Showing posts with label Rwanda. Show all posts
Showing posts with label Rwanda. Show all posts

Thursday, April 04, 2019

Kumbukumbu - Mauaji Rwanda 1994

Wadau, nilikuwa mwandihsi wa habari katika gazeti la serikali, Daily News. Siku ya 4/4/1994, tulipata Telex kibao kuwa watu wanafurika Bukoba na sehemu zingine mpakani kutoka Rwanda. walisema watu wanauawa ovyo, kisa...eti WaTusi!  Walisema watu waliokuwa marafiki jana, leo ni maadui!  Asante Mwalimu  Nyerere, sisi waTanzania wote ni NDUGU!

******************************************

Rwanda genocide victims 1994

By The Associated Press

   KIGALI, Rwanda (AP) - Twenty-five years ago, Rwanda descended into an orgy of violence in which some 800,000 Tutsis and moderate Hutus were massacred by the majority Hutu population over a 100-day period in what was the worst genocide in recent history.

   The massacres, mostly by gangs wielding machetes, swept across Rwanda and groups of people were killed in their homes and farms and where they sought shelter in churches and schools. The mass killings started after a plane was shot down on April 6, 1994, in the capital, Kigali, killing President Juvenal Habyarimana. The killers were encouraged by hate messages broadcast on radio stations. Rwandan police, military and other government authorities did not stop the killings.

   Scores of thousands of terrified Tutsis fled Rwanda for neighboring countries including Congo, Tanzania and Uganda. The waves of murders continued until the rebel forces of the Rwandan Patriotic Front took control of the country. Paul Kagame, who led the rebels, helped re-establish order in the country and served as vice-president and defense minister from 1994 until he became Rwanda's president in 2000. Under Kagame's leadership Rwanda has achieved stability and economic growth, although he is widely accused of being intolerant of criticism and of running a repressive government.

   The scale of the killings in 1994 was unimaginable but the reporting and photographs taken at the time, for which AP won Pulitzer prizes, helped to inform the world of the horrors of the genocide.



Saturday, January 27, 2018

Waziri Tillerson wa Marekani Atatembelea Nchi Kadhaa za Afrika mwezi Machi!

 
Rais Trump wa Marekani akimwangalia Mh. Waziri Rex Tillerson

ADDIS ABABA, Ethiopia (AP) - President Donald Trump in a new letter to African leaders says he "deeply respects" the people of Africa and that Secretary of State Rex Tillerson will make an "extended visit" to the continent in March, his first in that role.

   The letter dated Thursday is addressed to African leaders as they gather for an African Union summit this weekend in Ethiopia's capital.

   U.S. diplomats have scrambled for days to address shock and condemnation after Trump's reported comparison of African nations to a dirty toilet. Trump has said he didn't use such language, while others present say he did.

   Many in Africa were taken aback by the comments after nearly a year of little attention by the Trump administration to the world's second most populous continent. Concerns have been widespread over proposed deep cuts to U.S. foreign aid and a shift from humanitarian assistance to counterterrorism.

   Trump's letter, seen by The Associated Press and confirmed by two U.S. officials, says the U.S. "profoundly respects" the partnerships and values shared by the U.S. and Africans and that the president's commitment to strong relationships with African nations is "firm."

   The letter offers Trump's "deepest compliments" to the African leaders as they gather for Sunday's summit of their 55-nation continental body. It also notes that U.S. soldiers are "fighting side by side" against extremism on the continent and that the U.S. is working to increase "free, fair and reciprocal trade" with African countries and partnering to "safeguard legal immigration."

   The letter gives no details on Tillerson's upcoming visit. A State Department official said it was expected to include stops in four to six countries.

   On Friday, Trump had a rare meeting with an African leader at the World Economic Forum in Davos, Switzerland, calling Rwanda's president and new African Union chair Paul Kagame a "friend."

   For his part, Kagame tweeted: "Had very good bilateral meeting with (at)realDonaldTrump!" The Rwandan government said Kagame had "observed that many of the world's fastest-growing economies are in Africa."

   Neither side referred to Trump's vulgar comment.

   But African leaders are expected to respond to Trump during Sunday's summit. The U.S. will be represented at the gathering by Ambassador Mary Beth Leonard, the U.S. envoy to the AU, instead of the traditional high-level Washington delegation.

   An AU spokeswoman has said the organization was "frankly alarmed" by Trump's remark, and a number of African nations have spoken out or summoned U.S. diplomats for an explanation. Ugandan President Yoweri Museveni, however, countered by expressing his love for Trump and saying he should be praised for not mincing his words.

   Dozens of former U.S. ambassadors to African countries wrote a letter to Trump expressing "deep concern" over his comments and asking him to reconsider.

   The State Department's Bureau of African Affairs, in trying to calm things down, has tweeted that "the United States will continue to robustly, enthusiastically and forcefully engage" with African countries.

Saturday, September 02, 2017

Appeal Denied for Rwanda Genocide Participant Beatrice Munyenyezi

The Faces of Beatrice Munyeyezi

   CONCORD, N.H. (AP) - A federal judge has denied an appeal bid from a woman sentenced to 10 years in prison for lying about her role in the 1994 Rwanda genocide to obtain U.S. citizenship.

   Beatrice Munyenyezi (moon-yehn-YEH'-zee) was convicted and sentenced in 2013 in the same federal courthouse in New Hampshire where she was granted citizenship years earlier. She's serving sentence in a federal prison in Alabama and faces deportation afterward.

   Munyenyezi was convicted of lying about her role as a commander of one of the notorious roadblocks where Tutsis were singled out for slaughter. She also denied affiliation with any political party, despite her husband's leadership role in the extremist Hutu militia party.

   Judge Steven McAuliffe on Thursday found no merit in her arguments that her lawyers were ineffective and her case was hurt by pretrial publicity.

Former Rwanda Presidential Candidate Diane Rwigara Detained!

Diane Rwigara

By IGNATIUS SSUUNA
Associated Press

   KIGALI, Rwanda (AP) - A women's rights activist and former presidential hopeful is in police custody in Rwanda, her brother said, raising concerns about the whereabouts of a rare challenger to longtime President Paul Kagame.

   Police have said Diane Rwigara is free after her home in the capital, Kigali, was searched on Wednesday.

   But Rwigara's brother Aristide, who lives in the United States, told The Associated Press late Thursday that his sister was arrested Wednesday along with three siblings and their mother.

   Police have said Diane Rwigara is under investigation for tax evasion and forgery. She is accused of forging signatures to support a candidacy for the Aug. 4 vote.

   She was disqualified ahead of the election won easily by longtime President Paul Kagame, whose government has long been accused by human rights groups of silencing opposing voices. Kagame, who called the election a "formality" and won by nearly 99 percent of the vote, has denied the accusations.

   Rwigara could not be reached; her known phone number was switched off Thursday.

   "One of my sisters called my uncle, telling him the police had come to take them on Wednesday morning and we have never heard from them since Wednesday," Aristide Rwigara told the AP.

   The criminal allegations against the family are false, he said, insisting it has been targeted by Rwanda's government.

   "The government has been after my family for a long time because we refused also to do business with the ruling party," he said.

   Diane Rwigara is the daughter of the late Assinapol Rwigara, a businessman who fell out with Kagame before his death in a car accident in 2015.

   In an interview with the AP earlier this year, the 35-year-old acknowledged the risks of running against one of Africa's longest-serving leaders. "People disappear, others get killed in unexplained circumstances and nobody speaks about this because of fear," she said. "We must end this silence."

   Two days after declaring her candidacy for president, nude photographs allegedly of her were leaked on social media. It was not clear who was behind the leak.

   Rwigara later was disqualified as a candidate after allegedly failing to collect enough supporting signatures ahead of the election.

   Rwanda's electoral commission said she turned in signatures of some people who had long been dead and others who belonged to a rival political party. Rwigara denied it.

   Kagame has been de facto leader or president since the end of Rwanda's 1994 genocide.

Sunday, February 14, 2016

Maandamano Burundi Dhidi ya Rwanda

 

Warundi wakiandamana leo
BUJUMBURA, Burundi` (AP) - Thousands of Burundians on Saturday participated in government-sanctioned demonstrations against neighboring Rwanda whom it accuses of supporting a rebellion to topple Burundi's president.

   The demonstrations highlight the souring of relations between the Central African neighbors since Burundi President Pierre Nkurunziza was re-elected for a disputed third term.

   Burundi was rocked by violent street protests for months after Nkurunziza's April announcement that he would seek another term. At least 400 people have died since then in violent street protests, assassinations, attacks by a rebel group and a failed coup attempt. More than 200,000 Burundians have fled to neighboring countries, mostly to Rwanda. Burundi is accusing Rwanda of training and arming rebels in the refugee population.

   Rwanda on Friday said it plans to relocate 75,000 Burundian refugees to other countries following the accusations.

   Burundi's Interior Minister Pascal Barandagiye, in a radio broadcast urging people to participate in the demonstrations, accused the Rwandan government of trying to topple Burundi's government through military means.

   Demonstrators camped at Rwanda's embassy in Bujumbura Saturday morning, singing songs against Rwanda President Paul Kagame.

   The songs described Kagame as an enemy whom Burundians are going to "kumesa." The Kirundi word kumesa means wash. During Burundi's civil war a decade ago, "to wash someone up" was a euphemism for killing people perceived to be enemies.

   A U.N. panel of experts has made similar allegations against Rwanda, saying in a new report that refugees from Burundi received training from Rwandan military personnel last year with the goal of removing Nkurunziza from power. The experts spoke to 18 Burundian combatants who said they had been recruited at the Mahama refugee camp in eastern Rwanda in May and June 2015 and that their numbers total four companies of 100 recruits each.

Thursday, December 17, 2015

Term Limits Lifted for Rwanda

By IGNATIUS SSUUNA
Associated Press

   KIGALI, Rwanda (AP) - The head of Rwanda's electoral commission said late Friday partial results show Rwandans have voted to lift term limits in order to allow President Paul Kagame extend his rule.

   More than 98 percent from 21 out of 30 districts, representing 70 percent of registered voters, voted to lift term limits for Kagame, Mbanda Kalisa said. Kagame's supporters celebrated the announcement in the capital, Kigali.

   Kagame, 58, is ineligible to run in 2017 because the Rwandan constitution limits a president to two terms. But if Rwandans approve the referendum, Kagame would be able to run for an additional seven-year term and then two-five year terms, which means he could possibly stay in power until 2034.

Rwanda President Honourable Paul Kagame

 Kagame became president in 2000 after being Rwanda's de facto leader since the end of the country's genocide in 1994. He is credited with stabilizing the country and promoting economic growth after the mass killings, but critics say he is an authoritarian ruler who does not tolerate opposition and he is accused of human rights abuses.

   Rwanda's political opposition criticizes the referendum as undemocratic and the U.S., a key Rwandan ally, has opposed Kagame's bid to stay in power.

   The Chairman of the National Electoral Commission Mbanda Kalisa said partial results will be released later Friday.

   Many of the 6.4 million registered voters are expected to participate in the referendum.

   Kagame voted at Rugunga polling station in the capital, Kigali, accompanied by his wife and daughter.

   "What is happening is people's choice. Ask people why they want it," he said maintaining that it's the wish of the Rwandan people that he extends his term. He said he would announce his candidature "any time."

   Ninety-two per cent of Rwandans want President Paul Kagame for third term, according to a survey conducted by Ipsos, a global research firm, that was released this week.

   "President Kagame is a hero and statesman like former Tanzania President Julius Nyerere," says Dan Gatera, a voter in Nyamata, east of the country. "The constitution should not be used to limit presidents who have talents."

   Western diplomats voiced concerns about the vote. The European Union is worried that the opposition was not given adequate time to campaign against the referendum, said Michael Ryan, head of the EU delegation to Rwanda.

   "There should have been adequate time for debates, and educating people about the changes made in the constitution," Ryan told journalists.

   The Democratic Green Party of Rwanda is the only opposition party which rallied Rwandans to vote against changing the constitution to extend presidential term limits.

   Erica Barks-Ruggles, the U.S. Ambassador to Rwanda, said she is concerned because the referendum was organized very quickly.

   The move to change Rwanda's constitution was prompted by a petition signed by more than 3.7 million people. The petition was endorsed by the Senate and the lower house of Parliament last month and later by the country's Supreme Court.

   If Rwanda's term limits are changed and Kagame runs again, he will join a growing list of leaders in East and Central Africa whose governments have prolonged their rule by changing the limits on presidential terms.

   In 2005, Ugandan lawmakers changed that country's constitution, allowing President Yoweri Museveni to seek re-election in 2006 and 2011. He is running again in 2016.

   Neighboring Burundi has political unrest that started earlier this year when President Pierre Nkurunziza run and won a third term that many oppose saying it goes against the two five-year term limit imposed by the constitution.

   There have also been protests in Congo over efforts by President Joseph Kabila, who has been in power for 15 years, to prolong his time in office.

  

Saturday, August 10, 2013

Rwanda Sasa Yaruhusu Chama Mpinzani


Map of Rwanda
KIGALI, Rwanda (AP) - Rwandan President Paul Kagame's government has legalized an opposition political party that spent four years trying to get registered.

   The Democratic Green Party, led by Frank Habineza, said late Friday it received a certificate of registration after years of attempts, during which time one of its vice presidents was murdered in 2010. It is not clear if the party will be able to participate in Sept. 16 parliamentary elections. The deadline for submissions is Monday. The party asked the National Electoral Commission to extend the deadline.
Oppo
   "If not we will start preparing for the 2017 presidential polls," Habineza said. "But all in all, this is a very important step forward in the democratization process of Rwanda. The struggle to get the party registered has taken four years. The party was officially launched on 14th Aug. 2009, and the journey has been very tough."

   Rwanda has several political parties, but most are loyal to Kagame's Rwanda Patriotic Front. Habineza's party is seen as a true opposition party.

   Rwanda has received international praise for the economic progress it has made since its 1994 genocide. But it also receives international criticism for a lack of free political space. The country has yet to see a flourishing opposition party, and Human Rights Watch and Amnesty International warn that Kagame's government is increasingly becoming more intolerant of dissenting voices.

   The recognition of the Rwandan Greens came a few days after the country's parliament passed a new law that will make it difficult for political parties in Rwanda to operate without depending on government funds. The new law, which is one of the many bills expedited by the current house as it wound up work ahead of the September polls, bars political parties from receiving external support from donors or friends outside Rwanda.

   The Green Party and others like the unregistered Unified Democratic Forces, a party led by the jailed Victoire Ingabire, will no longer be allowed to take funds from outside the country.

   "It's a tough law. It will be difficult for other parties to exist alongside Rwanda Patriotic Front (RPF) which has abundant resources," said Habineza, referring to the party of Rwandan President Paul Kagame.

   Habineza said the new law will make it difficult for other parties to compete with RPF, which has held a firm grip on power for the last 19 years. Kagame's party also dominates the country's private sector and government tendering processes.
  

Tuesday, July 09, 2013

Rais Kagame wa Rwanda Amtishia Rais Kikwete

Kutoka: www.afroamerica.net./AfricaGL

I will Just Wait For You At the Right Place And I will Hit You, Rwandan General Paul Kagame Threatens Tanzanian Jakaya Kikwete 

by AfroAmerica Network on July 3, 2013
 
President Kikwete of Tanzania (L) and President Paul Kagame of Rwanda (R)
 
“Those people [Tanzanian President Jakaya Kikwete] you just heard siding with Interahamwe and FDLR  and urging negotiations… negotiations?  Me, I do not even discuss this topic, because I will just wait for you [Tanzanian President Jakaya Kikwete] at the right place and I will hit you! He[Tanzanian President Jakaya Kikwete]  did not deserve my answer. I did not waste my time answering him…It is well known. There is a line you cannot cross, there is a line, a line that you should never cross. It is impossible…”

It is in these ominous terms that the Rwandan dictator General Paul Kagame threatened to get even with Tanzanian President Jakaya Kikwete, while addressing Rwandan Youth on June 30, 2013 during a summit called “Youth Konnect”“, sponsored by his wife, Janet Kagame.
 
Relations between Tanzanian President Jakaya Kikwete and Rwandan leaders have soured in the last weeks. On several occasions Rwandan leaders called the Tanzanian President “a genocide and terrorist sympathizer”, “ignorant”, “arrogant”, and “mediocre leader”. The relations have deteriorated following the recommendation by President Jakaya Kikwete of open negotiations between Rwandan, Ugandan and Congolese leaders and their respective armed opposition in order to bring durable peace and security  in the African Great Lakes region.
 
 
Then, General Paul Kagame, while addressing a closed door meeting with his close aides, called the Tanzanian President “4Bs”, which in Rwandan language means “an opportunist, attention seeker, arrogant and contemptible person.”
 
 
The latest public threats by  General Paul Kagame against the physical person of the Tanzanian President are arguably the most serious sign of how worse the relations among the two countries and the their leaders have become. According to sources in Kigali, General Kagame has also been frustrated by the attention Tanzanian President has been receiving from World powers. Until a few years ago, Rwanda and its dictator was the darling of the West. The attention from the West has since dwindled.
 
 
The upcoming days and months promise to be full of anticipation and sursprises in the Great Lakes Region of Africa.
 
2013 AfroAmerica Network. All Rights Reserved.

Sunday, May 19, 2013

Rais Obama kutua Tanzania


President Barack Obama

 Kutoka Gazeti la Mwananchi

Rais wa Marekani Barack Obama ambaye anatarajiwa kudhuru Tanzania siku za hivi karibuni 
Kwa ufupi;
Akizungumza na Mwananchi Jumapili Profesa Ibrahim Lipumba ambaye ni mchumi kitaaluma, amesema kuwa ujio wa Rais Obama unaweza kuleta neema hasa kama atakuwa ameambatana na wataalamu wa masuala ya maendeleo.

Hii itakuwa ziara ya pili ya Rais Obama katika Bara la Afrika.
Dar es Salaam. Imeelezwa kuwa ujio wa Rais Barack Obama wa Marekani nchini, ni fursa nyingine kwa Tanzania kukuza uchumi na kuimarisha uwekezaji.

Akizungumza na Mwananchi Jumapili Profesa Ibrahim Lipumba ambaye ni mchumi kitaaluma, amesema kuwa ujio wa Rais Obama unaweza kuleta neema hasa kama atakuwa ameambatana na wataalamu wa masuala ya maendeleo.

Hii itakuwa ziara ya pili ya Rais Obama katika Bara la Afrika.
Ziara yake ya kwanza aliifanya wakati wa awamu yake ya kwanza madarakani, wakati ziara ya safari hii ni kipindi chake cha lala salama.

Rais Obama alianza rasmi awamu yake ya kwanza kama Rais wa Taifa kubwa, Januari 20, 2009, wakati ng’we yake ya mwisho ilianza Januari 21, 2013.

Rais Obama anatarajiwa kufanya ziara hiyo mwishoni mwa Juni mwaka huu, ambapo Tanzania itakuwa miongoni mwa nchi za mwanzo za Afrika Mashariki kutembelewa na kiongozi huyo.
Ziara ya Rais Obama inafanyika baada ya ziara ya Rais Xi Jiping wa China aliyeitembelea Tanzania Machi 28, mwaka huu, ambapo Tanzania ilikuwa nchi yake ya kwanza kuitembelea kwa Afrika tangu achaguliwe kuwa rais, Machi 14, 2013.

Akizungumzia ziara hiyo tarajiwa, Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Wananchi (Cuf), Profesa Ibrahim Lipumba ambaye ni mchumi, alisema amani, utulivu na uimara wa mfumo wa demokrasia ya vyama vingi kwa kulinganisha na nchi nyingine za jirani, vimechangia kuwapo kwa ziara hiyo.
Profesa Lipumba alisema pia ugunduzi wa rasilimali za asili kama vile gesi, mafuta na madini ya urani ni sababu nyingine iliyomfanya Rais huyo kuja nchini.

Hivyo aliwashauri viongozi wa Serikali kujipanga kwa ajili ya kufungua mlango huo mwingine wa uchumi na uwekezaji.

Alisema pamoja na hali hiyo pia kuna mambo ambayo yanaweza kuchafua taswira ya nchi kama vile ubovu wa miundombinu ya barabara, msongamano wa magari barabarani na msongamano wa meli bandarini wakati zikisubiri kushusha mizigo.

Jumatano ya wiki hii, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, John Kerry alitangaza mbele ya wajumbe wa Kamati ya Ushirikiano kati ya Marekani na Afrika, kwamba Rais Obama hivi karibuni atafanya ziara Afrika.

Ingawa Kerry hakutoa maelezo zaidi ya nchi gani za Afrika ambazo Rais Obama atazitembelea, lakini baadhi ya vyombo vya habari vya Nigeria vilieleza kiongozi huyo atafanya ziara Tanzania, Rwanda na Nigeria.

Kiongozi wa kwanza wa Afrika kukutana na Rais Obama tangu awe Rais wa Marekani, alikuwa Rais Jakaya Kikwete aliyekutana naye Mei 2009, Washington, Marekani.

Kwa nini ni Tanzania na Rwanda
“Kenya asingeweza kwenda kutokana na suala la Rais na Makamu wake kutuhumiwa kuhusika katika mauaji ya kimbari yaliyotokea baada ya uchaguzi mkuu 2007/2008, kwani msimamo wa Marekani ni kutaka wahusika wa vitendo vile wakamatwe na kufikishwa mahakamani. Hivyo kwake kuwatembelea watuhumiwa asingeeleweka,” alisema Profesa Lipumba.

Alibainisha kuwa Rwanda ina uhusiano wa karibu na Marekani na pengine suala la mgogoro wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) litachukua nafasi.

Kulingana na taarifa za Ikulu ya Marekani, Rais Obama alikuwa amepanga muda wake mwingi wa awamu ya pili ya uongozi wake kujihusisha na masuala ya Afrika.

Friday, January 04, 2013

Barua ya Wazi kwa WaTanzania Kuhusu Wanyrwanda Nchini

Imeandikwa na Mchungaji Christopher Mtikila

MAANGAMIZI YA KUTISHA YA WANANCHI WA BULIGI

(Wanyarwanda wahusika na unyama dhidi ya Wasukuma)

Hii ni Taarifa ya kuteketezwa zaidi ya nyumba 500 za wananchi wa kabila la Wasukuma kwa moto, pamoja na tani nyingi za mazao yao ambayo ni pamoja na mpunga, mahindi, maharagwe, mtama, dengu, uwele, serena, pamoja na mali zao zingine, katika eneo liitwalo Buligi, katika Wilaya ya Muleba. Unyama huu wahusika wamejaribu kuuficha kwa jina la ‘Opresheni Okoa mazingira’.

