Thursday, November 10, 2011

Zilipendwa - Sweet Mother

Tuesday, November 08, 2011

African American Veterans Military Art Exhibit Boston 11/15/11

On November 15th 2011 at 3PM until 5PM the William E. Carter American Legion Post No. 16 located at 1531 Blue Hill Ave. in Mattapan will open “African American Veterans Military Contributions,” Art Exhibit followed by a reception. The Art depicts these important historic times of valor and sacrifices were created by a youth after school art project sponsored by Artists for Humanity and commissioned by Tri-Ad Veterans League, Inc. Education and Research Center. For more information call, (617) 966-9594.

Joe Frazier Afariki Dunia!

Joe Frazier (kushoto) na Muhammad Ali



Joe Frazier (1944 - 2011)

Bondia maarufu   Joe Frazier amefarikia dunia.  Frazier alipigana na Muhammad Ali mwaka 1971 katika pambano kali iliyoitwa 'Fight of the Century'.  Habari zinasema kuwa madaktari waligundua kuwa Frazier anaumwa kansa ya ini wiki sita tu zilizopita.  Alikuwa ana miaka 67.   Frazier hakumpenda Ali kwa sababu alijaribu kumsaidia alipopatwa na matatizo ya kuzuiliwa kupigana. Jibu la Ali ilikuwa kumwita Frazier 'Sokwe' (gorilla) kwa vile alikuwa mweusi sana kulingana na weupe wa Ali. Mungu ampumzishe mahala pema mbinguni. Amen

Kwa habari zaidi BOFYA HAPA:

Sunday, November 06, 2011

Birthday ya Dada Doreen, Rhode Island

Jana Dada Doreen wa Rhode Island amesherekea Birthday yake ya 50 kwa party kabambe! Watu walijitokeza kwa wingi kusherekea naye.

Happy Birthday Dada Doreen!

Dada Doreen (mwenye blausi ya kijivu)


The Birthday Girl

Dada Doreen na baadhi ya Wageni

Dada Doreen akishika picha ya Mama yake mzazi wakato Wimbo "Sweet Mother" ulipigwa.

CCM = Afro Shirazi Party + TANU

Sikiliza huo wimbo kuhusu Vyama Vya Siasa Vya Afro Shirazi Party na TANU

http://mwanasimba.online.fr/E_taarab_afro.htm

Bibi Titi na Mwalimu wakihotubia Wananchi enzi za TANU

Wednesday, November 02, 2011

King Kiki Atakuwa Leominister, MA Jumamosi 11/5/11


Mwimbaji maarufu wa Tanzania, King Kiki, Anawakaribisha Leominster, MA Jumamosi Novemba 5, 2011

One Night Only!

Knights of Columbus Hall
484 Lancaster Street
Leominster, MA 01453

Saturday, November 5th, 2011  8:00PM - 2:00PM
$15 in Advance  $20 At the Door

Call Isaac at 413-219-1153
Siraji  at 978-478-1164
Rich at 413262 040

King Kiki Safarini Boston

Saraji, Maneno, King Kiki, mimi na Charles Jackson

King Kiki Cambridge, MA leo jioni

Namkabidhi King Kiki Kanda ya Bongoland 2
Wadau, mwimbaji maarufu wa Tanzania, King Kiki, atafanya  Maonyesho maalum, huko Leominister, MA siku ya jumamosi.  Leo kanitembelea nyumbani kwangu Cambridge. Alikuja na vijana wengine wa Leominister ambao leo ndo nimewajua.  Nilikuwa nasikia majina tu. Nimefurahi mno kuwakaribisha ingawa kwa muda mfupi. Nilimpa  King Kiki zawadi ya DVD ya Bongoland II.

Monday, October 31, 2011

Arusi ya Musau Kabongo na Orrin Kennedy Boston

Wadau, napenda kwajulisha kuwa ya binti tuliyemfanyia Kitchen Party mwezi uliopita ameolewa jana, jumapili 30.10.11 hapa Boston. Binti Musau Kabongo ameolewa na kijana Orrin Kennedy ambaye asili yake ni kisiwa cha Trinidad.  Musau ni mtoto wa Dada Margaret Kabula kutoka Mwanza lakini anakaa Boston sasa. Baba Musau anatoka Congo. Arusi ilifanyika kwenye kanisa la Seventh Day Dorchester, MA na Reception ilifanyika DAV Function Hall Braintree, MA.
Mimi na Wana Arusi Musau na Orrin


Musau na Orrin Kabla ya Kukata Keki

Dada Doreen Kutoka Rhode Island Akisimamia Chakula

Bwana Arusi Akitafuta Garter kwenye mguu wa Bibi Arusi
 
Kama Kawaida Akina Mama waTanzania walipika Chakula Kingi

Orrin na Musau Wakikata Keki

Wageni Wakijipatia Mlo
Mama wa Bibi Arusi, Margaret Kabula (amesimama) na Vicky Mareaelle na mume wake

Mimi, wana arusi na kulia kabisa ni Rafiki yangu na msanii mwenzangu Charles Jackson Aka. Mzee Matumbi

Happy Halloween!


Kwa wenye watoto wanaoenda Trick or Treat, wa Trick or Treat Salama. Pia wapige mswaki kabla ya kulala hizo pipi zisioze meno.

Kumbukumbu - Bernadette Wawuda Msafiri

KUMBUKUMBU


Marehemu Bernadette Wawuda Msafiri (pichani)

October 24, 1943 – November 1, 2010

Hatukujua asubuhi ile Mungu angekuita.Katika maisha tulikupenda na katika kifo hivyo hivyo. Tulivunjika moyo kukupoteza, hukwenda peke yako bali sehemu yetu ilikwenda pamoja nawe siku ile Mungu alipokuita nyumbani. Umetuachia kumbukumbu nzuri, upendo wako ni muongozo wetu. Japo hatukuoni wakati wote uko pamoja nasi. Kiungo katika familia yetu kimevunjika, maisha yetu hayako sawa tena. Lakini kadri Mungu atakavyotuita mmoja mmoja viungo vitaungana tena.

Unakumbukwa na Mume wako, watoto, wajukuu, jamaa na marafiki.

Kutakuwa na Misa ya Kumbukumbu siku ya Jumatano tarehe 2 Novemba 2011 saa 11 jioni katika makaburi ya KONDO ( Tegeta ), Dar es salaam

Nyote mnaalikwa.

Saturday, October 29, 2011

Lesbo Amwua Mke Wake!

Jamani, tumezoea ndoa za mke za mume. Mara kwa mara tunasikia kuwa moja kamwua mwenzie. Lakini hapa Marekani mikoa kadhaa kama hapa Massachusetts, mwanamke anweza kuoa mwanamke au mwanaume anaweza kuoa mwanaume. Gay/Lesbian marriage. Nao pia kumbe wana matatizo kama waliokwenye ndoa za kawaida. Wanaachana, wana wivu, wanagombana, wanapigana na hata kuuana.

Leo kuna habari kuwa mwanamke kamwua mke wake hapa Massachusetts.  Ndiyo ni malesbo. Habari zinasema kuwa ndoa ya ilikuwa na matatizo mengi, hatimaye moja kamwua mwenzake.

**************************************************
NORTHAMPTON, Mass. (AP) - Prosecutors say a Rhode Island woman had a turbulent relationship with her wife and they both faced severe financial problems before she strangled her spouse in their Massachusetts home.

Prosecutors allege 45-year-old Cara Rintala tried to cover up the killing by cleaning the crime scene and throwing paint on the body of 37-year-old Annamarie Rintala.

A Hampshire Superior Court judge on Friday ordered her held without bail, but her attorney may ask for another bail hearing after reviewing the case again.

Cara Rintala is charged with the March 2010 slaying in Granby. She was arrested in Narragansett, R.I., and has pleaded not guilty to murder.

Annamarie Rintala's body was found in the basement of the home. The victim worked as a paramedic.

Sweet Eazy Fundraiser on November 5, 2011

Dear All

On Saturday, 5 November 2011, the Rotary Club of Dar es Salaam Oysterbay and the Wonder Workshop jointly organize a fund raising dinner and dance.

You will be treated to a delicious Buffet Dinner at Sweet Eazy Oysterbay. The Mark Band will entertain throughout the night. You can win fabulous Prizes donated by the Wonder Workshop, Ras Kutani, Seacliff Hotel and other generous sponsors. In brief: it is an evening you do not want to miss.

