Showing posts with label Rape. Show all posts
Showing posts with label Rape. Show all posts

Wednesday, December 10, 2014

Bill Cosby Allegations

Sunday, June 15, 2014

Misukosuko ya Flora Mbasha

Flora Mbasha na Mume Wakewakiwa na furaha kabla ya Skendeli

Kutoka VIJIMAMBO BLOG:

Mpasuko wa ndoa ya wasanii wa nyimbo za Injili, Emmanuel Mbasha na mkewe Florah umewagawa wachungaji wa makanisa mbalimbali nchini baada ya kibao kumgeukia Flora kwamba ndiye anadaiwa kusuka mpango wa kumwangamiza mumewe ili afungwe kwa kosa la ubakaji…..
Wakizungumza na wanahabari wetu kwa nyakati tofauti, wachungaji hao walisema endapo itabainika ni kweli Flora ameshiriki kumsaliti mumewe kwa kutembea na mmoja wa wachungaji maarufu nchini hapatakuwa na haja ya kumwalika kwenye huduma zao kwani hawawezi kuhudumiwa na mwimbaji mzinzi.
Mchungaji Ambonile Mwakipesye na Amani Joseph wa makanisa ya Tanzania Assemblies of God ( TAG) walisema kuwa kama kulikuwa na matatizo kwenye ndoa yao walipaswa kuwaona watumishi wa Mungu na kusuluhisha badala ya kutengenezeana mitego na kuingizana majaribuni kama inavyodaiwa kutokea kwa Mbasha….
Wakati wachungaji hao wakisema hivyo, mchungaji Thomas Methew yeye alisema kuwa ukweli wa jambo hilo wanaujua wanandoa wenyewe kwani mpaka sasa hakuna anayelijua tatizo kubwa mpaka wakafikia hatua ya kutengana.
 
**********************
 Kutoka Jamii Forum
 
SIKU chache baada ya tuhuma za ubakaji na mzozo wa familia ya mwimba Injili mahiri nchini, Flora Mbasha na mumewe, Emanuel Mbasha, mambo mengine yameibuka.



Mwimba Injili mahiri nchini, Flora Mbasha

Yaliyoibuka safari hii ni taarifa kwamba, juzikati, Flora alivamiwa na watu wasiojulikana nyumbani kwake, Tabata Kimanga jijiini Dar dakika chache baada ya yeye kuingia na gari akitokea mafichoni anakoishi kwa sasa.



Kwa mujibu wa chanzo, siku ya tukio ilikuwa saa 9.15 alasiri ambapo Flora aliingia nyumbani kwake na kufunguliwa geti kubwa kisha kuingiza gari ndani na geti kufungwa tena.

Flora aliingia na gari akitokea hotelini anakoishi kwa sasa. Alikuwa ameshaingia na geti likafungwa. Ghafla, watu wakafika na kugonga geti hilo kwa nguvu huku wakisema watalibomoa geti kama wenyeji hao hawatafungua,” kilisema chanzo.



Mwimba Injili mahiri nchini, Flora Mbasha akiwa na mumewe, Emanuel Mbasha,

Chanzo kikazidi kudai kwamba, ilibidi Flora apige simu polisi ili wafike kumuokoa yeye na familia yake.

“Polisi wawili walifika haraka sana wakiwa na bunduki na kukuta wale watu wamekimbia maana walimsikia Flora akiongea na polisi kuomba msaada.


“Lakini polisi wenyewe ilibidi watumie nguvu kubwa kugonga geti na kujitambulisha ndipo akatokea Flora na kuchungulia nje kupitia dirisha dogo. Alipowaona polisi akafungua mlango,” kilisema chanzo hicho.

Akihojiwa na polisi hao, Flora alisema watu hao walikimbia na hakuwajua kwa sura wala hawakujitambulisha ni akina nani.


Alizungumza na gazeti hili baada ya tukio, Flora alisema: “Unajua kwa sasa nina hofu sana na nilihisi wale watu walikuwa wakinifuatilia kwa karibu kila sehemu, sasa naogopa kuendelea kuishi hapa, wanaweza kurudi na sijui lengo lao.”


Hata hivyo, baada ya askari hao kuondoka katika eneo hilo, Flora naye aliingia kwenye gari lake akiwa na mdogo wake na kuondoka.

Mume wa Flora, Mbasha naye yupo mafichoni baada ya kudaiwa kumbaka binti wa miaka 17 ndani ya nyumba yao huku utata ukitawala kuhusu ukweli wa tukio hilo ambalo limeigawa jamii.

Saturday, May 03, 2014

Help the 200+ Kidnapped Nigerian Girls



Please support 1 Billion Rising by signing this petition and sharing it with all your friends.

RISE FOR OUR SISTERS IN NIGERIA
Dear One Billion Rising and V-Day Activists,
Two weeks ago, 234 teenage girls were kidnapped in the Nigerian city of Bornu while taking their exams. It is assumed that the girls were taken by Boko Haram, a local Islamic extremist group whose name means "western education is forbidden." It is feared that the girls have been sold into marriage to the militants and some have been moved to nearby countries of Cameroon and Chad. Long-time V-Day activist and One Billion Rising coordinator in Nigeria, Amy Oyekunle, writes to us about the horrific situation there - where conflicting information about the girls' whereabouts and their current status and situation has left parents and loved ones devastated. We are asking you, our fellow One Billion Rising and V-Day activists to put the girls in your thoughts, prayers, and meditations, as well as those of the Nigerian women, men, and activists who have been taking and continue to take to the streets until the girls are brought back to their families safely.
We are calling on all of our One Billion Rising and V-Day activists to stand and rise for justice with our sisters in Nigeria, and to call for global solidarity for Nigeria.
Please do the following:
1. SIGN THE PETITION
http://www.change.org/petitions/over-200-girls-are-missing-in-nigeria-so-why-doesn-t-anybody-care-234girls
2. ‪#‎BRINGBACKOURGIRLS‬:
USE SOCIAL MEDIA TO SPREAD THE WORD ABOUT THE SITUATION IN NIGERIA
The focus is to put massive pressure on the government, security forces, and the neighboring governments (of Chad and Cameroon) to spur them to action - specifically to #BringBackOurGirls. It is deplorable that this situation has been happening for quite some time now and hasn't received the attention it needs to stop the killings, abductions, and constant insecurity plaguing women and girls in the North and the rest of Nigeria.
3. HOLD A SOLIDARITY DAY OF ACTION ON 5 MAY
The Nigerian government is currently focused on preparing for the World Economic Forum (WEF) taking place in Abuja/Lagos from 6 May - 10 May holding various meetings and activities. While the event was welcomed before the kidnappings happened, there is growing anger that the WEF has taken priority over the lives and welfare of over 200 Nigerian citizens. A huge rally is being planned in Lagos on Monday, 5 May to call for justice for the missing girls, and to use it as an opportunity to show that "Women and Girls Matter."
WE ARE CALLING ON OUR ONE BILLION RISING NETWORKS ALL OVER THE WORLD TO STAND OUTSIDE THE NIGERIAN EMBASSIES IN YOUR COUNTRIES TO DEMAND JUSTICE AND TO SHOW SOLIDARITY WITH OUR SISTERS IN NIGERIA.
RISE FOR JUSTICE FOR OUR SISTERS IN NIGERIA!
RISE TO DEMAND THEIR RELEASE!
http://www.change.org/petitions/over-200-girls-are-missing-in-nigeria-please-help-find-them-bringbackourgirls

Saturday, October 27, 2012

Mwalimu Ajiua Dar Baada ya Hii Picha Kutoka!!!