Ni lengo la Katiba ya Nchi yetu na Sheria pamoja na taarifa ifuatayo, kwamba wote waliohusika na maangamizi haya waadhibiwe vikali, na wananchi wote waliofanyiwa unyama huu ni lazima walipwe fidia za mali zao na mateso ya kutisha waliyopata. Baada ya kuchomewa nyumba zao na mali zao zote wananchi wengi wamelundikana makanisani, na wengi wako maporini wakikimbia unyama wa kutisha na kuporwa mali zao. Vijiji vilivyoteketezwa ni pamoja na Nyamiranda, Itunzi, Kasharara na Kiteme. Uharamia uliendelea mpaka maeneo ya Karagwe na Biharamulo kama alivyoeleza Mkuu wa Mkoa wa Kagera katika vyombo vya habari, kama gazeti la Mtanzania Toleo nambari 7142 la tarehe 17/11/2012. Utetezi wa Mkuu wa Mkoa wa Kagera Col. Fabian Masawe wa maangamizi ya kutisha ya Wasukuma, kama ulivyokuwa ule wa Waziri wa Ardhi Profesa Anna Tibaijuka ambaye pia ni Mbunge wa Muleba Kusini, kwamba ilikuwa opresheni maalum iliyolenga kuondoa wahamiaji haramu wenye maelfu ya ng’ombe katika Hifadhi ya Taifa ya Buligiuna ukweli. Lakini Wasukuma si wahamiaji haramu, kwa sababu ni wazawa katika nchi yao, na hayo maelfu ya ng’ombe katika hifadhi si ya Wasukuma bali ni ya Watusi wa Rwanda.

KIINI CHA MATATIZO YA WATUSI DUNIANI

Hakuna asiyejua kuwa malengo makuu ya kuanzishwa Umoja wa Mataifa ni pamoja na kulinda haki na usawa wa binadamu wote ulimwenguni, ili idumu amani na kuleta maendeleo katika kuboresha maisha ya binadamu. Ndiyo maana ile sera ya Makaburu ya udhalilishaji wa mtu mweusi au ubaguzi wa rangi waliyoiita apartheid ilipigwa vita na dunia yote, mpaka ikatokomezwa. Hata ushujaa wa Nelson Mandela unaopita umaarufu wa kiongozi mwingine yeyote duniani, aliupata kwa sababu ya uhanga wake katika kutetea usawa wa binadamu wa rangi zote duniani. Lakiniapartheid ya Makaburu haikuweza kuufikia ushetani wa Watusi, jinsi wanavyowadhalilisha Wahutu na Wabantu wengine, kwa imani yao chafu sana kwamba wao eti waliumbwa kwa ajili ya kutawala tu, na kwamba Wahutu waliumbwa kwa ajili ya kuwa watumwa wao! Ni makufuru yanayojulikana wazi ya Watusi kuwatema mate Wahutu au Wabantu wengine kwa kinyaa kama vile ni mavi mbele zao. Na imani yao hii ya kishetani ndilo chimbuko la mbinu na mikakati yao yote ya kutawala siyo tu Maziwa Makuu bali hatimaye hata Afrika yote ya ‘watumwa’ wao!Tabia ya Watusi ya kula wao kwanza, halafu kuwatupia makombo watumwa wao (Wahutu), tena baada ya kuyatemea mate na makohozi, ni historia inayojulikana na kila mzawa wa Maziwa Makuu. Hata maendeleo yalipozidi kutowesha giza hili, bado wanawake Watusi walilazimika kudumisha udhalili wa Wabantu kwa kuolewa na wale wenye mali lakini mimba wapate kwa Watusi wenzao, ikibidi hata kwa ndugu zao wa damu kama hakuna Watusi wengine karibu. Historia itamuenzi shujaa Gregory Kayibanda wa Rwanda kuliko inavyomuenzi Nelson Mandela wa Afrika Kusini, kwa kutokomeza ile apartheid chafu kupindukia ya Watusi nchini Rwanda mwaka 1959. Ukweli ni budi uheshimiwe na dunia kwamba Watusi wengi walikimbia kutoka Rwanda kufuatia mapindizi yale, kwa sababu ya kukwepa balaa ya kuwa chini ya watumwa wao!Watusiwalikimbilia Burundi na Tanganyika kwa baba yao Julius Nyerere, kujipanga kwa ajili ya “kurudisha ubwana wao juu ya watumwa wao” Rwanda. Kwa imani ya kishetani ya Watusi, Watanganyika kwao wao ni mataahira tu kama Wabantu wenzao yaani Wahutu. Hata bila kupayuka Watusi wanarithishana imani kwamba sisi tuliumbwa kwa ajili ya kuwa watumwa wao. Ubwana wa Watusi uliimarishwa kwa kupandikizwa utwana katika mioyo ya Watanganyika, wa kuwaona Watusi kuwa bora kuliko Wahutu pamoja na hata sisi wenyewe! Hali hii ndiyo iliyowezesha Watusi kujipenyeza katika sehemu zote nyeti za utawala wa Nchi yetu, pamoja na uhodari wao katika matumizi ya rushwa ya mapesa na chambo cha wanawake zao (the Tutsi sexual diplomacy). Ndivyo Watusi walivyofanikiwa hata kuiteka kifikra jumuiya ya kimataifa, ikabariki na kuwasaidia kuangamiza Wahutu zaidi ya milioni sita, na hata kugeuza kibao kuhusu genocide ya Rwanda kwamba Wahutu ndio walioangamiza Watusi! Ndiyo maana nchi yetu ilipokuwa na wakimbizi wa Kitusi na wa Kihutu, Watusi walipendelewa kwa kuhudumiwa kama wafalme na kuandaliwa kurudi “kuikomboa” Rwanda. Kwani ingawa Rwanda ilikuwa na utawala wa kidemokrasi wa Wahutu walio wengi kwa asilimia 85%Watusi wakiwa asilimia 14% tu, ni haramu Watusi kuwa chini ya Wahutu kwavile eti ni watumwa wao! Ni kweli kwamba matokeo ya ufisadi nautwana wa watawala wetu wanaoamini katika ubwana wa Watusi, ni pamoja na kufurahisha Watusi na baba yao Nyerere kwa kuhusika kwa serikali yetu katika yafuatayo:

1. Maangamizi ya Wahutu zaidi ya 6,000,000,

2. Uvamizi wa Jamhuri ya Rwanda kupitia Uganda na Burundi, ambapo maandalizi kwa sehemu kubwa yalifanyikia nchini mwetu kwa mkono wa Serikali ya CCM. 3. Kuhusika kikamilifu na mauaji ya kinyama ya marais watatu Wahutu wa Burundi na Rwanda yaani Melchior Ndadaye, Juvenal Habyarimana na Cyprien Ntaryamira pamoja na ujumbe wao wote, na ushetani mwingine wa kutisha.

4. Kujiuza utumwani kwa Watusi, na kutumika kuliingiza eneo la Maziwa Makuu katika Himaya yao, kwa kuwasaidia kuingia katika Jumuiya ya Afrika Mashariki, wakati hawana sifa kabisa kulingana na Mkataba wa Uundaji wa Jumuiya(EAC), kwa unyama wa ‘apartheid’ na genocide yao.

5. Kusaidia uvamizi wa DRC uliofanywa na Kagame na Mseveni, watawala wetu wakaivika aibu kubwa Nchi yetu kwa kukataa kushiriki katika Jeshi la SADC (SADC Alliance) la kusaidia ndugu zetu dhidi ya maharamia, Nchi yetu ikaongopea dunia bila aibu kwamba eti haiko upande wowote kati ya wavamizi na mnyonge aliyevamiwa!

6. Kuwarudishia RPF Wahutu takriban milioni moja kwa unyama usiosemeka, waliokuwa wameyakimbia mauaji ya kinyama ya RPF baada ya kuvamia nchi yao, RPF wakawapokea na kuwaangamiza wote, na kumwaga maiti zao kwa maelfu katika mto Kagera, zikawa zinafunika Ziwa Victoria mpaka General Mboma alipotoa Tamko la kuvamia Rwanda kukomesha ushetani huu wa RPF, kama wasingeacha unyama huo mara moja.

Nchi yetu inakabiliwa na kisasi cha Mwenyezi Mungu! Na ishara tayari zinaonekana! Kuna kuacha upumbavu na kutengeneza na Mwenyezi Mungu, ama mapigo makali kuliko yaliyoipiga Misri, yatakayosimuliwa vizazi vyote! Kwa ufisadi na utwana wa watawala wa nchi yetu kwa Watusi, bila chembe ya aibu wala hofu kwa Mwenyezi Mungu waliikaribisha katika ardhi yetu ICTR, ikiwa nyenzo maalum ya kuwasaidia Watusi kuangamiza Wahutu wote wenye uwezo kiuchumi na kifikra duniani! Kenya iliikataa ICTR katika ardhi yake, kwa kumwogopa Mungu kwa sababu ni nyenzo ya genocideiliyoangamiza mamilioni ya Wahutu, ikawafuata mpaka na wale milioni 2.5 waliokuwa wamekimbizia uhai wao Mashariki ya Congo, na kuwateketeza kinyama! Kupenyezwa kwa Watusi katika ngazi zote nyeti za utawala wa nchi yetu kumewezesha Utusi kuteka nyara sera za nchi yetu zitumikie maslahi ya Watusi, kwa gharama ya heshima ya utaifa wetu na maslahi ya nchi yetu. Na siyo siri kwamba msingi wa laana hii yote iliyoonywa na Mwenyezi Mungu katika Kumbukumbu la Torati, ulijengwa na dikteta Julius Nyerere, ambaye leo anawekwa mahali pa Mwenyezi Mungu na kufanyiwa ibada ya ‘ubaba’ wa Taifa! Utekelezaji wa ndoto ya Nyerere ya kuweka eneo lote la Maziwa Makuu chini ya Himaya ya Watusi unasimamiwa na vijana wake, madikteta Yoweri Museveni na Paul Kagame aliyeangamiza mamilioni mengi ya binadamu duniani kuliko Adolf Hitler.

Propaganda za ‘Jumuiya au Shirikisho la Afrika Mashariki’ zinazopigiwa debe kwa nguvu na hawa Watusi, ni katika ujenzi wa hiyo Himaya yao. Dikteta Yoweri Museveni ametangaza mara kadhaa haki yake ya kustahili kuwa Rais wa kwanza wa shirikisho la Maziwa Makuu (Himaya ya Watusi), na anacho kikosi cha majasusi zaidi ya 400 ndani ya Nchi yetu, yanaoiyeyusha nchi yetu kwa ajili ya kumezwa katika Himaya hiyo, na mafanikio yanaonekana kwa jinsi utawala wetu wa CCM unavyonyenyekea Watusi na kujidhalilisha kwao.

