Showing posts with label USA. Show all posts
Showing posts with label USA. Show all posts

Saturday, November 16, 2019

US `gravely disappointed' by South Sudan coalition Government delay, will Reevaluate Relationship

By SAM MEDNICK
Associated Press

   NAIROBI, Kenya (AP) - The United States said Wednesday it is "gravely disappointed" and will reevaluate its relationship with South Sudan over the failure of its rival leaders to form a coalition government according to the country's fragile peace accord.

   President Salva Kiir and opposition leader Riek Machar last week agreed to postpone the formation of a coalition government for 100 days. They had faced a Nov. 12 deadline but said security and governance issues needed to be resolved.

   The State Department statement said that "their inability to achieve this basic demonstration of political will for the people of South Sudan calls into question their suitability to continue to lead the nation's peace process."

   The U.S. said it will work bilaterally and with the international community to "take action against all those impeding South Sudan's peace process." That could mean sanctions.

   South Sudan government spokesman Ateny Wek Ateny called the U.S. statement disappointing but said the government understands the U.S. position. South Sudan's government also wanted the coalition government formed on time, he said.

   "The president wasn't willing to extend until we realized the opposition was adamant to see the extension done or they'd go back to war," Ateny asserted.

   South Sudan's civil war erupted in late 2013, just two years after the country's independence from Sudan, when supporters of Kiir and Machar, then his deputy, clashed. A previous peace deal under which Machar returned as Kiir's deputy fell apart amid fresh fighting in 2016 and Machar fled the country on foot.

   South Sudan experts have warned that without a new approach, the current uneasy situation may well be the same when the 100-day period ends in February.

   The oil-rich country is slowly emerging from five years of fighting that killed almost 400,000 people and displaced millions. The fragile peace agreement signed in September 2018 has been riddled with delays and a lack of funding.

   Pope Francis on Sunday called for South Sudan's politicians to salvage the peace deal and announced he intends to visit the East African country in the coming year. In a striking gesture of concern earlier this year the pope knelt and kissed the feet of Kiir and Machar to encourage them to strengthen the faltering peace process.

Monday, May 30, 2016

Miss Tanzania USA Atembelea Shule ya Kenton Dar

Miss Tanzania USA 2015-2016 Aeesha Kamara akiongea na wanafunzi wa Kenton High School ya Tabata jijini Dar es Salaam siku alipotembelea shuleni hapo katika moja ya majukumu yake ya kuhudumia jumuiya. Miss Kamara anadhamini wanafunzi wawili shuleni hapo
Miss Tanzania USA Pageant Aeesha Kamara akimkabidhi msaada mwalimu mipira siku alipotembela shule ya Kenton High School ya Tabata jijini Dar es Salaam.
Miss Tanzania USA Aesha Kamara akiwa katika picha ya pamoja na wanafunzi wawili anaowadhamini kwa kuwasomesha shuleni hapo.
Picha ya pamoja

Wednesday, May 04, 2016

Walioshinda Green Card Lottery 2015 (DV2017)

US Green Card Office announces 2015 (DV2017) Lottery winners-Check whether you won here!

AJABU AFRICAN NEWS, Wednesday, May 4, 2016--The US Green Card Office has announced winners for the Green Card Lottery applicants who submitted their Lottery applications in October 2015 for the DV-2017 Program.
Hopeful applicants can now can now check if they have been selected online by visitinghttps://www.dvlottery.state.gov/esc/
Diversity Visa is indeed one of the easiest and cheapest ways to obtain permanent residency known as Green Card in the United States. The congressionally mandated Diversity Immigrant Visa Program is administered annually by the Department of State.Section 203(c) of the Immigration and Nationality Act (INA) provides for a class of immigrants known as "diversity immigrants" from countries with historically low rates of immigration to the United States.
According to the U.S. Department of State, DV-2017 Entrants may enter their confirmation information through E-DV website to see if they are selected. 
Entrant Status Check is the sole means by which entrants will be notified if they are selected, provided further instructions on their visa application, and notified of their immigrant visa interview appointment date and time. 
The Department of State will not send any notification letter.The U.S. government has never sent emails to notify individuals that they have been selected, and there are no plans to use email for this purpose for the DV-2017 program.If you are a selectee, you will only receive email communications regarding your visa appointment after you have responded to the notification instructions on Entrant Status Check. FULL STORY HERE >>>
 

