Reports says that one of the kidnapped girls has been stones to death, while another has been beheaded for refusing to accept Islam. Meanwhile, read the repor below from CNN on what is it like in the area that Boko Haram is terrorizing.
************************************************
From CNN.Com
Witnesses to Terror
STORY HIGHLIGHTS
On April 14, Boko Haram militants abducted more than 200 girls from a school in Nigeria
The schoolgirls had been sleeping at the school in Chibok, in northeastern Borno State
Producer Lillian Leposo was part of a CNN team that spent four days traveling to the village
They
passed numerous checkpoints until the final 45 minute leg to Chibok its
Ahead of the rain-lashed vehicles, tree branches lay across the road.
We'd encountered countless military, police and vigilante checkpoints
but now we were in Boko Haram's backyard, we worried if the checkpoints
were being replaced by ambushes.
After the kidnapping of more than
200 schoolgirls from a school in northern Nigeria, the whole world's
attention was focused on one village - Chibok -
Setting up interviews
with those impacted by the mass abduction was quite a task, but once in
place, the bigger challenge became "how do we safely get there." I have
covered conflict zones before and always focus on the stories we'll
hope to get, rather than the potential danger. That's how I deal with
the fear.
We were trying to find security escorts, but no one was
willing to journey to Chibok, which is situated in Borno State -- one of
the three states considered to be the heartland of Boko Haram.
The
militant Islamist group has bombed schools, churches and mosques;
kidnapped women and children; and assassinated politicians and religious
leaders. It was unlikely they would welcome Western journalists, and
those accompanying us, with open arms.
Map: Nima Elbagir's route to ChibokMap: Nima Elbagir's route to Chibok
The
journey from the relative safety of Nigeria's capital, Abuja, to the
remote countryside stalked by Boko Haram can take 8 to 10 hours, but
logistics and security concerns meant that it took us four days.
We traveled in two cars -- 4x4s to handle the terrain.
Even
before we reached the militant-plagued area, we suffered setbacks. In
Bauchi State, a tire on the first car blew-out, causing it to lose
control.
Now we were down one car. It was hours before we could find a
resident willing to lend his rundown car to us and to travel to Chibok.
Eventually this car broke down and had to be abandoned.
'Why did I come?'
When we entered Borno State, we were hit by a violent storm.
During the day, Chibok looks like a normal village. But at night is when you see the fear and terror.
Lillian Leposo
We
could see absolutely nothing as strong rains lashed our vehicles. Night
had fallen, we were still far away from our destination of the state
capital Maiduguri and our driver was unfamiliar with the road. We
couldn't see to the side, behind or ahead.
While covering stories in
other conflict zones, there have been instances when the danger was so
apparent that I wondered - "Why did I come?" For this story, it was that
night as we entered Borno State -- in the dark during a strong storm.
The
situation was all the more eerie because the storm had brought down
branches across the road and we wondered if we were being set up for an
ambush.
Eventually, however, we did arrive in the relative safety of Maiduguri, the state's capital, only to encounter another hurdle.
We
had organized a police escort to accompany us for the final, most
dangerous leg from Maiduguri south to Chibok. The road is notorious for
ambushes and attacks by Boko Haram.
As we readied to journey along it
on our third day, our police escort said they could not take us because
that morning it had been the scene of a shootout between the militants
-- who had come from raiding a village - and security forces. One of the
officials had been shot in the neck.
Beyond the checkpoints
By the time we left with a police escort the following day, it was about noon.
New video allegedly shows Nigerian girls Exclusive interview with
kidnapped girl Complications in the search for Nigerian girls Nigerian
father: Nothing has been done
Photos: Nigerians protest over kidnapped girls Photos: Nigerians protest over kidnapped girls
Our route had all been tarmac until the town of Damboa, from where the road leads to Chibok.
From
that point, there's no tarmac whatsoever. Drivers are forced to swerve
left and right to avoid the potholes caused by the heat and it's really
rough terrain -- savannah.
Damboa also hosted the last security checkpoint we encountered.
Prior
to that we had been forced to stop constantly. There would be a
military checkpoint, a few minutes later a police checkpoint and then a
few minutes later a vigilante checkpoint -- staffed by local men armed
with machetes looking out for Boko Haram.
But on the road to the
village now the focus of the whole world's attention because of the
atrocity that took place there -- there was nothing, not one checkpoint.
We
were driving through a vast area of open land, high grass and shrubs.
And there was no homestead in sight. Any checkpoint set up by the
security forces would basically make them sitting ducks for the
insurgents.
Our convoy was on its own.
Our police escorts were
armed with AK-47 rifles and we had flak jackets on the seats beside us
-- kept out of sight so as not to raise questions about our purpose --
but our main defense was to drive as fast as possible along the pitted
road for the 45-minute journey.
A number of thoughts went through my mind; this was the road to Chibok; militants could storm us from anywhere on that road.
It
was a very scary moment. And at the same time I kept thinking, "how is
it possible that there is no single security check point towards this
village? Not even one?"
Arriving in Chibok we found a spread-out
village with a vibrant market with residents buying and selling food
stuffs. The most popular stand, however, is the phone charging stand -
because there is no power in the homes.
Overnight stay
Our late
departure meant we had arrived in Chibok around 3pm and the police said
it was too dangerous to return along the same road so we had to sleep
over in the village. That wasn't part of the plan. Ever.
We were
offered guest huts to stay in. But we declined as our presence would be
so obvious -- and of course we didn't want to be with the police because
if there was an attack that would be where a shootout would be.