KUMEZWA KWA DRC KATIKA HIMAYA YA WATUSI

Mwuaji wa kutisha Paul Kagame alikwishaikamata DRC baada ya kufanikiwa kumwua Rais Laurent Kabila, akampenyeza madarakani Mnyarwanda Hypolite Adrien Christophe Kanambe kwa jina bandia la ‘Joseph Kabila’. Wauaji wa Rais Laurent Kabila baada ya kutoroshewa Rwanda walikimbiziwa hapa, ambapo walihamishiwa Norway kimya kimya. Mnyarwanda “Joseph Kabila” anayetawala Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo kama Gavana wa dikteta Paul Kagame, ni ndugu wa damu wa Mkuu wa Majeshi ya Kagame, yaani James Kabarebe, ambaye pamoja na Kayumba Nyamwasa ndio waliosimamia yale mauaji ya kutisha ya wale Wahutu milioni 2.5 waliokuwa wamekimbilia DRC, ilipovamiwa nchi yao na wauaji wa RPF. Ni sera ya Rwanda kuhakikisha kuwa DRC haiwi na Jeshi imara, mpaka hapo mkakati wa Himaya yao utakapokamilika. Ndiyo sababu maafisa wa juu 7,000 wa Jeshi la DRC ni Wanyarwanda. Hypolite Kanambe (Joseph Kabila) anatumikia maslahi ya Rwanda kwa uzalendo wa hali ya juu, na Rwanda inapovamia DRC pilika za Hypolite A. C. Kanambe huwa ni usanii tu wa kuhadaa ulimwengu. Vinginevyo lazima DRC ingewapa silaha askari Wahutu waliojichimbia Congo, ambao wana uwezo mkubwa sana wa kuutokomeza unyama wa Watusi. Hata uvamizi wa Rwanda wa RPF ulifanikiwa kwa kutanguliza vikwazo vikali sana, vilivyohakikisha kuwa majeshi ya Hayati Rais Habyarimana hayawi na silaha.Historia ni budi iwe sahihi, kwamba vijana wa Nyerere yaani Museveni na Kagame walivamia Zaire kwa maelekezo ya baba yao, bila hayati Laurent Kabila, kwa malengo ya kupanua Himaya yao na kuteka tani za dhahabu na madini mengine mengi ya thamani Gbadolite, Kilomoto, Kinshasa, Kisangani na kwingine, kwa ajili ya kujipatia mabavu ya kiuchumi ya kupanulia Himaya yao, na kugharamia propaganda kali inayohadaa jumuiya ya kimataifa. Dunia ilipoanza kupigia kelele uvamizi huo, ndipo Nyerere alipomtafuta Laurent Kabila haraka, zikiwa zimepita wiki mbili baada ya uvamizi kuanza, na kumtanguliza yeye mbele katika kuhadaa ulimwengu, kwamba ni Wakongo wenyewe walikuwa wanaikomboa nchi yao kutoka kwa dikteta Mobutu! Uvamizi ulipoingia Kinshasa Kabila aliwageuka Watusi kizalendo, na kuwaambia sasa warudi kwao wawaachie Wakongo nchi yao. Kwani aliyekusudiwa na Watusi kuwa gavana wa Rwanda wa koloni hilo ni Bizimana Karahamheto au ‘Bizima Karaha’ kwa jina la hadaa. Uporaji wa kutisha wa utajiri wa DRC ndio mtaji wa jeuri yote ya Kagame leo, ya kuchezea amani ya Maziwa Makuu, na kusambaza maelfu ya majasusi katika nchi za kusini mwa Afrika, kuzifanyia kazi chafu ili hatimaye zimezwe katika Himaya yao, mbali ya kugharamia kikosi chake cha Escadron de la mort kinachoua wapinzani wake popote walipo duniani. Siri ya mkakati wa Nyerere wa Himaya ya Watusi ilionekana tangu alipotaka kuchelewesha uhuru wa Tanganyika, eti mpaka majirani wapate wao ili mkakati ufanikiwe, uhuni ambao ulishindwa kuuhadaa ushujaa kama wa Jomo Kenyatta. Mzee Jomo Kenyatta alipogundua jinsi Nyerere anavyochezea uhuru wa wana wa Tanganyika, hatimaye akaunajisi kwa ‘Muungano’ kwa ajili ya maslahi ya Wamarekani katika vita baridi, alilaani kwamba “Hakika Nyerere anatawala maiti” Ndiyo maana ni Watanganyika peke yao duniani wasiojali uhuru wao, wala hatima yao na vizazi vyao vijavyo, wala maslahi ya Nchi yao! Hii ni baada ya kupigika vizuri vichwani mwao ili wawe kama makondoo ya mtawala, waweze kuvikwa kwa ulaini kongwa la utumwa kwa Watusi, kwa maslahi ya kifisadi ya watumwa walio madarakani, wanaouza utu wao na hatima ya Nchi yao kwa utamu wa tende na halua, zinazomung’unyika mara moja na kupotea! Saa ya ukombozi ni sasa! Ndivyo utaahira wetu unavyoonekana kwa dunia yote ya wenye akili kuhusu kongwa la utumwa la Watanganyika liitwalo “Muungano”, lenye maslahi ya kifisadi ya watwana wachache sana wanaotawala, kama si mmoja tu, lakini kwa gharama ya Uhuru wa Watanganyika, heshima yao na utambulisho wao kama Taifa takatifu la heshima tangu katika Unabii wa Mwenyezi Mungu, tena kwa gharama ya raslimali za Watanganyika na matrilioni ya fedha ya damu yao! Utaahira wetu sisi Watanganyika unaonekana zaidi baada ya Zanzibar kujitoa rasmi katika huo ‘muungano’ kikatiba, ambapo kwa ajili ya maslahi ya kifisadi watawala wetu wanafumbia macho ukweli kwamba muungano umebatilika! Na kwa ujinga kama wa kuku anapodhani haonekani kwavile amefunika macho yake kwa bawa lake, hawa nao wamekazana kuudanganya ulimwengu kwamba muungano bado upo, na hata kulazimisha raia waukiri kiwendawazimu usanii huo! Lakini ukweli ni kwamba baada ya Zanzibar kujitoa rasmi yaani kikatiba katika muungano, Wazanzibari ni wachache sana mafisadi na wasaliti waliohongwa madaraka watetee bila haya usanii wa muungano batili, kwa maslahi yao ya kibinafsi, huku wakisingizia maslahi ya ukupe wa Taifa lao (parasitic advantages) katika damu ya Watanganyika.. Kama chatu anavyomvunjavunja mnyama ili awe rahisi kumezeka, ndivyo Nyerere alivyowahasi kifikra Watanganyika na kuwafisha ari ya ukombozi wao na utaifa wao, mpaka kwa kafara yamwenge, ili wawe rahisi kuvishwa kongwa la utumwa la Watusi. Upofushaji wa jinsi hii huua kabisa uzalendo ndani ya dhamiri ya kila raia katika nchi, na kuwaacha wananchi katika minyororo ya woga tu akilini mwao, badala ya uhanga kwa ajili ya Taifa lao.

KAGAME NA MUSEVENI - HATARI SANA KWA TAIFA LETU!

Uharamia anaoufanya Kagame kule Mashariki ya Congo hapa kwetu alifanikiwa siku nyingi. Tofauti ya DRC Mashariki na mikoa yetu ya Kagera na Kigoma ni kwamba wenzetu wanayo hata majeshi ya mgambo ya uzalendo wao yanayotetea ardhi yao na uhuru wao, kama vile Mai Mai. Lakini sisi tuliuawa kabisa uhanga wetu kwa ajili ya Nchi yetu. Tumebaki kuwasujudia wageni wanaoteka na kuipora nchi yetu, na kututia utumwani katika nchi yetu wenyewe. Hii ndiyo raha ambayo Nyerere aliwaandalia Kagame na Mseveni kwa Watanganyika. Kagame tayari ameingiza katika Nchi yetu Wanyarwandazaidi ya 35,000 wenye silaha, wengi wakiwa katika mapori ya Hifadhi ya Taifa ya Buligi na maelfu ya ng’ombe waliowaingiza kutoka kwao Rwanda na Uganda. Kwani kule kwao wamejiwekea sheria kali ya kuokoa mazingira yao, kwamba ni marufuku mtu kumiliki zaidi ya ng’ombe tano (5). Kwahiyo mamia ya maelfu ya ng’ombe zao wameziingiza katika ardhi yetu kwa njia za porini, na wapo Wanyarwanda wenye ng’ombe mpaka 10,000 mtu mmoja ndani ya Nchi yetu. Maelfu mengi ya ng’ombe hao wa Wanyarwanda wanajulikana kuwa mali ya dikteta Paul Kagame mwenyewe na mawaziri wake, na wengine ni mali ya dikteta Yoweri Mseveni, wengi wakiwa hata na mihuri ya NRA! Mbali ya Hifadhi ya Taifa ya Buligi, maelfu mengi ya ng’ombe wao wamewaswagia katika mapori yetu ya Kasindaga, Katete, Kinesi (Karagwe), Nyakerera, Kyobuheke na Misambya na kwingineko, ambako Wanyarwanda wamejikatia mabuloku makubwa sana (Blocks) ambayo wazawa hawaruhusiwi kukanyaga, na wakithubutu ni kuuawa. Kitendo cha Kagame na Museveni cha kuifanya Nchi yetu kwamba haina Utaifa na heshima ya mipaka yake (sovereignty and territorial integrity) kama zilivyo nchi zao, ni Tangazo la Vita! Ni lazima tujibu mapigo kwa nguvu kuliko tulivyomjibu dikteta Idd Amin Dadah. Majeshi yetu yaanze mazoezi makali ya vita, na raia waanze upya mafunzo ya mgambo kwa ajili ya Nchi yetu. Kama lilivyoanza tatizo la uvamizi wa Kagame DRC Mashariki, maelfu ya Wanyarwanda tayari wamekamata ardhi yetu kubwa sana, kwa kutumia vibali bandia vya kuishi nchini, na makaratasi ya uraia bandia wa Nchi yetu. Jasusi la Kagame liitwalo Athanas Kafurama mara nyingi hudhalilisha wazawa wa nchi yetu kwamba hawana kitu vichwani, na kwamba Tanzania inamjali mtu mwenye pesa yaani kama wao, na siyo raia wake walalahoi! Kagame amefanikiwa kwa sehemu kubwa kuiteka kimya kimya mikoa yetu ya Kagera na Kigoma! Hata Mkuu wa Mkoa wa Kagera Col. Fabian Masawe unamwuma moyo, jinsi Kagame na Mseveni walivyopenyeza askari zaidi ya 35,000, waliojichimbia na maelfu ya ng’ombe, hasa katika Hifadhi ya Taifa ya Buligi. Wanyarwanda wamekamata ardhi yetu kubwa sana, bila kuwa hata na vibali vya kuwepo nchini mwetu. Kabla ya kueleza zaidi juu ya uvamizi wa Buligi mkoani Kagera, tunapenda ifahamike kwamba Mkoa wa Kigoma umeingiliwa na Wanyarwanda na Warundi zaidi ya 100,000, ambao tayari wameteka sehemu kubwa ya ardhi ya Taifa letu, katika upanuzi wa Himaya yao. Tena wanajipenyeza kupitia katika makanisa maalum yanayoeleweka. Tayari wameanza kufanikiwa kukamata utawala wa Nchi yetu, kama vile Mnyarwanda aitwaye Peter Serugamba alivyoteka Jimbo la Kigoma Mjini, au Diwani John wa Kata ya Gungu. Watusi wamegundulika kuwamwagia rushwa viongozi wa vijiji na vitongoji ambao wanawatumia kuiteka ardhi yetu, na nafasi hizo wamepanga kuzichukua wao katika kuijenga Himaya yao. Vikao vya Watusi vya mikakati yao ya kuitwaa Nchi yetu katika Himaya yao mjini Kigoma hufanyikia katika hoteli ya Coast View, iliyojengwa kwa mtaji uliotoka Rwanda, ambao ni utajiri ulioporwa Congo.Watusi hawafichi katika majigambo yao, kwamba wanaweza wasilazimike kutumia nguvu za kijeshi kuitwaa ardhi ya Tanzania, kwa sababu eti wanaweza kutumia rushwa tu na akili kuichukua yote bila shida! Wanaujua udhaifu wetu kwa sababu walijipenyeza katika ngazi zote za utawala wa Nchi yetu, katika majeshi yetu, Uhamiaji, Taasisi zetu za fedha, Usalama wa Taifa n.k. Ndiyo maana Nchi yetu takatifu imetumika katika unyama wa kutisha kwa maslahi ya Watusi. Ni kweli pia kwamba nchi yetu inao watawala wanaoweza kununuliwa kirahisi kwa mapesa ya Wanyarwanda, ng’ombe zao na au mabinti wa Kitusi. Ndiyo maana wanampigia debe na kumwinamia mwuaji wa kutisha Paul Kagame, wakati wanajua kabisa kwamba:

1. Kagame amemwaga kinyama sana damu ya mamilioni ya Wahutu, ambao bado anaendelea kuwaua usiku na mchana, kuliko Adolf Hitler alivyowaua Wayahudi.