Saturday, November 21, 2015

USA Visa Waiver Program

Visa Waiver Program

Fact Sheet
Office of the Spokesperson
Washington, DC
November 20, 2015



The Visa Waiver Program (VWP), administered by the Department of Homeland Security (DHS), allows eligible citizens or nationals of countries which have met U.S. security requirements to travel to the United States without visas in exchange for visa-free travel to those countries by U.S. citizens. The VWP utilizes multiple layers of security to detect and prevent terrorists, serious criminals, and other potentially dangerous individuals from traveling to the United States. These layers of security include comprehensive screening of VWP travelers prior to departure for the United States, at various points throughout the traveler’s journey, and upon arrival at U.S. ports of entry.
Over the last year, DHS and the Department of State, in coordination with several other federal agencies, have made a number of significant enhancements to the VWP to ensure our security apparatus continues to adapt in the face of evolving threats.
How Does the Visa Waiver Program Work?
  • Every prospective VWP traveler undergoes counterterrorism screening and must receive approval through DHS’ Electronic System for Travel Authorization (ESTA). Through ESTA, DHS evaluates whether individuals are eligible to travel to the United States under the VWP before they are allowed to board a carrier bound for the United States.
  • The counterterrorism check draws on information from U.S. law enforcement and intelligence agencies. DHS uses this information to decide if the travel poses any law enforcement or security risks. Without DHS approval through ESTA, VWP travelers cannot travel to the United States and must appear in person for a visa interview if they still want to travel to the United States.
  • Any individual applying for a U.S. visa undergoes thorough biographic and biometric screening against U.S. law enforcement and counterterrorism databases. Biometric screening includes checks based on fingerprints and/or facial recognition software. No visa can be issued unless all relevant concerns are fully resolved.
  • Information submitted during an ESTA application is shared with consular officers to help them determine whether a visa should be issued after an ESTA application has been denied.
  • As part of this screening process, information that identifies suspected or known violators of the law and other persons of concern will be provided to the appropriate law enforcement, national security, and/or counterterrorism agency.
  • This process has been enhanced repeatedly to improve security and more effectively identify individuals who might pose a threat to the United States.
  • Travelers must be a citizen of a VWP country to use the program. Residence in a VWP country, or the possession of refugee travel documents issued by a VWP member state, does not qualify an individual for VWP travel.
  • For the list of countries whose citizens are eligible for VWP travel, please visit http://travel.state.gov/content/visas/en/visit/visa-waiver-program.html.
Recent Enhanced Security Measures
  • DHS, in consultation with the Department of State, continuously adapts the VWP to address current threats.
o DHS introduced additional data fields to the ESTA application in November 2014 that already have already security benefits.
o DHS introduced new traveler screening and information sharing requirements for VWP countries in August 2015 specifically to address the threat posed by foreign terrorist fighters.
o DHS and the Department of State are working with VWP partners to implement the new VWP requirements, which will strengthen U.S. security and the security of our partners.
  • These security enhancements are part of our continuing assessments of U.S. security in the face of evolving threats and challenges, and our determination to stay one step ahead of those threats and challenges.
For further information, please contact the Bureau of Consular Affairs at CAPressRequests@state.gov or visit travel.state.gov.

Saturday, September 12, 2015

Mzee Godfrey Mngodo Afariki Dunia

Wadau, nimepokea kwa huzuni habari ya kifo cha Mzee Godfrey Mngodo, aliyewahi kuwa mtangazaji Voice of America na Radio Tanzania.   Mzee Mngodo alikuwa rafiki wa marehemu baba yangu, Dr. Aleck Che-Mponda. Walikuwa wote Voice of America walipoaanzisha Idhaa ya Kiswahili.  Mzee Mngodo pia aliwahi kunifundisha Mass Communication nikiwa mwanafunzi Tanzania School of Journalism.  Mzee Mngodo alinichekesha sana aliponiambia kuhusu ziara ya Mwalimu Nyerere nchini Marekani wakati wa Uhuru mwaka 1961.  Mzee Mngodo alikuwa ni Press Secretary wa ziara.  Basi waandishi wa habari wa USA walimwandama Mwalimu. Mwalimu kachoka na kwa hasira kaanza kuongea kiswahili.  Waandishi ha wakamkimbilia Mzee Mngodo, "eti, anasemaje!'  Mzee Mngodo anasema ilibidi atunge maana  Mwalimua alikuwa anawachamba hao waandishi. 

Poleni sana wanafamilia kwa msiba wa kufiwa na mzee wenu. 

Rest in eternal peace, Mzee Godfrey Mngodo.