A
very brave local family hosted us, providing us with mats to sleep
outside. A village that has lost so much still found reserves of
humanity to offer us hospitality.
During the day, Chibok looks like a
normal village. But at night is when you see the fear and terror. The
women, elderly and children go to sleep. And the young men stay awake,
doing patrols, keeping vigil.
CNN's team joined them, and discovered
that one thing was clear: Chibok residents have stopped waiting for the
government, they are protecting their own.
*CNN's Nima Elbagir's report on the Chibok night patrol will be published on CNN.com Tuesday.
Showing posts with label Kidnapping. Show all posts
Showing posts with label Kidnapping. Show all posts
Tuesday, May 13, 2014
Saturday, May 03, 2014
Help the 200+ Kidnapped Nigerian Girls
Please support 1 Billion Rising by signing this petition and sharing it with all your friends.
RISE FOR OUR SISTERS IN NIGERIA
Dear One Billion Rising and V-Day Activists,
Two weeks ago, 234 teenage girls were kidnapped in the Nigerian city of
Bornu while taking their exams. It is assumed that the girls were taken
by Boko Haram, a local Islamic extremist group whose name means
"western education is forbidden." It is feared that the girls have been
sold into marriage to the militants and some have been moved to nearby
countries of Cameroon and Chad. Long-time V-Day activist and One Billion
Rising coordinator in Nigeria, Amy Oyekunle, writes to us about the
horrific situation there - where conflicting information about the
girls' whereabouts and their current status and situation has left
parents and loved ones devastated. We are asking you, our fellow One
Billion Rising and V-Day activists to put the girls in your thoughts,
prayers, and meditations, as well as those of the Nigerian women, men,
and activists who have been taking and continue to take to the streets
until the girls are brought back to their families safely.
We are calling on all of our One Billion Rising and V-Day activists to stand and rise for justice with our sisters in Nigeria, and to call for global solidarity for Nigeria.
Please do the following:
1. SIGN THE PETITION
http://www.change.org/petitions/over-200-girls-are-missing-in-nigeria-so-why-doesn-t-anybody-care-234girls
2. #BRINGBACKOURGIRLS:
USE SOCIAL MEDIA TO SPREAD THE WORD ABOUT THE SITUATION IN NIGERIA
The focus is to put massive pressure on the government, security forces, and the neighboring governments (of Chad and Cameroon) to spur them to action - specifically to #BringBackOurGirls. It is deplorable that this situation has been happening for quite some time now and hasn't received the attention it needs to stop the killings, abductions, and constant insecurity plaguing women and girls in the North and the rest of Nigeria.
3. HOLD A SOLIDARITY DAY OF ACTION ON 5 MAY
The Nigerian government is currently focused on preparing for the World Economic Forum (WEF) taking place in Abuja/Lagos from 6 May - 10 May holding various meetings and activities. While the event was welcomed before the kidnappings happened, there is growing anger that the WEF has taken priority over the lives and welfare of over 200 Nigerian citizens. A huge rally is being planned in Lagos on Monday, 5 May to call for justice for the missing girls, and to use it as an opportunity to show that "Women and Girls Matter."
WE ARE CALLING ON OUR ONE BILLION RISING NETWORKS ALL OVER THE WORLD TO STAND OUTSIDE THE NIGERIAN EMBASSIES IN YOUR COUNTRIES TO DEMAND JUSTICE AND TO SHOW SOLIDARITY WITH OUR SISTERS IN NIGERIA.
RISE FOR JUSTICE FOR OUR SISTERS IN NIGERIA!
RISE TO DEMAND THEIR RELEASE!
http://www.change.org/petitions/over-200-girls-are-missing-in-nigeria-please-help-find-them-bringbackourgirls
We are calling on all of our One Billion Rising and V-Day activists to stand and rise for justice with our sisters in Nigeria, and to call for global solidarity for Nigeria.
Please do the following:
1. SIGN THE PETITION
http://www.change.org/petitions/over-200-girls-are-missing-in-nigeria-so-why-doesn-t-anybody-care-234girls
2. #BRINGBACKOURGIRLS:
USE SOCIAL MEDIA TO SPREAD THE WORD ABOUT THE SITUATION IN NIGERIA
The focus is to put massive pressure on the government, security forces, and the neighboring governments (of Chad and Cameroon) to spur them to action - specifically to #BringBackOurGirls. It is deplorable that this situation has been happening for quite some time now and hasn't received the attention it needs to stop the killings, abductions, and constant insecurity plaguing women and girls in the North and the rest of Nigeria.
3. HOLD A SOLIDARITY DAY OF ACTION ON 5 MAY
The Nigerian government is currently focused on preparing for the World Economic Forum (WEF) taking place in Abuja/Lagos from 6 May - 10 May holding various meetings and activities. While the event was welcomed before the kidnappings happened, there is growing anger that the WEF has taken priority over the lives and welfare of over 200 Nigerian citizens. A huge rally is being planned in Lagos on Monday, 5 May to call for justice for the missing girls, and to use it as an opportunity to show that "Women and Girls Matter."
WE ARE CALLING ON OUR ONE BILLION RISING NETWORKS ALL OVER THE WORLD TO STAND OUTSIDE THE NIGERIAN EMBASSIES IN YOUR COUNTRIES TO DEMAND JUSTICE AND TO SHOW SOLIDARITY WITH OUR SISTERS IN NIGERIA.
RISE FOR JUSTICE FOR OUR SISTERS IN NIGERIA!