Mwalimu ni kiungo muhimu sana katika malezi ya wanafunzi hapa nchini.Wao hushinda na watoto wetu kutwa nzima .......
Kwa mantiki hiyo, tabia ya mtoto yeyote aliyewahi kalia madawati ina asilimia zaidi ya 70 ya tabia za walimu wake......
Siku hizi mambo yamebadilika sana.Mwalimu wa miaka ya 90 ni tofauti kabisa na mwalimu wa miaka ya leo.
Walimu wa leo wengi wao ni vijana wadogo ambao wengi wamejawa na tamaa za mapenzi.Wao hawajui kutongoza bali wanajua kulazimisha....
Inashangaza na kusikitisha kuona walimu wetu wakishindana KUTOA BIKRA ZA WATOTO WA KIKE......Mtoto akikataa basi cha motoatakiona ....
Mtandao huu umebahatika kuongea na mwanafunzi mmojaambaye ni mhanga wa tukio hilo la kulazimishwa mapenzi na mwalimu wake..........
HILI NI SIMULIZI LAKE:
--------------------------------------------------------------------
Mwalimu akimbaka mwanafunzi wake darasani. Baada ya picha hii kutoka kwenye gazeti la Udaku Mwalimu huyo mbakaji mshenzi alijiua!

"Mwalimu alianza kunitaka tangu nikuwa form one.Nilipomkataa alianza kunichapa tena bila kosa maalumu na kunipa adhabu kila mara...
Baada ya kufanya hivyo kwa muda, aliamua kuniita ofisini na kuniambia kuwa anatanisaidia kimasomo endapo ntamkubalia.Niliamua kumkubali kwa kwa kuhofia viboko na aliniambia nisimwambie mtu.

Siku ya kwanza kufanya mapenzi alinipeleka gesti na aliniambia kuwa atatumia condom.Kwa kuwa ilikuwa ni mara yangu ya kwanza hatukuweza kutumia kinga na alifanya hivyohivyo.

Baada ya hapo tuliendelea kufanya hicho kitendo hata tukiwa shule.Wakati wa kutawanyika, mwalimu alikuwa akiniita katika ofisi yake na kunilazimisha tufanye.....

Miezi kadhaa baadaye, nilianza kujihisi tofauti na wazazi wangu waliyagundua mabadiliko hayo.Walinipeleka hospitali na vipimo vilionesha kuwa nna mimba.Waliponibana ilinibidi niwaeleze ukweli.....

AFISA ELIMU AINGILIA KATI:
Baada ya kubaini hali hiyo, baba alinipeleka moja kwa moja mpaka kwa afisa elimu wa mkoa.Sikuwa na jinsi zaidi ya kueleza ukweli.Mwalimu aliitwa na kuhojiwa.Mwanzo alikataa kabisa lakini baada ya kubanwa ilibidi akubali.

Mwalimu alisimamishwa kazi kwa muda na kufunguliwa mashitaka.Alikaa polisi kwa siku mbili, siku ya tatu alipata dhamana akatoka.....

Alipotoka, mwalimu aliamua kujiua kwa sumu.Shule niliachishwa.nipo nyumbani na mtoto.

Friday, June 01, 2012

Wito Kutoka Kwa Ndugu wa Queen Butahe

Wadau, nimegundua kuwa Queen alikuwa na kesi mahakamani hapa Boston dhidi ya ndugu yake aliyemleta kutoa Tanzania.  Kesi inahusu mambo ya kuchapwa.  Hapa USA huwezi kumchapa mtoto, ni kosa la jinai. Watoto  kutoka nje wanajanjaruka wakijua hiyo sheria. Utamsikia mtoto, ukinichpa, nitamwambia Mwalimu halafu nitaenda kukaa kwenye nyumba ya DSS (Department of Social Services)! Doh!  huko si ndo kubakwa na kugeuzwa malaya, mlevi, mtumia madawa ya kulevya!

****************************************************
Kindly Post this in your Blog!


From: Rev. G. Kutta

http://www.wavuti.com/4/post/2012/2/the-story-of-queen-b.html

Sorry, was interupted by powers cut! .....

Regards!

Mh! Whoever was and still act behind Queen on this issue had a mission behind! Without your help and mine, they can win! Do not underestimate your opponent! They have great minds! Tell me, what else can you do if you find Queen a threat? Entrench her in her own drain! This is what they wanted to do! Queen is bright and was doing very well in school such that envy and evil sent her opponents to disguise and now they have put her in this mess!

Lets act together to rescue our Girl!

1. Get her to realize that life may have been bad in the past but she was lucky to have a few who cared for her to their best and their simple faults of life activities led them blind of her tragedies, if at all they happened!

2. Get her to realize that Her family still desires to see her grow up good and strong! We are here still here! We want her alive and Blessed!

3. Get her to realize that, long lasting success can only come from a genuine heart!

4. Get her to realize that, the body of good willing Tanzanians, though dismayed by her accusations, yet know that Tanzania is her home! We Love her and she can make it good with us all by simply doing things the right way without defaming the good!

5. That those who play guardianship for her (Queen's) destruction should know that we know their fear! But they need not fear! Queen is born from a Family highly related to the United States! A family that got all its Good Potentials from United States! I myself had my baseline Education, grade One at Jefferson School, Spring field Ohio (1974/5) with Mr. Marckoch Head Master, Mrs. Carry my teacher! i love these guys! I love USA -But lets keep it up that way! Lets get Queen back to life!

Rev.Kutta,G.P.K.

Thursday, May 31, 2012

Site ya Anayedaiwa Kubakwa Ovyo Queen Butahe Haifunguki!

UPDATE June , 1, 2012  -  I have information regarding Queen's missing brother Walter. He is Queen's half brother. Her mother, the late Sgt. Victoria Kutta, of the Tanzania Police Force was married briefly to his father attorney Banda.  At the the time of her death they were separated. Mr. Banda took his son and left Queen with her maternal family. Mr. Banda is also dead now. Walter is said to be living with an uncle now. As soon as I get his whereabouts I will let you know.

Sgt. Victoria never identified Queen's father. The man listed on Queen's documents as her biological father, Robert Butahe, who is said to be deceased, is actually alive and well and lives in Dar es Salaam, Tanzania.


The justice system in Tanzania can prosecute those who abused Queen. They are waiting for her to say the word to bring her abusers to justice, however all I have spoken with say that they are not aware that any such abuses ever took place. They need Queen to talk to them but she has cut off communication with her Tanzanian family.


