Showing posts with label Happy Birthday. Show all posts
Showing posts with label Happy Birthday. Show all posts

Wednesday, November 18, 2015

Mwanalibeneke Yuskiss Kisiba Asherekea Birthday!


Anaitwa Yusuph Kisiba a.k.a Yuskiss Kisiba ambae ni Blogger @Lake Zone Media & Kisibasharesky Media, Graphics Desiner & Video Editor @Shafineys Film Production Jijini Mwanza.
Na:George Binagi-GB Pazzo wa Binagi Media Group
Tarehe kama ya leo (Nevemba 19) miaka kadhaa iliyopita alizaliwa hivyo hii leo anafurahia siku yake ya kuzaliwa na ndugu, jamaa na Marafiki. Nasi tunamtakia maisha mema katika kuzaliwa kwake.

"Novemba 19 ni tarehe ambayo Mwenyezi Mungu aliweza kuniruhusu kutoka katika tumbo la mama yangu kipenzi na kuuona ulimwengu huu. Na hapo ndipo safari yangu ilipoanzia na ikawa ndiyo chanzo cha kufahamiana na wewe hivi sasa. Novemba 19 ni siku ambayo huwa ya kipekee sana kwangu katika huzuni na furaha kutokana na kuishi mazingira haya ya ulimwengu uliojaa kila aina ya uzuri na ubaya wake.Ukiwa kama ndugu/rafiki yangu sina budi kukukumbusha kuungana nami kufanya ibada ikiwa na lengo moja la kumuomba  Mungu atusamehe makosa yetu. Kwa yeyote niliewahi kumkosea sina budi kukuomba radhi katika siku hii". Anasema Kisiba.

Thursday, May 07, 2015

Happy Birthday Mohamed Dewji

DSC01228-Edit

MODEWJI BLOG TEAM : Thanking you for being a great boss just isn't enough for your special day! Thank you for inspiring us to be our best! Happy birthday, boss!

And below is a small gift from us!

IMG_9643  

Please join us to wish him a Happy Birthday by follow him on his twitter @moodewji and instagram @moodewji

Thursday, October 16, 2014

Nafasi ya Kuwa Katika Sinema Boston

Jodi Purdy CASTING & PRODUCTION NOTICES
BOSTON AREA ONLY

Seeking Ethnic Family for Birthday Party scene to be shot on Saturday 10/18 or Sunday 10/19 in your home - must be able to sing Happy Birthday in your language - PAYING GIG!!
Please send photos of family - mom, dad, grandparents, kids, teens and your contact info asap to: zandrakcasting@gmail.com Subject: Ethnic Family

Wednesday, March 27, 2013

Mam Bishanga Asherekea Birthday Ohio

WAJUKUU WAMTAKIA MAMA BISHANGA HAPPY BIRTHDAY!




Wajukuu wa mama Bishanga toka Ohio ni Mariam na Lalaih ambao ni watoto wa Kilian Muya Kamota wanamkabidhi bibi yao zawadi ya keki ya birthday bibi yao na kumtakia maisha marefu ya furaha, amani, na maendeleo.



Wajukuu wa mama Bishanga tokaTanzania, Kilian au Mzungu na Mariam ambao ni watoto wa Hery au Kenny wa Mambo hayo, wana sema happy birthday bibi, sisi tumekununulia keki na pipi na biskuti lakini tumekula wenyewe kwakuwa uko mbali, tunakusubiri utuletee zawadi ya ice cream, na daftari na kalamu, tunakupenda sana our grandmom.

***************************************************************
Ujue Mama Bishanga ni Nani. - Nyota katika Usanii Tanzania


Kutoka DAILY NEWS - TANZANIA

Mama Bishanga: The actress who filled the ‘Bongowood’ vacuum
By Women Reporter, 19th January 2011

Most knew her as Mama Bishanga, the legendary film actress whose portrayal of an irksome Haya mum left many believing she was from Kagera region. Some hardly believed that in reality she was just playing a part and her real name is Christina Innocent.

But the charming lady is actually a Makua from Masasi, in Mtwara region. Her role as Mama Bishanga in the TV drama not only confirmed her as one of the country’s greatest actresses, but also a pioneer of sorts of the local film industry thay is also referred to as ‘Bongowood’ But the charming Christina Innocent Hatia is actually a Makua from Masasi, in Mtwara region. Her role as Mama Bishanga in the TV drama not only confirmed her as one of the country’s greatest actresses, but also a pioneer of sorts. 

With her screen ‘son’ Bishanga (Raymond Allen) and ‘hubby’ Mzee Kambaulaya (Barnabas Maro) and others in the cast capping it with excellent acting, the weekly ‘ Mambo Hayo’ TV drama series became ITV’s hottest program.

“When I started acting in the Mambo Hayo TV series in 1998 I was the first elderly woman actress then”, says Mama Bishanga, who is in her mid 50s now. “I am happy and proud to be the pioneering figure of older women actresses”.

