Showing posts with label Mauji. Show all posts
Showing posts with label Mauji. Show all posts

Saturday, May 14, 2022

Mauaji Buffalo New York! Mzungu Aneyechukia Watu weusi Amewaua wakiwa Shopping Supermarket!

 




 (AP) Multiple people have been shot at a supermarket in Buffalo, New York. Police there said in a Saturday afternoon tweet that the alleged shooter was in custody. Details on the number of people shot at the Tops Friendly Market and their conditions weren't immediately available. Police officials and a spokesperson for the supermarket chain did not immediately respond to messages seeking comment. Gov. Kathy Hochul tweeted that she was "closely monitoring the shooting at a grocery store in Buffalo," her hometown. The supermarket is in a primarily residential part of a predominately Black neighborhood, about 3 miles north of downtown Buffalo.


Tuesday, April 18, 2017

Kuwanasa Wauji wa Albino, Mbinu za Kivita Zinatumika!


Mwandishi wa makala haya na mmiliki wa blogu ya MaendeleoVijijini, Bw. Daniel Mbega (mwenye jezi nyekundu) akiwa sambamba na wanausalama katika tukio la kukatwa kiganja mtoto Baraka Cosmas Songoloka. Hapa ni kwenye tukio katika Kitongoji cha Kaoze, Kilyamatundu wilayani Sumbawanga.

Na Daniel Mbega, MaendeleoVijijini
Tabora: KWA wakazi wa Kitongoji cha Kona Nne, Kijiji cha Ugembe II, Kata ya Mwakashanhala wilayani Nzega katika Mkoa wa Tabora, takriban kilometa 90 kutoka Nzega mjini, saa 3:00 ni usiku mkubwa na wengi wamelala baada ya shughuli za ujenzi wa taifa.

Wednesday, April 11, 2012

Maelezo ya Lulu - Kifo Cha Steven Kanumba

KUTOKA THE CITIZEN:

Lulu’s Side of the story as Kanumba is Buried



Elizabeth Michael aka Lulu Akistarehe (Picha kwa hisani ya Global Publishers)
 Tuesday, 10 April 2012 
By Mkinga Mkinga

The Citizen Reporter

Dar es Salaam. The prime suspect in the death on Saturday of local film star Steven Kanumba spoke out on the tragedy for the first time just a day before tens of thousands of people gathered for his funeral yesterday.Elizabeth Michael, alias Lulu, broke her silence on Monday—two days after she was arrested. Investigators at Oysterbay police station had to engage a crime psychologist to get her to open up on the events leading up to the death of the star who had just been invited to Hollywood in the United States.

Highly placed police sources told The Citizen in an exclusive interview yesterday that Lulu, girlfriend of the deceased, started narrating what had transpired on the night the 28-year-old died after meeting the psychologist.

“The suspect, who had refused to cooperate with police detectives from the Kinondoni regional police office, has now managed to speak for three hours with the psychologist,” the sources said on condition of anonymity since they are not official spokespersons of the Tanzania Police Force.

The psychologist from the Criminal Investigation Department (CID) headquarters in Dar es Salaam chatted candidly with the suspect for three hours on Monday, a day before Kanumba was buried.

Lulu reportedly told the investigators that Kanumba phoned her on the fateful night asking her to join him for an outing. She went to his home but told him she did not really want to go out and that she preferred to return home.

Kanumba allegedly wanted Lulu to accompany him to a Mashujaa Band show at Vingunguti, and became furious when she refused to accompany him.

According to the sources, the misunderstanding between the two developed into a quarrel, with Kanumba demanding to know what it was that she had left at her home.“According to Lulu, the deceased locked the door to his room,” said the sources. “In a panic, she unlocked the door and fled.”

Lulu is quoted as saying that she managed to escape after he fell and had no idea what transpired after her departure.

The sources said police have also interrogated another suspect, a Bongo Flava musician (name withheld), who gave Lulu a lift when she left Kanumba’s Sinza residence. “I am sorry, brother, I cannot comment on that issue,” he told The Citizen before he hang up.

According to detectives, other suspects have also been lined up for questioning. The sources could not say how long the interrogations would take.

In another development, the sources said heavyweight politicians related to Lulu have been sending her consolation text messages pledging to assist her. “Their involvement with the suspect could complicate our investigations,” said the sources.

Yesterday, this paper reported that Kanumba died of a brain injury caused by a sudden blow to the head.

One of the doctors who examined Kanumba’s body at Muhimbili National Hospital hinted that the actor died on the spot after suffering such severe brain damage that he collapsed and stopped breathing.

His sudden death sent shockwaves across the country, East Africa and West Africa—particularly Ghana and Nigeria—where he had achieved prominence in the continent’s leading film industry, Nollywood. He had returned home from a trip to Ghana just a few days before his death.

President Jakaya Kikwete joined mourners on Sunday, calling the fallen star a brilliant ambassador who sold Tanzania far and wide through the screen.

Monday, April 09, 2012

Marehemu Kanumba Alipata Nafasi ya Kwenda Hollywood!

Kwenye taarifa hii kutoka gazeti la THE CITIZEN, wanasema kuwa marehemu Steven Kanumba alipata nafasi ya kuigiza katika sinema ya Hollywood. Alikuwa anajiandaa kwenda  Hollywood kabla ya kifo chake.  Nafasi hiyo alipata baada ya kushinda mashindano fulani nchini Ghana.

Wadau, kama navyoelewa Hollywood naweza kusema sidhani kama hii habari ni kweli. Huenda ni kweli alipata nafasi kufika Hollywood lakini si kama stelingi  (A-list) wa sinema. Wadau, siasa za Hollywood ni ngumu hasa kwa sisi weusi. Visa/Work Permit za waigizaji kutoka nje ya Marekani zinatolewa kwa wazungu kutoka nchi za Ulaya na Canada kwanza.  Mara nyingi wanatumia waigizaji waliopo hapa tayari. Waafrika kama marehemu Fela wamewahi kulalmika juu ya upungufu ya hizo visa kwa weusi.  Hivyo kama ni kweli marehemu Kanumba, alipata hiyo Visa/Work Permit kama mwigizaji kutoka Afrika itakuwa kama kashinda bahati nasibu. Wenye taarifa zaidi, hebu tujulishe. Ilikuwa kampuni gani inamsponsor?  Na kama ni kweli basi watampa MTanzania mwingine nafasi hiyo, hivyo akina Ray ...polish those audition skills.

REST IN PEACE STEVEN KANUMBA! IT IS  HARD TO BELIEVE YOU ARE REALLY GONE.

*********************************************************
KUTOKA THE CITIZEN
Dreams that Kanumba could not Live to Realise

Monday, 09 April 2012

The late Steven Kanumba

By Songa wa Songa

Dar es Salaam. Fallen movie star Steven Kanumba had won a chance to make what would have been a historic debut of a Tanzanian actor in Hollywood, we can report today.

