Showing posts with label President Nelson Mandela. Show all posts
Showing posts with label President Nelson Mandela. Show all posts

Saturday, December 07, 2013

Paul Walker & Nelson Mandela

Photo by Dwight Bynum Jr.



REST IN PEACE PAUL WALKER & THE HONORABLE NELSON MANDELA (MADIBA)

Friday, December 06, 2013

Tanzania Kuomboleza Kifo cha Nelson Mandela Kwa siku Tatu


TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
 
Rais wa Jamhuri Ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Jakaya Mrisho Kikwete amemtumia Salamu za rambirambi Rais Jacob Zuma wa Afrika ya Kusini  na kupitia kwake, kwa mkewe Bi. Graca Machel, wanafamilia wote na wananchi wote wa Afrika ya Kusini kufuatia kifo cha Mzee Nelson Mandela kilichotokea  tarehe 5 Desemba, 2013 baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Rais ameuelezea msiba huu kuwa ni msiba mkubwa kwetu sote.
"Afrika ya Kusini, Afrika na dunia kwa ujumla imepoteza mtu mashuhuri na shujaa mkubwa wa Karne ya 20 na 21.Tunaelewa  machungu waliyonayo wananchi wa Afrika ya Kusini kwa kupoteza kiongozi shupavu, jasiri, mwana mapinduzi , mvumilivu na mstahimilivu".
Ameongeza Rais Kikwete.

Rais amemuelezea  Mzee Mandela kuwa ni  kielelezo cha aina yake kwa wanadamu kwa moyo wake wa kusamehe, huruma na upendo uliomuwezesha  kuwaunganisha wananchi wa Afrika ya Kusini kuwa  taifa moja baada ya kipindi kirefu cha mapambano dhidi ya ubaguzi wa rangi.

"Mandela  ni mfano bora kwa wanadamu wa  jinsi binadamu muungwana anavyopaswa kuwa . Ni wajibu wa wana Afrika Kusini, Afrika na dunia kwa jumla kuiga mfano wake hasa moyo wake wa uzalendo, kujitolea hata maisha yake kwa ajili yake na wananchi wenzake" .Rais ameongeza kusema, "Tuzidi kumuombea kwa Mwenyezi Mungu ailaze roho ya Marehemu Mzee Mandela  mahali pema peponi".

Kufuatia kifo hicho Rais ametangaza siku 3 za maombolezo kuanzia leo tarehe 6 hadi 8 Disemba, 2013.

Aidha, Mheshimiwa Rais ameagiza  kuwa katika siku hizo 3 bendera zote zipepee  nusu mlingoti.

Mwisho.
 
Imetolewa na;

Premi Kibanga,
Mwandishi wa Habari wa Rais Msaidizi,
Ikulu,
DAR AS SALAAM.

06 Desemba,2013

Rest in Eternal Peace Nelson Mandela

Photo by AFP 1994


REST IN ETERNAL PEACE 

THE HONORABLE NELSON MANDELA (MADIBA)

1918-2013

Saturday, June 08, 2013

Mzee Mh. Nelson Mandela Amelazwa Tena

Wadau, tumwombee Mzee wetu, Mh. Nelson Mandela (Mzee Madiba) wa Afrika Kusini. Amelazwa tena jijini Johanses burg kutokana na uginjwa wa mapafu.  Mzee Mandela ana miaka 94 na pia anasumbuliwa na matatizo ya uzee.

*****************************************


Former South African President, Nelson Mandela
Kutoka CNN.Com

Johannesburg (CNN) -- Former South African leader Nelson Mandela is in "serious but stable condition" at a Pretoria hospital with a recurring lung infection, the presidential spokesman said Saturday.
Mandela was hospitalized early Saturday after the state of his health deteriorated in the last few days, according to spokesman Mac Maharaj.

"He's receiving the best possible care," he said. "Everything is being done to ensure that he is comfortable and that he is getting better."

Maharaj said that the anti-apartheid icon is breathing on his own.

Mandela's wife, Graca Machel, is at the hospital with him, sources told CNN. She canceled her plans to attend the Hunger Summit meeting in London on Saturday.

South Africa's first black president gets round-the-clock care, and his house is retrofitted with medical equipment that mirrors that of an intensive care unit.
 
Mandela, 94, has become increasingly frail over the years and has not appeared in public since South Africa hosted the World Cup in 2010.
Despite his rare public appearances, news of his ailment spark concerns worldwide.

Kusoma habri kamili BOFYA HAPA: