Showing posts with label East Africa. Show all posts
Showing posts with label East Africa. Show all posts

Saturday, March 01, 2014

Mh. Shy-Rose Bhanji Aiomba Serikali ya Tanzania Kuwezesha WaTanzania Waifahamu EAC na Faida Zake

1069410_488216681262565_60269170_n

Katibu wa Wabunge wa Tanzania Katika Bunge la Afrika Mashariki, Mhe. Shy-Rose Bhanji (pichani) amerejea nchini baada ya ziara ya siku 10 ya Wabunge wa EALA nchini Kenya na hicho ndicho alichokisema kwa Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.

Nimerejea nchini baada ya ziara ya siku 10 nchini Kenya. Ziara hii ya wabunge wa EALA ilikuwa kwa mwaliko wa Serikali ya Kenya lengo likiwa kuhamasisha wananchi wa Kenya kupata ufahamu mkubwa juu ya Mtangamano wa Jumuiya na faida zake. Tulipata nafasi ya kuonana na wananchi, wafanyabiashara, wabunge, maseneta, magavana, asasi za kiraia na makundi mengine.

Ziara hii imenifungua macho zaidi kwamba bado tuna kazi kubwa mbele yetu kuhakikisha kuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki inakuwa ni ya Wananchi (people Centred Integration).

Kama nilivojionea mwenyewe kwa upande wa maeneo mbalimbali tuliyoyafikia bado mwamko wa ufahamu wa masuala ya EAC mdogo sana na kiu wa kuifahamu ni kubwa.

Hata hivyo Serikali ya Kenya kwa kuhakikisha wananchi wengi zaidi wanashiriki kikamilifu juu ya masuala ya Jumuiya imefufua mpango huu wa wabunge wa EALA kufika Kenya kuendelea na zoezi la uhamasishaji.

Ni imani yangu kwamba na Serikali ya Tanzania itaiga mfano huu mzuri wa kuwaalika wabunge wa EALA kufika nchini ili kuwafikia makundi mbalimbali hapa nchini kwa lengo la kuhamasisha. Hata kwa upande wa Tz bado ufahamu wa wananchi wengi zaidi juu ya masuala ya Integration ni changamoto kubwa.

Lengo kuu la uanzishwaji wa EAC ni kuinua hali ya kiuchumi kwa wananchi wa EA ambao sasa ni takriban millioni 140. Na iwapo mwamko wa wananchi ni mdogo basi lengo hili litachukua muda mrefu sana kufikiwa au kutokufikiwa kabisa.

Tuesday, January 29, 2013

Kimbunga Felleng Kutua Afrika Mashariki - Tropical Cyclone Felleng


THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
MINISTRY OF TRANSPORT
TANZANIA METEOROLOGICAL AGENCY

Telegrams:"METEO"DAR ES SALAAM.
Telephone: 255 (0) 22 2460706-8
Telefax: 255 (0) 22 2460735 P.O. BOX 3056
E-mail: met@meteo.go.tz DAR ES SALAAM.
http//www.meteo.go.tz

Our ref: TMA/1622 29th January, 2013

Information to the Public: Heavy Rainfall expected

Information No. 20130129-02

Time of issue(Hour)
EAT 6:00pm

Category:

1:Information  2: Advisory 3:Alert   4:Warning:

Advisory Valid from: Date 30th January, 2013

Valid to:Date 1st February, 2013

Phenomena/Hazard/Disaster Heavy rainfall (above 50 mm in 24hrs)

Level of Confidence: Medium

Expected affected Areas :

Some areas of Rukwa, Iringa, Mbeya, Njombe, Ruvuma, Morogoro, Lindi, Pwani, Mtwara regions and neighboring areas.

Text:

Existence of Tropical cyclone “FELLENG” over the North-eastof Madagascar which pulls moisture-rich air from Congo through above mentioned areas.