2. Kagame anaendesha mauaji dunia nzima, kwa kutumia kikosi chake maalum cha Escadron de la mort, ambacho ndicho alichotumia hata kumwangamiza Bingwa wetu wa Sheria, Hayati Profesa Jwani Mwaikusa, kwa kosa la kuweka wazi katika ICTR kwamba mtuhumiwa mkuu wa genocide katika Maziwa Makuu ni dikteta Paul Kagame. Kagame alihofia kwamba kutokana na majumuisho ya mwisho ya Mwanasheria huyo, lazima Ulimwengu ungelazimisha kukamatwa kwake na kufikishwa mbele ya Sheria.

3. Kagame akiwa na cheo cha Meja alikuwa mstari wa mbele kumwua Rais Thomas Sankara wa Burkina Faso, kule Uagadougou.

4. Kagame alikuwa Burundi kwa ushirikiano wake muhimu na Jean Bikomagu, katika mauaji ya kikatili sana ya marehemu Rais Melchior Ndadaye.

5. Kagame ndiye aliyehusika kikamilifu na utunguaji wa ndege iliyomchukua Rais Juvenal Habyarimana wa Rwanda pamoja na Rais Cyprien Ntaryamira wa Burundi.

6. Kagame analaaniwa na dunia nzima kwa kumfanyia unyama wa kutisha mwanasiasa mwanamke, shujaa Victoire Ingabire, ambaye amemtupa gerezani kwa kosa la kugombea Urais wa Rwanda akiwa Mhutu, na kosa la kuwa na kibali kwa wananchi wa Rwanda kuliko yeye aliyeloa damu ya mamilioni ya binadamu aliowaua kinyama.

7. Kagame amemwaga majasusi zaidi ya 1,000 katika Nchi yetu, wanaotumia ufisadi wa mapesa, ngono n.k katika kutengeneza mazingira ya kutekwa utawala wa nchi yetu na Watusi na hatimaye nchi yetu kuwa mkoa wa Himaya yao. Kama ilivyoelezwa juu, maelfu yao wamefanikiwa kujipenyeza katika taasisi zote nyeti za dola ya Nchi yetu. Walipoishika Uhamiaji waliitumia kujipa uraia na kukamata nafasi nyeti na ardhi yetu pia.

8. Maelfu ya majasusi wa Kagame wanajifanya wanashughulikia mizigo ya Rwanda na Uganda, wengine wanajifanya wafanyabiashara au wanatafuta kuwekeza, wengine wanajifanya wanafunzi. Lakini ukweli ni kwamba Taifa letu liko uchi kwa Kagame, kwa sababu kila tunachokifanya katika Nchi yetu kinaripotiwa Rwanda masaa 24. Katika Jiji la Dar es Salaam, Mikocheni ndiko walikojaa Wanyarwanda hao kama kwao.

ANGALIZO: Jumuiya ya Afrika Mashariki ilivunjika mwaka 1977 kwa sababu moja tu kwamba ilishindikana viongozi wa nchi tatu wananchama yaani Tanzania, Kenya na Uganda kukutana pamoja, kwa ajili ya kupitisha maamuzi yote muhimu ya uendeshaji wa shughuli zote za Jumuiya.

Kwa sababu Rais Julius Nyerere alikataa kukaa meza moja na Rais Idd Amin Dadah wa Uganda, kwa sababu Amin alikuwa mwuaji. “Siwezi kuchangia meza moja na mwuaji aliyeloa damu” alitamka Rais Nyerere, ulimwengu wote ukamuunga mkono hata mgomo wake uliposababisha kuvunjika kwa Jumuiya ya Afrika Mashariki! SWALI: Ikiwa Nyerere alikataa kukaa meza moja na dikteta Idd Amin kwavile aliua binadamu takriban 350,000, Jumuiya ya Afrika Mashariki ikavunjika kwa sababu ya kuthamini uhai wa binadamu kuliko vitu vingine vyote, hawa watawala wetu wa leo wa CCM ni binadamu wa jinsi gani, ikiwa wanaweza kulikumbatia na kulipigia debe na hata magoti liuaji la kutisha kama Paul Kagame, lililoua kinyama binadamu zaidi ya 6,000,000 Rwanda, Burundi, Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, Tanzania, Kenya, na kuwapelekea wengine kifo kule kule Ulaya walikokuwa wamekimbizia uhai wao? Watu wa hatari kuliko wote kuhusu amani katika Maziwa Makuu ni hawa madikteta, Paul Kagame na Yoweri Museveni, walioangamiza mamilioni ya raia wa Maziwa Makuu, wakavamia Jamhuri dada za Rwanda na Zaire (DRC) na kuangusha tawala za mataifa hayo huru, na kuipora Congo mpaka dunia nzima inawapigia mayowe kama majambazi ya hatari! Watawala wetu wanakuwa katika akili za namna gani wanapokwenda Kampala na Kigali, na kukaa na Kagame na Museveni na kuzungumzia eti amani katika eneo la Maziwa Makuu, wakati hao ndio wavunjaji makatili wa hiyo amani? Hivi ni kweli akina Kikwete hawana hofu kwa Mwenyezi Mungu, kiasi cha kuamua kumsaliti jirani mwema aliyevamiwa na kuangamiziwa mamilioni ya raia wake kwa kosa tu la kuwa Wahutu, na kuwasaidia maharamia waliomvamia? Ni aibu kubwa zaidi kwamba watawala wetu waliishia kukubali umamluki, wa kuwasaidia Kagame na Museveni majeshi eti yakawasaidie kuangamizia Wahutu waliopokonywa nchi yao ya Rwanda, na mashujaa wanaopinga udikteta wa damu wa Yoweri Museveni nchini Uganda! Huku ndiko kuhimiza kisasi cha Mwenyezi Mungu juu ya nchi yetu!



UHARAMIA ULIOFANYWA NA WANYARWANDA BULIGI

Kwanza kabisa, Wanyarwanda hawatasahaulika walivyotikisa Mkoa wa Kagera walipoingia kule kwa uharamia wa kutumia silaha, wakajulikana kwa ufupisho kama Wanyaru. Wanyarwanda waliteka magari, walipora fedha na mali zingine za wananchi, na zaidi waliteka ng’ombe za wananchi na kuzikimbizia Uganda, ambako walizibadilisha na kuleta nchini wale ng’ombe wa kwao, ambao wako tofauti na wetu kimaumbile. Huu ni ujanja wa kawaida wa kijambazi. Uharamia wa Wanyarwanda ulishamiri mno mkoani Kagera, hapo Buligi pakawa kama makao yao makuu ya kutisha, ndiyo maana palipewa jina la Kosovo. Pori lote mpaka Kyamyorwa lilikuwa halipitiki kwa sababu ya hatari ya Wanyaru., ambao walikuja kutokomezwa na ulinzi wa jadi wa Wasukuma na ushirikiano wa dhati wa Kamanda mzalendo wa Polisi, Inspekta Samson ambaye hivi sasa yuko Wilayani Chato Mkoa wa Geita. Kutokana na umahiri wa Wasukuma katika kupambana na uharamia kwa ulinzi wao wa jadi au Sungusungu, Mheshimiwa Wilson Masilingi akiwa Waziri katika Ofisi ya Rais na Mbunge wa Muleba Kusini, alipopita mikoa ya Ukanda wa Ziwa aliwahamasisha Wasukuma kwamba wahamie maeneo ya Kyamyorwa na Kasindaga na kwingine mkoani Kagera, na kwamba wapewe na mashamba kwa sababu ni kweli kwamba Wasukuma kwa asili ni wazalishaji hodari. Wasukuma waliitika mwito huo na kuhamia huko, na ni kweli kwamba waligeuza eneo lile kuwa kitovu cha uzalishaji usio kawaida wa mazao ya mpunga, mahindi, dengu, mtama, ulezi, serena na mengine mengi, mbali ya ufugaji wao. Baadaye Wasukuma hao walihamishiwa Buligi kutoka hapo Kyamyorwa, kwa maombi ya Waziri wa sasa wa Ardhi na Maendeleo ya Makazi ambaye pia ni Mbunge wa Muleba Kusini, Profesa Anna Tibaijuka, kwa msingi kwamba eneo hilo ni la kampuni ya Itente ambayo yeye ni mhusika. Profesa Anna Tibaijuka aliandika hata katika kitabu chake cha kampeni yake ya Ubunge wa Muleba Kusini, kuwa Wasukuma wengi walikuwa wamepewa eneo la Kyamyorwa kwa makosa, kwavile eneo hilo lilikuwa la Kampuni hiyo. Waziri Anna Tibaijuka anakiri kwamba aliwaombea Wasukuma Serikalini wakapewa uhamisho kwenda Buligi, na kwamba yeye mwenyewe aliwasaidia hata usafiri wa kuhamia Buligi. Wazalishaji wa Kisukuma waliongezeka huko Buligi, baada ya ndugu zao waliokuwa wamewaacha nyuma kuvutiwa na ushuhuda mwema wa uzalishaji wa wenzao waliotangulia huko, baada ya mageuzi ya eneo lililokuwa ‘Kosovo’ kuwa paradiso ya amani na maendeleo. Ni kweli kwamba Wasukuma walipofika uhamishoni Buligi, kwa uhodari wao katika uzalishaji na umahiri wao katika ulinzi wao wa jadi, waliigeuza‘Kosovo’, ikawa kihenge cha chakula cha Mkoa wa Kagera, wakizalisha mpunga, mahindi, maharagwe, dengu, mtama, ngano, uwele, mihogo, migomba, viazi ulaya, vitunguu, nyanya, mboga na hata miti kwa ajili ya hifadhi ya mazingira, kwa kadri walivyoshauriwa kitaalamu. KWAHIYO ukweli hauwezi kukwepeka kwamba :

1. Uchomaji wa nyumba zaidi ya 500 za wananchi wa kabila la Wasukuma katika maeneo ya Buligi na mengineyo kwa kisingizio cha ‘Operation Okoa Mazingira’ ulilenga kuwaangamiza Wasukuma pamoja na mazao yao tele waliyokuwa nayo majumbani mwao pamoja na mali zao zingine zote.

2. Huko Buligi na maeneo mengine ambako Wasukuma wanazalisha kwa wingi mazao hayo yote, Wasukuma waliletwa na Serikali, si wavamizi.

3. Wasukuma hawakuvamia mapori ya Wanyarwanda au ya mtu mwingine yeyote. Kwani Vijiji vyote wanavyoishi vinawatambua, hata kwa mchango wao mkubwa sana katika uzalishaji.

4. Wasukuma hawajaingia katika Hifadhi ya Taifa, wala hawana ng’ombe hata mmoja katika Hifadhi, bali Wanyarwanda ndio wenye mamia ya maelfu ya ng’ombe katika Hifadhi, ambamo hata wanyamapori wetu Wanyarwanda wamewamaliza. Wanyarwanda huhonga mamilioni ya fedha na ng’ombe kwa maafisa wa wanyamapori na watumishi wengine wa umma.

5. “Operation Okoa Mazingira” haikulenga wahamiaji haramu ambao ni Wanyarwanda, wala mamia ya maelfu ya ng’ombe zao kutoka Rwanda na Uganda hususan katika Hifadhi ya Taifa, kwa sabau Wanyarwanda hawakuguswa kabisa, bali walikuwa wakishangilia wanavyofanyiwa unyama Wasukuma, ambao wala hawana ng’ombe katika Hifadhi kunakoharibiwa mazingira!