RISE TO DEMAND THEIR RELEASE!
http://www.change.org/petitions/over-200-girls-are-missing-in-nigeria-please-help-find-them-bringbackourgirls
Labels:
Girls,
Kidnapping,
Nigeria,
Petition,
Rape
Wednesday, May 08, 2013
Charles Ramsey Shujaa!
Charles Ramsey(43) wa Cleveland, Ohio amekuwa shujaa Marekani baada ya kumsaidia mama wa wa kizungu aliyetekwa miaka kumi iliyopita kutoroka katika nyumba ambako alifichwa. Huyo mama ni Amanda Berry ambaye sasa ana miaka 27. Alitekwa akiwa na miaka 17 akitoka kazini. Nakumbuka walitangaza kupotea kwake hadi hapa Boston. Baada ya yeye na binti yake wa miaka 6 kutoroka polisi waligundua kuwa akina dada wengine wawili waliotpotea miaka mingi iliyopita walikuwemo ndani ya hiyo nyumba pia. Kwa vile walipotea muda mrefu watu walidhani wamekufa. Kuna jamaa, Ariel Castro (52) na kaka zake wawawili waliokuwa wanawaficha na kuwabaka na kuwafanyia matendo ya ajabu! Baba wa mtoto wa Amanda ni Mzee Ariel.
Hao akina Castro wana asili ya Puerto Rico na MaRican wenzao wamekasirika na kusema wamewaibisha vibaya sana! Wanyongwe!
Kwa habari zaidi BOFYA HAPA:
Hao akina Castro wana asili ya Puerto Rico na MaRican wenzao wamekasirika na kusema wamewaibisha vibaya sana! Wanyongwe!
Kwa habari zaidi BOFYA HAPA:
Labels:
Amanda Berry,
Charles Ramsey,
dead giveaway,
Hero,
Kidnapping,
ribs
Monday, March 18, 2013
Utekaji watu Tanzania: Baada ya Kibanda Nani Atafuata?
Wadau, hivi karibuni yametokea matendo ambayo hatjuazaoea kusikia Tanzania. Waandishi wa Habari, Viongozi wa Dini kutekwa, kuteswa na kuuawa! Gazeti la Mwanachi inachambua.
************************
Kutoka Gazeti la Mwananchi
Posted Jumatatu, Marchi18 2013
Kwa ufupi
Ni matukio ambayo yameacha maswali mengi zaidi ya majibu, huku wengine katika jamii wakisaka mchawi. Polisi na hata vyama vya kijamii, kila mmoja akiibuka na msimamo wake. Hata hivyo, si rahisi kusema ni lini jibu litapatikana!
Padri Auawa Zanzibar kwa Risasi
Tukio lingine ambalo lilishtua wengi ni la kuawa kwa Padri Evarist Mushi, Paroko wa Parokia ya Minara Miwili , Zanzibar. Yeye, aliuawa kwa kupigwa risasi kichwani na kufa papo hapo na watu wasiojulikana asubuhi akielekea kanisani.
Msemaji wa Polisi Zanzibar, Inspekta Mohamed Mhina alithibitisha tukio hilo huku akisisitiza kuwa uchunguzi wa kina zaidi ungefanyika kuhakikisha waliofanya hilo wanachukuliwa hatua.
Mwingine Apigwa Risasi
Awali, Kabla ya kuuawa padri Mushi, padri mwingine, Ambrose Mkenda naye alipigwa risasi na watu wasiofahamika kwenye lango la nyumba yake maeneo ya Kitomondo mjini Zanzibar, ambako ndiko makazi yake yalipo akiwa ndani ya gari aliyokuwa akiendesha pekee yake.
Hali yake siyo nzuri kwani risasi aliyopigwa imemdhuru maeneo ya mdomoni na hadi sasa bado hajaweza kuwa imara. Waliompiga risasi padri huyo inasemekana ni watu waliokuwa kwenye pikipiki, ambao walimvamia akisubiria afunguliwe geti kuingia nyumbani kwake.
Katibu wa Mufti Amwagiwa Tindikali
Pia Zanzibar ilikumbwa na tukio la linalofanana na matukio hayo kwani kiongozi mwingine wa dini aliingia kwenye msukosuko.
Katibu wa Mufti wa Zanzibar, Sheikh Fadhil Suleiman Soraga, alimwagiwa tindikali na watu wasiyojulikana huko Magogoni Msumbiji Mkoa wa Mjini Magharibi, Zanzibar.
Mkurugenzi wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai, Yussuf Ilembo, alisema Sheikh Soraga alimwagiwa tindikali majira ya alfajiri alipokuwa akifanya mazoezi ya viungo.
Ni kwamba wakati akifanya mazoezi, alimuona mtu akifanya mazoezi akielekea mbele yake na baada ya kukutana uso kwa uso alimmwagia tindikali na kumjeruhi sehemu za usoni na kifua kabla ya mtu huyo kutoweka.
Dk Stephen Ulimboka
Kiongozi wa jumuiya ya Madaktari Tanzania, Dk Stephen Ulimboka, saa sita usiku alitekwa, kupigwa na watu watatu wenye silaha na kisha kutupwa maeneo ya mabwepande ambapo aliokotwa na kupelekwa katika Taasisi ya Mifupa (MOI) jijini Dar es Salaam.
Wengi wanahoji sababu ya kutekwa Dk Ulimboka, hasa kutokana na ukweli kwamba si mfanyabiashara…Nani alimteka kwa lipi? Ni swali lisilo na jibu.
Dk Ulimboka aliwahi kuwaambia waandishi wa habari na baadaye akasisitiza kauli hiyo kupitia wanasheria wake, Oktoba 2012, kuwa aliyehusika na mipango ya kutekwa na kuteswa kwake ni Ofisa wa Ikulu. Kama ni kweli, je, ofisa huyo alitumwa au alijituma ? Na je, aliwahi kuhojiwa polisi ili Ikulu ijisafishe kutoka katika madai haya ya Dk Ulimboka?
Waandishi wa Habari Wauawa
Baadhi ya waandishi wa habari waliouawa katika mazingira ya utata ni pamoja na wa Kituo cha Redio Kwizera wilayani Kakonko mkoani Kigoma, Issa Ngumba (45) ambaye aliuawa kwa kunyongwa na kisha kupigwa risasi mkono wa kushoto.
Mwili wake ulipatikana katika pori la Mlima Kajuluheta Kijiji cha Muhange, wilayani humo asubuhi baada ya wananchi kufanya msako wa siku tatu mfululizo bila mafanikio.
Lakini, pia vitendo kama hivyo vinawakuta wenye ulemavu wa ngozi ambao wengi wameathirika , lakini waliohukumiwa kunyongwa tangu mwaka juzi mpaka sasa hawajanyongwa.
Richard Masatu Auawa
Richard Masatu aliuawa Agosti 2011. Yeye, alikuwa Mkurugenzi wa gazeti la KASI MPYA, alifia Hospitali ya Mkoa ya Sekou Toure mjini Mwanza, akipatiwa matibabu. Taarifa za awali zinaonyesha kuwa marehemu alifariki kutokana na majeraha ya kushambuliwa na watu wasiojulikana.
Labels:
Kidnapping,
Mauaji,
Torture,
Waandishi wa Habari
Monday, July 02, 2012
Yaliyompata Dr. Ulimboka
| Mkanda wa Ulimboka alivyotekwa, mwanzo- mwisho |
| Kutoka Gazeti la Mwananchi |
Na Mwandishi Wetu"NI saa 12:45 asubuhi, bado kiza kimetanda katika eneo hili la Msitu wa Mabwepande. Mbele yangu namwona mtu akiwa amekaa chini, pembeni ya barabara akiwa amelowa damu mwili mzima. "Ninapomkaribia nasikia sauti ya mtu huyo ikisema kwa taabu; naomba msaada jamani… naomba msaada jamani, hivi ndivyo anavyoanza kusimulia Juma Mgaza Abdallah, mtu wa kwanza kumwona Mwenyekiti wa Jumuiya ya Madaktari Tanzania, Dk Steven Ulimboka baada ya kutekwa, kupigwa na kutupwa katika Msitu wa Mabwepande nje kidogo ya Jiji la Dar es Salaam. Abdallah, anasema mara baada kumwona daktari huyo akiwa katika hali hiyo, alijaribu kumkokota kumtoa eneo hilo, lakini alishindwa kutokana na hali mbaya aliyokuwa nayo. Baada ya hapo, aliamua kusubiri mtu mwingine apite eneo hilo ili amwombe wasaidiane kumpeleka Kituo cha Polisi Bunju. Anasema muda mfupi baadaye aliona gari likija mbele yao, akalinyooshea mkono kulisimamisha. Liliposimama, akamweleza dereva hali aliyokuwa nayo Dk Ulimboka na kwamba anahitaji msaada wa haraka. Abdallah ambaye hadi wakati huo alikuwa hamfahamu mtu ambaye alikuwa akimsadia kuwa ni kiongozi wa madaktari kutokana na sura yake kuvimba, anasema walimwingiza katika gari hilo na kumpeleka Kituo Kidogo cha Polisi Bunju. Anasema, Dk Ulimboka wakati huo alikuwa akiendelea kuvuja damu katika baadhi ya majeraha yake huku akiwa hana suruali na kubaki na bukta tu, huku akizungumza kwa taabu. Kituo cha Polisi Bunju Baada ya kumfikisha kituoni hapo, walitoa maelezo namna walivyomwokota na kumsaidia kumfikisha hapo. Polisi baada kumhoji Dk Ulimboka, aliwatajia namba ya simu ya rafiki yake aitwaye Dk Deo. Walipompigia na kumweleza tatizo hilo, aliamua moja kwa moja kwenda Kituo cha Sheria na Haki za Binadamu, kutoa taarifa hizo na hatimaye kuandamana na watu kadhaa kutoka hapo akiwamo Mkurugenzi wake, Hellen-Kijo Bisimba. Wawasili kituoni Mratibu wa Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu Tanzania wa kituo hicho, Onesmo Olengurumwa, anasema waliwafika Polisi Bunju saa 3:36 asubuhi na kumkuta Dk Ulimboka akiwa amekalishwa kwenye benchi huku damu ikiwa imeganda kwenye majeraha mwilini. Olengurumwa anasema waliwahoji polisi waliokuwa kituoni hapo kwa nini wakae na mtu aliyeumia kiasi hicho muda mrefu bila ya kuita gari la wagonjwa kumchukua ili kuwahi kupatiwa matibabu. Olengurumwa anasema polisi walisema kwamba, walikuwa wanawasubiri ndugu zake wafike. Baada ya muda mfupi, akiwa ameingizwa kwenye gari kupelekwa hospitali, Dk Ulimboka aliomba maji ya kunywa akisema ana kiu sana, lakini alipopewa, alikunywa kidogo akashindwa. Anasema wakiwa njiani, alikuwa akilalamika kuwa anasikika maumivu makali huku akisisitiza kuwa tukio la kutekwa na kupigwa lilikuwa la kumuua. "Jamani hawa watu walitaka kuniua walikuwa wamepanga kuniua," alisikika mara kwa mara akisema Dk Ulimboka wakati anapelekwa Hospitali ya Taifa ya Muhimbili