Advisory:

Residents of high-risk areas, users of land and sea; and Disaster management institutions are advised to take necessary precaution

Remarks: Updates regarding the mentioned Tropical cyclone will be issued when necessary

ISSUED BY TANZANIA METEOROLOGICAL AGENCY   *****************************************

Taarifa kwa umma: Uwezekano wa matukio ya mvua kubwa

Taarifa Na. 20130129-02

Muda wa Kutolewa Saa za Afrika Mashariki Saa 12:00 Jioni

Daraja la Taarifa:

1:Taarifa 2:Ushauri 3:Tahadhari 4:Tahadhari Kubwa:

Ushauri

Kuanzia:

Tarehe 30 Januari, 2013 Mpaka: Tarehe  01 Februari, 2013

Aina ya Tukio Linalotarajiwa

Mvua kubwa (zaidi ya milimita 50 katika kipindi cha saa 24 kilasiku)

Kiwango cha uhakika: Wastani

Maeneo yatakayoathirika Baadhi ya maeneo ya mikoa ya Rukwa, Iringa, Mbeya, Njombe,Ruvuma, Morogoro, Lindi, Pwani, Mtwara na maeneo jirani na mikoa hiyo.

Maelezo:

Kuwepo kwa kimbunga “FELLENG” kaskazini-mashariki mwa,Madagascar ambacho kinavuta upepo wenye unyevunyevu.kutoka Congo kupitia maeneo tajwa hapo juu.

Angalizo:

Wakazi wa maeneo hatarishi, watumiaji wa Bahari na nchi kavuwanashauriwa kuchukua tahadhari. Aidha taasisi zinazohusika na Maafa zinashauriwa kuchukua hatua stahiki.

Maelezo ya Ziada

Mamlaka inaendelea kufuatilia mwenendo wa kimbunga hicho,na kutoa mrejeo (updates) kila itakapobidi.

IMETOLEWA NA MAMLAKA YA HALI YA HEWA TANZANIA

Friday, February 18, 2011

Seeking Kenyans for Film!

East Africans, especially Kenyans, are needed to give
their personal feelings and thoughts about the region,
especially about Nairobi, for a film called "East Africa-
A Portrait" by Elmer Hawkes. Recording will take place in the
Boston area but participants may also submit their own
video clips to: info@worldstogether.com
provided that the ideas are short and to the point.
Thank you.

Contact Details: Elmer Hawkes Worlds Together 617 354-2207 info@worldstogether.com


Website http://worldstogether.com


Thursday, August 26, 2010

Tani 9 za Madawa Bandia Yakamatwa Afrika Mashariki


Kila siku tunasikia habari ya madawa bandia Bongo. Tunasikia watu wameugua zaidi na hata kufa shauri ya kununua au kupewa madawa bandia. Mwisho wake utakuwa lini? Serikali ifanye nini kukomesha hayo madawa bandia yasiingizwe nchini?

****************************************************

Kutoka CNN.Com

9 tons of fake medicine seized in East Africa

August 26, 2010 10:54 a.m. EDT

(CNN) -- Authorities have seized 9,072 kilograms (20,000 pounds) of counterfeit medicine and arrested 80 people suspected of illegal trafficking in six East African nations, Interpol said Thursday.

More than 300 premises were checked or raided in the two-month operation across Uganda, Burundi, Kenya, Rwanda, Tanzania and Zanzibar, according to a news release from the international police agency.

The confiscated loot included anti-malaria drugs, vaccines and antibiotics. There was also a significant quantity of government medicines diverted to illegal resale markets.

It was the third such seizure operation in as many years in East Africa, intended to curb the manufacture and distribution of counterfeit medical products.

Representatives of the six nations are scheduled to meet in Zanzibar next week to discuss the seizure and the extent of the counterfeiting problem, Interpol said.

The World Health Organization defines counterfeit drugs as "medicine, which is deliberately and fraudulently mislabelled with respect to identity and/or source."

Counterfeiting can apply to both brand-name and generic products, and forged products may include those with the correct ingredients or with the wrong ingredients, without active ingredients, with insufficient active ingredients, or with fake packaging, WHO says.

The United Nations agency created a global task force in 2006 to deal with the problem, which has been growing as international markets expand and become globalized and internet commerce has taken off.

The fake products can prove detrimental to public health efforts in disease-ridden countries and in worst-case scenarios can cause death, according to the WHO task force.