The price of dinner & dance is TZS 50'000/= pp. Dance only tickets (from 11pm) are sold @ TZS 10'000/= pp. All proceeds will be donated to the Wonder Workshop. Tickets are now available at Sweet Eazy.

For more details see the below flyer.


Wednesday, October 26, 2011

Gaddafi Aliwatendea WaTanzania Mabaya - Vita Vya Kagera


Inaelekea waTanzania wengi wamesahau historia kati ya Libya na Tanzania. Marehemu Gaddafi alikuwa rafiki yake mpenzi nduli mshenzi Dikteta Idi Amin Dada wa Uganda!  Gaddafi alitaka Amin amwoe binti yake! Gaddafi alituma wanajeshi kutoka Libya kuwasaidia Uganda katika vita vya Kagera mwaka 1978-79.  Sisi wazee tunaukumbuka huo vita na miezi kumi na nane (miaka 18) ya shida iliyofuata!  Maoni chini yameandikwa na mwanachama la kundi - Wanabidii
Gaddafi alipotembela Uganda mwaka 1973
 ...Wanabidii!


Binafsi nachukia sana kuandika bila ya ushahidi! Na zaidi sipendi kuandika "propaganda" na taarifa za uzushi; isipokuwa napenda kuandika taarifa zilizotafitiwa kwa kuandikwa na mtafiti mwenyewe (na au mwandishi aliyeandika matokeo ya utafiti au kufanya upembuzi wa utafiti husika). Takriban wiki moja sasa (tangu Alkhamis ya tarehe 20 Oktoba, 2011) uwanja wa "Wanabidii" na majukwaa mengine ya kijamii yamekuwa yakijadili "Kuuawa kwa Kanali Muammar Gaddafi" kulikofanywa na wale wanaoitwa waasi (wa NTC) wakisaidiwa na NATO wakiongozwa na Uingereza, Marekani, Ufaranza na washirika pamoja na Waarabu (Saudia na Qatar). Gaddafi ameuawa; kwa jinsi gani, kila mmoja amesoma, ameona (kwenye picha za mnato) na au kwenye picha za video!

Ninachotaka kuandika na pengine kuanzisha "mjadala" wa kiakili ni juu ya "GADDAFI KUMSAIDIA IDI AMIN DADA KWENYE VITA VYA KAGERA [UGANDA DHIDI YA TANZANIA MWAKA 1978 HADI 1979]". Napenda niweke wazi kwamba, "historia haisomwi ili kufufa 'chuki' bali husomwa kujua yaliyopita, kuyasanifu yaliyopo na kupanga mipango kwa yajayo!". Hivi ndivyo tunavyosoma historia iwe yenye kuhuzunisha au kufurahisha! Tanzania ilipigana vita na Uganda, vita iliyoitwa VITA YA KAGERA (japokuwa ilipiganwa hata ndani ya Uganda na Idi Amini Dada kufurushwa na kuikimbia Ugnda!).

Kwa ujumla, tangu pale kifo cha Muammar Gaddafi kilipotangazwa kwa mara ya kwanza na kituo cha runinga cha Al-Jazeera na kukaririwa na vituo vingine na mashirika ya habari ya kimataifa kama BBC, CNN, Reuters, Xinhua, AFP, AP na IRNA (Press Tv) kumekuwa na mchanganyiko wa "mawazo" kwa wananchi wa Tanzania juu ya "hali" ya Gaddafi kisiasa katika mtazamo wa kifalsafa...hususan wengi wa wachangiaji kwenye mijadala hiyo wanamuona Muammar Gaddafi kama "shujaa" na "mwanamapinduzi" na "kiongozi mtukuka" na "aliyejitolea kuunganisha Afrika" na hata wengine kufikia kiasi cha kuonyesha kwamba hajawahi kutokea kama Muammar Gaddafi na hata kumpa "daraja" ya kuwa "Baba wa Afrika" na mshumaa uliyozimika! Hata hivyo wengi wamesahau kamba ni Muammar Gaddafi ndiye aliyemsaidia Idi Amin Dada kwenye Vita vya Kagera! Naomba sasa tuangalie nini alifanya Gaddafi wakati wa vita vile.