kupatiwa matibabu. Maelezo ya Dk Ulimboka Baada ya Dk Ulimboka kuokotwa aliweza kuzungumza na kurekodiwa muda mfupi baada ya kutolewa msituni na mazungumzo yake yalikuwa hivi; “Nilikamatwa na watu hao usiku wa Jumanne nikiwa maeneo ya Leaders Club, Kinondoni na daktari mwenzangu baada ya kupigiwa simu na mtu mmoja ambaye alidai kuwa anafanya kazi Ikulu. “Kuna jamaa mmoja anafanya kazi Ikulu, kama siku tatu mfululizo alikuwa akitaka kukutana na mimi ila nilishindwa kukutana naye kwa kuwa nilikuwa na kazi nyingi na wakati mwingine mpaka usiku,” alisema Dk Ulimboka. Huku akizungumza kwa taabu kutokana na mdomo wake kuvimba, alisema siku hiyo mtu huyo alimpigia tena simu na kumtaka wakutane. “ Jana (Jumanne) alinipigia simu na nikamwambia daktari mwenzangu twende tukaonane naye, wakati huo alitueleza kuwa alikuwa maeneo ya Kinondoni Stereo,” alisema Ulimboka na kuongeza: “Tulipofika maeneo hayo tukampigia simu na akatueleza kuwa alikwisha ondoka, baadaye tukamweleza sehemu tulipo mimi pamoja na mwenzangu.” Alisema kuwa, wakati anakutana na mtu yule maeneo ya Leaders Club, hakuwa na amani. “Kwa kweli siku ile nilivyoonana na mtu yule sikuwa na amani kabisa ya kukaa eneo lile,” alisema Dk Ulimboka. Alisema kuwa wakati wakiendelea na maongezi ya kawaida, bado aliendelea kuwa na mashaka na mtu yule. “Katikati ya maongezi nikaona ameanza kuzungumza na simu, kila tukitaka kuagana alikuwa akizungumza na simu, sijui nini kilikuwa kinachelewesha sisi kuagana,” alisema Dk Ulimboka na kuongeza: “ Ghafla walitokea watu kama watano na kusema kuwa hawana tatizo na mtu yeyote katika eneo hilo isipokuwa mimi. Wakati sijakaa sawa, waliniburuza hadi barabara ya lami kwa kuwa eneo hilo lilikuwa karibu na barabara.” Aliongeza, “Nilipowauliza wananipeleka wapi, wakaniambia kuwa mimi nasumbua sana na nitajua hukohuko, waliniingiza katika gari jeusi, lakini halikuwa na namba. Niliwauliza kosa gani nimefanya? Hawakunijibu kitu na kusema, we twende utajua hukohuko.’’ Alisema alipokuwa ndani ya gari hilo watu hao walimpiga na kwamba walipofika maeneo ya Victoria, walichukua sweta nyeusi na kumfunga usoni, jambo lililomfanya ashindwe kuona kinachoendelea ikiwa ni pamoja na alikokuwa akipelekwa. “Walinipiga mateke ya mbavuni, wakati mwingine walitumia vitako vya bunduki, kila nilipokuwa najaribu kuangalia ninapokwenda nilishindwa,” alisimulia Dk Ulimboka. Alisema kuwa watu hao walimpeleka katika nyumba moja ambayo hakujua iko sehemu gani ambapo walimshusha na kuanza kumshambulia kwa mateke mfululizo kila sehemu ya mwili. Wakati huo, wote walimshinikiza awaambie nani yupo nyuma ya mgomo wa madaktari. “Tangu saa sita usiku mpaka saa 9:00 alfajiri walikuwa wananipiga tu, kuna wakati nilijaribu kukimbia wakapiga risasi juu nikasimama na sikuweza kukimbia tena,” alisema Dk Ulimboka na kuongeza: “Nilisimama, wakaendelea kunipiga, niliwasikia wakisema ama wanichome sindano ya sumu nife au kunikanyaga na gari. Baadaye wakaanza kuning’oa meno na kucha kwa kolea huku wakinilazimisha kusema nani yupo nyuma ya mgomo wa madaktari." Alisema kuwa, watu hao walikuwa na bunduki kubwa ambayo hakuweza kuitambua ni aina gani. “Waliniambia kuwa ninajua ninachokifanya hivyo wanaweza kunichoma sindano ya sumu nife au wanikanyage na gari nife,” alisimulia. Dk Ulimboka alisema kuwa awali hakuwa na shaka na watu hao kwa kuwa alidhani ni polisi, lakini baadaye alishindwa kuwaelewa kwani watu hao walimchanganya. “Sikuweza kuwatambua ila naweza kusema ni askari, walipokuwa wananipeleka niliwauliza mnanipeleka wapi na wakati huo nilikuwa sioni mbele ila ilikuwa kama maeneo ya Mwenge hivi,” alisema Dk Ulimboka. Alisema kuwa baadaye alipoteza fahamu na hakuweza kuona chochote zaidi ya kusikia sauti za watu hao kwa mbali. “Nilikuwa sioni na nilipoteza fahamu nikawa nasikia tu wakinibeba, gari lilitembea muda mrefu, sikujua ni wapi tunakwenda, kumbe ndio huko Mabwepande,” alisema. Alisema kuwa walifika maeneo ya barabara ya vumbi na baadaye wakamshusha na kumbeba hadi msituni. “Waliniburuza na kuniacha huko na muda wa saa kumi alfajiri ndipo nikazinduka na kuanza kujiburuza kuelekea barabarani ambako nilisaidiwa na mtu mmoja ambaye simtambui,” alisema Dk Ulimboka |
Labels:
Dr. Steven Ulimboka,
Kidnapping,
Mateso,
Torture
Friday, June 29, 2012
Ogopa Magari enye Madirisha Tinted!