Sgt. Kutta/Banda alikuwa anafanya kazi pale kituo cha polisi Msimbazi. 
************************************************************ 
Queen Butahe, Franklin, Massachusetts
Wadau, tangu nimeona ile story ya Queen Butahe, kwenye Fox 25 nilifanya juu chini kujua kama kweli mambo hayo aliodai katokea, yalitokea kweli!  Mimi nilimwumbua yule mbakaji wa watoto Mzee Maumba 1990 na story kama yake ilinigusa sana.  Pia mimi ni mmoja wa waanzilishi wa TAMWA na moja ya kazi yetu ilikuwa kusaidia watoto na wakina mama. Lakini baada ya kusoma website yake, nikajiuliza kama yote ni kweli au chumvi, hamira na pilipili yameongezwa?  Site ya Queen ni Hapa. Ajabu Haifunguki sasa: http://www.queenb.antosca.com/  (Hapo kuna details za waliombaka, kutoa mimba etc.)

Haki ya mungu nilipoona tangazo ya hiyo story kuwa binti kateswa Afrika, nilidhani watasema Congo, nikabaki mdomo wazi waliosema Tanzania!


( Story ilitoka Fox 25 tarehe 10/Mei/2011.  Mnaweza kuona Kideo hapa:


http://www.myfoxboston.com/story/18288735/overcoming-the-odds-and-giving-back )

Kilichonishutua ni kuwa alidai kabakwa na watu wengi sana, ndugu, madereva wa school bus (tena kwa kupokezana), walimu.  Katoa mimba akiwa Primary! Duh, nikasema hivi Tanzania wanaume wetu wamekuaje siku hizi.


Baada ya kuposti taarifa kwenye Blog, Niligundua kuwa huyo binti, alililewa katika familia enye uwezo na waliokuwa wanampenda.
Mjomba wake Queen aliniletea ujumbe na niliongea naye kwa simu. Mjomba alililia kwa hasira na kusema hawezi kukubali Queen achafue jina na familia yake na Tanzania kwa ujumla.

Rev. Gilbert Kutta said...

I am her Family Member Senior Guardian, her Mother's Brother and second to the mother in our Family! Her mother passed away, what a tragedy to our family! She calls herself Queen Butahe? ----- Better the media call her again and get the name of her real Father! You may call me +255766551733! I did contact her when this sad news just came to my notice through the Web! She finally ended up blocking my email to her and said "It is bye bye to you"! She has a mission in mind. I will never allow it to take place the way she has planned by putting to shame my Lovely country TANZANIA and my good family! --- and me in effect! I want her to come out again and say the Truth. I don't brush out all what she said! But we have descent ways to deal with all that took place and not the way it seems her new American Caretaker is using! We do not work on half truth/half false and cooked up stories pitched for gain! I am in contact, and continue to contact all who did that interview to get to know what motivated them to shoot it to the mass! To defame? To what gain? How much did they first make due effort to search for truth? Is it just because a simple girl has come up with a story they see interesting they shoot it to the mass? I have plenty more to say! I have entered this debate because I feel this the only way to seek for cure!

god Bless TANZANIA my mother land! I love you and will protect you!

Please Contact me at rnaioth@yahoo.com. If you can help me clear THIS MESS and help Queen come back to her senses not to defame her Mother, please do!

I need that help!
thank you all-
God bless and keep my daughter safe!
regards to you all-
its me:

Rev. Gilbert Phillip Kutta
rnaioth@yahoo.com
+255766551733
Morogoro, Tanzania!

Mimi nilipeleka habari kwa huyo Mwandishi wa Fox 25,  Maria Stephanos na kumwelezea kuhusu mjomba wake. Maria kimya! Nadhani hatasema kitu, si mnajua jinsi hao waandishi wanvyojaribu kutafuta awards. 
*******************************************

Soma Story ya Queen kwa maneno yake mwenyewe hapa:

http://www.wavuti.com/4/post/2012/2/the-story-of-queen-b.html#axzz1wMvqNbjm

Wadau, ninaendelea kujaribu kuwasiliana na Fox 25 ili watoe story au correction, kuwa nchi yetu si ya watu washenzi kama walivyotupakazia.


Posti yangu wa awali mnaweza kusoma hapa:

Niligundua kuwa huyo binti, alililewa katika familia enye uwezo na waliokuwa wanampenda.


http://swahilitime.blogspot.com/search?q=queen+butahe

Friday, May 11, 2012

Binti wa Kibongo Boston Adai Kabakwa Ovyo Tanzania!

Wadau, leo asubuhi kazini niliulizwa kama ni kweli Tanzania haithamini haki za akina mama na kama wnaawake wanabakwa ovyo!  Kisa, ni story iiliyotoka kwenye TV jana jioni kuhusu binti MTanzania, Queen Butahe (19) anayeishi na familia ya kizungu huko Franklin, Massachusetts.

Kwa bahati nzuri jana jioni nilikuwa naangalia taarifa ya habari hapa Boston Fox 25. Wakasema, lazima usikie story ya binti ambaye kateswa na kuishi maisha ya ajabu Afrika.  Basi nikangojea story na kujiuliza ni nchi gani!  Nilidhani Congo. Ajabu, nchi ambayo inadaiwa kateswa kupindukia ni Tanzania!  Story ilivyopangwa utadhani Tanzania ni nchi ambayo mwanamke hana haki, hakuna sheria na wanawake wanabakwa ovyo! Mwisho wakasema kuwa Queen ana mradi wa kukusanya hela kwa ajili ya kujenga maktaba Tanzania! Yaani wadau, utadhani kuwa Tanzania haina maktaba hata moja.  Huyo binti ni yatima, familia yake wamekufa kwa UKIMWI. Natoa pole sana kwake. Lakini jamani, kuponda nchi hivyo!


Queen Butahe

Mnaweza kuona Kideo hapa:

   http://www.myfoxboston.com/story/18288735/overcoming-the-odds-and-giving-back

BOSTON - Maria Stephanos introduces you to Queen Butahe, a senior at Franklin High School, who is originally from Tanzania. Queen lost most of her family in Tanzania by the time she was six to HIV/AIDS. Only she and her brother had survived, and she doesn't know where he is to this day. For years she had been abused, and raped, and four years ago she had the chance to come to America with some relatives. She now lives the life of a normal American teenager, but doesn't forget the life she escaped in Tanzania. She is now raising money to help improve the education for young people in Tanzania, and help to build a library there. ( Ile story haisemi lakini sehemu anyaotaka kujenga ni Kwala, Tanzania.  Sijui ni mkoa gani lakini.)

