
Ron Murphy Band
07 The Night We Make Love
PLEASE LISTEN TO THE LUSCIOUS VOICE OF RON MURPHY
Posted a new song: "07 The Night We Make Love" https://www.reverbnation.com/q/7am317
Wadau, huyo Mzee anakaa Boston. Ni rafiki yangu wa miaka mingi,
Blogs in Kiswahili, the main African language of EAST AFRICA.

Kabla sijavaa costume. Kwenye mchezo mimi niliigiza kama Mama, Bibi na Ms. Thelma.
Joe Banks (Steve Lucky) na Mwongoza mchezo Lee Smith wakitaniana
Ron Murphy (Father Africa) akipumzika Dressing Room kabla ya kwenda stage
Ona nilivyokuwa tajiri kwenye mchezo, binti Sidney ananiibia.
Ron Murphy, Ruby Hill (Bag Lady) na Charles Jackson
Ms. Thelma (Mimi) na Joe the Bartender (Charles Jackson). Kwenye mchezo Joe anampenda Ms. Thelma lakini namkataa halafu baadaye namkubali.
"Mko Tayari!" Mwongoza mchezo Lee Smith na msaisdizi, Stanley Everett (Weldon Johnson) wakihakisha wachezaji wako tayari.
Ms. Thelma
Baba Afrika (Ron Murphy) na Mama Afrika (Irene O'Bannon)
Mimi na Lee Smith (Hapo nimevaa costume ya kwanza. Mimi ni mtumwa na tunafanyakazi shambani, halafu ghafla mwanangu wa kike anachukuliwa kwenda kubakwa, naishia kulia na kuzuiliwa kwenda kumfuata mwanangu)
Mapacha Dariana na Dashiana na Nia (Katikati)
Costume yangu kwenye scenes za mwisho. Ms. Thelma amekubali kufunga ndoa na Joe. Kwa habari zaidi someni:
http://www.dotnews.com/2009/harlem-renaissance-revisited-three-shows-lilla-g-frederick