The Citizen can also reveal that Kanumba was planning to permanently settle as a husband and father, all dreams which have now evaporated with his death on Saturday.

New details emerging now as the country continues to mourn the passing of the iconic actor indicate that he was set for unparalleled trajectory ever attained by a local film artiste as a Hollywood role would have not only added to his fame on the global stage, but also come with a hefty pay cheque.


Based in the United States, Hollywood is the epitome of the world movie industry and rakes in billions of dollars in annual revenues and has made millionaire actors even for the simplest of hit appearances.


Held closely to his chest, Kanumba had just arrived from Ghana a few days ago where he apparently won an audition for a Hollywood appearance.

“He was heading there not as an inspiration seeker like he did in the past but this time to work. He had his US visa ready but fate dictated otherwise,” revealed Mr Dennis Sweya popularly called Dino, a friend of Kanumba since 2003 when they first met in the start-up days at Kaole Sanaa Group.

“When he broke the news to me, I told him; ‘The Great’ once you make it, don’t forget me in your ‘kingdom’ and he replied ‘I will never forget you my brother,” said Dino.

The news of the US job was given credence when Kanumba’s mother Ms Flora Mutegoa told Journalists that her son called and asked her to urgently return to Dar es Salaam for a meeting ahead of his departure.

The mother was away in Kagera Region visiting the actor’s maternal grandmother and received the call on the same night that he died. Friends say mother and son were not only family but great friends.

Meanwhile, before his untimely demise, Kanumba was deeply longing for a family of his own.

Those who knew the person behind the personality say ‘The Great’ wanted to have children more than anything else and prayed to God to bring him the right woman to marry.

“He longed for the warmth of a family of his own to complement the success he had achieved so far,” said Dino who recalled that during his last meeting with Kanumba, the actor had played and joked with his kids while expressing his wish to have his own.

Yvonne Cheryl, an actor popularly known as Monalisa, said she had been taken aback by Kanumba’s great love for children seen in his recent works.

“He was not only making movies for children; he was making friendship with children of late and my own child was his best friend…they called each other and talked over the phone several times,” she said.

Kanumba’s friend and career rival Vincent Kigosi, also known as Ray, said his last work-in progress, Ndoa Yangu, which literary translates to My Marriage initially scheduled for release this month and his recently new-found film niche (for kids) told volumes on how he felt about family.

“I will remember and immortalize his work and life by making movies for children as he did during his last days,” said Ray.

In his recent interviews, Kanumba faulted those who envied his ‘little’ success, asserting that the last time he checked his vision and mission, he was not there yet.

“I feel proud to be a source of inspiration to many aspiring actors and actresses but I want everyone to understand that I have not yet achieved my biggest dream” he once said.

He said the two had purchased an expansive piece of land at Mbezi Mpiji with the vision of developing it into a Tollyhood village—residential villas and offices exclusively for the film industry.

But according to Mr Chiki Mchoma, the Bongo Movies coordinator, Steve Kanumba somehow knew that death had come very close to him. He says Kanumba called him one week ago, praised his work and said he wanted to talk to him in details.

“I was at the border on my way to a neighbouring country, so we did not talk much. But when I came back I met another friend whom Kanumba had also called and learned that he had bought a new Bible, wanted to meet and talk to all his friends; tell them their shortcomings and apologise for his own weaknesses and wrong doings” he said and added:

“I think he has died without accomplishing this noble mission…it is something he really wanted to do and he insisted on meeting in person.

The death of Steven Kanumba has sent both the national leaders and ordinary citizens into a deep sorrow with a huge crowd of mourners of all ages flocking his Sinza home since early Saturday morning throughout Easter Sunday.

Meanwhile, President Jakaya Kikwete yesterday led thousands of mourners in consoling the family, including Kanumba’s mother who was seemingly overwhelmed and remained speechless.

President Kikwete said the death of Kanumba has robbed Tanzania of its finest performing art ambassador at a time when his services were needed the most.

“I was scheduled to travel outside the country but upon receiving the sad news I decided to postpone the trip so that I could join you (Kanumba’s family), fellow Tanzanians and all his fans all over the world in mourning his demise,” he said

According to a programme issued last night, mourners will pay their last respects to Kanumba tomorrow at Leaders’ Club in Dar es Salaam before his burial at the nearby Kinondoni cemetery later in the day.

Meanwhile, the Kinondoni regional police commander, Assistant Commissioner of Police (ACP) Charles Kenyela, said last night police were continuing with investigations into Kanumba’s death.

He said the Police collected samples of drinks found in the room of the deceased and sent them to the chief government chemist for tests.

ACP Kenyela added that the police were also awaiting a postmortem report on the body of Kamumba from Muhimbili National Hospital pathologists.

The police are still questioning the 18-year-old girlfriend of the deceased identified as Elizabeth Michael alias Lulu.

Saturday, December 10, 2011

Afariki Baada ya Kuchomwa Sindano ya Kufanya Ume Uwe Mkubwa!

Huko New Jersey,  kijana wa miaka 22 amefariki dunia baada ya kuchomwa sindano ya 'silicone' kwenye ume wake (mboo)! Eti alitaka iwe kubwa zaidi! Jamani!  Hivi nyie wanaume hamridhiki na kile Mungu alichowapa?

****************************************


NEWARK, N.J. (AP) - A New Jersey woman who police say injected a man's penis with silicone, resulting in his death, has been charged with manslaughter.

  The Essex County prosecutor's office says 34-year-old Kasia Rivera gave 22-year-old Justin Street the injection on May 5. Such injections often are used to enlarge body parts, such as the buttocks.

   Street died the day after his injection. His death was ruled a homicide following an investigation and a medical examiner's determination he died of a silicone embolism.

   Rivera also faces charges for the unauthorized practice of medicine. She was arrested Friday and is being held on $75,000 bail. It's unclear if she has a lawyer. No telephone listing could be found for her home in East Orange.

http://newsinfo.inquirer.net/108693/woman-charged-in-penis-silicone-injection-death

Saturday, January 01, 2011

WaKristo Wauwawa Misri

Doh! Waumini wa Kikristo wameuwawa huko Misri wakitoka kanisani kwenye misa ya kusherekea mwaka mpya. Habari zinasema kuwa watu 21 wamekufa na watu zaidi ya 79 wameumia. Mwaka umeanza vibaya huko Misri.

Wadau, Misri ni Afrika. Huo ushenzi wa kidini usifike kwetu.