*********************************

Wadau, nia yangu si kumponda huyo binti Queen.  Na ninapongeza kwa moyo wake wa kutaka kusaidia watoto waliobaki Tanzania.  Lakini kukashifu nchi nzima jamani!  Sehemu yoyote ukienda duniani kuna watu wabaya na wazuri.  Kwa kweli nilishikwa na hasira baada ya kusikia hiyo story, lakini nilisema huyo binti ni mdogo na huenda ni kweli kashindwa kumwambia mtu yaliyompata.   Anasema kuwa kabakwa na hausgeli, madereva wa mabasi, mjomba wake, mwalimu. Anasema kapata mimba ya mjomba wake akiwa darasa la saba lakini aliitoa.  Mwanzo nilidhani ni yatima ambaye alikuwa anaishi mitaani, lakini baada ya kwenda kwenye website yake nikagundua kuwa huyo binti alitoka kwenye familia waliojiweza. Alisomeshwa Olympio Primary na pia alikuwa anapanda School Bus. Ni ndugu yake ambaye alikuwa hapa Marekani ndiye aliyemnunulia tiketi ya kuja Marekani.  Wakati yupo hapa ndo kakutana nahiyo familia Franklin na kwenda kukaa nao.  Alikuwa na nafasi nzuri kuliko wengine. Na nadhani shangazi yake na hata huyo ndugu aliyemwezesha kutoka Tanzania kuja Marekani akisoma alivyoaandika watasikitika mno.  Anasema kuwa hata huyo ndugu yake wa Marekani! 

Na tusisahau kuwa Tanzania ina wanawake wengi wasomi, viongozi, na katika vyombo vya dola na sheria.  Hao anaodai walimbaka wangeweza kufungwa maisha!  Sheria zipo kulinda watoto dhidi ya ubakaji, kumbuka Mzee Maumba. Naona Queen hana habari kuwa gereza za Tanzania zimejaa watu waliopatikana na hatia ya kubaka watoto na kufanya maovu dhidi ya akina mama.

Ningependa kusika maoni yenu. Na pia wenye comments waambie Fox 25 kuwa nchi yetu Tanzani si jungle na tunathamini maisha ya watu wote!

Monday, August 22, 2011

Mashitaka Dhidi ya Strauss-Kahn Yafutwa!

(Pichani aliyekuwa Mkuu wa IMF Dominique Strauss-Kahn akiwa mahakani New York mwezi Mei)
(Pichani Bi Nafissatou Diallo)



Kwa kweli sijui tumhurumie huyo Bi Nafissatou Diallo aliyedai kuwa kabakwa na Dominique Strauss-Kahn. Mambo ya kupambana na matajiri na wenye mamlaka na heshima kama Strauss-Kahn hayawezi kuzaa matunda mema. Maisha yake Bi Diallo yameharibika. Waliomsapoti wanamkimbia sasa.




Kabla ya Bi Diallo kumshitaki Mzee Strauss- Kahn ilikuwa agombee urais wa Ufaransa. Bi Diallo anatoka Guinea nchi ambayo ilikuwa koloni ya Ufaransa. Nina wasiwasi hata ndugu zake wa Guinea watakiona cha mtema kuni shauri ya hii kesi.



Haya kesi imefutwa, sasa IRS wanamchunguza huyo Bibi kwa utapeli, eti alikuwa na akaunti enye $150,000 huko kaandikisha kuwa maskini, ana anakaa kwenye fleti za wasio na uwezo. Wanaokaa Marekani wanaelewa umuhimu wa kusema kweli kweli zile fomu za kodi 4/15.



Wakili wa Bi Diallo kafungua kesi kumdai Strauss-Kahn mamilioni. Anaweza kupata, lakini walivyomchafua huyo mama, duh! Magazeti yameandikia kuwa ni mwongo mkubwa, malaya, anashiriki na wauza unga, Kaomba asylum akidai kuwa kabakwa huko Guinea na wanataka kumkeketa, nk.




Lakini tangu hii kesi itokee nimekuwa nikiuliza, inakuaje jamaa kamlazimisha amnyonye ume wake mpaka ana mwaga? Kama alikuwa hataki si angeling'ata! No huyo Mzee Strauss-Kahn apunguze nyege zake. Nyege ndo zimeponza!




Pole zake Bi Diallo.



*********************************


Former International Monetary Fund chief Dominique Strauss-Kahn will no longer face criminal charges related to allegations that he sexually assaulted a hotel housekeeper, the housekeeper's attorney said Monday after meeting with prosecutors.

A grand jury indicted Strauss-Kahn in May on charges that he sexually assaulted housekeeper Nafissatou Diallo at his luxury New York hotel suite. Strauss-Kahn's attorneys have insisted that any sexual encounter was consensual.

A judge freed Strauss-Kahn on July 1 after prosecutors learned Diallo had lied about the specifics of her whereabouts after the incident and past details of an asylum application and information on tax forms.

******************************







By JOHN ELIGON, WILLIAM K. RASHBAUM and COLIN MOYNIHAN

Updated, 4:01 p.m. Prosecutors in the office of Cyrus R. Vance Jr., the Manhattan district attorney, have filed papers requesting that all charges be dropped against Dominique Strauss-Kahn, the former head of the International Monetary Fund.

The papers, known as a dismissal on recommendation, were filed at 3:20 p.m. Monday afternoon in Manhattan Supreme Court.

At about the same time, the lawyer for Nafissatou Diallo, the hotel housekeeper who accused Mr. Strauss-Kahn of sexual assault, emerged from a brief meeting with prosecutors to offer harsh criticism of Mr. Vance.

The meeting was presumably held to inform Ms. Diallo and her lawyer, Kenneth P. Thompson, of the office’s intention to drop the charges.

“The Manhattan district attorney, Cyrus Vance, has denied the right of a woman to get justice in a rape case,” Mr. Thompson said. “He has not only turned his back on this victim but he has also turned his back on the forensic, medical and other physical evidence in this case. If the Manhattan district attorney, who is elected to protect our mothers, our daughters, our sisters, our wives and our loved ones, is not going to stand up for them when they’re raped or sexually assaulted, who will?”

Ms. Diallo stood by his side, but said nothing.


Mr. Strauss-Kahn’s lawyers, William W. Taylor III and Benjamin Brafman, said in a statement:

“We have maintained from the beginning of this case that our client is innocent. We also maintained that there were many reasons to believe that Mr. Strauss-Kahn’s accuser was not credible. Mr. Strauss-Kahn and his family are grateful that the District Attorney’s office took our concerns seriously and concluded on its own that this case cannot proceed further. We look forward to attending the hearing on Tuesday.”

A chaotic scene unfolded outside the Louis J. Lefkowitz State Office Building, where the meeting between Ms. Diallo’s team and prosecutors took place, with reporters and onlookers lining both sides of Centre Street.

Ms. Diallo had not met with prosecutors in nearly a month, the last time being on July 27 when she went to their office to listen to recordings of telephone conversations she had with a man in an Arizona jail. Prosecutors have said that the recordings showed that Ms. Diallo was talking about exploiting Mr. Strauss-Kahn’s wealth. But Mr. Thompson said that his client never raised the subject of getting money from Mr. Strauss-Kahn during the conversations, in which Ms. Diallo and the man spoke in Fulani, a language of Ms. Diallo’s native Guinea.

The difference in opinion over the substance of the conversation was just one of many points of contention between Mr. Thompson and the district attorney’s office. The relationship between them has deteriorated since prosecutors said in late June that they believed Ms. Diallo had lied to them about several things in her personal life and background.

Mr. Thompson has urged prosecutors to press forward with the criminal case, arguing that physical evidence and other factors outweighed his client’s credibility problems. Ms. Diallo has said that Mr. Strauss-Kahn tried to rape her and then forced her to perform oral sex when she went to clean his suite at the Sofitel New York in mid-May.

