Sunday, February 08, 2009

Safari ya Anguilla katika picha

Ferry Anguilla.... Safari ya kurudi Boston umeanza! Kwa heri joto!

Mimi na mdoli uliyotengenezwa na Auntie B

Bandari ya Anguilla


Hey There! Afternoon! Hapa niko Gwen's Reggae Bar
Nafaidi Ting soda inatengezwa na madansi

Mimi na mdogo wangu Malaika ambaye amaeolewa MAnguilla
Ugali wa Anguilla unaitwa Fungi (fun-jai) na inachanganywa na bamia. Hapa ni Restaurant maarufu inaitwa Johnno's ...wana bendi ya reggae kwa ajili ya watalii, nasikia wikiendi panajaa watalii na mastaa.
Hapa nafaidi Rum Punch

Hapa nafaidi Pina Colada
Translation:

Tanzanian Member of Parliament: "We 'Fat People', I mean we Members of Parliament, are really hurt to see teachers and those who have retired not being paid what they are owed, Ahh!"

Kipanya (Rat Character) - Why don't you start with your driver...

Bill Gates aachia Mbu kwenye Mkutano wa Wazungu!


Juzi, tajiri na mataalam wa kompyuta, Bill Gates, alifungua kopo la mbu kwenye mkutano wa Design Conference California. Wanaohudhuria huo mkutano ni wataalam wa hali ya ju katika fani zao, wanasiasa, mastaa na hata wafalme! Hao watu walihaha kweli kwa hofu kuwa wataambukizwa malaria. Nasikia watu wengine walilia.

Akifungua kopo la mbu alisema, " Ugonjwa wa malaria unasambazwa na mbu, nimeleta mbu wachache hapa sasa nawaachia huru hapa watembee. Hakuna sababu ya watu maskini tu kuumwa ungonjwa wa malaria!" Baadaye aliwwambia kuwa watu wasiwe na hofu maana hao mbu hawana malaria, bali ni mbu aina ya anopheles wanaobeba ugonjwa huo. Hata hivyo ujumbe wake uliwafikia! Lazima niseme ni shujaa kwa tando aliyofanya.

Wadau, hapa Marekani ukisema malaria watu wanaugopa kweli. Bora mtu useme una UKIMWI kuliko malaria. Nafahamu watu walioenda Bongo wakapata malaria na walivyorudi na kuwaambia wanaumwa ugonjwa huo waliachishwa kazi. Wengine wanatengwa huko hospitalini (quarantine). MBongo mwingine aliwekwa chini ya ulinzi wa polisi!

Rais Bush alijitahidi sana kusaidia Afrika na tatizo la malaria a UKIMWI. Kama wameweza kufuta ugonjwa huo sehemu nyingi duniani kwa nini wasiweze kufuta Afrika? Na kama pale Dar wakisema kuwa kila mtu atie mchanga/udongo kwenye madimbwi ya machafu karibu na nyumba zao, si itasaidia kupunguza.

Wadau, mnakumbuka miaka ya 80 waJapan walianzisha mradi chini ya Halmashauri ya jiji kupuliza dawa ya kuua mbu jijini. Huo mradi ulisaidia sana kupunguza mbu, ila baada ya miezi sita na waJapani kuondoka na kuachia waBongo uligueka mradi wa mtu. Nakumbuka mtu alifika nyumbani na kusema kama unataka dawa lazima ulipe! Wakati waJapani walikuwepo ulikuwa bure! Jamani!

Kwa habari zaidi someni:

http://www.americanthinker.com/2009/02/the_bill_gates_mosquito_circus.html

http://www.guardian.co.uk/technology/blog/2009/feb/07/bill-gates-ted-mosquitoes

http://www.sfgate.com/cgi-bin/article.cgi?f=/c/a/2009/02/07/BULG15OVGP.DTL

Saturday, February 07, 2009

Mshiko Boston

PAID Non-Union EXTRAS WANTED for CW REALITY SHOW party scene!
Santa Monica 23 Productions is looking for men and women aged 21-32
to play background party guests in an upcoming episode for a new
(currently untitled) CW reality show set to premiere in early March.
Extras will be asked to report to either the Saint Nightclub (Exeter
St.) or Mini-Bar (Huntington Ave.) on Sunday time TBD (will be late
afternoon/evening) . All background will be paid a flat rate of $50
for the day and will have a great opportunity to work on a real
reality show set and attend an awesome party!
Interested? E-mail a resume (with current phone number) and head
shot to sm23bgcasting@ gmail.com.
____________ _________ _________ _________ _________ _________ _
PAID Non-Union EXTRAS WANTED for CW REALITY SHOW wedding scene!
Santa Monica 23 Productions is looking for men and women aged 21-45
to play wedding guests in an upcoming episode for a new (currently
untitled) CW reality show set to premiere in early March. Space
permitting, extras will attend a cocktail hour, ceremony, and
reception taking place at the Fairmont Copley Plaza in Boston, MA, on
Monday, February 9, 2009 from 5PM until 11PM. All background will be
paid a flat rate of $50 for the day and will have a great opportunity
to work on a real reality show set and attend a beautiful wedding!
Interested? E-mail a resume (with current phone number) and head
shot to sm23bgcasting@ gmail.com.

Friday, February 06, 2009

Salamu kutoka Anguilla

Salamu nyingi sana kutoka Anguilla. Hapa pichani niko sehemu inaitwa Sandy Ground Overlook, Anguilla.

Uchumi wa Anguilla unategemea utalii tena utalii wa hali ya juu, yaani High Class. Nilipita uwanja wa ndege wao jana na nikaona private jets tano zimeegeshwa. Matajiri na mastaa wengi wanakuja hapa maana hakuna usumbufu kama Jamaica, Bahamas, Barbados nk.

Ila ukienda dukani kila kitu ni imported, utadhani uko supermarkt USA. Niliona kagenge walikuwa wanauza ndizi, viazi na vitunguu tu. Ardhi hapa haina rutuba imejaa mawe na mchanga, lakini wana beach nzuri sana, mchanga laini, halafu mweupe!

Sehemu nyingi ziliharibiwa na kimbunga kilichopita.

Monday, February 02, 2009

Safarini Anguilla

Wadau, niko safarini Blowing Point, Anguilla. Ni kisiwa katika bahari ya Caribbean.

Niliondoka Boston asubuhi sana. Nilipanda ndege hadi kisiwa cha St. Maarten. Kutoka huko nilipanda ferry kuja Anguilla. Customs yao uwanja wa ndege ni kama Bongo ulivyokuwa enzi za Mwalimu. Bahati nzuri hawakunisumbua sana.

Nina picha kibao, lakini sina access nzuri ya internet. Nitazibandika nikirudi Boston wiki ijayo.

Kuna wazungu wengi wenyeji wa visiwa hizi. Wamepikwa na jua. Wengine wana rangi ya brown, na wengine wekunduuu! Yaani baada ya kuzoea kuona wazungu weupe kama karatasi huko Boston lazima niseme niliwatazama hawa wa hapa mara mbili kuhakikisha kuwa ni wazungu.

Saturday, January 31, 2009

Coup D'Etat Madagascar?


Wadau, mliokuwepo miaka ya 60, 70 na 80 mnakumbuka mara kwa mara unaamka na kusikia coup imetokea nchi fulani na fulani. Na baada ya muda tena unaweza kusikia yule aliyepindua, kapinduliwa.

Leo, kuna habari kuwa huko Madadgascar aliyekuwa meya wa mji mkuu wa taifa hilo, Antananarivo, amepindua serikali na kuwa rais! Heh!


************************************************************
By JEROME DELAY
Associated Press Writer

ANTANANARIVO, Madagascar (AP) -- The mayor of Madagascar's capital said he was in charge of the country Saturday after a week of violent protests that left 43 dead but there were no indications that his claims of taking over the government were true.
There was no immediate comment from President Marc Ravalomanana, but a government news conference was expected later in the day.
Mayor Andry Rajoelina, who has grown increasingly critical of Ravalomanana and has called for him to stand down, addressed a crowd of about 4,500 people in the capital's main square.
"Until the establishment of a transitional government, it is me who gives the command," he said. "I send a call to the forces of law and order that it is me who gives the command."
Rajoelina has made similar claims in the last week, saying he is ready to take over an interim government. But the constitution requires a president be at least 40, and Rajoelina is 34.
The rally ended peacefully after some protesters threw stones at police in the morning. Police withdrew from the area and protesters set up a barricade of barrels and trash cans around the square.
Unrest began Monday when protesters set the government broadcasting complex ablaze, along with an oil depot, shopping mall and a private TV station linked to Ravalomanana.
The protests were sparked by the government's decision that day to close a radio station owned by Rajoelina. He accuses Ravalomanana's government of misspending funds and threatening democracy.
By Friday, the violence had subsided but a tense atmosphere remained on the streets of the capital.
Ravalomanana had said the government would crack down on those inciting violence, but later toned down his stance.
On Thursday, he made a conciliatory gesture and promised to put the mayor's radio station back on the air.
Western and African leaders have pressed the two men to resolve their differences.
Madagascar, off Africa's southeast coast, is known for its rare wildlife and eco-tourism -- but also for its history of political unrest and infighting. It is also one of Africa's poorest nations with more than half the population living on less than $1 per day.
Ravalomanana clashed with former President Didier Ratsiraka when both claimed the presidency after a disputed December 2001 election. After low-level fighting split the country between two governments, two capitals and two presidents, Ratsiraka fled to France in June 2002.
Ravalomanana won re-election in 2006, though two opposition candidates tried to challenge the validity of the vote.