Vita vinahitaji rasilimali watu (askari na wataalamu wa kijeshi), fedha za kuendeshea vita na zana (za kivita na za mawasiliano ya kivita). Kwa mujibu wa taarifa rasmi na zinazothibitishwa na taarifa rasmi za kihistoria Muammar Gadafi alimpa Idi Amin Dada usaidizi ufuatao:

1. WANAJESHI (WAPIGANAJI) 3,000 (Elfu tatu kutoka Libya na nchi zilizokuwa na mahusiano na Libya ambazo Gaddafi likuwa anazisaida na zenye uzowefu wa mazingira ya vita [military knowhow and skills on interlocustrine terrain]);

2. ZANA KAMA VIFARU AINA YA T-54, T-55, BTR, APCs, BM-21, Katyusha MRLs;

3. MIZINGA; na

4. NDEGE ZA KIJESHI AINA YA MiG-21s na Tu-22 Bomber.

Wanajeshi wa Libya waliyotumwa Uganda walikuwa katika makundi yafuatayo: ASKARI WA KAWAIDA; WANAMGAMBO; NA ASKARI WA VITA VYA MSITUNI (WENYE UZOWEFU WA VITA VYA KIENYEKI KUTOKA JANGWA LA SAHARA [MAARUFU KAMA WATUAREG KUTOKA TCHAD, NIGER, ALJERIA NA DARFUR]). Hata hivyo, shukrani za pekee kwa Jeshi la Wananchi wa Tanzania (TPDF) waliyefanyakazi ya ziada ya kujitoa mhanga kupigana "kiume" na hatimaye kuyashinda majeshi ya Idi Amin Dada akisaidiwa na Muammar Gaddafi. Hata ilipofika mwezi wa Aprili, 1979 na Idi Amin Dada alipopoteza udhibiti wa nchi ya Uganda aliamua "kuikimbia" Uganda na kituo chake cha kwanza kilikuwa Libya (kwa Muamar Gaddafi) na alipewa "hifadhi" ya muda na baadaye kwenda "uhamishoni" nchini Saudi Arabia (alikoishi hadi kufa kwake akiwa Jeddah).

Kwa wasomaji na "wanabidii" na wengine wanaomtazama Muammar Gaddafi kwa kusahau "aliyoyafanya" dhidi ya kumsaidia Idi Amin Dada kuendesha vita na Tanzania nadhani wana wajibu wa kujiuliza masuala haya (hii ni pamoja na Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ambayo inawajibu wa kusema ukweli):

1. Wamesahau "hadithi" hii ya Vita vya Kagera? Au, vita hivi vilikuwa "propaganda" ya kisiasa?

2. Gaddafi alidhamiria nini kumsaidia Idi Amin Dada aliyeapa kuisambaratisha nchi (Tanzania) na kwa kuanzia aliteka Kagera na kuifanya sehemu ya Uganda?

3. Kama Idi Amin Dada wa Uganda alitangazwa "dikteta", "bundi", "joka", "fisi mla watu", na masimulizi mengine ya kutisha (hata ya kula nyama za watu); mtu aliyekuwa akimsaidia mtu wa aina hiyo (kama Gaddafi) anaitwaje?

4. Je, historia ya Vita vya Kagera iliandikwa kwa wino "gani" hadi leo imesahaulika?

5. Au, wote wanaodhani kwamba Muammar Gaddafi ni "shujaa" wa Afrika wamezaliwa miaka ya 1980? Na kwa jinsi hiyo hawajui kilichotokea kati ya miaka ya 1978 na 1979?

Mwisho, siandiki haya katika kuwakumbusha "majonzi" wananchi wa Kagera waliyeuawa kikatili na Idi Amin Dada; siwakumbushi machungu ya kutiwa vilema vya maisha; siwakumbushi madhila ya "kubakwa" wanawake kulikofanywa na askari wa Idi Amin Dada; na wala siwakumbushi jinsi mali zao (mashamba na nyumba) zilizvyoharibiwa na "ushenzi" wa Idi Amin Dada! Nataka niwakumbushe kwamba, "hatuwezi kurudisha nyuma historia; lakini ni wajibu kuisoma ili vizazi vijavyo vipate kumbukizi yenye kujenga mujtamaa wao." Gaddafi alikuwa "rafiki" na wakati huohuo alikuwa "adui" kwa vile alikuwa na "sura mbili ndani ya moja".