But prosecutors have determined that Ms. Diallo had been too untruthful with them to stand up to cross examination if the case were to go to trial. She lied about her past in Guinea on her asylum application and she told prosecutors in an interview a false story about being gang raped in her native country, prosecutors have said.

In their letter to Mr. Thompson, prosecutors said that at Monday’s meeting they would explain how they would proceed at Tuesday’s hearing before Justice Michael J. Obus of State Supreme Court in Manhattan.

Several elected officials and women’s groups planned to hold rallies in front of the courthouse Monday afternoon to urge Mr. Vance to go forward with the case.

Friday, May 27, 2011

Wanafunzi Wamwua Mwalimu Wao Iringa!!

Duh! Yaani nimesoma kwa mshangao mkubwa habari za hao akina dada kumwua mwalimu wao! Kisa alitaka kumbaka moja wao. Ubakaji ni mambo mazito, mimi ningempa adhabu ya kukatwa dhakari, lakini kuua hapana! Inaninikubusha ile sinema ya The Women of Brewster Place, yule dada shoga anabakwa na kundi la wahuni halafu anapata kichaa na kumwua kwa kumpiga kichwana mara kadhaa, baba aliyekuja kumsaidia.

Mungu ailaze roho ya Dr. Mafingo, mahala pema mbinguni. Amen. Hao wasichana watafute wakili mzuri la siyo watasota huko jela miaka mingi.

****************************************************************
Kutoka Gazeti la NIPASHE

Wanafunzi wa Kike Wamuua Mwalimu
By Godfrey Mushi
27th May 2011

Wanafunzi wa Chuo cha Uuguzi cha Bulongwa kilichoko Wilaya ya Makete mkoani Iringa, wamemuua kwa kumshambulia kichwani mkufunzi wa chuo hicho, Dk. Jumbe Mafingo, kwa madai ya kupinga jaribio lake la kutaka kumbaka mwanafunzi mwenzao.

Taarifa za awali za makachero wa polisi zilieleza kuwa mkufunzi huyo aliuawa baada ya kutuhumiwa kwamba alitaka kumdhalilisha kijinsia mwanafunzi wa kike, Jean Laison Mwakabuta kwa kutaka kumbaka.

Tukio hilo la kuuawa kinyama kwa mkufunzi huyo ambaye ni mwalimu wa nidhamu chuoni hapo, lilitokea juzi usiku nyumbani kwake mjini hapa.

Kwa mujibu wa Kamanda wa Polisi Mkoa wa Iringa, Evarist Mangalla, Dk. Mafingo alifikwa na umauti baada ya mwanafunzi huyo kuamua kwenda nyumbani kwake usiku ili kumkabidhi maelezo yake ya kimaandishi kuhusu sababu zilizomfanya alale nje ya chuo.

Ilielezwa kuwa muda mfupi baada ya kuingia kwenye nyumba ya mwalimu huyo, mwanafunzi huyo alianza kupiga kelele kuwa anabakwa.

Alisema kufuatia kelele hizo, wanachuo wengine waliamka katika vyumba vyao na kwenda hadi eneo la tukio na kuanza kumshambulia kichwani mkufunzi huyo hadi kumuua.

Kamanda Mangalla alisema Dk. Mafingo aliuawa kwa kushambuliwa na kitu kizito kichwani.

“Huyu Jean Laison Mwakabuta, aliambiwa na Dk. Mafingo ambaye ni mwalimu wa nidhamu chuoni hapo, aandike maelezo ya maandishi kwa sababu gani alilala nje ya chuo,...baada ya kuandika maelezo hayo, aliamua kuyapeleka nyumbani kwa mkufunzi huyo usiku, sasa baada ya kugonga mlango na hatimaye akaruhusiwa kuingia, alianza kupiga kelele kwamba anabakwa…na ndipo wanafunzi wenzake waliposikia kelele wakaamka na kukimbilia eneo hilo na kumshambulia mkufunzi huyo hadi kufa,” alisema Kamanda Mangalla.

Ilidaiwa kuwa siku moja kabla ya tukio hilo, uongozi wa chuo hicho cha Bulongwa ulitoa ridhaa kwa wanachuo wote kwenda kutembea nje ya chuo kwa lengo la kuwapunguzia msongo wa mawazo ya masomo na Jean Laison Mwakabuta hakurejea chuoni hadi siku iliyofuata.

Kamanda Mangalla, alisema wanachuo wanne akiwamo mwanafunzi Jean, wametiwa mbaroni kuhusiana na mauaji hayo.

SOURCE: NIPASHE

Thursday, May 19, 2011

African Maid Causes Downfall of IMF Chief!

(Picha iliyotengenezwa na kompyuta kuiga mambo yaliyotokea kwenye Sofitel Hotel mjini New York kati ya mhudumu wa hoteli na Mkuu wa IMF, Dominique Strauss-Kahn inatoka TOGO FORUM)

Wadau, Mkuu wa IMF ambaye anakabiliwa na mashitaka kadhaa ya ubakaji mjini New York, Bwana Domique Strauss-Kahn amejiuzulu wadhifa wake! Bi Nafissatou Diallo (32) raia wa Guinea, Afrika Magharibi anadai kuwa Mzee huyo alimlazimisha kumnyonya ume wake na baadaye alimwomba nyuma. Ndo Bi Diallo alikimbia kwenda kumshitaki. Bwana Strauss-Kahn amefungwa bila dhamana kwenye gereza la Rykers Island.

Yaani mwanamke maskini kutoka Guinea amemfanya Mkuu wa IMF ajiuzulu! Kwa kweli sipendi kusikia habari za ubakaji na kama ni kweli basi huyo Bwana Strauss-Kahn anastahili kukatwa hiyo dhakari yake asiyojua kuitumia vizuri. Ila nina wasiwasi kweli kuwa maisha ya huyo Mama yatakuwa magumu sasa. Watamnyanyasa yeye na familia yake. Kazi hatapata, na wanaweza hata kumwua! Hao matajiri wanapesa za kunyaynyasa watu waliowakosea acheni tu! Tayari wameanza kumchafua Bi Diallo kwa kusema ni mgonjwa wa UKIMWI kwa vile anakaa kwenye fleti maalum za waathirika mjini New York.

Mnaweza kusoma habari zaidi kwa KUBOFYA HAPA:

Wednesday, May 18, 2011

Anayedai Kabakwa na Mkuu Wa IMF Hotelini NY Atajwa

(Pichani - Mkuu wa IMF Dominique Strauss-Kahn Akiwa amefungwa pingu na kupelekwa kwenye gereza ya Rikers Island, New York)


Bila shaka mmesikia habari ya kesi ya ubakaji inayomkabili Mkuu wa IMF mjini New York. Magazeti ya nje ya Marekani yametaja jina na kutoa picha ya mhudumu wa hoteli anayedai kuwa Bwana Dominique Strauss-Kahn (62) kamfanya mabaya. Inadaiwa kuwa wikiendi iliyopita katika hoteli ya Sofitel mjini New York, Strauss-Kahn alijaribu kumbaka Bi Nafissatou Diallo (32) ambaye anatoka nchi ya Guinea, Afrika Magharibi. Chumba alichofikia ni $3,000 kwa siku!