*******************************************************************
BY MAGGIE MICHAEL
Associated Press

ALEXANDRIA, Egypt (AP) - A powerful bomb, possibly from a suicide attacker, exploded in front of a Coptic Christian church as a crowd of worshippers emerged from a New Years Mass early Saturday, killing at least 21 people and wounding nearly 80 in an attack that raised suspicions of an al-Qaida role.

The attack came in the wake of repeated threats by al-Qaida militants in Iraq to attack Egypt's Christians. A direct al-Qaida hand in the bombing would be a dramatic development, as Egypt's government has long denied that the terror network has a significant presence in the country. Al-Qaida in Iraq has already been waging a campaign of violence against Christians in that country.

Police initially said the blast came from an explosives-packed car parked outside the Saints Church in the Mediterranean port city. But the Interior Ministry later said it was more likely from a suicide bomber who blew himself up among the crowd.

Both tactics are hallmarks of al-Qaida and have been rarely used in Egypt, where the government crushed an insurgency by Islamic militants in the 1990s. Though the government of President Hosni Mubarak denies an al-Qaida presence, Egypt does have a rising movement of Islamic hard-liners who, while they do not advocate violence, adhere to an ideology similar in other ways to al-Qaida. There have been fears they could be further radicalized amid growing sectarian tensions between Egypt's Muslim majority and Christian minority.

Nearly 1,000 Christians were attending the New Year's Mass at the Saints Church, said Father Mena Adel, a priest at the church. The service had just ended, and some worshippers were leaving the building when the bomb went off about a half hour after midnight, he said.
"The last thing I heard was a powerful explosion and then my ears went deaf," Marco Boutros, a 17-year-old survivor, said from his hospital bed. "All I could see were body parts scattered all over - legs and bits of flesh."

Blood splattered the facade of the church, as well as a mosque directly across the street. Bodies of many of the dead were collected from the street and kept inside the church overnight before they were taken away Saturday by ambulances for burial.

Some Christians carried white sheets with the sign of the cross emblazoned on them with what appeared to be the blood of the victims.

Health Ministry official Osama Abdel-Moneim said the death toll stood at 21, with 79 wounded. It was not immediately known if all the victims were Christians. It was the deadliest violence involving Christians in Egypt since at least 20 people, mostly Christians, were killed in sectarian clashes in a southern town in 1999.

Mubarak vowed to track down those behind the attack, saying "we will cut off the hands of terrorists and those plotting against Egypt's security."

"This terrorist act has shaken the conscience of the nation," he said in a statement, adding that "all Egypt was targeted, and terrorism does not distinguish between Copt and Muslim."

The blast enraged Christians and stoked already strong sectarian tensions. Soon after the explosion, angry Christians clashed with police and Muslim residents, chanting, "With our blood and soul, we redeem the cross," witnesses said. Some broke in to the mosque across the street, throwing books into the street and sparking stone- and bottle-throwing clashes with Muslims, an AP photographer at the scene said.

Police fired tear gas to break up the clashes. But tempers remained high: In the afternoon, hundreds of Christians remained massed inside the church and outside on the street, where they jostled with lines of riot police, chanted, and waved crosses and pictures of Jesus.

In a reflection of the deepening mistrust between Egypt's communities, many in the crowd believed police would not fully investigate the bombing, reflecting Christians' suspicions that authorities overlook attacks on their community.

Archbishop Arweis, the top Coptic cleric in Alexandria, said police want to blame a suicide bomber instead of a car bomb so they can write it off as a lone attacker. He denounced what he called a lack of protection.

"There were only three soldiers and an officer in front of the church. Why did they have so little security at such a sensitive time when there's so many threats coming from al-Qaida?" he said, speaking to the AP.

Police initially said the blast came from an explosives-packed vehicle parked about four meters (yards) from the church. But the Interior Ministry said later in a statement that there was no sign that the epicenter was a car. That "makes it likely that the explosives ... were carried on the person of a suicide attacker who died with the others," it said.

Around six severely damaged vehicles remained outside the church, but there was little sign of a crater that major car bombs usually cause. Bits of flesh were stuck to nearby walls.
Alexandria governor Adel Labib immediately blamed al-Qaida, pointing to recent threats by the terror group to attack Christians in Egypt.

He offered no evidence to support his claim, but a recent spate of attacks blamed on al-Qaida against Christians in Iraq have an unusual connection to Egypt.

Al-Qaida in Iraq says it is attacking Christians there in the name of two Egyptian Christian women who reportedly converted to Islam in order to get divorces, prohibited by the Orthodox Coptic Church.

The women have since been secluded by the church, prompting Islamic hard-liners to hold frequent protests in past months, accusing the Church of imprisoning the women and forcing them to renounce Islam.

Al-Qaida in Iraq says its attacks on Christians would continue until Egyptian Church officials release the two women. The Church denies holding the women against their will.

Egypt faced a wave of Islamic militant violence in the 1990s, that peaked with a 1997 massacre of nearly 60 tourists at a pharoanic temple in Luxor. But the government suppressed the insurgency with a fierce crackdown, and militant violence all but stopped until a series of bomb attacks against tourist resorts in the Sinai Peninsula between 2004 and 2006.

Those attacks in the resorts of Dahab, Taba and Sharm el-Sheikh, which included suicide bombers and killed a total of 125 people, were blamed by the government on local extremists in an attempt to deflect concerns that al-Qaida had established a presence in Egypt.

Egypt has seen a string of attacks on Christians in recent years, most notably, in January 2009, when seven Christians were killed in a drive-by shooting on a church in southern Egypt during celebrations for the Orthodox Coptic Christmas.

Christians, mainly Orthodox Copts, are believed to make up about 10 percent of Egypt's mainly Muslim population of nearly 80 million people, and they have grown increasingly vocal in complaints about discrimination. In November, hundreds of Christians rioted in the capital, Cairo, smashing cars and windows after police violently stopped the construction of a church. The rare outbreak of Christian unrest in the capital left one person dead.

Saturday, November 20, 2010

Majambazi Wateka Basi Kibondo (Kigoma)

MAJAMBAZI WATEKA BASI KIBONDO KATIBU UVCCM AUAWA


Habari zimeletwa kwa email na:
Frederick M. Katulanda

Basi la Kampuni ya China ya Golden Intercity Express lenye namba za usajili T 457 ARC lilikuwa limebeba abiria 51 lilitekwa na Majambazi leo katika eneo la Mkugwa wilayani Kibondo.

Inasemekana majambazi hao walipiga sana Risasi, akielezea Mkasa huo kwa njia ya simu kutoka eneo la tukio, mmoja wa Wasafiri aliyekuwa ndani ya Basi hilo kutoka Kigoma kwenda Mwanza, Sophia Nasibu alieleza kwamba tukio hilo lilitokea majira ya saa tatu asubuhi ambapo alishuhudia Majambazi yakipiga risasi ovyo kwenye Basi hilo na hivyo Dereva kulazimika kusimama porini hapo.