Na kwa serikali (iliyoonekana kumuunga mkono); hii ni dhana (binafsi) inawezekana Muammar Gaddafi alilipa sehemu ya "maumivu" ya vita alivyomsaidia rafiki yake mpenzi Idi Amin Dada...kama ndivyo, basi ni vema watuambie! Hatuwezi kusomeshwa historia ya "uongo" juu ya Muammar Gaddafi kumbe "mtu" huyu (yaani Gaddafi) alikuwa "mtu mwema" na kiongozi "mzuri" kuliko hata Mzee Mandela na Mwalimu Nyerere...naomba tuwe "wakweli" na kwa kusisitiza: UKWELI UTATUWEKA HURU; KAMA GADDAFI ALIKUWA RAFIKI WA AFRIKA KWA NINI ALIMSAIDIA IDI AMIN DADA KUTUPIGA? TAFAKARI SEMA UKWELI JAPOKUWA UKWELI WENYEWE NI DHIDI YA NAFSI YAKO!

Bakari M Mohamed, BBA[PLM], CPSP[T], MSc (PSCM)

Tuesday, October 25, 2011

Message from Aunt Dorothy to Herman Cain

GOP Presidential Candidate Herman Cain

Received Via Email:

MESSAGE TO HERMAN CAIN

The greeting on your website says, "we are looking forward to hearing from you", but I'm not sure you will be looking forward to hearing from me, Mr. Cain.

I saw on the internet that you called the President a liar. I deplore what you are doing and the things you are saying about the President in order to gain favor with these greedy, thieving, selfish, Republicans. How dare you call President Obama a liar. You are a pathetic, obviously brainwashed black man who has lost his way and his mind. You have had opportunity and a smattering of privilege in America that has made you forget your roots. I despise people like you and Clarence Thomas, and you both have Georgia roots.

What is it with you black men from the south who grow up in an oppressed environment and end up siding with the oppressor? The recent case of Troy Davis in Georgia is an excellent example of the present day oppression and legal lynching that still takes place in that state and in this country. The political party that you praise so highly is presently enacting laws to suppress the black vote, the student vote, and many elderly voters across this entire country. Yet, you choose to stand with people who display such obscene and un-American behavior. You would throw black people (including the President of the U.S.) and others under the bus to curry favor with these non-caring and hedonistic people.

You were there when your Republican cohorts cheered about the death penalty which disproportionately affects black men and women in this country - some of whom have been proven to be innocent. You should be ashamed to stand with these people and yet, you appear to be proud of such an association.

Yes, President Obama does believe in fairness and sharing the responsibility of the tax burden, it is not socialism nor is it class warfare, and he is not a liar for saying it. That kind of rhetoric from you and those with whom you identify is nothing more than a weak defense for the greedy and despicable philosophy that you choose to embrace.

You had the unmitigated gall to tell Wolf Blitzer on CNN that two thirds of African-American people are brainwashed and incapable of thinking for themselves. You are surely touched in the head. The millions of us who are capable of thinking for ourselves - we know who is really brainwashed - you - brainwashed whiter than snow.

Do you really think those people with whom you stand on the debating platform really respect you and see you as their equal? They as well as others see you as a joke and a person who is engaging in buffoonery. A Republican majority House and Senate would never pass your "so called" 999 plan. They would never deem it in their best interest. Besides, there are many who believe your plan is a coded message from Satan. If you flip the numbers they become the 666 plan.

You will never be President of this country, and I thank God for that. I must say, you certainly live up to your last name. Just as Cain in the Bible so blatantly slew his brother, you are equally willing to do the same politically and economically to millions of black and middle class citizens of this country. Such behavior is extremely ugly, and need I remind you, Mr. Cain, that God does not like ugly.

P.S. If it wasn't for the fact that I'm having a nice day, I would tell you what I really think about you. IF YOU ARE TIRED OF WHITE AND BLACK REPUBLICANS CALLING PRESIDENT OBAMA A LIAR- PLEASE FORWARD THIS SO OTHERS MAY KNOW THE TRUTH.

Have a Blessed Day!

Aunt Dorothy

Monday, October 24, 2011

Polisi Kenya Watoa Onyo Kuhusu Nairobi na Mombasa!

SECURITY UPDATE - PLACES YOU SHOULD AVOID IN NAIROBI

ALERT:

Police have issued a statement giving areas, we should avoid in Nairobi and Mombasa.