Mdogo Wake Rais Obama Amekamatwa Kenya!

(George Obama nyumbani kwake Nairobi)

Mdogo wake Rais Barack Obama wa Marekani, George Obama, amekamatwa na polisi huko Nairobi baada ya kukutwa na sigara ya bhangi.

Hapa wazungu wanashangaa maana siku hizi kuwa na sigara moja tu ya bhangi si kosa la jinai tena!

Kama mtakumbuka wakati wa uchaguzi Republicans walimlima kweli Rais Obama kwa vile walisema modgo wake anaishi maisha ya dhiki katika eneo duni la Nairobi.

**************************************

By TOM ODULA

NAIROBI, Kenya (AP) -- Kenyan police say the half brother of President Barack Obama has been arrested for possession of marijuana.

Area police chief Joshua Omokulongolo said George Obama was picked up Saturday and was being held at the Huruma police post in the capital. Omokulongolo said officers found one joint of marijuana on him.

George Obama and the president had the same father but barely know each other.

Friday, January 30, 2009

Naakaya Sumari Apata Mkataba na Sony!

Kutoka Michuzi Blog:

An icon of contemporary Tanzanian music, Nakaaya, has been signed to Sony Music Entertainment. Among the record label’s well-known subsidiaries are Columbia Records, RCA Records and Epic records, just to mention a few.

Nakaaya, who has acquired a large following and growing fan base across the region, now makes history by being the first East African artist ever to be signed to the second largest record company in the world.

The company’s roster includes internationally-acclaimed artists such as Alicia Keys, Beyonce, Britney Spears, Celine Dion, Chris Brown, Sean Kingston and many more.

The signing took place when Nakaaya was attending the "Music’s Relevance in Third World Countries" Conference, in Copenhagen, Denmark, in late 2008. Sony Music Entertainment spotted the Tanzanian artist during an interview with "Deadline," on the prominent Danish television channel, "DR2," and immediately sought to sign her up for a recording deal.

"We are very excited by having signed Nakaaya to our company. She’s an extremely talented artist and we look forward to working with her in the future", comments Peter Groenbaek, Sony Music, on the signing.

After having burst onto the Tanzanian and East African music scene just two years ago, Nakaaya’s popularity and recognition as one of the Region’s top artists continues to grow, and her being signed by a major player in the international music business is a milestone for her career and the East African music industry as a whole. This historic signing is also a testimony to her talent and capability.

The lyrical content of Nakaaya’s music is inspired by social issues that have on-the-ground relevance to Tanzanian, East African and indeed African audiences, with a particular skew towards women and the plights of their everyday lives.
Her musical style is influenced largely by Hip Hop, R&B and some Afro flavour, and is essentially a well-rounded depiction of Bongo Flava.

Tembelea Website yake: http://www.nakaaya.com/

Republicans Wamchagua Mwenyekiti Mweusi!!!!


Naibu Gavana wa Maryland, Michael Steele, amechaguliwa kuwa mwenyekiti mpya wa Chama cha taifa cha Republicans (Republican National Committee). Ni mwuesi wa kwanza katika historia ya chama hicho kuongoza chama.
Kama mnakumbuka walivyofanya mkutano mkuu wao mwezi Agosti, weusi walikuwa wachache mno huko, uliweza kuwahesabu kwenye mkono. Na weusi wengine waliokuwepo walidai kuwa walitukanwa matusi ya kibaguzi. Kipindi hicho vyombo vya habari vilihoji uhaba wa weusi katika chama cha Repbulicans na kuuliza kama Republicans ni chama cha wazungu tu.
Huenda Republicans wanadhania kuwa wakiwa na Mwenyekiti mweusi basi labda weusi watavutiwa kujiunga na chama hicho.
Lazima kuna watu hapa ambao hawana raha kutokana na kuchaguliwa kwake. Wazungu walikuwa na usemi, "A Black Man will be President when Hell Freezes Over" yaani mtu mweusi atakuwa rais kipindi motoni kunageuka barafu tupu. Basi huo barafu umeingia motoni. Obama ni rais na Steele ni mwenyekiti wa Republicans.
Lazima wabaguzi wa KKK wanalia.