Katika kufyatua risasi inasemekana wameweza kumuua Willy Muga katibu wa UVCCM mkoani Mara. Aidha Sophia ameeleza kuwa majambazi hao yalikuwa yakipiga kelele kuwaamrisha Askari wawili wanaosindikiza Basi letu wasalimishe Bunduki zao, na baada ya muda mrefu huku yakitupiga risasi kutoboa toboa basi ndipo Askari hao wanaosindikiza Basi waliogopa na kuamua kusalimisha Bunduki zote mbili walizokuwa nazo, walizitupa mlangoni na Majambazi yakazichukua.

Majambazi hayo baada ya kuchukua Bunduki za Askari hao yalipoanza kuwapora Abiria fedha walizokuwa nazo huku wakiwachapa viboko baadhi ya waliokuwa wakorofi na ambao walionekana kukaidi. Kamanda wa polisi mkoa wa Kigoma, George Mayunga alipoulizwa kuhusu tukio hilo alisema kwamba amepata taarifa lakini bado anasubiri taarifa rasmi kutoka kwa Kamanda wa Polisi wilayani Kibondo (OCD) Innocent ili aweze kuandaa taarifa rasmi.-

Monday, August 17, 2009

Zombe na Wenzake Waachiwa Huru!

SIWEZI KUSEMA ZAIDI YA DUUUHH!!!!

Kwa habari zaidi mtemblee Kaka Michuzi!

Tuesday, May 19, 2009

Rest in Peace Justin Cosby

UPDATE : 5.26.09

Mnaweza kupata taarifa zaidi hapa! Yaani tunashangaa kama hizi habari ni kweli. Yaani alikuwa haelekee kabisa! Na huyo ambaye wanadai walimwua ni Jabrai Jordan Copney, mtoto wa polisi mstaafu wa New York. Nadhani na hao mabinti wa Harvard hawasemi wanachojua!http://www.nydailynews.com/news/ny_crime/2009/05/22/2009-05-22_harlem_man_arrested_in_murder_in_harvard_university_dorm.html


(pichani Justin na mpenzi wake)


Wadau, nina habari ya kusikitisha. Kijana ambaye namfahamu tangu akiwa mdogo na rafiki wa mwanangu ameuawa katika bweni Harvard University. Navyosikia alikuwa anawakimbia hao waliomwua. Kwao ni karibu na napokaa mimi. Lazima niseme kuwa huyo kijana alikuwa mpole na hakuwa na matatizo niliyofahamu. Nimesikitishwa mno. Alikuwa anasoma Chuo Kikuu cha Salem State, lakini wanasema kwa sasa alikuwa hasomi pale. Tutasikia mambo yalivyokuwa. Yaani siwezi kuamini.

REST IN PEACE JUSTIN

***********************************************************

CAMBRIDGE, Mass. — A 21-year-old man shot inside a Harvard University dormitory Monday while students studied for finals died Tuesday.

Justin Cosby, of Cambridge, was shot in the abdomen late Monday afternoon while standing on a stairway leading to a common area inside the Kirkland House, an undergraduate dorm. He was found outside the building by police.

The dorm has an electronic security system, and Middlesex District Attorney Gerry Leone said authorities were looking into how Cosby got into the building.

Cosby's mother, Denise, said her son attended Salem State College. He lived a few blocks from the Harvard campus.

"It's just so strange. He was fine, healthy yesterday," Denise Cosby told The Boston Globe. "I just can't believe my son is not here today. Inside I'm just torn up, I feel like someone has murdered me."

No arrests had been made by Tuesday afternoon.
Harvard referred all questions to the district attorney. Leone said it appeared the shooting was isolated.

After the shooting, students were told to remain in the dorm for several hours as police interviewed potential witnesses.

Harvard police added security, mainly as a precaution, and students were allowed to move freely inside the dorm Tuesday.

Kwa habari zaidi someni:

http://www.thecrimson.com/article.aspx?ref=528246

http://www.boston.com/news/local/breaking_news/2009/05/man_dies_after_1.html

Wednesday, January 28, 2009

Mauaji California

Lupoe Family
(pichani - Lupoe Kids)

Wadau, hao watoto pichani wote ni marehemu. Wameuawa na baba yao mzazi baada ya yeye kuachishawa kazi na kampuni ya Kasier Permenente, huko California. Baba mwenyewe, Ervin Lupoe kajiua baada ya kuua watoto wote watano na mke wake. Mke wake pia aliachishwa kazi na kampuni hiyo hiyo, hivyo walibaki bila kipato. Hivi jamani, watu wanaweza kuwa na roho mbaya kiasi cha kuachisha kazi mke na mume!!! Huko wanajua wana watoto watano? Na wanajua hali ilivyo ngumu Marekani kwa wenye watoto wadogo. Bora moja angeachishwa at least wangekuwa na uhakika wa kupata hela ya chakula!
Hiyo kampuni ya Kaiser inadai kuwa eti waliwaachishwa kwa vile walijaza uwongo kwenye fomu za kuomba day care kwa ajili ya mapacha yao. Hatujui waliandika nini lakini huenda waliandika kuwa wana kazi ya chini sana kusudi wapate day care ya bei nafuu. Kumweka mtoto day care hapa inaweza kuwa hela zaidi ya kumsomesha mtoto Chuo Kikuu! Lakini hiyo kampuni ina historia mbaya na watu weusi. Waliwahi kushtakiwa kwa kunyima watu weusi bima ya afya, tena mama moja alikuwa anaumwa Kansa. Walisema sema eti tiba yake ni ghali mno!

Kwa kweli hali ya maisha imekuwa ngumu kwa wengi hapa Marekani. Si mchezo yaani hali haijawa mbaya kiasi hiki tangu Great Depression ya miak ya 1930's. Yaani kila siku tunasikia watu wameachishwa kazi, na makampuni na mabenki yanakufa
.

************************************************************

Los Angeles: In suicide note, father blames layoffs for decision to kill children
January 28, 2009

LOS ANGELES (AP) — In one upstairs bedroom, the bodies of twin 2-year-old boys were found beside their dead mother. In another bedroom, 5-year-old twin girls and their 8-year-old sister lay next to their lifeless father.
Officers discovered the horrific scene after rushing to a home in Wilmington, prompted by the father’s distraught letter faxed to a TV station describing a “tragic story” and a call to authorities.

Police believe Ervin Lupoe killed his five children and his wife before turning the gun on himself. Both adults were recently fired from their hospital jobs.