Nimepata kwa email, lakini hii kali! Mambo ya ushirikina yataisha lini!!!!
*************************************************************
Dear Friends:
Leo nimeona ni vyema nika-share nanyi kisa hiki cha kutekwa mfanyakazi mwenzetu ambaye ni cashier siku ya jumatano jioni wiki iliyopita. Ni kama movie lakini ni ukweli, cashier wetu aliomba ruhusa siku hiyo ya tukio aende kwenye mkutano wa wasabato uliokuwa uliendelea viwanja vya biafra.
Yeye pia ni msabato aliyeishika dini ya Sabato haswa, kwa hiyo aliondoka saa kumi kamili badala ya saa kumi na moja. Baada ya dakika 40 tulianza kupokea sms zinazosema mwenye namba xxx amepata ajali na kufa papo hapo na kwa taarifa zaidi twende muhimbili hospital. Baada ya kutazama hiyo namba xxx ilikuwa ni ya cashier wetu. Tulijaribu kuipiga iliita tu bila kupokelewa, na pia tulipiga namba iliyotutumia sms iliita bila majibu. Ilipofika saa kumi na moja tuliamua kuelekea muhimbili, ma baada ya kufika pale emergence tukaambiwa tuelekee chumba cha kuhifadhia maiti. Tulioneshwa mwili wa mtu aliyepata ajali lakini haukuwa wa cashier wetu, tukawatuma wenzetu waende hospitali zote lakini hapakuwa na taarifa zake.
Baada ya kuzunguka bila mafanikio tulitoa taarifa makao makuu ya usalama barabarani na baada ya dk kumi wakatwambia kuwa hakuna taarifa za ajali mbaya iliyotokea jioni hiyo. Hatua iliyofuata ilikuwa ni kutoa taarifa polisi juu ya tulio hilo na ndipo waliposema kwa kuwa ni mtu mzima tusubiri hadi siku inayofuata.
Wakati huo huo ndugu zake pamoja na wafanyakazi wenzetu walikuwa pamoja wakiendelea na jitihada za kumtafuta hadi saa sita usiku.
Kilichokuwa kinatia wasiwasi zaidi ile namba iliendelea kutumia sms namba takribani zote zilizokuwa kwenye phonebook yake na ndugu zake hawakuwahi kuona ndugu yao akichelewa kiasi hicho.
Ilipotimu mida kama ya saa sita na nusu walisikia mtu akigonga mlango, alikuwa kaumizwa na amejaa matope, hakuwa na uwezo wa kuzungumza sana, ilibidi wampeleke kituo cha polisi na baada ya muda hospitali ya mwananyamala. Alipopata nguvu alianza kuwasimulia nduguze kilichotokea. Alipotoka ofisini alikwenda moja kwa moja kwenye kituo cha daladala cha karakana, pale kituoni walikuwa abiria wawili
yaani yeye na mama mmoja. Baada ya dk chache ilikuja coaster iliyoandikwa mbele Kawe na ilikuwa na tinted nyeusi, yule mama hakupanda sababu alikuwa anaelekea posta ila yeye alipanda. Ndani ya gari kulikuwa na watu watatu pamoja na dereva, wawili wakiwa wamekaa nyuma na mmoja akiwa amekaa karibu na driver. Gari hiyo hiyo ilikuwa ni mpya, mmoja wa abiria alimumba simu cashier apige simu
moja kwa jamaa yake maana alidai kuwa simu yake illiishiwa charge na walikuwa wametoka mtwara kupeleka maiti, alimuuliza cashier umri wake na kama ameoa na anafanya kazi wapi, cashier akamjibu hajaoa na hana kazi pia ana miaka 32.
Walipofika Tazara hawakutaka kupakia abiria yoyote na walikuwa wote wamevaa miwani myeusi, na ndipo akaanza kuingiwa na mashaka akaomba ashuke, wao wakamwambia watapita biafra na hawana mpango wa kusanya kwa kuwa hata yeye walimpa lifti tu.
Gari ilipokaribia taa za buguruni akainuka ili ashuke, jamaa wale wa nyuma wakamkalisha chini kwa nguvu, na sio kwenye viti yaani chini kabisa. Mmoja wao akafunga kitambaa cheusi kwenye macho na mikono ikafungwa kwa nyuma na mipira, baada ya muda akasikia kama wamempulizia perfume. Akihisi fahamu kumtoka polepole na neno lamwisho analokumbuka alisikia kuwa waelekee misitu ya Kibaha wakamalize kazi. Kilichomwamsha ni kofi zito alilopigwa na kusukumwa hadi nje ya gari. Alianza kulia na kuwasihi wasimdhuru, wakaanza kumrusha kichurachura huku wakimkanyaga.
Walikuwa wameshamfungua kitambaa machoni na waliacha gari umbali kama wa dk kumi na lilikuwa ni pori zito na giza, wao walivaa vitu usoni na walikuwa wamevaa gloves.
Wakamwekea simu yake mfukoni wakiwa wametoa simcard, walichomwambia wanachohitaji ni sehemu zake za siri na sio kitu kingine. Mmoja wao akaambiwa alete kisu kikali wanachokitumia, na walipompigia boss wao akawasisitiza nyeti zinazotakiwa lazma ziwe za mtu wa miaka 40 na kuendelea.