Habari zinasema kuwa Bi Diallo alienda kusafisha chumba alichofikia Strauss-Kahn. Alidhani hakuna mtu mle. Alipofungua mlango Strauss-Kahn alitoka bafuni na alimkimbiza akiwa uchi na kumfungia chumbani. Hapo Strauss- Kahn alimlazimisha kunyonya ume wake, na baadaye alimwomba Diallo amfanye huko nyuma (kufira). Yule mama alifanikiwa kukimbia na kawaambia wafanyakazi wenzake hotelini ndo wakaita polisi. Inadaiwa kuwa Strauss-Kahn alikimbia baada ya tukio na kuacha simu yake, lakin wakli wa Strauss-Kahn anasema kuwa alienda kula chakula cha mchana na binti yuake halafu baadaye alienda uwanja wa ndege.

Strauss-Kahn alikamatwa kwenye ndege huko JFK Airport ikiwa karibu inaruka kwenda Ufaransa.

Kwa sasa Strauss-Kahn amefungwa bila dhamana katika gereza la Rikers Island huko New York. Duh! Kutoka hoteli ya fahari kwenda Rikers Island ni makubwa. Sidhani kama alitegemea kuona ndani ya jela katika maisha yake. Bi Diallo amefichwa. Tutasikia zaidi mahakamani. Siwezi kujua nani anasema ukweli kwa vile sikuwepo, ila naweza kusema kuwa maisha ya huyo mama yatabadilika. Yeye maskini halafu anachafua jina la tajiri. Nina wasiwasi hata familia yake huko Guinea wako hatarini kuchafuliwa jina.

Lakini jamani, dume zima tena tajiri ilishinda kununua malaya! Wanaomfahamu Bi Diallo wanasema kuwa ni mrefu ana urefu wa futi 6. Hivi Strauss-Kahan alidhani kwa vile mzungu yule mama atakubali kumpa nini?

Mnaweza kuona picha ya Bi Diallo kwa kuBOFYA HAPA:


Kwa habari zaidi someni:


http://www.nydailynews.com/news/world/2011/05/18/2011-05-18_we_want_you_out.html

http://abcnews.go.com/US/dominique-strauss-kahn-sex-case-alleged-victims-lawyer/story?id=13627104

http://www.telegraph.co.uk/finance/dominique-strauss-kahn/8521881/Dominique-Strauss-Kahn-maid-lives-in-apartment-block-for-HIV-sufferers.html

Friday, January 28, 2011

Mtoto wa Miaka Mitatu Abakwa Kimara

Kuna mdau kutoka Kimara, Dar es Salaam ambaye ameleta habari hizi za kusikitisha na kutisha!

********************************************************************
MIMI NI MKAZI WA KIMARA STOP OVER GARAGE- KUNA MTOTO WA MIAKA 3 ALIBAKWA HAPA MAENEO YA KIMARA GARAGE MBELE KIDOGO YA KIMARA STOP OVER,,,KWA KWELI MKASA WENYEWE UNASIKITISHA UWEZI AMINI KAMA WATU NA AKILI ZAO WANAWEZA KUFANYA KITENDO CHA KUSIKITISHA HIVI HASA JESHI LA POLISI,,,,STORY YENYEWE ILIANZA HIVI,,,MTOTO MDOGO KWA JINA TUNAMHUIFADHI ALIRUDI KWA MAMA YAKE MCHANA KWEUPE AKILALAMIKA MAUMIVU SEHEMU ZA SIRI.

MAMA YAKE BAADA YA KUMPEKUA AKAMKUTA AKIVUJA DAMU KIBAO ILIYOCHANGANYIKA NA MBEGU ZA KIUME,,HUKU SEHEMU ZAKE ZA SIRI ZIKIWA ZIMECHANIKA KABISAAAAA. MTOTO BAADA YA KUULIZWA NANI KAKUFANYA HIVI AKASEMA FULANI (JINA TUNAMUHIFADHI)KWA KWELI MAMA ALIPIGA UKUNGA MAJIRANI WAKAJAA PALE,,BAADA YA KUAMBIWA KILICHOTOKEA WATU WAKAKIMBILIA KWA MBAKAJI NA MAWE NA MATAIRI WAMCHOME MOTO.

JAMAA TAYARI ALIKUWA KASHATOROKA SAA NYINGI,,IKABIDI WATU WAMSAIDIE MAMA KUMBEBA MTOTO NA KUMKIMBIZA KITUO CHA POLISI CHA MBEZI KWA YUSUF(MBEZI LUIS) WAKAPATA PALE PF3 YA MATIBABU NA RB YA KUMKAMATA MBAKAJI NA KESI IKAFUNGULIWA PALE,. KWA KWELI ILIBIDI UFANYIKE MCHANGO KIDOGO KUMSAIDIA YULE MAMA MAANA ALIKUWA HANA MUME WALA UWEZO KAZI YAKE YEYE NI KUWACHOTEA MAJI MAJIRANI NA KUPATA VIJISENT ANAVYOJIKIMU YEYE NA MWANAWE,.

MTOTO AKAPELEKWA MWANANYAMALA AKALAZWA...JIONI SASA NDO IKAWA KIMBENDE MAANA YULE MVUTA BANGI AU MBAKAJI ALIRUDI NA KUANZA KUWATUKANA WATU KWAMBA HAWAWEZI KUMFANYA LOLOTE,, ALIKUWA ANATUMIA JEURI YA KAKA YAKE ANA PESA NA HATA MKIMUWEKA NDANI ATATOKA TU (KAKA YAKE ANAFANYA KAZI TBL).NA POLISI AKIENDA ATATOKA TU ATA KWA UCHAWI.

WATU WAKAPIGA SIMU POLISI DEFENDER YA POLISI IKAJA IKAMBEBA SAA 5 USIKU AKALALA KITUO CHA POLISI MBEZI KWA YUSUF,,ALILALA LITUONI SIKU MBILI BILA HATA KUPELEKWA MAHAKAMANI. ,KATIKATI YA HIZO SIKU 2 SIJUI NDO MPELELEZI WA KESI AU POLISI HATA HATUJUI (HAWAKUWA WAMEVAA UNIFORM)KUTOKA KITUO CHA POLISI MBEZI WALIENDA HOSPITAL YA MWANANYAMALA NA KUMLAZIMISHA DAKITARI ANAYESIMAMIA VIPIMO VYA UBAKAJI AWAPE FAILI WARUDI NALO KITUONI DAKTARI AKAKATAA KATA KATA KUWAPA,,(KISHERIA HAMNA DHAMANA KWA MBAKAJI NI MAGERZA TU).