“Why leave our children in someone else’s hands?” Lupoe wrote in his letter faxed to KABC-TV. The station posted the letter on its Web site with parts redacted. (Editor's note: There's a link to the letter in the column to the right)

The station called police after receiving the fax and a phone call from Lupoe, and a police dispatch center also received a call from a man who said, “I just returned home and my whole family’s been shot.” Police are unsure who the male caller was, but they suspect it was the father.

Officers rushed to the home in Wilmington, a small community between the ports of Los Angeles and Long Beach, about 8:30 a.m. Tuesday and found the bodies.

All the victims were shot in the head, some multiple times, coroner’s Assistant Chief Ed Winter said. The killings may have occurred between Monday evening and early Tuesday, based on neighbors’ accounts of firecracker sounds, he said.

Although the fax — addressed to “whom it may concern” and explaining “why we are dead” — asserted that the wife, Ana Lupoe, planned the killings of the whole family, police Lt. John Romero said Ervin Lupoe was the suspect. A revolver was found next to his body.

It was the fifth mass death of a Southern California family by murder or suicide in a year. Police urged those facing tough economic times to get help rather than resort to violence.

“Today our worst fear was realized,” said Deputy Chief Kenneth Garner. “It’s just not a solution. There’s just so many ways you find alternatives to doing something so horrific and drastic as this.”

Ervin Lupoe removed three of the children from school about a week and a half ago, saying the family was moving to Kansas, the principal told KCAL-TV. Crescent Heights Elementary School Principal Cherise Pounders-Caver said nothing seemed to be troubling Ervin Lupoe, and she did not ask why the family was moving.

Kaiser Permanente Medical Center West Los Angeles released a statement confirming Lupoe and his wife were fired as medical technicians more than a week ago. The hospital said the firings followed an internal investigation but would not specify why they lost their jobs.

The letter indicated that Lupoe and his wife — both 40 — had been investigated for misrepresenting their employment to an outside agency to obtain childcare. He claimed that an administrator told the couple on Dec. 23: “You should not even had bothered to come to work today you should have blown your brains out.”

Lupoe’s letter said the couple complained to the human resources department and eventually were offered an apology but two days later they were fired.

“They did nothing to the manager who stated such and did not attempt to assist us in the matter, knowing we have no job and five children under 8 years with no place to go. So here we are,” the note said.

At the bottom of the letter, Lupoe wrote, “Oh lord, my God, is there no hope for a widow’s son?” The phrase is frequently found in Internet discussions about the novel “The Da Vinci Code,” Freemasons and Mormonism.

Kaiser Permanente said staff was “saddened by the despair” in Lupoe’s letter “but we are confident that no one told him to take his own life or the lives of his family.”

Lupoe’s fax identified his children as Brittney, 8; 5-year-old twins Jaszmin and Jassely; and twins Benjamin and Christian, ages 2 years and 4 months. Winter confirmed the identities of the girls, but the boys’ names were pending.

To Amanda Garcia, everything seemed normal in the Lupoe house next door. Her neighbors always had a friendly wave and their five young children would play outside.

“They were happy, they had birthday parties,” the 22-year-old Garcia said as she choked back tears near her home. “The kids were always outside on bikes, riding on their wagon.”
Kwa habari zaidi someni:

http://www.mercurynews.com/ci_11569378?source=most_viewed

Friday, November 21, 2008

Mwinjilisti na Mkewe Wauawa Tanzania

Namwomba mungu hao waliofanya huo unyama wakamatwe!
Mungu alaze roho za marehemu mahala pema mbinguni. AMEN.

*****************************************************

Kutoka ippmedia.com

Mwinjilisti, mkewe wauawa kwa bomu

2008-11-21

Na Leonard Mubali, Ngara

Mwinjilisti wa Kanisa la Anglikana na mkewe, wakazi wa kijiji cha Mukubu, Tarafa ya Murusagamba, wilaya ya Ngara mkoani Kagera, wameuawa kwa bomu la kutupwa kwa mkono lililorushwa kwenye nyumba yao usiku wa manane wakiwa wamelala.

Bomu hilo lilimkata kichwa Mwinjilisti, Reverian Mlengera (52 ), na kusababisha kifo chake papo hapo.

Tukio hilo lilitokea usiku wa kuamkia juzi baada ya bomu hilo kurushwa katika nyumba ya Mwinjilisti huyo na kundi la watu wasiofahamika.

Ilielezwa kuwa, siku hiyo ya tukio, kundi hilo la watu, lilifika kijijini hapo na kuvunja dirisha la nyumba ya Mwinjilisti huyo na kurusha bomu la mkono kitandani alipokuwa amelala na mkewe ambalo lililipuka na kumkata kichwa huku likimkata mkono wa kulia mkewe, Leokadia Reverian (44).

Hata hivyo, mkewe huyo alipoteza maisha saa chache baadaye kutokana na kuvuja damu nyingi.

Baadhi ya wakazi wa kijiji hicho, waliiambia PST kuwa, baada ya kufanya unyama huo, watu hao waliingia ndani ya nyumba ya Mwinjilisti na kupora redio kaseti moja, kilo 20 za karanga na debe moja la maharage vyote vikiwa na thamani ya Sh. 60,000 na kisha kutokomea.

Mtendaji wa kijiji hicho cha Mkubu, Nicodem Daniel, aliiambia PST kuwa mauaji hayo ni ya kinyama na yamefanywa na watu wanaodhania kuwa wametoka nchi jirani ya Burundi wakishirikiana na baadhi ya wenyeji wasio waaminifu.

Alisema walimlenga marehemu kwa kuwa alikuwa kipingamizi kwa baadhi ya watu waliokuwa wakipita maeneo hayo wakiwa na silaha kuelekea nje ya vijiji hivyo kwani alikuwa mmstari wa mbele katika utoaji taarifa zinazohusu ulinzi na usalama.

Aidha, mtendaji huyo aliongeza kuwa marehemu alikuwa akiwazuia wahamiaji haramu kuingia na kulima katika kijiji hicho suala ambalo wanalihusisha kwa karibu na uvamizi huo uliosababisha kifo chake.

Nicodem alisema tukio hilo la aina yake ni la pili kutokea kijijini hapo ambapo miezi mitatu iliyopita mtu mmoja na mke wake waliuawa kwa kukatwakatwa kwa mapanga katika kitongoji cha Nyakapandi kijijini Mkubu.

Jeshi la polisi wilayani Ngara wamefika eneo la tukio na kuthibitisha kuuawa kwa mwinjilisti huyo.

Mwinjilisti huyo ameacha watoto watatu, mvulana mmoja na wasichana wawili.

SOURCE: Nipashe

Saturday, October 25, 2008

Mama na Kaka wa Jennifer Hudson Wameuawa!