*****************************************************************

Michael Steele Becomes First black RNC Chairman

WASHINGTON – The Republican National Committee has elected former Maryland Lt. Gov. Michael Steele the first black Republican National Committee chairman. Steele was the most moderate candidate in the field and was considered an outsider because he's not an RNC member. He beat back four challengers, including incumbent Mike Duncan, who was forced to withdraw from the field midway through the balloting in the face of a lack of support.


http://news.yahoo.com/s/ap/20090130/ap_on_el_ge/republicans

Maonyesho ya Nguo za Arusi - Mustafa Hassanali


Kumbukumbu ya 'Kiatu' Iraq


Rais wa zamani wa Marekani, George W. Bush, anatamba kuwa ameokoa waIraq kutoka kwenye udikteta wa Saddam Hussein. Lakini waIraq wengi wanamwona mtu mbaya ambaye kaharibu nchi yao na kusababisha vifo vya watu wengi.

Leo, kuna habari kuwa' kumbukumbu ya kiatu' imejengwa huko Tikrit Iraq tena kwenye nyumba ya yatima. Hao watoto ni yatima kwa sababu wazazi wao walikufa kutokana na vita aliyoanzisha Bush huko. Habari zinasema kuwa baadhi ya watoto yatima walisaidia katika ujenzi wa kumbukumbu huo.
Mwezi Desemba mwaka jana Raisi Bush alienda kuaga waIraq. Akiwa kwenye mkutano na waandishi wa habari mmoja wao Muntadhir al-Zaidi, alimrushia rais Bush viatu vyake. Tendo la kumrushia viatu ni tusi kubwa huko Arabuni.

Kwa habari zaidi someni:




*****************************************************************************

BAGHDAD, Iraq (CNN) -- For the war-beaten orphans of the northern Iraqi city of Tikrit, this big old shoe fits.

A monument to a shoe thrown at former President Bush is unveiled at the Tikrit Orphanage complex.

A huge sculpture of the footwear hurled at President Bush in December during a trip to Iraq has been unveiled in a ceremony at the Tikrit Orphanage complex.

Assisted by children at the home, sculptor Laith al-Amiri erected a brown replica of one of the shoes hurled at Bush and Prime Minister Nuri al-Maliki by journalist Muntadhir al-Zaidi during a press conference in Baghdad.

Al-Zaidi was jailed for his actions, and a trial is pending. But his angry gesture touched a defiant nerve throughout the Arab and Muslim world. He is regarded by many people as a hero. Demonstrators in December took to the streets in the Arab world and called for his release.

The shoe monument, made of fiberglass and coated with copper, consists of the shoe and a concrete base. The entire monument is 3.5 meters (11.5 feet) high. The shoe is 2.5 meters (8.2 feet) long and 1.5 meters (4.9 feet) wide.

The orphans helped al-Amiri build the $5,000 structure -- unveiled Tuesday -- in 15 days, said Faten Abdulqader al-Naseri, the orphanage director.

"Those orphans who helped the sculptor in building this monument were the victims of Bush's war," al-Naseri said. "The shoe monument is a gift to the next generation to remember the heroic action by the journalist."

"When the next generation sees the shoe monument, they will ask their parents about it," al-Naseri said.

"Then their parents will start talking about the hero Muntadhir al-Zaidi, who threw his shoe at George W. Bush during his unannounced farewell visit."

Saddam Hussein, the former Iraqi leader toppled by the United States in 2003, was from the Tikrit region.

Al-Zaidi marked his 30th birthday in jail earlier this month. One of his brothers said he is "in good health and is being treated well."

Al-Zaidi's employer, TV network al-Baghdadia, keeps a picture of him at the top left side of the screen with a calendar showing the number of days he has spent in detention. The network has been calling for his release.

By tradition, throwing a shoe is the most insulting act in the Arab world.

Wednesday, January 28, 2009

Matondo Blog

Wapendwa wanablogu;

Kwa heshima kubwa na taadhima tele nabisha hodi tena kwenu mliotangulia. Naomba mnifungulie mlango na kunikaribisha tena. Safari hii nakuja na blogu ya kuchangamsha fikra na uchambuzi. Blogu hiyo inapatikana hapa www.matondo.blogspot.com

Natanguliza shukrani zangu kwani najua mmeshanikaribisha.