Mwenzao mmoja akasema cashier alisema alikuwa na miaka 32, baada ya kumkagua wakakuta card yake inaonyesha kazaliwa mwaka 1979. Kulingana na yeye asemavyo ndicho kilichomwokoa ila waliendelea kumkung'uta kwa hasira. Wakamrudisha kwenye gari na baada ya mwendo wakampakia kwenye gari nyingine ndogo iliyokuwa na watu wawili ambao walimchukua na kumtelekeza maeneo ya sayansi.
Hawakuchukua kitu hata kimoja wala kumwambia lolote, siku iliyofuata alipelekwa agakhan kwa uchunguzi zaidi na kwa sasa anaendelea vizurr. Kwa ufupi ni hayo, ukweli mwenyezi Mungu atulinde na tumwombe pia
abadilishe mioyo ya watu ambayo imekuwa migumu mno kwa ajili ya kupata vyeo na utajiri wa haraka.
*************************************************************
Dear Friends:
Leo nimeona ni vyema nika-share nanyi kisa hiki cha kutekwa mfanyakazi mwenzetu ambaye ni cashier siku ya jumatano jioni wiki iliyopita. Ni kama movie lakini ni ukweli, cashier wetu aliomba ruhusa siku hiyo ya tukio aende kwenye mkutano wa wasabato uliokuwa uliendelea viwanja vya biafra.
Yeye pia ni msabato aliyeishika dini ya Sabato haswa, kwa hiyo aliondoka saa kumi kamili badala ya saa kumi na moja. Baada ya dakika 40 tulianza kupokea sms zinazosema mwenye namba xxx amepata ajali na kufa papo hapo na kwa taarifa zaidi twende muhimbili hospital. Baada ya kutazama hiyo namba xxx ilikuwa ni ya cashier wetu. Tulijaribu kuipiga iliita tu bila kupokelewa, na pia tulipiga namba iliyotutumia sms iliita bila majibu. Ilipofika saa kumi na moja tuliamua kuelekea muhimbili, ma baada ya kufika pale emergence tukaambiwa tuelekee chumba cha kuhifadhia maiti. Tulioneshwa mwili wa mtu aliyepata ajali lakini haukuwa wa cashier wetu, tukawatuma wenzetu waende hospitali zote lakini hapakuwa na taarifa zake.
Baada ya kuzunguka bila mafanikio tulitoa taarifa makao makuu ya usalama barabarani na baada ya dk kumi wakatwambia kuwa hakuna taarifa za ajali mbaya iliyotokea jioni hiyo. Hatua iliyofuata ilikuwa ni kutoa taarifa polisi juu ya tulio hilo na ndipo waliposema kwa kuwa ni mtu mzima tusubiri hadi siku inayofuata.
Wakati huo huo ndugu zake pamoja na wafanyakazi wenzetu walikuwa pamoja wakiendelea na jitihada za kumtafuta hadi saa sita usiku.
Kilichokuwa kinatia wasiwasi zaidi ile namba iliendelea kutumia sms namba takribani zote zilizokuwa kwenye phonebook yake na ndugu zake hawakuwahi kuona ndugu yao akichelewa kiasi hicho.
Ilipotimu mida kama ya saa sita na nusu walisikia mtu akigonga mlango, alikuwa kaumizwa na amejaa matope, hakuwa na uwezo wa kuzungumza sana, ilibidi wampeleke kituo cha polisi na baada ya muda hospitali ya mwananyamala. Alipopata nguvu alianza kuwasimulia nduguze kilichotokea. Alipotoka ofisini alikwenda moja kwa moja kwenye kituo cha daladala cha karakana, pale kituoni walikuwa abiria wawili
yaani yeye na mama mmoja. Baada ya dk chache ilikuja coaster iliyoandikwa mbele Kawe na ilikuwa na tinted nyeusi, yule mama hakupanda sababu alikuwa anaelekea posta ila yeye alipanda. Ndani ya gari kulikuwa na watu watatu pamoja na dereva, wawili wakiwa wamekaa nyuma na mmoja akiwa amekaa karibu na driver. Gari hiyo hiyo ilikuwa ni mpya, mmoja wa abiria alimumba simu cashier apige simu
moja kwa jamaa yake maana alidai kuwa simu yake illiishiwa charge na walikuwa wametoka mtwara kupeleka maiti, alimuuliza cashier umri wake na kama ameoa na anafanya kazi wapi, cashier akamjibu hajaoa na hana kazi pia ana miaka 32.
Walipofika Tazara hawakutaka kupakia abiria yoyote na walikuwa wote wamevaa miwani myeusi, na ndipo akaanza kuingiwa na mashaka akaomba ashuke, wao wakamwambia watapita biafra na hawana mpango wa kusanya kwa kuwa hata yeye walimpa lifti tu.
Gari ilipokaribia taa za buguruni akainuka ili ashuke, jamaa wale wa nyuma wakamkalisha chini kwa nguvu, na sio kwenye viti yaani chini kabisa. Mmoja wao akafunga kitambaa cheusi kwenye macho na mikono ikafungwa kwa nyuma na mipira, baada ya muda akasikia kama wamempulizia perfume. Akihisi fahamu kumtoka polepole na neno lamwisho analokumbuka alisikia kuwa waelekee misitu ya Kibaha wakamalize kazi. Kilichomwamsha ni kofi zito alilopigwa na kusukumwa hadi nje ya gari. Alianza kulia na kuwasihi wasimdhuru, wakaanza kumrusha kichurachura huku wakimkanyaga.