Jennifer Hudson ma Mama yake mzazi

Kuna habari za kusikitisha. Mama yake mzazi Jennifer Hudson, Darnell Donerson (57), na kaka yake Jason Hudson (29), walmeuawawa kikatili jana nyumbani kwao huko Chicago. Mpwa wake mwenye miaka 7 anatafutwa na polisi wametoa Amber Alert (tangazo maalum kwa ajili ya watoto waliohatarini). Polisi wanamshikilia William Balfour (27) ambaye ni mume kwa mdogo wake.

Jennifer Hudson alipata tuzo la Oscar mwaka jana kwa ajili ya sinema, Dreamgirls. Aliigiza kama Effie White ambaye alikuwa mwimbaji mkuu wa kikundi cha Dreamgirls kabla ya kupinduliwa na Deena Jones (Beyonce). Jennifer alipata umaarufu kwenye American Idol.

Wiki iliyopita sinema, The Secret Life of Bees, ilitoka. Jeenifer anaigiza mle na akina Queen Latifah, Alicia Keys na Sophie Okonedo. Hivi karibuni kachumbiwa na mwanasheria na mwigizaji, David Otunga.

Mungu awalaze roho za marehemu mahala pema mbinguni. Amen.

Watu wanauliza kwa nini Jennifer hawakuhamisha familia yake kutoka South side ambayo inajulikana kwa kuwa eneo hatari sana huko Chicago. Habari zinasema kuwa mama yake hakutaka kuhama maana alikaa pale maisha yake yote.

Kwa habari zaidi someni:

http://www.latimes.com/news/nationworld/nation/la-na-hudson25-2008oct25,0,4062243.story

http://hollywoodinsider.ew.com/2008/10/jennifer-hudson.html?iid=top25-20081025-Jennifer+Hudson

http://ap.google.com/article/ALeqM5iIqSbmp7cCrnSvw1FIMxIvjQa8AQD941DLG80

Tuesday, September 02, 2008

Bwana Arusi achinjwa Dar

Jamani, mbona mauaji yanazidi Dar? Wivu kitu kibaya sana. Mola ailaze roho yake mahala pema peponi. Amin.

***************************************************

Kutoka ippmedia.com
Bwana harusi Dar achinjwa!

2008-09-02
Na Mwandishi Wetu, Jijini

Mwanaume mmoja anayedaiwa kuwa mbioni kufunga ndoa wiki hii ameuawa kinyama baada ya kuchomwa kisu na kisha mwili wake kukutwa kandoni mwa barabara.

Taarifa ambazo Alasiri imezipata toka kwa baadhi ya waliodai kuwa ni mashuhuda wa tukio hilo, zinadai kuwa tukio hilo limejiri mishale ya saa 4:00, usiku wa kuamkia jana na kwamba marehemu ametambuliwa kwa jina la Nassoro Shomari.

Taarifa hizo zinadai kuwa bwanaharusi ni dereva taksi aliyekuwa akifanya shughuli zake katika Kituo cha Sinza Madukani Jijini.

Wanadai mashuhuda hao kuwa mwili wa bwanaharusi huyo mtarajiwa ulikutwa katika eneo la Tandale, kandoni mwa njia ya kuelekea Kijitonyama.

Aidha, taarifa hizo zinadai kuwa mmoja wa wale wanaotuhumiwa kufanya mauaji ya dereva taksi huyo ni mwanamke mmoja aitwaye Aisha, anayedaiwa kuwa ni mpenzi wa zamani wa marehemu.

Wakieleza zaidi, wanadai wasimuliaji kuwa chanzo cha kuuawa kinyama kwa dereva taksi huyo ni kisa cha kimapenzi, hasa kutokana na ukweli kuwa wiki hii alikuwa afunge pingu za maisha na mwanamke mwingine na kuwatosa wengine aliowahi kuwa nao hapo kabla.

Wanadai wasimuliaji kuwa kabla ya uamuzi wake wa kutangaza ndoa, marehemu aliwahi kuwa na uhusiano na mwanamke mmoja pale Tandale, jirani na njia ya kuelekea Kijitonyama.

Wanadai kutokana na utamu wa penzi lao, marehemu akafikia mahala pa kujifunga mbele ya mwanamke huyo, kwa ahadi kwamba atamuoa.

``Na tena ndiye aliyempangia chumba hapo Tandale... na alikuwa akimhudumia kwa kila kitu kiasi kwamba mwanamke wa wenyewe alijua kuwa yeye ndiye yeye tu... hakuna mwingine zaidi yake,`` akadai mmoja wa wasimuliaji.

Inadaiwa kuwa licha ya kuwa na ahadi ya kumuoa mwanamke huyo, marehemu alikuja kughairi na badala yake akatangaza kufanya mipango ya ndoa na mwanamke mwingine.

Hata hivyo, inadaiwa kuwa zikiwa zimebaki siku chache kabla ya harusi yake wiki hii, ndipo marehemu alipochepuka kidogo na kwenda nyumbani kwa mpenziwe wa zamani.

``Akiwa huko, haieleweki ni kitu gani hasa kilimkuta... lakini mwili wake ukakutwa kandoni mwa njia ukiwa umechomwa visu,`` akadai mmoja wa watu waliodai kuwa ni mashuhuda.

Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi Kinondoni hakupatikana ili kuzungumzia tukio hilo la kusikitisha.

Baadhi ya maaskari polisi wameiambia Alasiri kuwa ni kweli kuna tukio la mwanaume kuuawa kwa kuchomwa visu, na ambalo limejiri mishale ya saa 4:00, usiku wa kuamkia jana.

Hata hivyo, wamesema mwanaume huyo ni dereva wa daladala aina ya DCM linalofanya safari kati ya Mbagala na Sinza, likiwa na namba za usajili T 223 AUS.

Wanadai askari hao kuwa juhudi za kumsaka mtuhumiwa Aisha zinaendelea, kwani anadaiwa kutimka baada ya kujiri kwa tukio hilo.

SOURCE: Alasiri

Tuesday, August 26, 2008

Wanafunzi wamwua Mwalimu wao Bongo!

Jamani! Bongo kuna nini siku hizi wanafunzi wanamwua mwalimu wao!!! Khaa! Na hivyo wana miaka 18 watawasaidia polisi na uchunguzi wao mpaka wana miaka 50!
*******************************************************************

Kutoka Michuzi Blog:

Wanafunzi mbaroni kwa tuhuma za kuua mwalimu wao

Habari toka Singida zinasema polisi mkoani humo wanawashikilia wanafunzi wanne wa shule ya sekondari ya Chemchem katika wilaya ya Iramba kwa tuhuma za kumuua mwalimu wao wa nidhamu, Rajabu Dude (49).

Kamanda wa polisi mkoani humo afande Celina Kaluba amewataja watuhumiwa hao mbele ya waandishi wa habari kuwa ni Shani Mtua (18), Mohamed Salum (18) and Emmanuel Daud (18) wote wanafunzi wa kidato cha tatu pamoja na Michael Msengi (18) wa kidato cha nne.