In Nairobi

Avoid Corner House, Burger Dome, Ambassadeur Hotel, Akamba Bus, Marble Arch Hotel, River Road, Bus Station and Betty’s Pub.

In Mombasa:

Be on the lookout the Mtongwe ferry and Nakumatt Nyali.

If you must be in these places, be on high alert for suspicious activity or characters.


Report anything un-toward by calling 999 or 112.
The calls go directly to Vigilance House.

Listen to the radio (esp. 98.4 Capital FM Radio Jambo) for more updates as they come.

Stay Safe!

Onyo Kwa Watalii Kenya!!! (Travel Warning for Kenya)

Halahala kwa wanaosafiri kwenda Kenya! Magaidi waSomali wamepania kulipua sehemu wanazotembelea watalii Kenya!

*******************************************************
Kutoka CNN.com

Nairobi, Kenya (CNN) -- The U.S. Embassy in Kenya warned it has credible information of an imminent terror attack, days after the east African nation announced it is sending troops to Somalia to battle Islamist militants.


The attack is likely to target places that foreigners congregate in Kenya, including malls and night clubs, the embassy said.

The U.S.Embassy did not offer details on who might carry out such an attack, but said it has taken measures to limit official U.S. government visits. It urged its citizens to consider deferring travel to Kenya.

The warning comes after Kenya sent troops across the border into Somalia to pursue Islamist Al-Shabaab militants. The terror group has threatened Kenya with retaliatory attacks, saying it considers the forces' incursion an affront to Somalia's sovereignty.

Al-Shabaab, which is linked to al Qaeda and has been designated a terrorist organization by the United States, is fighting to impose its own interpretation of Islamic law, or sharia, on Somalia.

Kenya has blamed some recent abductions of tourists and aid workers on the terror group, which has heightened tensions.

On September 11, armed bandits broke into a beachfront cottage where Britons Judith and David Tebbutt, both in their 50s, were staying. David Tebbutt was shot dead while trying to resist the attack. His wife was grabbed and spirited away on a speedboat, and is believed to have been taken into Somalia.

On October 1, pirates made another cross-border raid, this time snatching a French woman in her 60s, who used a wheelchair and was believed to be in bad health, from a holiday home on Manda Island where she lived part of the year. She later died, likely because of the kidnappers' refusal to give her medicine, according to the French Foreign Ministry.

Also this month, gunmen abducted two Spanish workers from the medical charity Doctors Without Borders from the Dadaab refugee complex, about 80 kilometers (about 50 miles) from the Somali border.

Al-Shabaab has denied responsibility for the abductions.

**************

UPDATE:   NAIROBI NIGHT CLUB BOMBED

Monday 10/24/11
(CNN) -- Twelve people were injured when someone either placed or threw a grenade into a Nairobi night club early Monday morning, Kenyan police said.


Police have not linked the attack to any particular group, but it comes a day after the U.S. Embassy in Kenya warned it had credible information of an imminent terror attack.

"We have not yet linked attacks to anybody as we are still investigating," said police spokesman Charles Owino. "We will give you an answer when we're satisfied with what we have. It could be Al-Shabaab or an individual. We are still investigating."

Kwa habari zaidi BOFYA HAPA:

‘Rushwa ya Ngono Inatumika Kupata Ubunge’

Ni Kweli rushwa za Ngono zimezidi Tanzania!
***************************************************
Kutoka Gazeti la Habari Leo.


UTAFUTAJI wa vyeo kama ubunge na vingine vya maofisini miongoni mwa wanawake wasiojiamini, ni sababu kubwa ya kuendelea kuwepo kwa rushwa ya ngono nchini.

Aidha, imeelezwa kuwa matumizi mabaya ya madaraka yanayofanywa na baadhi ya wanaume ni kichocheo kingine cha rushwa hiyo, inayochangia nchi kuwa na viongozi wasio na uwezo, maadili mema, kwa asilimia kubwa.

Akizungumza wakati wa mkutano wa Kamati ya Bunge ya masuala ya Ukimwi iliyokutana Dar es Salaam mwishoni mwa wiki, kujielimisha kuhusu unyanyasaji wa jinsia nchini, Mbunge wa Viti Maalum, Hilda Ngoye (CCM) alisema rushwa hiyo ipo na inarindima hata kwa wabunge.