Wenu;
Dr. Masangu Matondo Nzuzullima
Chuo Kikuu cha Florida

Mauaji California

Lupoe Family
(pichani - Lupoe Kids)

Wadau, hao watoto pichani wote ni marehemu. Wameuawa na baba yao mzazi baada ya yeye kuachishawa kazi na kampuni ya Kasier Permenente, huko California. Baba mwenyewe, Ervin Lupoe kajiua baada ya kuua watoto wote watano na mke wake. Mke wake pia aliachishwa kazi na kampuni hiyo hiyo, hivyo walibaki bila kipato. Hivi jamani, watu wanaweza kuwa na roho mbaya kiasi cha kuachisha kazi mke na mume!!! Huko wanajua wana watoto watano? Na wanajua hali ilivyo ngumu Marekani kwa wenye watoto wadogo. Bora moja angeachishwa at least wangekuwa na uhakika wa kupata hela ya chakula!
Hiyo kampuni ya Kaiser inadai kuwa eti waliwaachishwa kwa vile walijaza uwongo kwenye fomu za kuomba day care kwa ajili ya mapacha yao. Hatujui waliandika nini lakini huenda waliandika kuwa wana kazi ya chini sana kusudi wapate day care ya bei nafuu. Kumweka mtoto day care hapa inaweza kuwa hela zaidi ya kumsomesha mtoto Chuo Kikuu! Lakini hiyo kampuni ina historia mbaya na watu weusi. Waliwahi kushtakiwa kwa kunyima watu weusi bima ya afya, tena mama moja alikuwa anaumwa Kansa. Walisema sema eti tiba yake ni ghali mno!

Kwa kweli hali ya maisha imekuwa ngumu kwa wengi hapa Marekani. Si mchezo yaani hali haijawa mbaya kiasi hiki tangu Great Depression ya miak ya 1930's. Yaani kila siku tunasikia watu wameachishwa kazi, na makampuni na mabenki yanakufa
.

************************************************************

Los Angeles: In suicide note, father blames layoffs for decision to kill children
January 28, 2009

LOS ANGELES (AP) — In one upstairs bedroom, the bodies of twin 2-year-old boys were found beside their dead mother. In another bedroom, 5-year-old twin girls and their 8-year-old sister lay next to their lifeless father.
Officers discovered the horrific scene after rushing to a home in Wilmington, prompted by the father’s distraught letter faxed to a TV station describing a “tragic story” and a call to authorities.

Police believe Ervin Lupoe killed his five children and his wife before turning the gun on himself. Both adults were recently fired from their hospital jobs.

“Why leave our children in someone else’s hands?” Lupoe wrote in his letter faxed to KABC-TV. The station posted the letter on its Web site with parts redacted. (Editor's note: There's a link to the letter in the column to the right)

The station called police after receiving the fax and a phone call from Lupoe, and a police dispatch center also received a call from a man who said, “I just returned home and my whole family’s been shot.” Police are unsure who the male caller was, but they suspect it was the father.

Officers rushed to the home in Wilmington, a small community between the ports of Los Angeles and Long Beach, about 8:30 a.m. Tuesday and found the bodies.

All the victims were shot in the head, some multiple times, coroner’s Assistant Chief Ed Winter said. The killings may have occurred between Monday evening and early Tuesday, based on neighbors’ accounts of firecracker sounds, he said.

Although the fax — addressed to “whom it may concern” and explaining “why we are dead” — asserted that the wife, Ana Lupoe, planned the killings of the whole family, police Lt. John Romero said Ervin Lupoe was the suspect. A revolver was found next to his body.

It was the fifth mass death of a Southern California family by murder or suicide in a year. Police urged those facing tough economic times to get help rather than resort to violence.

“Today our worst fear was realized,” said Deputy Chief Kenneth Garner. “It’s just not a solution. There’s just so many ways you find alternatives to doing something so horrific and drastic as this.”

Ervin Lupoe removed three of the children from school about a week and a half ago, saying the family was moving to Kansas, the principal told KCAL-TV. Crescent Heights Elementary School Principal Cherise Pounders-Caver said nothing seemed to be troubling Ervin Lupoe, and she did not ask why the family was moving.

Kaiser Permanente Medical Center West Los Angeles released a statement confirming Lupoe and his wife were fired as medical technicians more than a week ago. The hospital said the firings followed an internal investigation but would not specify why they lost their jobs.