6. Nyumba za Wasukuma zilizoteketezwa hazikuwa katika Hifadhi, bali katika vijiji na vitongoji rasmi vyenye serikali halali za Vijiji na Vitongoji. Mfano ni nyumba 105 za Kishonga B Barabara ya 9, katika Kijiji cha Nyamilanda Kitongoji cha Nyakabingo, na Kijiji cha Itunzi Kitongoji cha Miziro. Wenyeviti wa Vijiji vya Nyamilanda na Itunzi ni mashahidi, na wanalalamikia unyama wa kuchomewa nyumba wananchi wao.

7. Uteketezaji wa nyumba za Wasukuma uliambatana na unyang’anyi wa pesa zao, kuanzia shs 100,000/- hadi shs 4,000,000/- kwa Msukuma mmoja, na kuwapa stakabadhi feki zilizoandikwa “WAZABUNI WA MASOKO/ MIALO/VIVUKO. Eti ADHABU kwa ajili ya hatia zilizobuniwa zikiwa ni pamoja nauharibifu wa mazingira, kufyeka misitu ovyo, zingine ziliandikwa ‘Kusafirisha mifugo bila kibali’ Tunaambatanisha vivuli vya stakabadhi feki zilizotumika (Nambari 135559, 135519, 135562, 135356, 135520,135367). Tena walipora mapesa mengi sana kuliko waliyoandika katika stakabadhi, na walio wengi hawakepewa hizo karatasi! Huu ni unyang’anyi na ujambazi wa wazi kabisa! Tunawaachia kazi DCI na Takukuru.

8. Maelfu ya wananchi waliofanyiwa unyama huu walilundikana makanisani, kwa ndugu zao na marafiki zao, na wengi walilazimika kuishi maporini, ambako wanawake wapatao watatu walijifungua kama wanyamapori.

9. Mkuu wa Wilaya ya Muleba, Lemberis Kipuyo, ambaye alikuwa ameonwa na Mnyarwanda aitwaye Athanas Habamungu Kafurama, na kibaraka wa Wanyarwanda ambaye ni Mwenyekiti wa Kijiji cha Kisana aitwaye Julius Rwechungura, baada ya kuchangwa shilingi milioni 100 katika kikao cha Wanyarwanda katika kanisa lao la Butera tareke 31/10/2012, kulingana na majigambo ya Wanyarwanda na Kafurama mwenyewe, ndiye aliyeonekana kusimamia unyama huo, ingawa yeye ndiye mwangalizi wa amani na usalama katika Wilaya!

10. Mkuu wa Wilaya Lemberis Kipuyo alipohojiwa na waandishi wa habari kuhusu unyama huu wa kutisha, alikiri kwamba wamechoma moto nyumba eti zilizokuwa katika Hifadhi, eti kwa ajili ya kulinda mazingira ya Mkoa wa Kagera na kuhamisha wahamiaji haramu wanaoingia na makundi makubwa ya ng’ombe katika Hifadhi.

11. Kama alivyoeleza Lemberis Kipuyo, unyama huo wa kutisha uliosukwa na Wanyarwanda na kutekelezwa kwa usimamizi wake yeye mwenyewe Mkuu wa Wilaya, ulianza tarehe 3/11/2012 saa 3 asubuhi katika eneo la Buligi. Na kama alivyosema hata yeye Mkuu wa Wilaya, maharamia waliowafanyia wananchi wa kabila la Wasukuma unyama huu ni: Askari wa Jeshi la Polisi Usalama wa Taifa Takukuru Wafanyakazi wa Idara ya Misitu Wafanyakazi wa Idara ya Uvuvi, ambao baadhi yao walitambulika. Askari wa Wanyamapori, ambao baadhi yao walitambulika. Askari wa Jeshi la Ulinzi, waliotambulika kwa sare zao. Maharamia waliovaa sare za Mgambo. Lemberis Kipuyo alisema walikuwemo pia Wanasheria katika unyama huu.

12. Wananchi waathirika walipokusanyika Kituo cha Polisi Miziro, Mkuu wa Wilaya Lemberis Kipuyo alifika hapo. Lakini alipoombwa afike ajionee makazi ya wananchi wake yalivyoteketezwa, aliwapuuza isivyo kawaida hata kibinadamu, ingawa umbali haufiki hata kilometa!

13. Kwa kuhofia makusanyiko ya vilio vya Wasukuma, jasusi Mnyarwanda Athanas Kafurama alikwenda kumchochea Mkuu wa Wilaya azidishe unyama kwa madai kwamba eti Wasukuma wamejiandaa kuvamia Kituo cha Polisi Miziro. Ndipo unyama ulipozidishwa maradufu kuwaangamiza Wasukuma, na kuwawinda wale wote wanaoogopwa kama waelewa, na wengi ikawabidi kukimbilia maporini na kuishi huko kama wanyamapori licha ya mvua nzito.

WANYARWANDA WALIVYOIPINDUA OPRESHENI DHIDI YAO

(Kwa kuwageuzia kibao hicho Wasukuma)

Wanyarwanda walipoijua ‘Opresheni Okoa Mazingira’ kwamba imeandaliwa rasmi kwa ajili ya kuwatokomeza wahamiaji haramu yaani wao, na kwavile waliwashika mkononi viongozi wote kuanzia Mkuu wa Wilaya kama walivyokuwa wanajigamba, na kama walivyokuwa wanajihami kwa rushwa kwa uharamia wao wote wanaoifanyia Nchi yetu, ndivyo walivyojipanga kuwatoa kafara Wasukuma Serikali yetu ilikuwa na taarifa zote za mikakati ya dikteta Kagame na Museveni juu ya Nchi yetu, yaani uvamizi wenye lengo la kuiteka ardhi yetu kama vile wanavyofanya Congo Mashariki, uporaji wa raslimali zetu, na walivyohamishia mamia ya maelfu ya ng’ombe zao katika Hifadhi za Taifa letu na utekaji wa ardhi ya wananchi, na hata kulisha mifugo yao katika mazao ya wananchi, wakitetewa na vibaraka wao ambao ni viongozi wetu wala rushwa.

Wamiliki halisi wa haya mamia ya maelfu ya ng’ombe ni marais na mawaziri wa Rwanda na Uganda, ambao wanayo mahusiano ya kifisadi na viongozi wetu mafisadi au Watusi kama wao. Ndiyo maana azma ya Serikali yetu ya ‘Opresheni Okoa Mazingira’ imekuwa ikipozwa kwa ufisadi kwa muda mrefu, huku maadui wakizidi kujichimbia na kuangamiza mazingira. Lakini kwa nguvu ya wale viongozi wetu waliobaki na uzalendo, Serikali yetu ilikazana na mpango kabambe wa OPERATION ‘OKOA MAZINGIRA’, kwa ajili ya kutokomeza kabisa uvamizi wa Watusi katika Nchi yetu (wahamiaji haramu), na kutowesha ng’ombe zote zilizoingizwa katika Nchi yetu, zenye kuhatarisha uhai wa vizazi vyetu vijavyo kwa kuharibu vibaya sana mazingira. Kilio cha wananchi juu ya uvamizi wa ardhi yetu na kuingizwa maelfu ya ng’ombe katika Nchi yetu kutoka Rwanda na Uganda kilianza mwaka 2009. Wanyarwandawalipopata taarifa juu ya ‘Opresheni Okoa Mazingira’ dhidi yao, walifanya mikutano kadhaa mizito katika kanisa lao la Butera, linaloongozwa na Mtusi wa hatari aitwaye Augens.

Tawi la kanisa hilo liko Chanyamisa, Karagwe, ambako pia linatumika kwa mikakati hii ya Kagame. Opresheni Okoa Mazingira iliyokusudiwa kutokomeza wavamizi wa Nchi yetu na maelfu ya mang’ombe yao yanayoharibu mazingira ya Nchi yetu, iligeuzwa na walengwa, Wanyarwanda, kuwa unyama wa kutisha wa kutowesha katika eneo hilo wananchi wa kabila la Wasukuma, na kuwapora mali na ardhi wanayozalishia mavuno yaliyotia fora katika mkoa wa Kagera. Katika kuwatwika Wasukuma dhoruba ya ‘Operation Okoa Mazingira’ ambayo iliwalenga wao, Wanyarwanda walianza kwa kuwachonganisha kirahisi kabisa Wasukuma na ndugu zao Wahaya; Kwavile Mhaya mwenye kulima ekari nne au tano ndiye aliyeonekana kuwa mkulima stadi, lakini Wasukuma wakawa wanalima ekari mpaka 50 mkulima mmoja, Wanyarwanda walitumia kwa ufundi wao kigezo hicho kupandikiza mbegu ya kijicho miongoni mwa Wahaya, ambao wamekuwa wepesi kukabidhi kwa Wanyarwanda ardhi yetu. Hatimaye baadhi ya Wahaya walianza kuwanyoshea kidole Wasukuma kwamba eti wanakamata ardhi kubwa kuliko wao, ingawa mapori hayo yalikuwa yanakaa bure tangu uumbaji mpaka Wasukuma walipoyavamia kwa uzalishaji wa nguvu, hata wakawa wakivuna magunia ya mpunga mpaka 700 mkulima mmoja.Kwa hila za Wanyarwanda, Wahaya wa Muleba na sehemu zingine zilizofanyiwa kazi ya ufitini na Watusi, walianza kujikusanya vikundi vikundi kuandika barua za kuomba ardhi hiyo wanayozalishia Wasukuma, ili mashamba ya Wasukuma yamegwe na kupewa wao, kusudi Wanyarwanda wajipatie kutoka mikononi mwa Wahaya, ambao Watusi wanawachukulia kuwa wepesi zaidi wa kuwapasia wao. Kwa kuwatumia vibaraka wao kama Julius Rwechungura ambaye ni Mwenyekiti wa Kijiji cha Kisana, Wanyarwanda siyo tu wameteka mamia ya ekari za ardhi yetu, bali wamekuwa wanapiga vita siku zote ya kuwafukuza Wasukuma ili wakamate wao maeneo yote. Uharamia huu ndio uliopelekea Mkurugenzi wa Wilaya kumwamuru Afisa Mtendaji Kata ya Kyebitembe kuitisha mkutano wa tarehe 27/3/2012 kuhusu malalamiko ya Wasukuma dhidi ya Wanyarwanda. Mkutano huo ulipiga marufuku kumega ardhi yoyote inayotumiwa na wananchi wa kabila la Wasukuma, kwa ajili ya mapinduzi ya uzalishaji waliyofanikisha katika mkoa, walioingia katika maeneo hayo tangu mwaka 2007 hadi 2011. Mkutano uliamuru pia kufutwa mashitaka ya kihaini yaliyofunguliwa na kibaraka wa Wanyarwanda Julius Rwechungura, akitaka Wasukuma wanyang’anywe mashamba yao ili wapewe Wanyarwanda. Kisha Wanyarwanda walifanya kikao muhimu tarehe 31/10/2012 katika kanisa hilo la Butera, chini ya uongozi wa Jasusi la Kagame liitwalo Innocent Mchunku Kapilipili. Agenda kuu ilikuwa kuchangisha shilingi milioni mia moja kwa ajili ya kujihami nahiyoOpreshenidhidi yao, kwa kuwanunua viongozi wote wa hiyo opresheni. Taarifa za uchunguzi wetu ni kwamba kweli mapesa hayo yalichangwa na kuwasilishwa kwa Mkuu wa Wilaya Lemberis Kipuyo na timu yake iliyoendesha unyama wa kutisha dhidi ya Wasukuma, badala ya wahamiaji haramu. Uchunguzi umethibitisha kuwa Mnyarwanda Innocent Mchunku Kapilipilialikuwa jambazi, katika lile genge la hatari la maharamia kutoka Rwanda waliojulikana kama “Wanyaru” chini ya kamanda wao aliyeitwa ‘Kamanda Dogo’. Mnyaru huyu ameteka zaidi ya ekari 400 za ardhi yetu katika Kijiji cha Nyamilanda, Kitongoji cha Nyakabingo, na Kijiji cha Kisana Kitongoji cha Butera. Mtusi huyu anamiliki zaidi ya ng’ombe 500. Mnyarwanda mwingine muhimu katika kikao cha kanisani Butera ni Francis Magege, ambaye amekamata ekari zaidi ya 400 katika Kijiji cha Nyamilanda, Kitongoji cha Nyakabingo. Kikao hicho kilishirikisha pia Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Kisana, msaliti aitwayeJohanson Shumuni, Mwenyekiti wa Kijiji cha Kisana, msaliti aitwaye Julius Rwechungura, na Mwenyekiti wa Kitongoji cha NyamtunduAbdon Krophas. Msaliti Johanson Shumuni ametoka katika kifungo cha nje cha mwaka mmoja, kwa kosa la kung’oa mazao ya mwananchi wa Kijiji cha Nyamilanda, kusudi Wanyarwanda wapitishe ng’ombe zao. Kibaraka huyu wa Wanyarwanda alilipishwa pia fidia ya shilingi 70,000/- kwa ajili ya mazao ya wananchi. Wasaliti Johanson Shumuni, Julius Rwechungura na Abdon Krophas kwa pamoja wana kashfa ya kukitapeli Kikotongoji cha Butera msitu wa asili wa mitundu, wakivunga kwamba ni ‘Hifadhi ya Kijiji’ lakini wakawa wanapasua wao mbao na kuzitoroshea nje ya nchi, mpaka moja ya malori ya mbao hizo lilipokamatwa mwaloni Katunguru na kifikishwa Polisi Muleba, mwezi Mei 2010. Lakini watuhumiwa hawajawahi kufikishwa mahakamani mpaka leo, Vibaraka hawa wa Wanyarwanda ndio wahusika wakuu katika kuwauzia ardhi yetu wahamiaji haramu. Mhusika mwingine katika uuzaji wa ardhi kwa Wanyarwanda ni Diwani wa Kata ya Karambi, Ngote, aitwaye Hamudi Abdalla, ambaye hivi sasa anamiliki zaidi ya ng’ombe mia mbili (200) kutokana na rushwa ya Wanyarwanda. Mwenyekiti wa Kijiji cha Kisana, msaliti Julius Rwechungura alidiriki hata kuwafungulia mashitaka mahakamani wananchi wa kabila la Wasukuma, kwamba eti wamevamia ardhi ya machungio ya Wanyarwanda! Kisha aliwawekea dhamana yeye mwenyewe na kuwatoza shilingi 10,000/- kila mmoja. Lakini kibaraka huyo alilazimishwa na kikao cha tarehe 27/3/2012 kilichoamriwa na Mkurugenzi wa Wilaya kufuta kesi hiyo, kwa sababu haiwezi kuwepo ardhi ya Wanyarwanda ndani ya mipaka ya Jamhuri ya Tanzania!

USHAHIDI WA UKATILI WA WANYARWANDA KWA RAIA WETU

Kwanza kabisa turejee mapokeo ya ile imani chafu sana ya Watusi, kwamba wao wana utu wa hali ya juu zaidi (superior race) kuliko Wabantu. Unyama wa Wanyarwanda ni pamoja na kuwateka nyara raia wetu, na kuwatumia kama watumwa wa kuswaga mifugo yetu waliyotupora.Mateka hawa huvuliwa nguo na kuvikwa vipande vya matambara vya kitumwa, na kubadilishwa majina. Mfano ni vijana wetu Opecatus Filipowa Nsheshe, Kijiji cha Nyamilanda, Kata ya Kyebitembe ambaye aligeuzwa jina na kuitwa Peter, na Antelius wa Kabanga Kijiji cha Kasharara, Kata ya Karambi, aliyegeuzwa jina na kuitwa Rutashambya. Wanyarwanda waliishi porini na hawa ‘watumwa’ kwa miaka miwili. Mmoja wao hatimaye alifanikiwa kuwatoroka, akatoa taarifa Kituo cha Polisi Kyebitembe, ambapo Mkuu wa Kituo hicho shujaa Inspekta Samson alifuatilia kwa uhodari mpaka akafanikiwa kumwokoa yule kijana wetu wa pili. Wale watekaji walikimbia msako huo baada ya kutonywa na msaliti Afisa Mtendaji wa Rwabera, Karagwe, mwanamke aitwaye Alfredina. Raia wetu hao waliokombolewa wana ushuhuda wa kutisha wa unyama uliokuwa ukifanywa na Wanyarwanda. Wanaeleza njia za porini walizokuwa wakipitishia mifugo yetu, mawasiliano ya Wanyarwanda kwa redio na simu dhidi ya mipango yote ya serikali yetu ya kuwafuatilia na mifugo yetu waliyopora. Vijana wanaeleza jinsi walivyotumika kuficha hayo makundi ya ng’ombe zetu, na jinsi walivyoishi kama wanyamapori katika mvua kali na jua na mateso mengi yasiyosemeka. Vijana hawa wanashuhudia jinsi Wanyarwanda walivyomchoma raia wetu kwa upanga wa moto mwilini, kwa kuthubutu kudai ujira wa kutumiwa kikatili kutorosha ng’ombe waliopora katika nchi yetu mpaka huko maporini. Vijana wanashuhudia jinsi wenzao walivyouawa na Wanyarwanda kama wanyama. Zaidi ya yote, anaalaniwa vikali msaliti Johanson Shumuni ambaye ni Afisa Mtendaji wa Kijiji cha Kisana, kwa kumfichia siri mwuaji katili wa Kinyarwanda,‘Mchungaji’ Augens mwenye hilo kanisa la Butera, alipomwua kinyama mfanyakazi wake aliyekuwa anasimamia boti yake iliyokuwa ikifanya kazi za magendo katika Ziwa Buligi, baada ya kumtuhumu kwa wizi wa injini ya hilo boti lake. Shahidi mmojawapo wa mauaji haya ni Benedicto Damian ambaye ni Mwenyekiti wa Kitongoji hicho cha Butera. ‘Mchungaji’ hatari Augens pia anashughulika na uvuvi haramu wa kutumia makokoro, unaoangamiza mpaka mbegu ya samaki kwa ajili ya vizazi vyetu vijavyo, Mtusi mwingine aliyeua kinyama raia wetu ni Mchungaji wa kanisa la Mnyarwanda Francis Magege. Huyu alimwua aliyekuwa mchungaji wa ng’ombe zake, baada ya siku tatu akaenda kutoa taarifa ya uongo Polisi kwamba marehemu ameuawa na nyoka. Baada ya kugundulika mwili wa huyo marehemu machakani na kuchunguzwa na Dr. Mtumbi, iliripotiwa kwamba aliuawa kikatili sana kwa kitu kizito chenye ncha kali. NdipoMnyarwanda huyo ‘Mchungaji’ aligeuza kibao na kusema marehemu ameuawa na Msukuma eti aliyekuwa amegombana naye kwa sababu ya kulisha ng’ombe mazao yake. Lakini uchunguzi unaonyesha kuwa marehemu aliuawa baada ya kudaiana na huyo mwajiri wake ‘Mchungaji’. Mashahidi muhimu ni pamoja na huyo Daktari aliyefanya uchunguzi, Mwenyekiti wa Kitongoji cha Butera, na kijana aliyekuwa anachunga pamoja na marehemu, ambaye alikimbilia Ngara. KWAHIYOkwa ajili ya usalama wa Nchi yetu, na heshima na Uhuru wa kweli wa Taifa letu, na sifa ya Taifa letu ya kupigania HAKI na utu wa mwanadamu, tunasisitiza kwamba:

1. Watu wote waliohusika na unyama wa kutisha dhidi ya wananchi wa kabila la Wasukuma Mkoani Kagera, pamoja na Wanyarwanda wote waliohusika na unyama huu wakamatwe na kufikishwa mbele ya sheria. Watuhumiwa ni pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Muleba, Lemberis Kipuyo .

2. Wananchi wote waliofanyiwa ukatili huu walipwe fidia ya mateso yote na hasara zote walizosababishiwa na unyama huu.

3. Mamia ya maelfu ya ng’ombe zilizoingizwa nchini mwetu kutoka Uganda na Rwanda zikamatwe na kupigwa mnada, ili fedha hiyo itumike kuboresha Hifadhi zetu na mazingira ya Nchi yetu.


KUHUSU GENOCIDE MAZIWA MAKUU

4. Taifa letu lisimame kinyume kabisa na uharamia wa kuvamia Nchi yoyote huru duniani, ikiwa ni pamoja na uvamizi wa Jamhuri ya Rwanda na uvamizi na uporaji wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo, uliofanywa na Watusi wa RPF na Uganda.

5. Taifa letu lilaani imani chafu ya Watusi(apartheid nyeusi) kwamba wenzao eti waliumbwa kuwa watumwa wao, hivyo kudai usawa wa kibinadamu eti ni uasi wa kuangamizwa kama wanavyofanywa Wahutu.

6. Taifa letu liusaidie ulimwengu kujua ukweli kwamba Watusi ndio walioendesha genocide ya kutisha duniani, kwa kuangamiza Wahutu zaidi ya 6,000,000, zaidi ni mauaji yaliyofanywa na dikteta Paul Kagame wa Rwanda, ambaye ndiye mtuhumiwa Mkuu wa genocide ya Maziwa Makuu.

7. Taifa letu lihakikishe pia kwamba mwuaji Paul Kagame na wenzake wote wanafikishwa mbele ya Sheria kujibumashitaka ya genocide.

8. Taifa letu lifanye TOBA kwa mwenyezi Mungu kwa kudhamini unyama wote uliofanywa na Watusi, ukiwa ni pamoja na mauaji ya marais watatu wa Kihutu wa mataifa ya Rwanda na Burundi, marehemu Rais Melchior Ndadaye, marehemu Rais Juvenal Habyarimana na marehemu Rais Cyprien Ntaryamira.

9. Taifa letu lifanye TOBA kwa kuikaribisha ICTR Arusha, na kuifukuza katika Nchi yetu mara moja, kwa sababu siyo siri kwamba ICTR ni nyenzo ya kusaidia genocide ya dikteta Paul Kagame ya kuwamaliza Wahutu.

10. Taifa letu lipige vita ukatili wa kuendelea kuwashikilia kifungoni Wahutu waliotamkwa na hiyo ICTR kwamba hawana hatia, na kuwatetea kwamba walipwe fidia kwa unyama wote waliotendewa na Kagame pamoja na ICTR na/au UNO.

11. Taifa letu lihakikishe kuwa Rwanda, Burundi na Uganda zinafutwa uanachama katika Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC). Kwa sababu sharti kuu la uanachama ni Haki za Binadamu, Demokrasia na Utawala wa Sheria, lakini hizi ni tawala za Udikteta wa kikatili na Umwagaji damu.

12. Taifa letu lihakikishe kwamba Dikteta Paul Kagame anamwachia huru mara moja mwanamke mpinzani wake, shujaa Victoire Ingabire, ili akakataliwe na wananchi wenyewe wa Rwanda au wampe uongozi kama wanaona atawafaa. Kutoona haya mbele ya dunia kwa unyama huu, kunadhihirisha Kagame kuwa si binadamu wa kawaida!

Liberty International Foundation

Reverend Christopher Mtikila
(0766 053081, 0713 435016 )
EXECUTIVE CHAIRMAN

Saturday, October 15, 2011

Rais Obama Atuma Wanajeshi Uganda!