Walikuwa wameshamfungua kitambaa machoni na waliacha gari umbali kama wa dk kumi na lilikuwa ni pori zito na giza, wao walivaa vitu usoni na walikuwa wamevaa gloves.
Wakamwekea simu yake mfukoni wakiwa wametoa simcard, walichomwambia wanachohitaji ni sehemu zake za siri na sio kitu kingine. Mmoja wao akaambiwa alete kisu kikali wanachokitumia, na walipompigia boss wao akawasisitiza nyeti zinazotakiwa lazma ziwe za mtu wa miaka 40 na kuendelea.
Mwenzao mmoja akasema cashier alisema alikuwa na miaka 32, baada ya kumkagua wakakuta card yake inaonyesha kazaliwa mwaka 1979. Kulingana na yeye asemavyo ndicho kilichomwokoa ila waliendelea kumkung'uta kwa hasira. Wakamrudisha kwenye gari na baada ya mwendo wakampakia kwenye gari nyingine ndogo iliyokuwa na watu wawili ambao walimchukua na kumtelekeza maeneo ya sayansi.
Hawakuchukua kitu hata kimoja wala kumwambia lolote, siku iliyofuata alipelekwa agakhan kwa uchunguzi zaidi na kwa sasa anaendelea vizurr. Kwa ufupi ni hayo, ukweli mwenyezi Mungu atulinde na tumwombe pia
abadilishe mioyo ya watu ambayo imekuwa migumu mno kwa ajili ya kupata vyeo na utajiri wa haraka.
Labels:
Daladala,
Gari,
Kidnapping,
Lifti,
Tinted Windows,
Uchawi
Thursday, October 06, 2011
Tanzania is Safe for Tourists - Tanzania ni Salama Kwa Watalii
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA
MINISTRY OF NATURAL RESOURCES AND TOURISM
PRESS RELEASE
Tanzania is a Safe Tourist Destination
___________________
Tanzania is land of peace and the country is determined to sustain that positive reputation.
Following recent incidents of kidnapping tourists, which happened very far from the territorial borders of Tanzania in the North, we have noted a growing concern about the safety of visitors to the East Coast of Africa. Indeed, there have been several travel warnings pointing at East Africa, including Tanzania.
As the Minister responsible for Tourism matters in Tanzania, I would like to reassure our visitors, both those who are already in the country as well as prospective ones that Tanzania continues to be one of Africa’s safest and most enjoyable destinations.
Due to the threats, Tanzania has intensified security measures to ensure that its people and the visitors remain safe. Security apparatus in the country are working closely to the Ministry of Natural Resources and Tourism to tighten security in the Tanzania territorial waters as well as in the hinterland.
It is my sincere hope that the incidents that happened far away from the territorial borders of Tanzania should not be the cause for panic nor cancellation of travel plans to Tanzania.
We would therefore like to assure all our esteemed visitors intending to travel to Tanzania at any time that they are welcome and that all necessary precautions have been taken to make sure they are as safe as possible.
‘Karibu Tanzania’.
Hon. Ezekiel M. Maige
Minister for Natural Resources and Tourism
6th September, 2011
*****************************************************
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA MALIASILI NA UTALII
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Tanzania ni Salama kwa Watalii
Karibu Tanzania.
Mhe. Ezekiel M. Maige
Waziri wa Maliasili na Utalii
6 Septemba, 2011
*****************************************************
JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA
WIZARA YA MALIASILI NA UTALII
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Tanzania ni Salama kwa Watalii
Tanzania ni kisiwa cha amani na nchi imenuia kudumisha sifa hiyo nzuri.
Kufuatia vitendo vya kuteka nyara watalii ambavyo vimetokea upande wa Kaskazini, mbali na mipaka ya nchi yetu, tumeshuhudia hofu inayoendelea kukua kuhusiana na usalama wa watalii wanaotembelea Mashariki mwa Afrika. Kwa hakika wasafiri wanaotembelea Mashariki mwa Afrika, ikiwemo Tanzania, wamekuwa wakionywa wachukue tahadhari.
Kama Waziri mwenye dhamana ya masuala ya Utalii, ningependa kuwahakikishia wageni, ambao tayari wako nchini, na wale ambao wanajiandaa kuja, kuwa Tanzania bado inaendelea kuongoza katika Bara la Afrika kwa kuwa na amani na vivutio vya kitalii vya kufurahisha.
Kutokana na hayo matukio ya hivi karibuni, Tanzania imeongeza udhibiti wa hali ya usalama ili kuhakikisha kuwa wageni na wananchi wanakuwa salama. Vyombo vya usalama nchini vinafanya kazi kwa karibu na Wizara ya Maliasili na Utalii kuongeza hali ya usalama baharini na nchi kavu.
Ninayo imani kubwa kuwa matukio yaliyotokea mbali kabisa na mipaka ya nchi yetu hayawezi kuwa sababu ya kuogopa na labda kukatisha safari za kuja Tanzania.
Kwa hiyo, tungependa kuwahakikishia wageni wetu ambao wanatarajia kusafiri kuja Tanzania kuwa wanakaribiswa waje wakati wowote, na kuwa tahadhari zote muhimu zimeshachukuliwa za kuhakikisha kuwa kadri inavyowezekana watakuwa salama.
Karibu Tanzania.
Mhe. Ezekiel M. Maige
Waziri wa Maliasili na Utalii
6 Septemba, 2011
Labels:
Kidnapping,
Security,
Tanzania,
Tourist,
Usalama Barabarani,
Utalii
Subscribe to:
Comments (Atom)


Na Mwandishi Wetu