The letter indicated that Lupoe and his wife — both 40 — had been investigated for misrepresenting their employment to an outside agency to obtain childcare. He claimed that an administrator told the couple on Dec. 23: “You should not even had bothered to come to work today you should have blown your brains out.”

Lupoe’s letter said the couple complained to the human resources department and eventually were offered an apology but two days later they were fired.

“They did nothing to the manager who stated such and did not attempt to assist us in the matter, knowing we have no job and five children under 8 years with no place to go. So here we are,” the note said.

At the bottom of the letter, Lupoe wrote, “Oh lord, my God, is there no hope for a widow’s son?” The phrase is frequently found in Internet discussions about the novel “The Da Vinci Code,” Freemasons and Mormonism.

Kaiser Permanente said staff was “saddened by the despair” in Lupoe’s letter “but we are confident that no one told him to take his own life or the lives of his family.”

Lupoe’s fax identified his children as Brittney, 8; 5-year-old twins Jaszmin and Jassely; and twins Benjamin and Christian, ages 2 years and 4 months. Winter confirmed the identities of the girls, but the boys’ names were pending.

To Amanda Garcia, everything seemed normal in the Lupoe house next door. Her neighbors always had a friendly wave and their five young children would play outside.

“They were happy, they had birthday parties,” the 22-year-old Garcia said as she choked back tears near her home. “The kids were always outside on bikes, riding on their wagon.”
Kwa habari zaidi someni:

http://www.mercurynews.com/ci_11569378?source=most_viewed

Makubwa Benki Kuu!

(picha ya juu kutoka Michuzi Blog)
Bank of Tanzania Personnel and Administration director Amatus Joachim Liyumba (R) and the bank`s Projects Manager, Deogratius Dawson Kweka,at the Kisutu Resident Magistrate`s Court in Dar es Salaam yesterday.


Watu wawajibike sasa huko Bongo! Hii Kali!

********************************************

Kutoka ippmedia.com

BoT Yatikiswa

2009-01-28 11:00:08
Na Richard Makore

Aliyekuwa Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Amatus Liyumba, jana alipandishwa kizimbani akiwa na mfanyakazi mwenzake wakituhumiwa kwa kosa la kutumia madaraka yao vibaya ya utumishi wa umma na kuisababishia serikali hasara ya Sh. 221,197,299,200.95 kupitia ujenzi wa maghorofa pacha ya benki hiyo.

Sambamba na Liyumba, mwingine aliyesomewa mashitaka hayo na Mwendesha Mashitaka kutoka Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), John Lubangila, ni aliyekuwa Meneja wa Mradi wa ujenzi huo, Deogratius Kweka.

Watuhumiwa hao wawili walifikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam jana mchana wakiwa katika gari la Takukuru lenye namba za usajili T 319 ATD aina ya Toyota Land Cruiser la rangi ya kijani.

Aidha, kabla ya kusimamishwa kizimbani, watuhumiwa hao waliendelea kukaa ndani ya gari katika viwanja vya mahakama kwa takribani saa tatu, ndipo watolewa na kuingizwa mahakamani.

Baada ya kupanda kizimbani, ghafla watuhumiwa walianza kutokwa na jasho kali hali iliyowasababisha muda wote kujifuta kwa kutumia vitambaa vyao.

Aidha, waliingia kizimbani wakiwa wameshika chupa za maji na kutaka kwenda kusimama nazo wakati wanasomewa mashtaka, lakini askari polisi alitokea na kuyachukua.

Mbali na makosa ya kutumia madaraka yao vibaya na kuisababishia serikali hasara ya mabilioni ya fedha, pia walishitakiwa kwa kutoa maamuzi bila kushirikisha Bodi ya Wakurugenzi wa BoT pamoja na kukiuka sheria ya manunuzi ya serikali na sheria ya uendeshaji wa benki hiyo.

Mwendesha Mashtaka aliiambia mahakama kuwa walitenda makosa hayo kati ya mwaka 2001- 2006.

Watuhumiwa hao walisomewa mashtaka mbele ya Hakimu Mkazi, Khadija Msongo, wa mahakama hiyo.

Hakimu Msongo aliiambia mahakama kuwa dhamana ya watuhumiwa hao ipo wazi na itatakiwa kutolewa thamani ya nusu za fedha zinazodaiwa kupotea.

Nusu ya fedha hizo ni sawa na zaidi ya Sh. bilioni 110 ambapo zikigawanywa kwa watuhumiwa wawili, kila mmoja alitakiwa kutoa fedha Sh. bilioni 55 au mali isiyohamishika inayolingana na kiasi hicho cha fedha.