Kamanda Kaluba amesema kwamba tukio hilo lilitokea alhamisi usiku majira ya saa mbili unusu wakati marehemu akiwa anatoka kwenye matembezi katika kilabu moja cha pombe kijijini hapo.

Amesema wakati mwalimu akiwa anarejea kwake akiimba kwa furaha, alivamiwa na kukatwakatwa na kichwani na kuchomwa kisu kifuani, kabla washambuliani hawajatokomea gizani.

Kamanda huyo amesema mwili wa marehemu uligunduliwa na wanakijiji wenzie ambao waliuarifu uongozi na taarifa kupelekwa kituo cha polisi ambako upelelezi ulianza mara moja. Ndipo watuhumiwa hao wanne, ambao amesema wamekiri kuhusika na shambulio hilo, walipotiwa mbaroni.

Kamanda huyo pia alisema baada ya kukamatwa wanafunzi hap waliisaidia polisi kukipata kisu kinachosadikiwa kutumika katika shambulio kikiwa kimetupwa kichakani karibu na eneo la tukio.

Haikuweza kufahamika sababu ya shambulio hilo, lakini Kamanda huyo wa polisi amesema huenda lilisababishwa na kulipizwa kisasi kufuatia adhabu aliyopewa mmoja wa watuhumuwa siku chache zilizopita.

Amesema watuhumiwa watafikishwa mahakamani mara tu baada ya upelelezi kukamilika. Hakutaja itakuwa lini zaidi ya kusema upelelezi unaendelea

Monday, August 25, 2008

Auwawa ndani ya Daladala!

Jamani, mbona kuna vituko huko Dar. Unapanda daladala mzima, unashushwa maiti! Mola ailaze roho ya marehemu mahala pema peponi. Amin.

*************************************************************
Hatari! Abiria Dar kauawa ndani ya daladala

Kutoka ippmedia.com

2008-08-25

Na Moshi Lusonzo, Pilosi Kati


Ukusimulia tukio hilo, utadhani ni zile hadithi za kubuni za elfu lela ulela siku alfu na moja. Lakini amini usiamini, limetokea Jijini Dar es Salaam.

Mtu katoka nyumbani kwake salama, akavuka barabara salama, akapanda basi salama, halafu akauawa akiwa ndani ya daladala!

Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi wa Temeke, Emmanuel Kandihabi amesema tukio hilo la kusikitisha lilitokea jana mishale ya saa 3: 45 usiku katika barabara ya Kilwa eneo la Madafu Jijini.

Amemtaja aliyeuawa kuwa ni Suleiman Namumila, mkazi wa Mbagala Kwa Mangaya aliyekuwa kwenye daladala yenye nambari za usajili T989 ARL aina ya Toyota DCM inayofanya safari zake kati ya Mwenge na Mbagala.

Akisimulia mkasa huo kwa undani, Kamanda Kandihabi amesema kwenye daladala hiyo alipanda abiria mmoja mwenye asili ya Kiarabu, ambaye alianza kuzozana na konda akidai amepilizwa kituo.

Kwa mujibu wa Kamanda Kandihabi, mzozo huo ulianza mara baada ya daladala hiyo kuondoka kituo cha Kwa Aziz Ally ambapo abiria huyo alidai kuwa alipaswa kushushwa.
Akasema gari hiyo ilipofika kwenye kituo cha Kwa Madafu, ikasimama ili abiria huyo ashuke.

Hata hivyo akasema wakati abiria huyo akishuka, alimkaba na kumkunja shati konda wa daladala aitwaye Yusuph Hassan, 27, akidai kuwa ndiye aliyesababisha yeye apitilize kituo chake cha kushukia.

Kamanda Kandihabi akasema baada ya abiria wengine kuona hivyo, wakaingilia kati kumtetea konda wao, kwa madai kuwa abiria huyo amepitiliza kituo chake kutokana na uzembe, kwa kuwa gari lilisimama pale kwa Aziz Ally.

Akasema Mwarabu huyo alipoona abiria wote wanamjia juu, akachomoa kisu kutoka mfukoni na kumchoma kifuani Suleiman ambaye alionekana kuwa alikuwa akimsaidia konda.

Akasema baada ya tukio hilo, Suleiman alikimbizwa katika hospitali ya Temeke kwa matibabu, lakini alifariki wakiwa njiani.

Kamanda Kandihabi amesema Mwarabu huyo baada ya kumchoma kisu Suleiman alikimbia na jeshi la Polisi linaendelea kumtafuta.

Amesema mwili wa marehemu umehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali ya Temeke.

Tuesday, August 12, 2008

Kichaa aua wagonjwa Muhimbili!

Hayo ni mazito. Hivi hakuna usimamizi katika wodi ya wagonjwa wa akili kweli. Huyo jamaa aliweza kupiga wagonjwa saba na kuua wawili. Na si inabidi wagonjwa 'hatari' watengwe na wengine. Au inakuaje huko siku hizi?

**************************************************************************
Kutoka ippmedia.com

Hospitali Muhimbili: Ni kilio...!

2008-08-12

Na Mwanaidi Swedi na Sharon Sauwa, Jijini

Saa chache tu baada ya madaktari walio mafunzoni katika Hospitali ya Taifa Muhimbili kusitisha mgomo wao na kuamua kurejea kazini kwa masharti, mauaji ya kutisha yametokea ndani ya wodi mojawapo na kuzusha kilio cha aina yake.

Mauaji hayo yametokea jana usiku, ndani ya wodi mojawapo baada ya mgonjwa mmoja kuwatembezea kipigo wenzake na kusababisha vifo vya wawili, huku wengine watano wakijeruhiwa vibaya na wanne kati yao kulazimika kukimbiziwa katika chumba cha upasuaji kwa ajili ya matibabu zaidi.

Tukio hilo la kusikitisha na la aina yake, limetokea jana mishale ya saa 1:30 usiku, wakati mgonjwa huyo wa akili aliyelazwa tangu Julai 28 mwaka huu, alipodaiwa kutwaa chuma moja la stendi ya kuwekea dripu ya maji ya kumtundikia mgonjwa na kuanza kuwatwanga wenzake waliokuwa wamelazwa wote wodini.

Kamanda wa Polisi katika Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, amemtaja mgonjwa anayedaiwa kufanya tukio hilo baya la kusikitisha kuwa ni Daudi Denge, 24, mgonjwa ambaye aliokotwa toka Mwananyamala tangu tarehe 28 na kufikishwa Hospitalini hapo kwa ajili ya matibabu.