Nilipokuwa mwandishi wa habari Daily News miaka ya 1990's niliwahi kuhudhuria reception Ubalozi wa Marekani Dar. Kuna mgeni  kutoka serikali ya USA ambaye alilewa. Katika ulevi wake alisema kuwa hakuna haja ya Marekani kuingilia hizi migogoro za Afrika.  Wache waafrika wauane mpaka wachoke wenyewe.  Tulishangaa. Lakini tumeona walivyokaa mbali Rwanda na Burundi, Congo, Liberia na nchi zingine. Jana, Walitangaza kuwa Rais Obama ametuma wanajeshi 100 kwenda kusaidia kuondoa huyo mgaidi Joseph Kony na Lords Resistance Army huko Uganda. Kuna nini mpaka Marekani wameamua kuingilia? 

******************************************************
NAIROBI, Kenya (AP) - Why is the U.S. sending its troops to finish off a fractured band of bush fighters in the middle of Africa? Political payback for the quiet sacrifices of Uganda's troops in Somalia could be one reason.

President Barack Obama announced Friday he is dispatching about 100 U.S. troops - mostly special operations forces - to central Africa to advise in the fight against the Lord's Resistance Army - a guerrilla group accused of widespread atrocities across several countries. The first U.S. troops arrived Wednesday.
 
Long considered one of Africa's most brutal rebel groups, the Lord's Resistance Army began its attacks in Uganda more than 20 years ago. But the rebels are at their weakest point in 15 years. Their forces are fractured and scattered, and the Ugandan military estimated earlier this year that only 200 to 400 fighters remain. In 2003 the LRA had 3,000 armed troops and 2,000 people in support roles.

But capturing LRA leader Joseph Kony - a ruthless and brutal thug - remains the highest priority for Ugandan President Yoweri Museveni, a 25-year-leader who has committed thousands of troops to the African Union force in Somalia to fight militants from al-Shabab, a group with ties from al-Qaida.
 The U.S. has not had forces in Somalia since pulling out shortly after the 1993 Black Hawk Down battle in Mogadishu in which 18 American troops died, raising the possibility that military advisers in Uganda could be payback for U.S.-funded Ugandan troops in Somalia.

"I've been hearing that. I don't know if our group necessarily agrees with that, but it definitely would make sense," said Matt Brown, a spokesman for the Enough Project, a U.S. group working to end genocide and crimes against humanity, especially in central Africa.

   "The U.S. doesn't have to fight al-Qaida-linked Shabab in Somalia, so we help Uganda take care of their domestic security problems, freeing them up to fight a more dangerous - or a more pressing, perhaps - issue in Somalia. I don't know if we would necessarily say that but it's surely a plausible theory," Brown said.

Col. Felix Kulayigye, Uganda's military spokesman, told The Associated Press previously that Ugandan forces have long received "invaluable" support from the U.S. military, including intelligence sharing, in the fight against the LRA.

That support got a huge boost this week.

  Though the deployment of 100 troops is relatively small, it marks a possible sea-change for Washington in overcoming its reluctance to commit troops to Africa. Even the U.S. Africa Command, which oversees U.S. military operations on the continent, is based in Germany. The U.S. maintains a base in the tiny East African nation of Djibouti, but most troops there are not on combat missions.

The LRA poses no known security threat to the United States, and a report from the Enough Project last year said that Kony no longer has complete and direct command and control over each LRA unit.

 But the group's tactics have been widely condemned as vicious. Few are expected to object to Obama's move to help regional security forces eliminate a group that has slaughtered thousands of civilians and routinely kidnaps children to be child soldiers and sex slaves.

Kony is wanted by the International Criminal Court for his group's attacks, which now take place in South Sudan, Congo and the Central African Republic.
 
Still, Bill Roggio, the managing editor of The Long War Journal, called the Obama administration's rationale for sending troops "puzzling," especially since the LRA does not present a national security threat to the U.S. - "despite what President Obama said."

 "The timing of this deployment is odd, especially given the administration's desire to disengage from conflicts in Iraq and Afghanistan," Roggio said. "It is unclear why the issue has resurfaced, but the administration may be rewarding Uganda" for its military contributions in Somalia, he said.

Obama said that although the U.S. troops will be combat equipped, they will not engage LRA forces unless it is in self-defense.

In recent months, the administration has stepped up its support for Uganda. In June, the Pentagon moved to send nearly $45 million in military equipment to Uganda and Burundi, another country contributing in Somalia. The aid included four small drones, body armor and night-vision and communications gear and is being used in the fight against al-Shabab.

 Last November, the U.S. announced a new strategy to counter the LRA's attacks on civilians. U.S. legislation passed last year with huge bipartisian support calling for the coordination of U.S. diplomatic, economic, intelligence and military efforts against the LRA. That's one reason, Brown said, Obama may be sending in advisers. He said that regional stability is also good for U.S. interests.

  "It really doesn't take that many U.S. resources," Brown said. "You've got 100 troops to go in and take care of the LRA problem once and for all."
   --

Saturday, June 05, 2010

Professa Kutoka Marekani Akamatwa Rwanda


Professa kutoka William Mitchell College of Law huko Minnesota amekmatwa nchini Rwanda. Professa Peter Erlinder (Pichani), alikuwa amekwenda huko kumsaidia mgombea rais wa kutoka chama cha upinzani, Bi Victoire Ingabire.

Alifikishwa mahakamani Kigali na kushitakiwa na madai kuwa alidai kuwa maangamizi ya 1994 haikutokea na pia aliandika habari ambazo zilitishia usalama wa nchi.

Polisi wa Rwanda wansema kuwa Professa Erlinder alimeza vidonge vingi katika jaribio la kujiua. Lakini familia yake hapa Marekani wanasema kuwa hawaamini kuwa atajaribu kujiua.

Jumatatu jaji atamua kama Professa Erlinder anaweza kutoka jela kwa dhamana (bail).
*************************************************************************

By EDMUND KAGIRE

KIGALI, Rwanda (AP) - A Rwandan judge has charged a U.S. lawyer with denying Rwanda's 1994 genocide and publishing articles that threaten the country's security.

Peter Erlinder pleaded not guilty to the charges during a five-hour court hearing late Friday in the Rwandan capital, Kigali.

"It is the first time I have come to know that my obscure publications back in America were that bad and could amount to genocide denial," Erlinder told the court. He suggested it may be a case of misinterpretation or misunderstanding.

If convicted, he faces up to 25 years in prison. Erlinder was upset when the judge said he will decide on Monday whether to grant bail.

Erlinder - a professor at William Mitchell College of Law in St. Paul, Minnesota - has a reputation for taking on difficult, often unpopular defendants and causes. A past president of the progressive National Lawyers Guild, Erlinder leads a group of defense lawyers at the U.N.'s International Criminal Tribunal for Rwanda, which is trying the alleged leaders of the 1994 genocide.


The genocide claimed the lives of more than 500,000 people, mostly Tutsis and moderate Hutus. The massacres ended when mostly Tutsi rebels led by President Paul Kagame defeated the mostly Hutu extremist perpetrators.

Erlinder said Kagame's party might dispute his writings, but "not all Rwandans."

He said he had ignored warnings from his tribunal colleagues not to travel to Rwanda, where he had spent several days helping opposition leader Victoire Ingabire in her presidential election challenge before his May 28 arrest.

"I believed the country has grown democratically, but if I am detained and prosecuted, my case will be confirm what is being said out there," Erlinder said.

Appearing weak in court, Erlinder asked to be granted bail so he could return home for treatment, and promised to comply with any conditions the court sets.

He said he hadn't been mistreated, but also had not had contact with anyone while in Rwandan custody.

"I haven't talked to anyone in my family, I haven't listened to the radio or watched TV since I was arrested. I haven't talked to my doctor," he said.

Judge Maurice Mbishibishi said he would decide Monday whether to grant bail.

Prosecutor Richard Muhumuza argued against it while investigation was ongoing, but agreed not to object if a medical examination determined Erlinder needed treatment in the United States.

Authorities are considering a joint medical evaluation involving a doctor of Erlinder's choice, Foreign Affairs Minister Louise Mushikiwabo said, while rejecting a U.S. request made Thursday for the lawyer's release on compassionate and humanitarian grounds.

"We are sensitive to medical and health conditions, whether it's for American citizens or others, but we cannot short circuit the legal process, so we stand advised by mental health professions on what needs to happen," Mushikiwabo said.

Erlinder was hospitalized Tuesday after police said he took dozens of pills in an attempted suicide. Erlinder's family said it did not believe that.

Meanwhile, the Hutu opposition leader Ingabire was in court Friday to attend Erlinder's hearing.

She plans to challenge Kagame for the presidency in Aug. 9 elections, and had asked Erlinder for legal advice in defending herself against charges of promoting genocidal ideology.

After returning to Rwanda in January from the Netherlands, Ingabire had visited a memorial to Tutsis killed in the 1994 genocide and asked why Hutus who died weren't also remembered.

She was arrested and freed on bail, but her passport was seized and she cannot leave Kigali. If cnvicted, Ingabire, 41, could be sentenced to more than two decades in prison.

Monday, September 28, 2009

Ramani ya Enzi za Mjerumani

BOFYA PICHA KUONA PICHA KUBWA ZAIDI:

Kwa wadua wasiojua, hapo zamani za kale, Rwanda na Burundi zilikuwa sehemu ya Tanganyika. Hii picha ni ya enzi za Mjerumani wakati ni German East Africa. Bibi yangu marehemu alikuwa mtoto mdogo Mjeruman alipotua pale Manda, Ludewa Ziwa Nyasa. Anasema walikuwa wanacheza halafu wakatokea wazungu kwenye maboti.

Monday, June 22, 2009

Muaji Callixte Kalimanzira Afungwa Miaka 30!


Callixte Kalimanzira, mmoja wa viongozi waliopanga mauji ya waTutsi huko Rwanda mwaka 1994, amepewa adhabu ya kifungo cha miaka 30 na mahamakama ya kimataifa huko Arusha! Kwa waliokuwepo wakati ule watakumbuka jinsi watu waliokuwa marafiki na majirani walivyoanza kuuana ovyo bila huruma. Hata kama mtu alikuwa nusu mTutsi, nusu MHutu ilikuwa kwa heri maana walipania kweli kumalia UTutsi juko Rwanda. Nafurahi kusikia jamaa anafungwa lakini wako wengi zaidi walioongoza mauji huko Rwanda. Na mbona kesi zao zinachukua miaka na miaka!!!?
Mnaweza kusoma habari zaidi hapa:
http://appablog.wordpress.com/2009/06/22/30-years-imprisonment-for-callixte-kalimanzira/

************************************************
Kutoka CNN.com

(CNN) -- A former Rwandan official was sentenced to 30 years in jail for his role in the death of "thousands of Tutsi refugees" in country's 1994 genocide, a court announced Monday.

Callixte Kalimanzira, a top Interior Ministry official at the time, "lured" the refugees to Kabuye hill and helped "provide armed reinforcements" to attack and kill them, the International Criminal Tribunal for Rwanda said in a statement.

The court found Kalimanzira "guilty of genocide and direct and public incitement to commit genocide," it announced.
"By encouraging Tutsi refugees to gather at Kabuye hill where he knew they would be killed in the thousands, he abused the public's trust that he, like other officials, would protect them," the court said.

It also found him guilty of encouraging genocide on four other occasions in April and May 1994.
The time he has spent in jail since handing himself over to the court in November 2005 will be deducted from his 30-year sentence.

Following the 1994 assassination of then-Rwandan President Juvenal Habyarimana, extremist militias made up of ethnic Hutus slaughtered ethnic Tutsis across Rwanda, beginning in April. Within 100 days, an estimated 800,000 people were killed.

The genocide ended when Tutsi-led militias backing Rwandan President Paul Kagame ousted the Hutu government supporting the massacre.