Mzee Godfrey Mngodo 1939 - 2015

 Ziara ya Mwalimu nchini Marekani mwaka 1963 akiwa ni Rais wa Tanganyika






 Kutoka Voice of America


Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Amerika inamkumbuka aliyewahi kuwa mtangazji wake Mzee Godfrey Mngodo aliyefariki dunia Ijumaa  Septemba 11.
Godfrey Mngodo alikuwa mtangazaji wa kwanza wa  idhaa ya Kiswahili ya sauti ya Amerika ilipoanzishwa mwaka 1962 .
Kwa mujibu wa taarifa za mtoto wa marehemu, Kinyemi Mngodo, Marehemu Mzee Godfrey Mngodo amefariki katika hospitali ya Dar Group jijini Dar es salaam baada ya kuugua kwa muda maradhi ya figo.
Taratibu za mazishi zinafanyika nyumbani kwa mtoto wa marehemu Yombo Vituka jijini Dar es salaam lakini taarifa za awali zinaeleza kuwa marehemu anatarajiwa kuzikwa kijijini kwake Muheza mkoani Tanga.
Mzee Godfrey Mngodo aliyezaliwa Februari 7 mwaka 1939 pia alikuwa miongoni mwa watangazaji wa mwanzo wa iliyokuwa Tanganyika Broadcasting Corporation kabla ya kubadilishwa na kuwa Redio Tanzania Dar es salaam.
Atakumbukwa pia kama mwanzilishi wa chumba cha habari mara kilipoanzishwa kituo cha utangazaji cha Dar es salaam Televisheni , DTV mwaka 1994 na aliendelea kutumikia kituo hicho baada ya kuanzishwa pia kituo cha CHANNEL TEN kama Msimamizi wa habari na baadaye Meneja rasilimali watu mpaka alipostaafu mwishoni mwa mwaka 2008.
Idhaa ya Kiswahili ya Sauti ya Amerika inatoa pole kwa ndugu na jamaa na Marafiki wa Marehemu Godfrey Mngodo.

Saturday, November 29, 2014

Rais Kikwete Awasili Dar es Salaam, Apata Mapokezi Makubwa!


PICHA NA IKULU



Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mmoja wa abiria wakati
ndege aliyopanda ilipotua katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Marekani kwenye
matibabu leo Novemba 29, 2014
 
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mkuu wa Jeshi la
Polisi IGP  Ernest Mangu baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa
Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea
Marekani kwenye matibabu leo Novemba 29, 2014

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na
waandishi wa habari na viongozi mbalimbali waliokuja kumlaki baada ya
kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere
jijini Dar es salaam akitokea Marekani kwenye matibabu leo Novemba 29,
2014

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mama
Maria Nyerere baada ya kuwasili katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa
Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es salaam akitokea Marekani kwenye
matibabu leo Novemba 29, 2014

.Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea mashada ya maua
kutoka kwa wafanyakazi wa Ikulu waliojitokeza kumpokea mara baada ya
kuwasili Ikulu akitokea nchini Marekani kwenye matibabu.

Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea kadi ya pole toka kwa
mjukuu wake aziza Ridhiwani Kikwete mara baada ya kuwasili Ikulu
akitokea nchini Marekani kwenye matibabu
.

Saturday, August 02, 2014

Thursday, May 29, 2014

Miss Tanzania USA Pageant 2014




Attention Young Ladies. Are you interested in participating in the MISS TANZANIA USA Pageant? It will be held in Washington, D.C. later this year. You need to be between ages 16 -27 and have at least one parent from Tanzania. Contact me at chemiche3@yahoo.com for details on how to apply.

Thursday, October 24, 2013

Simu ya Kiongozi wa Ujerumani Wadakuliwa na Majasusi!

Uwongo mbaya, wadau wakubwa wengi wa makampuni makubwa makubwa Marekani wameambiwa  wasisafiri na aina fulani ya simu na laptop. Wanasema kuwa eti wakifika Uwanja wa Ndege tu, pale majasusi wamekwisha copy kila kitu kilichokuwemo humo tena katika sekunde chache! 

*************************************



Chansela wa Ujerumani Angela Merkel amempigia simu Rais wa Marekani Barak Obama baada ya kupata taarifa kuwa Idara ya Ujasusi ya Marekani imekuwa ikifanya udakuzi wa mawasiliano ya simu zake za mkononi.

