Wanapendeza! Sikiliza rap ya Hugh.
Friday, June 11, 2010
Mtukuu wa Nelson Mandela Afariki Katika Ajali ya Gari
(Pichani Mzee Nelson Mandela na Mtukuu wake Zanani mwaka 2008)Habari za kusikitisha kutoka Afrika Kusini. Mtukuu wa Nelson na Winnie Mandela, Zenani mwenye miaka 13 amefariki katika jali ya gari. Habari kutoka huko zinasema kuwa walikuwa wanarudi kutoka kwenye sherehe za ufunguzi wa mashindano ya World Cup. Dereva wa gari alikuwa amelewa!
Pole sana familia ya Mandela. Mungu ailaze roho ya Zenani mahala pema mbinguni. AMEN.
*********************************************************************
Kutoka New York Times:
JOHANNESBURG — Heartbreak intruded on the opening day of the soccer World Cup when Nelson Mandela’s 13-year-old great-granddaughter Zenani was killed in an auto accident here early on Friday. In response, Mr. Mandela canceled a much-heralded appearance at a tournament depicted as a triumphant showcase for his country and his continent.
Zenani Mandela was returning home from the event’s Thursday night kickoff concert in Soweto, an extravaganza with stars like Alicia Keys and Shakira that was meant to launch the contest on a joyous note. At its conclusion, the sky lit up with fireworks as happy attendees made way to their parked vehicles.
According to police, Zenani died in a one-car accident on a Johannesburg highway. The man behind the wheel, who has yet to be named, was accused of drunk driving and may also be charged with culpable homicide, the police said.
MNAWEZA KUSOMA HABARI ZAIDI KWA KUBOFYA HAPA:
Wednesday, June 09, 2010
Waandishi wa Habari Waibiwa Afrika Kusini!!!
******************************************************************************
World Cup Journalists Robbed
By Richard Allen Greene, CNN
(CNN) -- Three journalists covering the World Cup in South Africa were robbed of money, passports, cameras and computers early Wednesday, police said.
Armed suspects entered three hotel rooms where the journalists were staying near the town of Magaliesburg, police Col. Charmaine Muller told CNN.
Two of the victims "slept through the whole thing", but a Portuguese photographer woke up as it was taking place at about 4 a.m. local time (10 p.m. Tuesday ET), she said.
A suspect pointed a gun at him and told him to keep quiet, she said.
Police were called after the suspects left and are still investigating, she added. No one has been caught yet.
Hundreds of thousands of sports fans and journalists are descending on South Africa for the World Cup soccer tournament, the biggest sporting event in the world this year. It begins Friday.
Wednesday, April 22, 2009
UAfrika Wakumba Afrika Kusini!
Kwa maana yao, kama nchi ina barabara mbovu, rushwa, ujambazi na wezi, ufisadi, chama kimoja kushika hatamu, basi hiyo nchi imezidi uafrika! Maana yao hasa ni kuwa waafrika wameharibu nchi hiyo iliyotawaliwa na makaburu.
Nimesikia watu wakisema ukienda Afrika Kusini ni kama unaenda California. Sijawahi kufika huko lakini nasikia pazuri. Na zamani Zimbabwe palikuwa pazuri kweli.
*************************************************************
Is South Africa about to become more 'African'?
April 22, 2009. South … By Scott Baldauf
Johannesburg – Rising crime, crumbling roads, pernicious corruption, and landslide victories for the ruling party in charge: these are the signs that South Africa – so "First World" at first appearance – is now on the decline.
But the one complaint that seems to top them all here these days is that the country is becoming more "African."
That particular gripe usually comes from well-to-do South Africans – white and black – who are worried about the trajectory of the country once populist leader Jacob Zuma takes power after he wins Wednesday's presidential election, which he is all but certain to do.
It's a statement that conjures the frenzied dysfunction of Nigeria, the brutal despotism of Zimbabwe, the power-madness of Kenyan politicians, and the genocidal civil wars that strike Rwanda and Sudan's Darfur.
Indeed, with Mr. Zuma – a man with a grade-school education, a polygamist, who has definitely tilted his party away from the monied suburbs and toward the black African masses – many South Africans are finally coming to grips with what it means to live on the African continent.
Yet a closer look at the values that South African blacks practice at home, and the expectations they have of their leaders, suggests that some of this pessimism – exemplified by Hollywood star Leonardo DiCaprio's sour explanation, "This is Africa," in the movie "Blood Diamond" – is a bit overdone. A truly majority-run South Africa may not operate the way a foreigner or European immigrant would expect, but it is also a culture with its own well-defined approach to culture and justice.
The 'ubuntu' spirit
A central concept in southern African cultures is the notion of ubuntu, which literally means "being a human being."
"If you look at ubuntu, that is the way in which people look after those who are vulnerable and weak," says Dumiso Matshazi, a political analyst in Tshwane, as Pretoria is now called. Ubuntu is a collective compassion that holds people together, that won't allow someone to starve or to remain homeless; it is the glue that can hold society together, he adds.