CHA AJABU SIKU YA 3 KESI IKACHAKACHULIWA NA POLISI ANAYEIPELELEZA! YULE MBAKAJI AKAPANDISHWA MAHAKAMANI KWA KESI YA UKABAJI BADALA YA UBAKAJI PATAMU HAPO..CHA AJABU HATA MJUMBE WA NYUMBA KUMI KUMI NDO ALITOA KIBALI CHA DHAMANA. HIVI KWELI HII TANZANIA TUTAFIKA KWELI KWA UNYAMA HUU? NASIKIA MAMA WA WATU KAJIFUNGIA NDANI NA MWANAWE KAZI YAKE NI KULIA TU. WATU WALIPOJARIBU KURUDI KITUONI PALE MBEZI ASKARI WAKASEMA ETI WALIKOSEA BADALA YA KUANDIKA MBAKAJI WAKAANDIKA MKABAJI.

WALIPORUDI KUJA KUMKAMATA YULE MBAKAJI TAYARI ALIKUWA AMETOWEKA KUSIKOJULIKANA. KAKA WA MBAKAJI ALITOKA AKAENDA KWA MAMA WA MTOTO NA KUANZA KUMTISHA KAMA AKIFUATILIA ZAIDI HII KESI ATAMHUAMISHA MJINI. INASIKITISHA JAMANI HEBU MTUSAIDIE HATA KUISUKUMA HII MSG TAMWA HATA KWENYE VYOMBO VYA HABARI ILI HAWA POLISI WALIOCHUKUWA PESA WASHITAKIWE....NAOMBA MSINITAJE JINA MIMI NILIERIPOTI VITISHO VIMEKUWA VIKUBWA !

ASANTENI SANA

MLALAMIKAJI

Wednesday, November 17, 2010

Mzee Noma (ONYO- Lugha Chafu)



Haki ya Mungu ningemwona huyo mzee mshenzi ana kwa ana ningempiga! HANA ADABU!!!! Ana mawazo finyo na mdomo mchafu! Haheshimu wanawake hata kidogo!

Wito kwa akina mama mlio karibu naye, mchukue mafimbo mpige, uzuri zaidi, mkate hiyo dhakari yake maana hasthali kuwa nayo!!!

Friday, June 11, 2010

MZimbabwe Abaka Msichana New Jersey

Nyie wanaume kutoka Afrika, mkija Marekani poozeni hizo dhakari zenu. Kuna kijana kutoka Zimbawe mwenye miaka 19 tu ambaye anashitakiwa kwa kubaka huko New Jersey. Ilitokea baada ya Prom, yaani sherehe ya kumaliza Form Four. Hapa Marekani mwanamke akisema basi, manake basi! La sivyo mtafungwa na kuchafuliwa majina na kuitwa sex offender. Kijana huyo ni mwanafunzi na alikuwa ana kaa na host family. Nyege zimemponza. Anashikiliwa kwa dhamana ya $125,000. Huyo ambaye kabakwa lazima atakuwa mzungu, dhamana kuwa kubwa kiasi hicho!

Inaelekea kijana alishikwa na nyege mshindo. Binti ambaye kabakwa alikuwa amezimia kwa ulevi. Wenzake walimkuta anafanya mambo yake na kuanza kumpiga! Mnaweza kusoma habari kamili hapa:
http://www.cliffviewpilot.com/bergen/1355-northern-valley-student-charged-with-raping-fellow-senior-at-seaside-heights-motel

Pia,bado kuna mawazo finyu kuwa waafrika wana uume/miboro kubwa kuliko watu wengine. Hivyo wanawake watawashiwishi kutaka kuziona.

****************************************************

N.J. Prom-Party Rape Raises Red Flag


OLD TAPPAN, N.J. (CBS)

It was a nightmare for a teenaged girl celebrating her prom. She was raped during a party that was supposed to be joyous and memorable.

She was part of a group from Bergen County that traveled to the Jersey Shore last week to live it up.

It's a dangerous tradition that has changed the way some schools celebrate their proms.

Could this attack have been prevented? That's what students and parents at Northern Valley Regional High School are asking.

Jackie Finno is an 18-year-old who will be going to her senior prom on Friday night. Then, as the tradition goes, she and her friends will head to the Jersey Shore.

But news an 18-year-old girl was allegedly raped at her after-prom party at the Shore last Friday has Finno on edge.

"When I found out it was terrible. Oh my God. It's very nerve-wracking," Finno said.

But Finno's mother said she's still willing to let her go.

"With much stipulation and we trust. And we trust her and we trust her choices and we have to start letting her go, even through all these tragedies that occur," LeeAnn Finno said.

Police said 19-year-old Matthias Kabette from Zimbabwe and a senior at Northern Valley raped a classmate at a motel in Seaside Heights on June 4. Members of Kabette's host family declined to speak to CBS 2 HD on Thursday night.

"I can't comment I'm sorry," one said.

Students who know the suspect were stunned.

"He's a really nice guy. Like I can't see any bad sides about him," Eugene Kim said.

"I played soccer with him. He was a really nice kid," another student said.

Now parents and students are questioning if the alleged attack could have been prevented.

"I think it's an issue that you are giving teenagers today the freedom to go down to the shore at 16, 17 years old," one parent said. "You're asking for trouble."

Northern Valley junior Christian Mecca said he'd support a midweek prom, like many area high schools already have.

"Because it keeps people out of trouble. It is kind of a tradition to have it on a Friday and you're with your friends for the weekend. But I feel like, just everyone's just gotta be responsible," Mecca said.

Parents said they also bear the responsibility, but feel timing makes no difference.

"Do you think the day of the week probably would've mattered to this kid? Probably not," parent Mike Poole said.

"Is it something that can be completely avoided in our world? Unfortunately not," LeeAnn Finno added.

Kabette, who is studying in the U.S. on a student visa, is being held on $125,000 bail.

Friday, November 27, 2009

Mzee wa miaka 86 Ambaka Msichana mdogo Dar!

Duniani kuna mambo! Huko Kinyerezi, Dar es Salaam, Mzee mwenye miaka 86 kambaka msichana mwenye miaka mitano! KHAA! Yaani alishindwa kumpata hata malaya wa kumridisha! Na wanasema kuwa alimpenya huyo mtoto! Nadhani huyo mzee atafia jela hivi karibuni! DUH!

Kama miaka mitano iliyopita hapa Boston, kuna Babu mwenye miaka 83 alimtia mimba msichana mwenye miaka 9! Hapa watoto wengine wana vunja ungo mapema. Yule binti alikuwa anakwenda na kikundi fulani cha watoto kwenye nyumba za wazee kuwatembelea na kuwa marafiki na wazee. Si mnajua nyumba za wazee hapa ni nyumba za kusibiri kifo. Tulishangaa kusikia bado vinaongelea na umri huo.

*******************************************************************

Kutoka ippmedia.comhttp://www.ippmedia.com

Elderly man (86) charged with raping kid (5)
By Jacqueline Mosha
27th November 2009

An elderly man, Omari Kitambo (86), was on Thursday arraigned in the Ilala District Court charged with raping a five-year-old girl (name withheld).

The accused, a resident of Kinyerezi on the outskirts of Dar es Salaam, appeared before Resident Magistrate Joyce Minde.

According to Asma Shemweta who read the charge sheet, the accused had carnal knowledge of the girl.