Msemaji wa serikali ya Ujerumani, Steffen Seibert amesema serikali ya Ujerumani inahitaji uthibitisho wa taarifa hizo na kusema kwamba kitendo hicho ni uvunjifu wa uaminifu.

Naye msemaji wa ikulu ya White House, Jay Carney amewaambia waandishi wa habari kwamba, Bw. Obama amemhakikishia Bi. Merkel kwamba, Marekani haikuwahi kusikiliza mawasiliano ya simu zake na haitafanya hivyo wala kwa siku za usoni japo haikufafanua kama mawasiliano Bi Merkel yaliyahi kufuatiliwa.

Wakati huo Umoja wa Ulaya unaanza mkutano wake mjini Brussels nchini Ubelgiji huku kukiwa na malalamiko kuhusu majasusi wa Marekani kudaiwa kuingilia mawasiliano ya simu. Chanzo: BBC Swahili

Sunday, May 19, 2013

Rais Obama kutua Tanzania


President Barack Obama

 Kutoka Gazeti la Mwananchi

Rais wa Marekani Barack Obama ambaye anatarajiwa kudhuru Tanzania siku za hivi karibuni 
Kwa ufupi;
Akizungumza na Mwananchi Jumapili Profesa Ibrahim Lipumba ambaye ni mchumi kitaaluma, amesema kuwa ujio wa Rais Obama unaweza kuleta neema hasa kama atakuwa ameambatana na wataalamu wa masuala ya maendeleo.

Hii itakuwa ziara ya pili ya Rais Obama katika Bara la Afrika.
Dar es Salaam. Imeelezwa kuwa ujio wa Rais Barack Obama wa Marekani nchini, ni fursa nyingine kwa Tanzania kukuza uchumi na kuimarisha uwekezaji.

Akizungumza na Mwananchi Jumapili Profesa Ibrahim Lipumba ambaye ni mchumi kitaaluma, amesema kuwa ujio wa Rais Obama unaweza kuleta neema hasa kama atakuwa ameambatana na wataalamu wa masuala ya maendeleo.

Hii itakuwa ziara ya pili ya Rais Obama katika Bara la Afrika.
Ziara yake ya kwanza aliifanya wakati wa awamu yake ya kwanza madarakani, wakati ziara ya safari hii ni kipindi chake cha lala salama.

Rais Obama alianza rasmi awamu yake ya kwanza kama Rais wa Taifa kubwa, Januari 20, 2009, wakati ng’we yake ya mwisho ilianza Januari 21, 2013.

Rais Obama anatarajiwa kufanya ziara hiyo mwishoni mwa Juni mwaka huu, ambapo Tanzania itakuwa miongoni mwa nchi za mwanzo za Afrika Mashariki kutembelewa na kiongozi huyo.
Ziara ya Rais Obama inafanyika baada ya ziara ya Rais Xi Jiping wa China aliyeitembelea Tanzania Machi 28, mwaka huu, ambapo Tanzania ilikuwa nchi yake ya kwanza kuitembelea kwa Afrika tangu achaguliwe kuwa rais, Machi 14, 2013.

Akizungumzia ziara hiyo tarajiwa, Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Wananchi (Cuf), Profesa Ibrahim Lipumba ambaye ni mchumi, alisema amani, utulivu na uimara wa mfumo wa demokrasia ya vyama vingi kwa kulinganisha na nchi nyingine za jirani, vimechangia kuwapo kwa ziara hiyo.
Profesa Lipumba alisema pia ugunduzi wa rasilimali za asili kama vile gesi, mafuta na madini ya urani ni sababu nyingine iliyomfanya Rais huyo kuja nchini.

Hivyo aliwashauri viongozi wa Serikali kujipanga kwa ajili ya kufungua mlango huo mwingine wa uchumi na uwekezaji.

Alisema pamoja na hali hiyo pia kuna mambo ambayo yanaweza kuchafua taswira ya nchi kama vile ubovu wa miundombinu ya barabara, msongamano wa magari barabarani na msongamano wa meli bandarini wakati zikisubiri kushusha mizigo.

Jumatano ya wiki hii, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, John Kerry alitangaza mbele ya wajumbe wa Kamati ya Ushirikiano kati ya Marekani na Afrika, kwamba Rais Obama hivi karibuni atafanya ziara Afrika.

Ingawa Kerry hakutoa maelezo zaidi ya nchi gani za Afrika ambazo Rais Obama atazitembelea, lakini baadhi ya vyombo vya habari vya Nigeria vilieleza kiongozi huyo atafanya ziara Tanzania, Rwanda na Nigeria.