She is sitting in front of me at the office, where she breezed in to pay a courtesy call, about a week since she got back from the United States of America where she now resides, pursuing a degree at the Howard University in Washington DC. She also teaches Kiswahili part time there.
With her is Kenny, her actor son who has just completed University and contemplating going back into acting, after a seven year hiatus. He started acting almost a year earlier, and when his mother joined him in the Mambo Hayo series, the drama became an all time hit at the ITV station.

It was not by accident that Mama Bishanga became an actress. In point of fact, she is one of the few professional actresses who made their names on the silver screen. Thanks to the Butimba Teachers College where she attained an advanced diploma in theatre and fine art, majoring in theatre. That was between 1981 to 83.

Mama Bishanga is nostalgic as she recalls a play called ‘Odupus the King’ that she and her colleagues performed at the Bagamoyo college of art in front of then President Mwalimu Julius Nyerere and Members of Parliament who had met at the historical town and requested for a treat.

“That was the first ever stage play and the longest because it lasted for about 240 minutes and Mwalimu and the MPs were excited about it”, Mama Bishanga, who played queen, remembers. One Lwilomba played King.

“Mwalimu was exceptionally happy that he made on-the-spot recommendation that the whole class should be positively considered in the final exams because he regarded our performance as a sitting by itself”.

After completing her studies at Butimba, she went to work as a language and arts teacher at the Tabora Secretarial College in Tabora in 1983, six years later she left and went on to become an administrative officer at the National Arts Council (BASATA). In 1992 she went to Swaziland where she studied administration, remembering Kassim Mtawa and Blandina Mhina as some of her fellow students in the tiny South African Kingdom.

Upon her return to Tanzania in 1993 she went back to work at the Ministry of Science, technology and Higher learning. Five years later she went into acting as one of the ‘Mambo Hayo’ series cast. The rest, as they say, is history.

Mama Bishanga maintains that she went into acting due to a number of reasons, apart from feeling the need to utilizing her knowledge as an actress to the hilt.

“During the early days of TV drama series in the country, most actresses were just out-of-school youngsters. There were no older women. I went in with the objective of filling the vacuum. I guess I succeeded “, says Mama Bishanga with a radiant smile on her pretty face.

Indeed, she did succeed in engaging elderly actresses on TV and later on film, because soon after a host of other older women came into the picture, with Mama Mjatta becoming the second elderly actress to become a screen star alongside the youth crop of Waridi, Mona Lisa, Aisha and others.

In 2001 Mama Bishanga was awarded as the best Tanzania actress of the year by M-Net Africa, and she went on to win many a fan with sterling performances before ITV stopped showing ‘Mambo Hayo’ for reasons that have yet to be given.

Coincidently, Tanzania had on that year submitted MAANGAMIZI – THE ANCIENT ONE as its film entry in the Foreign Language Film category for the 74th Academy Awards.

The film, Produced by the Chairman of ZIFF Dr Martin Mhando, competed with foreign language films from 50 other countries around the world, the largest group ever in this category for the Academy. The only other African country in the running was Algeria and Tanzania remained the only sub-Saharan African country in the 2001 competition.

Maangamizi – The Ancient One represented the first ever entry by Tanzania. The film was selected by a group of film, television and theater professionals and was released in Tanzania the last week of October 2001, and was received by excited local audiences.

Yearning for further education despite her age, Mama Bishanga flew to the US in 2007 where she is now studying at the Howard University, where she also moonlights as a Kiswahili teacher. In her spare time she also studies film. She says she is too busy with college to continue acting.

“But I am closely following the film industry not only in Tanzania but also the whole of Africa, especially Western Africa, where they enjoy notable successes.

“The Tanzania film industry is vibrant but still at its embryonic stage. Producers are really doing a good job down here but they lack a lot of important elements that can go a long way into improving the quality and standards of local films.

“Tanzania need professionalism in all spheres of film production; from excellent lighting and sound and fitting location environments to serious casting, make-up and wardrobe”, says Mama Bishanga, who plans to meet with film stakeholders and try to encourage them to be more professional.

Of course, she plans to come back to Tanzania in the near future and show how things are done. For now she has great regard to the entrepreneurship spirit she has seen in Tanzanian women, calling them to try the film industry as well.

“Many women in other parts of the world engage themselves in the film industry which is one of the most lucrative businesses alongside music.

“One does not have to end up being an actress. There are plenty of avenues in this industry that is lacking real professional and passionate players.

“I guess women stand a better chance of turning the tables around if they choose to. Also remember, age ain’t nothing but a number. You know what-am-saying....?

"Therefore I call upon all women, irrespective of age, to enter into the film industry and become silver screen entrepreneurs.

“They wont regret that decision and I know what I am talking about”, concludes Mama Bishanga, as she gathers her things to rush to MAELEZO where she plans to book the auditorium for her press conference next Monday.

Thursday, January 12, 2012

FLOTUS - Ujumbe Kutoka kwa Rais Obama

FLOTUS Michelle Obama na mume wake Rais Barack Obama
Friend --


When you become president, one thing that happens overnight is that you and everyone you love get a bunch of new nicknames.

I was already pretty used to this. But "FLOTUS," short for First Lady of the United States, is really something else.