The accused pleaded not guilty to the charges and was remanded in custody after failing to meet bail conditions.

Wednesday, March 18, 2009

Ubakaji na mauji ya watoto wadogo huko Iringa!

Jamani, hivi huko Iringa kuna nini? Kuna habari kuwa watoto wadogo yaani chini ya miaka sita wanabakwa huko! Sasa huo ni mchezo gani? Najua Afrika Kusini watu wanabaka hao watoto wakidhani eti watapona UKIMWI! Na nashangaa baba zima anataka nini na mtoto mdogo hivyo. Kama hao wahalifu watakamatwa napendekeza wakatwe ume/bolo zao mara moja! Tena mbele ya umati!

********************************************************************

Kutoka Lukwangule Blog:

VITENDO vya ubakaji vimeanza kushamiri mkoani hapa, huku matukio ya hivi karibuni yakionesha wanaokumbwa na sakata hilo wakiwa ni watoto wa kike wenye umri chini ya miaka sita.

Katika matukio mawili yaliyotokea ndani ya wiki tatu, mtoto mmoja amekufa baada ya kufanyiwa unyama huo huku mwingine akiendelea kutibiwa katika hospitali ya Mkoa wa Iringa. Tukio lililopelekea mmoja wa watoto hao kufa lilitokea juzi, baada ya mtoto huyo (jina linahifadhiwa) kubakwa na watu wasiojulikana hadi mauti yake yalipomfika na hatimaye kutupwa kwenye bonde dogo la mlima Tagamenda uliopo mita 600 kutoka stendi ndogo ya mabasi ya mikoani ya Ipogolo ya Iringa mjini.

Polisi waliokuwepo kwenye eneo hilo walifanikiwa kuutoa mwili wa mtoto huyo mwenye miaka mitano kutoka katika bonde hilo lenye miti mingi yenye miba akiwa hana nguo na amelowa damu sehemu zake za siri, huku umati mkubwa wa watu waliokuwepo wakiangua kilio kwa uchungu.

Polisi hao wakiongozana na baadhi ya ndugu wa mtoto huyo waliukimbiza mwili huo katika hospitali ya mkoa wa Iringa kwa ajili ya uchunguzi zaidi na wakati tukienda mitamboni ulikuwa umehifadhiwa kwenye chumba cha kuhifadhia maiti cha hospitali hiyo.

Mganga Mfawidhi wa Hospitali ya Mkoa wa Iringa, Dk Oscar Gabone alisema katika tukio lingine lililohusisha mtoto mwingine wa miaka mitano kubakwa kwamba lilitokea Februari 22 katika milima ya Gangilonga mjini Iringa aliyepokelewa hospitalini hapo Februari 23.

Mama mzazi wa mtoto huyo, Jamila Mashaka alisema kwa uchungu kwamba siku ya tukio, mtoto wake na wenzake walikuwa wakicheza nje ya nyumba yao baada ya kujipatia chakula cha jioni.

“Ilikuwa majira ya saa moja jioni, baada ya kupata chakula cha jioni mwanangu huyu na wenzake wakawa wanacheza nje, hata hivyo dada yake alikuja chumbani kwangu baadaye akiniambia kwamba mdogo wake haonekani,” alisema.

Alisema jitihada za kumtafuta katika maeneo wanayoishi na kwa marafiki zake aliokuwa akicheza nao hazikuzaa matunda na ndipo ilipofika saa 4.30 usiku wa siku ya tukio walipkwenda kutoa taarifa Polisi.

“Kesho yake saa 4.30 asubuhi nililetewa taarifa kwamba kuna mtoto yuko hospitali ya mkoa, na nilipokwenda kumtazama nikabaini kwamba ni wa kwangu. Nawashukuru madaktari wanaomuhudumia kwasababu hivi sasa anaendelea vizuri,” alisema.

habari hii kwa hisani ya Frank wa HabariLeo Iringa

Saturday, June 14, 2008

MKenya abaka mvulana huko Philadelphia

Fred Magondu akisindikizwa kortini na polisi


Asante mdau Subi kwa habari hizi.

Huko Philadelphia, nesi wa kiume ambaye alikuwa anaangalia vijana wenye upungufu wa akili , alimbaka moja wao. Kijana mwenyewe ana miaka 14. Wanasema mtoto ni kipofu, na hajiwezi.

Nesi ametambulika kama MKenya, Fred Magondu, 36. Kwanza nilidhani wamemsingizia lakini wana ushahidi wa DNA. Walipima shahawa zilizokuwa kwa yule kijana. Magondu mwenyewe ana mke na watoto! Jamani! Aibu kweli kwa familia yake.

***************************************************************************

Mwenye kujifunza na ajifunze, mwenye kutoa onyo kwa wengine na atoe.
Subi

Male nurse charged with raping boy

By MATT COUGHLIN Bucks County Courier Times


A nurse caring for a physically and mentally impaired 14-year-old Bucks County boy is accused of raping the teen in April, according to police.

Fred Magondu, 36, a Kenyan national living on King Arthur Road in Philadelphia, was taken into custody at a Philadelphia nursing home Thursday afternoon and later arraigned on charges of molesting a child who was in his care.

Police said they learned of the rape April 30. The boy receives 24-hour nursing care because he is mentally and physically impaired, unable to speak and blind, police said. According to court records, another individual care nurse, who has been caring for the boy for about nine years, discovered injuries to the boy when she attempted to change his diaper after he arrived at school April 30.

The boy was first examined at St. Mary Medical Center in Middletown and then transferred to The Children's Hospital of Philadelphia. Doctors at both hospitals told police the boy was bleeding and bruised.

Police learned that Magondu, a Harleysville Pediatrics employee who has been caring for the boy for several months, was working at the victim's home from April 29 to 30. Magondu was allegedly alone with the boy from 5 a.m. to 7:40 a.m. before putting him on the bus to school, police said.

Investigators interviewed Magondu in early May at an unnamed Philadelphia nursing home where he works, according to court records. Magondu said that on April 30 the boy had been bleeding but the nurse believed it was a physical problem and had changed a set of soiled linens. Police collected a sample of Magondu's DNA and the boy's bed linens and sent them to National Medical Services for analysis.

In a report to police June 6, the laboratory said the linens tested positive for semen that matched Magondu's DNA and that the possibility of it being from another unrelated person was 1 in 7 trillion, according to court records.

Magondu was arraigned on multiple charges of rape, involuntary deviate sexual intercourse, indecent assault, corruption of minors and unlawful contact with minors and sent to Bucks County prison on $250,000 bail. If he is released, the judge ordered that Magondu have no contact with the child and surrender his passport to authorities.

Magondu has been a practical nurse since June 2006 and had renewed his license earlier this month, according to Department of State records. Those records list no prior disciplinary action. He also has an expired graduate permit that lists a prior address in Falls. During his arraignment Magondu told the judge he moved to Philadelphia from Fairless Hills with his wife and three children in January. He has no prior criminal record in Pennsylvania, according to state records.
The newspaper is withholding information about the teen to protect his identity.

Matt Coughlin can be reached at 215-949-4172 or mcoughlin@phillyBurbs.com.

June 13, 2008