Showing posts with label Heroin. Show all posts
Showing posts with label Heroin. Show all posts

Saturday, January 14, 2017

Serikali Kuendeleza Mapambano ya Madawa ya Kulevya Nchini

 Waziri  wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba (katikati), akihutubia katika Maadhimisho ya Siku ya Familia ya Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni Dar es Salaam leo. Kutoka kushoto ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Kinondoni, Gift Msuya,Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Simon Sirro, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ali Hapi, Kamanda wa Polisi Kinondoni, Suzan Kaganda na Meya wa Manispaa hiyo, Benjamini Sitta.
 Waziri  wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba, akimkabidhi zawadi Mkaguzi wa Polisi, David Mabula.
 Ofisa wa Polisi Hamad akikabidhiwa zawadi na Waziri Nchemba.
 Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani Sajeni, Moses Alphance Sinyagwa akipongezwa baada ya kukabidhiwa zawadi ya pikipiki kutokana na ufanyakazi bora.
 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ali Hapi akitoa neno la shukurani katika maadhimisho hayo.
 Maofisa wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni wakiwa katika shindano ya kumkamata kuku kwenye maadhimisho hayo.
 Maofisa wa jeshi la polisi wakiwa kwenye maadhimisho hayo.
 Waziri Nchemba akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali.
 Waziri Nchemba akiwa katika picha ya pamoja na maofisa wa polisi waliotunukiwa vyeti.
 Hapa Waziri Nchemba akiwa katika picha ya pamoja na wadau 
kutoka akampuni yaliyodhamini maadhimisho hayo.
 Bendi ya Jeshi la Polisi ikitoa burudani.
Askari polisi, jamaa zao na waandishi wa habari  wakiwa kwenye hafla hiyo.

Na Dotto Mwaibale

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kupambana wa waingizaji na wauzaji wa dawa za kulevya nchini.

Mwigulu alitoa kauli hiyo wakati akihutubia katika Maadhimisho ya Siku ya Familia ya Polisi Mkoa wa Kinondoni jijini Dar es Salaam leo ambapo alikuwa mgeni rasmi.

"Serikali imejipanga  kupambana na dawa za kulevya ambazo zimekuwa janga la kitaifa ambapo vijana wengi wanakuwa waanga wakubwa'' alisema Mwigulu.

Mwigulu alisema serikali ya awamu ya tano haitamfumbia macho mtu yeyote atakaye kwamisha jitihada za kupambana na uhalifu nchini ambao wamepanga kuupunguza kwa asilimia 10 ifikapo mwaka 2019.

Aliongeza kuwa kanuni na sheria zilizowekwa na mkoloni ambazo zinazotumika ndani ya jeshi la polisi zimekuwa na changamoto kubwa kwa askari polisi. 

Akitolea mifano kadhaa alisema askari polisi aliyekosa nyumba ya kuishi ya jeshi hilo anapaswa kupewa fedha za kulipia pango nje ya kambi ya polisi na suala hilo si la kumuonea huruma askari husika bali ni haki yake.

Alisema kwa upande wa askari polisi aliyeumia au kupoteza kiungo wakati wa mapambano dhidi yake na wahalifu askari huyo anapaswa kulipa fidia yake kwa wakati badala ya kuunda tume ya kuchunguza jinsi alivyoumia akiwa katika mapambvano hayo.

"Mambo mengine hayahitaji mpaka uwe na elimu kubwa askari amepambana na majambazi mbele ya watu lakini majambazi hayo yamemjeruhi fidia yake anashindwa kulipwa eti mpaka iundwe tume haya si mambo ya ajabu" alihoji Mwigulu.

Alisema kwa muda mrefu askari anapopangiwa kituo cha kazi amekuwa akijigharamia kwa nauli na fedha za kujikimu kwa zaidi ya miezi mitatu na zaidi bila ya sababu za msingi.

Alisema hali hiyo kama askari husika anakuwa si mzalendo anaweza kujiingiza katika tamaa na kutumia silaha aliyonayokufanya uhalifu hivyo akaomba wahusika kuliangalia jambo hilo kwa karibu kwani mshahara na posho kwa askari hao ni haki yao.

Mwigulu alisema serikali kupitia Rais Dk. John Magufuli imejipanga kuweka mazingira mazuri kwa askari polisi ikiwa ni pamoja na kujengewa nyumba na kuona namna ya kubadilisha sheria ambazo zinaonekana hazina tija kwa wakati huu katika kuliongoza jeshi hilo.

Friday, July 26, 2013

Wanaume wa KiTanzania Wakamatwa na Unga Hong Kong!

Jamani, WaTanzania kwa kutafuta pesa za haraka! Sasa hao midume miwili inaweza kunfungwa maisha huko Hong Kong shauri ya kukamtwa na Unga! Mnachafua jina la Taifa yetu na kusabisha wasafiri wenzio kupata shida zisizo na maana safirini!