Mshtakiwa namba moja, Liyumba, alianza kuwasilisha nyaraka za mali mbalimbali ili aweze kupata dhamana, lakini upande wa mashtaka ulioomba mahakama kusitisha zoezi hilo.

Upande wa mashtaka ulidai kuwa unaomba hivyo ili upate muda wa kupitia nyaraka hizo ili kuona kama sio feki na zina thamani ya fedha zinazotakiwa.

Mahakama ilikubaliana na upande wa mashtaka na hivyo kusitisha dhamana hiyo na watuhumiwa kupelekwa rumande hadi Februari, 10 mwaka huu.

Majengo ya BoT yamekuwa ni gumzo kubwa nchini tangu wakati wa utawala wa awamu ya tatu, huku kukwa na taarifa kwamba ghama yake ni ghali kuliko ujenzi katika miji mikubwa ya mataifa ya magahribi. Hadi sasa inakisiwa kwamba ujenzi huo umekwisha kugharimu Sh bilioni 700.

SOURCE: Nipashe

Tuesday, January 27, 2009

Gabourey 'Gabby' Sidibe - Superstar!



Walisema ni mnene mno, walisema ni mweusi mno, walisema ana shepu mbaya...lakini leo Gabourey 'Gabby' Sidibe ni superstar! Gabby ni stelingi wa sinema mpya iitwayo PUSH! Hiyo sinema inayohusu binti mmarekani mweusi anayekaa katika dhiki huko Harlem, New York imeshinda tuzo ya juu katika Sundance Film Festival!

Navyosikia hiyo sinema imependwa kweli na watu huko Sundance. Na sasa imepata distributor hivyo tutaitona katika majumba ya sinema hivi karibuni! Hiyo sinema imetengenezwa na watu binafsi na si Hollywood. Nina hakika walivyoenda huko Hollywood kuomba pesa walinyimwa, lakini hebu ona wanaoipenda.

Katika hiyo sinema, mcheza sinema maarufu Mo'nique anaigiza kama mama yake.

Nitawapasha habari zaidi baadaye.
http://sharonquinn.blogspot.com/2008/10/gabourey-sidibe-plus-sized-actress-on.html

http://media.www.lcmeridian.com/media/storage/paper806/news/2007/11/05/ArtsEntertainment/Introducing.Hollywood.Actress.Gabby.Sidibe-3067453.shtml

***************************************************************

http://boxoffice.com/reviews/2009/01/push.php

BOXOFFICE
Film Review: Push: Based on the Novel By Sapphire
By Ray Greene


Strong performances make for essential viewing.

Some films arrive at Sundance expecting to be great, and some the festival thrusts greatness upon. Foremost of these in 2009 was Push: Based on the Novel By Sapphire, director Lee Daniels' harrowing cross between an inspirational teacher genre exercise, a Ken Russell fantasy film of the '70s and the child abuse melodrama Hound Dog. Overloaded a bit by Daniels' laudable visual ambition and distinguished by an unflinching view of ghetto life that has nothing to do with standard Hollywood liberal postures toward deprivation and/or blackness, Push is also (and foremost) a stunning acting showcase, not just for newcomer Gabourey Sidibe, who absolutely soars as the abused high school student Precious Jones, but also for comedian Mo'Nique in a stunning tour de force as Precious' abusive mom.

It's the '80s, and Precious is a study in unexplored human potential. Morbidly overweight and functionally illiterate, she leads a vast and poetic internal life via a fantasy reflex that transports her to a shiny world of klieg lights and thrust stages where she can pretend to be beloved, talented and a nascent superstar. Precious uses these fantasies to insulate herself from the harsh realities of her world: humiliating gangs, random street violence and an abusive father who has been sexually assaulting her since she was three, with two resultant pregnancies. With her father largely absent, the gorgon in Precious' daily life is her mother, a bitter recluse living on Welfare who routinely beats Precious out of warped romantic jealousy. A series of school teachers and social workers help Precious to move past her sad state, inspiring her to write out her own story as a way of changing her life.

Daniels has made a remarkable series of bold choices, all of which seek to depict Precious honestly and without the usual self-congratulatory showbiz cant. At times, Precious fantasizes without guilt about being white, so much so that it's a white model's features she sees in her own bedroom mirror. Precious is also not above petty thievery, stealing her own file from a social worker's office and a bucket of chicken from a fast food store. In a sense, Precious is a more ambivalent and less idealized version of the little girl from Doug Atchison's excellent (but far lighter) Akeelah and the Bee; someone trying to get over an environment that's toxic to her aspirations and her dreams.