Huku akiungwa mkono na Waziri Kivuli wa Afya na Ustawi wa Jamii, ambaye pia ni Mbunge wa Biharamulo Magharibi (CHADEMA), Dk.Gervas Mbassa, Ngoye alisema anachokizungumza kinafanyika si tu katika kuutafuta ubunge, bali hata katika kutafuta vyeo maofisini.

Wakati akisema hayo, Mbunge wa Viti Maalu, Margret Mkanga (CCM) alishtuka kwa mshangao ulioashiria kuisikia habari hiyo kwa mara ya kwaza na ndipo Ngoye alipomwambia, “Usishangae! It is a practical example, akimaanisha kuwa alichokizungumza ni mfano hai uliopo.

Kwa upande wake, Mbassa aliliambia gazeti hili kuwa hali hiyo ipo kweli na kwamba inatokana na kukosa utu miongoni mwa wanaoomba na wanaotoa rushwa ya ngono.

Alisema, wengi wanaojihusisha na rushwa hiyo na kushindwa kupata wanachokitaka huishia kuaibika au kupata maambukizi ya VVU huku walioigawa na kuupata uongozi wakiiharibu nchi kwa njia tofauti kutokana na kukosa maadili ya uongozi pamoja na uwezo wa kazi.

“Alichokisema Ngoye ni sahihi kabisa, rushwa ya ngono ipo hata kwa wabunge. Lakini pia ipo katika nyanja zingine ambazo si za siasa. Watu wanataka uongozi wakati wanajua hawana uwezo na matokeo yake wanaamua kutumia miili yao.

“Ufike wakati Watanzania tuikatae na kuthamini utu vinginevyo nchi itajaa viongozi watakaotusababishia matokeo mabaya,” Ndassa alisema.

Wakati huo huo, baadhi ya wabunge wanaounda kamati hiyo wamewataka wanafunzi wanaoombwa rushwa ya ngono kutoa taarifa kwa maofisa wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) ili wahusika wakamatwe na kushitakiwa, kwa sababu kitendo hicho, licha ya kuwa kosa la jinai, kinatumiwa na wengi kusambaza VVU.

Mbunge wa Viti Maalum, Rosweeta Kasikila (CCM) na Mbunge wa Kilindi, Beatrice Shelukindo (CCM), walisema hayo kwa nyakati tofauti wakati wakitoa michango yao, kuhusu unyanyasaji wa kijinsia, unaohusisha ngono nchini.

Kasikila ambaye ni Kaimu Mwenyekiti wa Kamati hiyo, alisema kuwa wanafunzi ni waathirika wakubwa wa rushwa ya ngono na kwamba wanahitaji kupewa elimu zaidi juu ya athari za rushwa hiyo ya ngono kwa watu mbalimbali wanaowarubuni ili waikatae na kuwaripoti wanaowashawishi kuishiriki.

“Wapo wasichana na hata wavulana jasiri wanaowaeleza maofisa wa Takukuru kuhusu kuombwa rushwa ya ngono na hivyo kuandaa mitego inayowezesha kunaswa kwa wengi wao na kushitakiwa.

Hiyo ni njia mojawapo inayoweza kusaidia kupunguza kuenea kwa maambukizi ya VVU ambayo wengi wao huyapata wanaposhiriki kujamiiana huko”, Kasikila alisema.

Naye Shelukindo alisema kuwa wanafunzi wanastahili kujengewa ujasiri wa kuwaeleza wakubwa wao na taasisi zinazoshughulikia masuala ya haki zao ili kukomesha vitendo vya unyanyasaji vinavyofanywa dhidi yao, kama vile kuhisishwa katika masuala ya kujamiiana kwa kurubuniwa kupata wanachokihitaji.