*************************
Asante sana Dada Subi kwa Taarifa hii:
Picture
Hong Kong Customs yesterday (July 25) detected three drug trafficking cases, with seizures totally valued at $4.78 million, in the department's escalated anti-narcotics efforts to combat drugs.

Customs officers at the Hong Kong International Airport (HKIA) intercepted a 26-year-old incoming male passenger arriving from Tanzania for clearance yesterday afternoon and seized 1.6 kilogrammes of heroin concealed in two false compartments of his hand carry briefcase. The drugs would fetch a value of about $1.28 million.

Later in the evening, Customs officers at the HKIA intercepted another 45-year-old man from Tanzania for clearance. On suspicion of concealment of drugs inside his body, the suspect was escorted to hospital where he discharged 204 grammes of heroin after staying for one day. The value of the drugs was about $0.16 million. The suspect is still in the hospital.

In the same evening, Customs officers intercepted a 28-year-old man at a carpark in Tai Kok Tsui. Approximately 2.03 kg of cocaine camouflaged as snacks were found inside a plastic bag carried by him.

Customs officers later escorted the suspect to a domestic flat nearby for a search and seized 1 kg of cocaine and 290 grammes of crack cocaine there. The total value of the seizure was about $3.34 million.

A Customs spokesperson said today (July 26) that all three suspects in the three cases were arrested for drug trafficking. The cases are still under investigation.

Under the Dangerous Drugs Ordinance, drug trafficking is a serious offence. The maximum penalty is life imprisonment and a fine of $5 million.

Ends/Friday, July 26, 2013
Issued at HKT 23:43



KUTOKA: http://www.wavuti.com/4/post/2013/07/mwingine-tena-male-passenger-from-tanzania-detained-in-hong-kong-with-heroin.html#ixzz2aBYuEnAK


Saturday, June 01, 2013

Albert Mangwea atazikwa Jumatatu Morogoro

The Late Albert Mangwea

 

By FATUMA ABDU, Tanzania Daily News

Tanzania Music Federation (TMF) in collaboration with a committee coordinating the burial of the late Albert Mangwea, has asked Tanzanian to contribute funds in order to transport the body of the artist from South Africa.

TMF and the committee leaders told reporters in Dar es Salaam on Thursday Mangwea’s body is expected to arrive in the country from Johannesburg on Saturday. The committee spokesman Adam Juma said that Tanzanians are aware of the deceased’s contribution towards developing Bongo flava and urged them to participate in his burial.

For his part, TMF President Addo Mwasongwe asked Tanzanians to be patient as they wait for Mangwea’s body to arrive. Some of the artists who attended the press conference talked about how they were shocked by the late musician’s sudden death.


TID, Juma Mchopanga (popularly known as as Jay Moe), Professor J, Noora, Mez B, and producer P. Funk described the deceased as being generous and a man of the people. The late Mangwea is expected to be buried in Morogoro on Monday.

********************************

AUTOPSY REPORT

The Medical report from Helen Joseph hospital, Dr Shirley Radcliffe  confirming that Albert Mangwair died from “alcohol toxicity” after drinking too much,Over-exhaustion and drugs overdose....The inquest heard that Albert 28, collapsed in the his friends home had been more than five-times the legal S.A drink-drive limit with 416mgof alcohol per 100 millilitres of blood in his system....Radcliffe described the mreasons for ICU admission included hypoxemia and one of his friend found “two empty vodka bottles[found] on the Car” and he had been suffering from the eating disorder Bulimia for several months before his death and endless partying session with little or no resting...sample taken from his stomach showed poly-drug cocktail and he overdosed Heroin,Cocaine 'crack' and cannabis 0.08gms was also found in his blood...and his death was caused by massive heart attack and respiratory failure followed by sudden Heart stop...and end up dead within seconds! R.I.P Mangwear!

*********************************************



Monday, May 06, 2013

MTanzania Afungwa Gerezani Marekani Baada ya Kushikwa na Heroin (Unga)!

MTanzania Omar Mohamed Omar (40) amepewa kifungo cha miaka minne gerezani Virginia baada ya kukutwa na madawa ya kulevya aina ya Heroin katika sanduku lake alipowasili kutoka Qatar, uwanja wa ndege ya Dulles huko Washington D.C..

Akimaliza kifungo chake atarudishwa Tanzania.
**************************************************

Kutoka  Washington Examiner

Man found with heroin at Dulles gets 4 years in prison

May 5, 2013 
Photo -
A Tanzanian man who was caught with about seven pounds of heroin in his suitcase at Washington Dulles International Airport has been sentenced to four years in prison, according to court records.
Omar Mohammad Omar, 40, pleaded guilty to importing heroin in February and was sentenced recently in federal court in Alexandria.
U.S. Customs and Border Protection officers inspected Omar's luggage after he had arrived at Dulles from Qatar in October and discovered four packages that contained heroin. The drugs have an estimated street value in the D.C. area of $325,000, according to court documents.
After he finishes his sentence, Omar will be deported and will not be allowed to return to the United States, a document filed by the defense stated.
-- Naomi Jagoda