Kiongozi wa kwanza wa Afrika kukutana na Rais Obama tangu awe Rais wa Marekani, alikuwa Rais Jakaya Kikwete aliyekutana naye Mei 2009, Washington, Marekani.

Kwa nini ni Tanzania na Rwanda
“Kenya asingeweza kwenda kutokana na suala la Rais na Makamu wake kutuhumiwa kuhusika katika mauaji ya kimbari yaliyotokea baada ya uchaguzi mkuu 2007/2008, kwani msimamo wa Marekani ni kutaka wahusika wa vitendo vile wakamatwe na kufikishwa mahakamani. Hivyo kwake kuwatembelea watuhumiwa asingeeleweka,” alisema Profesa Lipumba.

Alibainisha kuwa Rwanda ina uhusiano wa karibu na Marekani na pengine suala la mgogoro wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) litachukua nafasi.

Kulingana na taarifa za Ikulu ya Marekani, Rais Obama alikuwa amepanga muda wake mwingi wa awamu ya pili ya uongozi wake kujihusisha na masuala ya Afrika.

Tuesday, March 11, 2008

Marekani warahisisha process ya kuomba Visa Dar

Hivi huyo rais Bush kapewa nini alivyokuwa Tanzania? Ngojeni mtaona wimbi la watu kutoka nchi zingine za Afrika wakifika Dar kuomba visa za USA sasa!

*************************************************************************
Kutoka ippmedia.com

Ule msoto visa za Marekani sasa basi!

2008-03-11

Na Mwandishi Wetu, Jijini

Ubalozi wa Marekani nchini umetangaza hatua kadhaa zilizochukuliwa kwa lengo la kurahisisha upatikanaji wa viza za kuingia nchini humo na kupunguza kero iliyokuwa ikiwakabili watu wanaotaka kibali cha kuingia Marekani.

Mkuu wa Idara ya Uhamiaji kwenye Ubalozi wa Marekani, Bw. Robert Hannan amesema hatua hizo ni pamoja na kuwekwa kwa muda mfupi wa kungoja usaili ambapo alisema katika kipindi cha miezi 18 iliyopita, wasafiri watarajiwa wamekuwa wakipangiwa muda wa kusailiwa ndani ya siku mbili.

Kadhalaika alisema kupanga muda wa kusailiwa kupitia mtandao kumesaidia ambapo waombaji wa viza wamekuwa wakipanga muda wa kusailiwa moja kwa moja kupitia mtandao. Alisema kabla ya hapo, waombaji walilazimika kuchukua muda wa kusailiwa uliokuwa unafuata, bila kujali usumbufu waliokuwa wanaupata. `

`Hivi sasa, waombaji wanaweza kuchagua tarehe na saa inayowafaa. Taarifa zaidi zinapatikana kwenye tovuti ya Ubalozi wa Marekani: www.tanzania.usembassy.gov`` akasema.

Kuhusu viza za muda mrefu, Bw. Hannan alisema Serikali ya Tanzania, chini ya maagizo ya Mkurugenzi wa Uhamiaji, Bwana Kinemo Kihomano, imefikia makubaliano na Marekani kwa nchi zote mbili kuongeza muda wa viza kutumika, kutoka miezi 3 mpaka mwaka mmoja.

``Kwa hivi sasa, watu wanaofanya safari nyingi watahitaji kuomba viza mara chache zaidi,`` akasema. Kuhusu changamoto wanazokabiliana nazo, Bw. Hannan alisema maombi ya ``dharura`` ya kufanyiwa usaili kwa safari za haraka limekuwa tatizo kubwa kwao.

``Kwa kawaida, hakuna sababu nzuri kwa maombi kama hayo,`` alisema Hannan. ``Kama wasafiri watarajiwa wanajua kuwa wanaenda kuhudhuria mahafali mwezi wa Juni, au kushiriki mkutano mwezi wa Septemba, wanaweza kuomba viza sasa hivi.

Kupitia utaratibu wa viza ya muda mrefu ulioanza kutumika mwezi wa Novemba mwaka jana, waombaji sasa wanaweza kupata viza watakayoitumia kwa kipindi cha mwaka mzima.

`` Hannan aliongezea kuwa, viza zote za Marekani kwa shughuli za utalii, biashara, na masomo, ni viza za kutumiwa zaidi ya mara moja - zinaruhusu mtu kufanya safari nyingi katika kipindi hicho cha mwaka mmoja.

SOURCE: Alasiri