Alisema, rushwa ya ngono haistahili kuwepo mahali popote pale kwa kuwa ni njia mojawapo inayochochea maambukizi kutokana na ukweli kuwa mara nyingi wahusika wanaoishiriki hawapati muda au kukumbuka

CHANZO: Gazeti la Habari Leo

Sunday, October 23, 2011

A Poem for the Late Colonel Gaddafi

POEM
 
I had a dream that the death of Gaddafi is a seed for the unification of Africa,
It is a wake up call for African leaders to mend and stop a fragmented Africa,
To heal Africa that is tormented by globalization statutes and mystica,
People of Africa must cry before the Holy Throne of God for a United Africa,
As we mourn Gaddafi we must endevour to eradicate oppression from Africa, 
 
The people of Africa must remember hundred and twenty years in the past, 
West domination in a conference in Berlin fragmented the African Continent,
African countries since then was colonized and put under a painful start,
Each country wa ruled and manourveered individually to deepened its lone root,
Colonialism disregarded that Africa was one people and one Continent.
 
Africa emerged from colonialism and was to begin the union struggle,
The struggle for the African togetherness, unity, freedom and independence,
Nkurumah, Lumumba and Nyerere, as Fathers of African Unity came,
And all wanted the unification of Africa to be one as it was before,
But they encountered the new world economic order as a stiff resistance.
 
In our midst stood neo-colonialism in form of support strain,
Globalization came as a gizmo and weapon for domination,
Brain drain out of Africa was a giant beast at its elevation,
Africa intensified the struggle for economic freedom to sustain,
But the economic freedom of lone countries was in suppression.
 
As they struggled, world economic giants expressed hidden joy,
They continued to rejoice in Africa's suffering, torments and agony,
They set massive arsenal to these poor countries to destroy,
Africa became a market for, political manoeuvre and technology,
Hour by hour, day by day; poorer Africa became each passing year.
 
As a Leader of the African Union; Gaddafi was a dazzling light in the Libyan capital,
A light that wanted Africa united; against all traits of neo-colonial cynical,
Before African leaders united; and took the lead to embrace the unification call,
Gaddafi was vanquished by NEO-COLONIAL mighty; the dream for one Africa fell,
A wave of revolution in the name of democracy has engulfed countries in the Sahel.
 
Gaddafis' call was vivid and clearer as the African Union was a vehicle to compel,
To let globalization be the vehicle of a regional grouping and strengthen trail,
Now African Leaders need to rekindle the tempo for unification to grow tall,
Gaddafi remains an icon of one Africa that will on that day stand on the union stall,
The day Africa will be the United States of Africa to dominate the economic ball.
 
 
By: Dr Dalaly Peter Kafumu

Matapeli Wameanza eti WaLibya Sasa!

Hao matapeli hawana haya hata kidogo!

**************************************************

My Dear Sir/ Madam,

I am writing this mail with tears and sorrow to seek for your assistance regards to my situation since the death of my parents, I know this letter might come to you as a surprise because we have not met each other or see face to face before. My name is Kadia Abdel Fattah Younes; from Benghazi –Libya, 23 yrs old female, Religion Muslim.

 My father of blessed memory by name late General Abdel Fattah Younes who was shot death by Islamist-linked militia within the anti-Gaddafi forces on 28th July, 2011 and after two days later my mother with my two brothers was killed one early morning by the rebels as result of civil war that going on in my country Libya.

I am now writing to seek for your assistance from Ouagadougou, Burkina-Faso where I managed to escaped nearby country through the help of United Nation after the death of my parents, and now seeking asylum in Refugee Camp here in Ouagadougou, Burkina-Faso, you can find more of my story through the BBC/ http://www.bbc.co.uk/news/world-africa-14336122

 Meanwhile, the main reason why I am seeking for your assistance is because of some money my late father was deposited in one of the banks here in Burkina Faso in my name as his next of kin which amount is (Six Million Eight Hundred Thousand Dollars ($6.8M). However, I have being advised by the bank manager to look for a foreign partner who will stand as my trustee to claim the fund due to my refugee status. It is my intention to compensate you with 30% of the total money for your services and the balance shall be my capital investment in your country through your help.

 Please get back to me if you are interesting by assisting me claiming the fund, so that I will give you all the details /contact of the bank where the fund are deposited.  Honestly i want the fund to be transferred into your account before I come over to your country to continue my education, honestly I am really suffering since I arrived in this country, it is too painful, but i hope with your help I will have the fund transferred into your account to enable me to come over to your country and have a better life to live in your country.

 As soon as i receive your interest in assisting me, i will put things into action immediately. In the light of the above, i shall appreciate an urgent message indicating your ability and willingness to handle this transaction sincerely.

Yours Faithfully,
Ms. Kadia Abdel Fattah.