Ubuntu, seen in the many families who take in AIDS orphans, and in voluntary township soup kitchens, has been weakened significantly in recent years, anthropologist Pearl Sithole says, as blacks move from tightly knit rural areas to the cities in search for jobs, and as politically connected Africans use their personal connections to achieve personal wealth.
"The idea of ubuntu survives, but it has been contravened by the current economic consensus," says Ms. Sithole, a researcher at the Human Sciences Research Council in Durban. "But most communities in South Africa are bound by ubuntu, the notion that if your brother dies, you are obliged to engulf his family as your own."
Ubuntu is what South African black voters expect to hear from their leaders at election time – a reassurance that common sense and decency will prevail. Those black politicians who talk in abstract terms of economic growth may reassure white South Africans and educated members of the black middle class, but they leave many African voters cold, Sithole says.
Jacob Zuma's common touch
"People look from a point of view of what a leader can do for them," she says, and while "educated South Africans might appreciate what [former President Thabo Mbeki] has done, you hear people talk of his coldness and his abstract achievements." By comparison, "people like Zuma because he tends to spend time locally. He observes local traditions. He listens. He is sympathetic, and he can say, 'I have gone through the same thing.' "
Many white South Africans see in Zuma the stereotype of the African Big Man politician – a man who uses political power to build up himself and his cronies. But many Zuma supporters say he will be the exact opposite.
Rather than looting the national treasuries and natural resources, in the mode of Zaire's Mobutu Sese Seko, Uganda's Idi Amin, or Nigeria's Sani Abacha, they say, he will be more keen to ensure that national services like education, hospitals, clean drinking water, and electricity are shared more equitably, especially among the poor.
"The Ndebele people have a saying 'Indla muva yi nkosi,' which means 'the king eats last,' " says Matshazi, referring to an ethnic group living in South Africa and Zimbabwe.
Africans expect their kings to share the largesse in a trickle-down fashion, holding massive feasts for the elders of the tribe and making decisions only after the elders have formed a consensus, he says. "An African leader who feeds himself first, like [Zimbabwe President Robert Mugabe], would be seen as a useless leader, because he doesn't share."
Saturday, April 11, 2009
Oprah Atetea Shule Yake Afrika Kusini
Kumbe kuna madai kuwa hiyo shule inawatenga wasichana wanaosoma pale na jamii yao. Hiyo suala niliongelea kutoka mwanzo shule ilipofunguliwa. Nilisema kuwa hao wasichana wanaishi maisha ya kifahari mno halafu wanarudi kwenye maisha ya dhiki huko kwao wakati wa likizo. Wakimaliza shule watashindwa maisha ya huko South Africa na itabidi wapelekwe kukaa nje ya nchi. Tatizo lingine Oprah aliwachagua hao wanafunzi mwenyewe (handpicked). Ingekuwa vizuri angepata 'input' kutoka kwenye jamii pia. Tutaona.
Namsifu Oprah kwa kuanzisha hiyo shule, lakini pia bado nasema kuwa hiyo hela ingetosha kujenga hata shule kumi nzuri na kuweza kuelimisha maelefu ya wasichana.
******************************************************************
Oprah defends record of South African school
JOHANNESBURG (AP) - Oprah Winfrey acknowledged in a newspaper interview published Saturday that she has made several mistakes at her elite South African school, but said she remains proud of its success.
The recent expulsion of four girls and suspension of three others was the second scandal to hit the Leadership Academy for Girls, which opened in 2007 to groom bright children from deprived backgrounds for a brilliant career. A dorm matron is currently on trial accused of abuse and sexual assault.
"I have made several mistakes and one of them was being overprotective of the girls, which has led to an impression that the school is isolating them from society," Winfrey was quoted as saying in the Weekend Argus.
She said she had also underestimated the extent of homesickness among girls at the boarding school.
Last month, four students were expelled and three others suspended. South African media at the time said they were accused of trying to force students into relationships and to engage in sexual contact.
Winfrey herself hasn't given details of the misconduct. But she said in the newspaper interview that it was "insulting" that the family of one of the expelled girls had complained to the press even though she had been warned before about her behavior.
"Those girls in their own testimony during the (disciplinary) hearing said they knew they were breaking the rules and that they deliberately broke the rules," the talk show queen was quoted as saying.
The institution just outside Johannesburg opened with a blaze of publicity in January 2007 with about 150 girls in 7th and 8th grades. The Academy is expected to grow by one grade each year until it reaches full capacity in 2011, with approximately 450 girls in grades 7 through 12.
Winfrey poured $40 million into the 28-building campus, which is spread across 22 lush acres. It has computer and science labs, a library, theater and wellness center, all protected by strict privacy. Each girl lives in a two-bedroom suite - a far cry from their humble surroundings at home.
It's the fulfillment of a promise Winfrey made to former South African President Nelson Mandela and aims to give poor girls a quality education and prepare them for leadership positions in a country where state schools are struggling to overcome the legacy of white-minority rule.
"The majority of girls are thriving, really fulfilling the dream and vision I had," Winfrey told the newspaper. "They really have exceeded any expectations I had for them."
"In spite of everything that's happened, what keeps me inspired and hopeful is the heart of every girl, because they are wonderful, they are magnificent."