Despite her almost flamboyant largeness (which Push sees as a natural reaction to Precious' horrible home-life) and the sometimes melodramatic twists her story takes, Sidibe's Precious is so startlingly truthful and so subtle she seems to have stepped out of a documentary to make her appearance here. Totally believable performances are also turned in by both Lenny Kravitz (as a male nurse) and Mariah Carey (as a tough but tender social worker), with Carey in particular disappearing so completely into her drab but sassy workaday messiah that the watcher's mind keeps saying: "That can't be her!"

But the almost certain 2010 Oscar nom for all of this (predictable even today, on the day the 2009 noms were just announced) belongs to Mo'Nique, whose alternately horrifying and devastating performance humanizes a monster. The last ten minutes of Push are devoted to a revelatory confrontation between mother and daughter, and Mo'Nique's bravura transformation, from opportunistic schemer to shattered woman unable to face an unlivable truth, is so unerring it literally makes the viewer gasp. Daniels, who produced Monsters Ball and shows a similar belief in giving his actors room to explore, has captured a performance here that can stand with the best ever committed to film. It simply should not be missed.

Bongoland II Itaonyeshwa Los Angeles


Wadau sinema Bongoland II itaonyeshwa mjini Los Angeles, California kwenye Pan African Film Festival ambayo itafanyika mwezi wa pili.

*************************************************************

Bongoland II: There’s No Place Like Home

(2008/Tanzania/140min) Dir: Josiah Kibira Panorama

Are we poor or short of cash? This is a question Juma wrestles with upon arriving in his native Bongoland. While happy to be re-united with his family, over time he is frustrated by the level of poverty that almost everyone around him faces on a regular basis. He is convinced that most people are not short of cash but poor – which is a state of mind.

Screening Times:

2/6, 1:00pm

2/13, 8:45pm

2/16, 7:15pm
Tembelea:

Monday, January 26, 2009

Majina ya Obama

Baada ya miaka mitano huko mashuleni!


George W. Bush Library (Maktaba) - Utani

Wadau ilibidi niposti hii. Ni utani lakini inachekesha kweli.

***************************************************************

Dear Fellow Constituent:

The George W. Bush Presidential Library is now in the planning stages and accepting donations.

The Library will include:
The Hurricane Katrina Room , which is still under construction.
The Alberto Gonzales Room, where you won't be able to remember anything.
The Texas Air National Guard Room, where you don't even have to show up.
The Walter Reed Hospital Room, where they don't let you in.
The Guantanamo Bay Room, where they don't let you out.
The Weapons of Mass Destruction Room, which no one has been able to find.
The National Debt Room, which is huge and has no ceiling
The Economy Room, which is in the toilet.
The Iraq War Room. (After you complete your first visit, they make you to go back for a second, third, fourth, and sometimes fifth visit.
The Dick Cheney Room, in the famous undisclosed location, complete with shotgun gallery.
The Environmental Conservation Room, still empty.
The Supreme Gift Shop, where you can buy an election.
The Airport Men's Room, where you can meet some of your favorite Republican Senators.
The Decider Room, complete with dart board, magic 8-ball, Ouija board, dice, coins, and straws.
Note: The library will feature an electron microscope to help you locate and view the President's accomplishments.

The library will be richly decorated with inscriptions of quotations from Mr. Bush's public appearances:
"The vast majority of our imports come from outside the country.'"
"If we don't succeed, we run the risk of failure."
"Republicans understand the importance of bondage between a mother and child."
"'No senior citizen should ever have to choose between prescription drugs and medicine."
"I believe we are on an irreversible trend toward more freedom and democracy -- but that could change."
"One word sums up probably the responsibility of any Governor, and that one word is 'to be prepared."
"Verbosity leads to unclear, inarticulate things."
"I have made good judgments in the past. I have made good judgments in the future."
"The future will be better tomorrow."
"'We're going to have the best educated American people in the world."
"One of the great things about books is sometimes there are some fantastic pictures" (during an education photo-op).
"'Illegitimacy is something we should talk about in terms of not having it."
"'We are ready for any unforeseen event that may or may not occur."
"'It isn't pollution that's harming the environment. It's the impurities in our air and water that are doing it."
"'I stand by all the misstatements that I've made."'...George W. Bush to Sam Donaldson.

PLEASE GIVE GENEROUSLY!