I'm writing because our FLOTUS, Michelle, turns 48 on Tuesday, and I know I'm not her only fan out there.

Will you join me in wishing her a happy birthday?

The decision to become part of this campaign was deeply personal for a lot of people, and Michelle and I are no exception. But we both knew, like anyone else who believes in what we're trying to do here, that this was never going to be easy.

This fall, Michelle and I will have been married 20 years. The next 10 months will be harder than any we've experienced together, and I couldn't do it without her. I know she'd love to hear from you today:

http://my.barackobama.com/For-Michelle

Thanks for your support,

Barack

P.S. -- This weekend, people are getting together to volunteer in their communities in honor of Dr. Martin Luther King, Jr. Day. Find out how you can join in at serve.gov.

Sunday, November 06, 2011

Birthday ya Dada Doreen, Rhode Island

Jana Dada Doreen wa Rhode Island amesherekea Birthday yake ya 50 kwa party kabambe! Watu walijitokeza kwa wingi kusherekea naye.

Happy Birthday Dada Doreen!

Dada Doreen (mwenye blausi ya kijivu)


The Birthday Girl

Dada Doreen na baadhi ya Wageni

Dada Doreen akishika picha ya Mama yake mzazi wakato Wimbo "Sweet Mother" ulipigwa.

Monday, August 29, 2011

Happy Birthday Kaka Michuzi!

Namtakia Kaka Michuzi Happy Belated Birthday! Birthday yake ilikuwa jana Jumapili August 28th. (Pichani Blogger No.1 from Tanzania, Muhidini Michuzi)

KWA MAJAALIWA YAKE MWENYEZI MUNGU MTUKUFU LEO ANKAL ANASHEREHEKEA SIKU YA HEPI BESDEI YA KUZALIWA KWAKE.

ANAMSHUKURU MOLA KWA KUMJAALIA KUFIKISHA SIKU YA LEO SALAMA, NA ANAMUOMBA AMUAFU YEYE NA FAMILIA YAKE PAMOJA NA WADAU WOTE MAISHA MEMA NA YA AFYA, NA KUMPA NGUVU KUENDELEA KUITUMIKIA JAMII KWA MOYO MMOJA BILA KUCHAGUA WALA KUIBAGUA KWANI ATAYEMZIKA HAMJUI.

ANATOA SHUKRANI PIA KWA TIMU NZIMA YA GLOBU YA JAMII KWA KUENDLEZA UTUMISHI ULIOTUKUKA, WADAU KWA KUENDELEA KUMSAPOTI PAMOJA NA WAFADHILI WOTE AMBAO KWA PAMOJA ASINGEFIKA HAPA PADOGO ALIPO KWA URAHISI. MOLA NA AWABARIKI NA AWAZIDISHIE KILA PENYE MAPUNGUFU.

Thursday, August 04, 2011

Rais Obama Asherekea 50th Birthday!


Leo Rais Barack Obama wa Marekani anasherekea miaka hamsini tangu kuzaliwa kwake (nusu karne). Alizaliwa Hawaii, USA siku ya Agosti 4, 1961.


Sunday, August 15, 2010

Dr. Aleck Che-Mponda Ashekerea 75th Birthday!

Baba yangu mzazi, Dr. Aleck Che-Mponda amesherekea miaka 75 ya kuzaliwa. Tulimfanyia ka-party Maryland kwa mdogo wangu.

HAPPY BIRTHDAY DAD! May you see many more!

***************************************************************

Baba na baadhi ya zawadi alizopewa.

Baba akifungua Champagne.
Baba akijiandaa kupuliza mishumaa kwenye keki ya birthday.

Mara baada ya Mama kumlisha baba Birthday cake.
Ndugu kutoka Anguilla walikuja kusherekea pia. Hapa Baba yuko na wifi wa mdogo wangu na Mama mkwe wa mdogo wangu Mama Gumbs.
Pichani (mimi, Mrs. Rita Che-Mponda, Dr. Aleck Che-Mponda, Mzee Emmanuel Muganda)

Wednesday, June 16, 2010

Mama Che-Mponda Asherekea 70th Birthday

Mama yangu mzazi amesherekea miaka 70 ya kuzaliwa, huko Maryland

HAPPY BIRTHDAY MOM!

Wazazi wangu, Dr. Aleck & Rita Che-Mponda

Tulienda kula Brunch pale National Harbor, Mzee George Washington (rais wa kwanza wa Marekani) na Mke wake Martha walitusalimia. (Hao ni waigizaji)
Wazee wakipumzika pale National Harbor
Mama na mabinti zake pamoja na Mjukuu Caleb (Mtoto wa mdogo wangu Malaika)

Saturday, April 03, 2010

Asante kwa Salamu za Birthday!

Pichani- Mimi mwaka 1965 nikiwa na miezi 14

Wadau, asanteni sana kwa walionitumia salamu za birthday. Tangu juzi napokea simu, text message, kadi na e-mails kutoka kwa watu mbalimbali na nchi kadhaa. Birthday yangu ni leo, April 3rd.

Asante sana kwa moyo huo wa upendo. Sikutegemea! Mungu awabariki nyote.