Akasema mtu huyo, aliamka ghafla toka kitandani alikolazwa na kuchukua stendi ya dripu kabla ya kuwapiga wenzake. Amesema kuwa katika tukio hilo, watu wagonjwa wawili ambao ni Bw. Paul Maganga, 30 na Abdul Kadri Abeid, 27, walifariki dunia kwa kuumia vibaya sehemu za kichwani.

Aidha, amesema kuwa mlinzi aliyekuwa zamu, Bw. Mohamedi Hassan, aliweza kupambana na mgonjwa huyo na kufanikiwa kumdhibiti kwa kumnyanga'nya stendi hiyo na kisha kumfunga kamba, hivyo kuzuia maafa zaidi kwa wagonjwa wengine.

Akasema hadi sasa, Polisi wanamshikilia mtu huyo kwa tuhuma zinazomkabili huku uchunguzi wa kina ukiendelea kuhusiana na tukio hilo. Naye Mkurungezi Mtandaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili, Prof. Leonard Lema, amesema kuwa wagonjwa wanne waliojeruhiwa wamepelekwa chumba cha upasuaji kwa majeraha waliyoyapata na mmoja wa tano yungali akiendelea na matibabu wodini.

Katika taarifa yake iliyotolewa kwa vyombo vya habari, Prof. Lema amesema kuwa uongozi wa Hospitali hiyo unawasiliana na viongozi wa Wizara ya Afya kwa hatua zaidi kuhusu tukio hilo. Amesema kuwa taarifa zaidi zitatolewa baada ya uchunguzi kukamilika kuhusiana na tukio hilo.

Aidha, Prof.lema ameomba radhi kwa jamii na familia zilizopoteza wapendwa wao na pia, wale ambao wagonjwa wao wamejeruhiwa. Hadi sasa, miili ya marehemu wote wawili imehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali hiyo ya Muhimbili.

SOURCE: Alasiri

Monday, August 11, 2008

Mwizi auawa Dar!

Mara ngapi umewahi kushuhudia mwizi anapigwa na wakati mwingine anapigwa hadi kufa. Wakati mwingine si mwizi ila basi tu mtu alikuwa ana visa na mtu anasema, "mwizi huyo!" basi jamaa anapata kipigo.

Niliwahi kuona mwizi anapigwa hadi kufa Ubungo miaka ya 90. Polisi walivyofika, moja alisema kwa utani, "asante kwa kutupunguzia kazi!" Loh!

****************************************
Kutoka ippmedia.com

Mtuhumiwa wa wizi Dar auawa

2008-08-11

Na Usu-Emma Sindila, Jijini

Mtu mmoja anayesadikika kuwa ni kibaka ameuawa kinyama na wananchi wenye hasira huko Mbagala baada ya kuchomolewa toka katika chumba cha wauguzi alikokuwa amejifika katika zahanati ya wazazi ili kujiokoa.

Kamanda wa Mkoa wa Kipolisi wa Temeke, Emmanuela Kandihabi, ameiambia Alasiri mapema leo asubuhi kuwa, tuki hilo limetokea jana mishale ya saa 4:00 usiku pale Mbagala Kizuiani katika Zahanati ya Wazazi.

Akielezea tukio hilo, Kamanda Kandihabi amesema, kwa mujibu wa mtoa taarifa ambaye pia ni Muuguzi katika zahanati hiyo, Merina Kuitika, amedai kuwa akiwa kazini alishtukia mtu akiingia ghafla hospitalini hapo na kuingia katika chumba cha kubadilishia nguo manesi na kisha kujifungia.

Amesema akiwa bado hajang'amua nini kinachoendelea, alishtukia umati mkubwa wa watu ukijitoma ndani ya zahanati hiyo huku wakipiga kelele za mwizi, na kisha kwenda kuuvunja mlango wa chumba hicho na kumchomoa mtu huyo.

Kamanda Kandihabi amesema baaada ya kumchomoa mtu huyo walianza kumpiga kwa mawe na fimbo hadi alipofariki dunia. Amesema mwili wa marehemu umehifadhiwa katika chumba cha kuhifadhia maiti cha Hospitali ya Temeke.

SOURCE: Alasiri

Monday, June 16, 2008

Bi Kizee Muaji

Betty Johnson Neumar

Mtazame vizuri huyo bi kizee pichani. Huyo ni Betty Johnson Neumar (76). Amekamatwa na polisi huko Charlotte, North Corolina kwa tuhuma za kumkodi mtu kumwua mume wake.

Huyo bibi aliolewa mara tano, na wanaume wake wote watano wamekufa. Moja kafa kwa kupigwa risasi (walisema alijipiga mwenyewe) miaka ya 1950's. Mwingine naye alikufa kwa kupigwa risas mwaka 1986. Mwingine kafa baada ya kupata infection ambato sasa wanadhani kuwa alilishwa sumu.

Watu wanasema kuwa alikuwa anasimulia hadithi za ajabu akiulizwa kuhusu vifo vya wanaume hao. Sasa polisi wanamchukuza kwa makini. Mbona miaka mingi imepita hivyo?

Kwa habari zaidi someni:

http://www.cnn.com/2008/CRIME/06/16/cold.cases.ap/index.html

http://ap.google.com/article/ALeqM5gHG3MzunhA7wcxcqqxhtTf4tUfzQD91B85IGJ

http://www.mirror.co.uk/news/topstories/2008/06/14/black-widow-betty-89520-20606477/

Monday, January 07, 2008

Amwua na Kumpika Mpenzi wake


Kuna nini ndani ya maji ya Texas inayofanya watu wanaoiinya kufanya vituko?

Leo kuna habari kuwa huko Tyler, Texas, jamaa fulani tena mmarekani mweusi, kamwua mpenzi wake, Jana Shearaer (21). Baada ya kumwua kamkatakata vipande, kachemsha vipande hivyo, na kuweka mezani pamoja na uma na kisu tayari kwa kula.

Polisi wanasema walivyofika nyumbani kwa, Christopher Lee McCuin (25), walikuta sufuria ya supu inachemka jikoni, juu ilikuwa inaelea sikio la bindamu. Mezani kulikuwa na kipande cha nyama ya binadamu iliyopikwa na uma ilikuwa ndani tayari kwa kula! DUH! Mauji na vituko vilivyofuata alifanya nyumbani kwa mama yake.

Christopher alimwita mama yake kuja kushuhudia alivyofanya, ndo mama yake alikimbia kwenda kuita polisi.

Polisi hawajui kama alimla sehemu au la. Itabidi kinyesi chake kipimwe.

Mungu ailaze roho ya marehemu mahali pema mbinguni. Amen.

Kwa vile hayo mauji yalitokea Texas, huyo Christopher atahukumiwa adhabu ya kifo.

Kwa habari zaidi someni: