Showing posts with label Hollywood. Show all posts
Showing posts with label Hollywood. Show all posts

Saturday, February 28, 2015

Gauni ya Lupita Nyong'o Iliyoibiwa Hollywood Imepatikana - Ina thamani ya dola $150,000!


Mcheza sinema Lupita Nyong'o

Wadau, jumapili iliyopita, mceheza sinema na mrembo, Lupita Nyong'o,  alivaa gauni enye thamani ya dola za kiMarekani $150,000 kwenye Oscars.  Hiyo gaumi imepambwa na lulu 6,000 (ameivaa pichani) na imeshonwa na mwanafesheni maarufu, Calvin Klein.  Baada ya Oscars Lupita aliiacha kwenye chumba chake kwenye hoteli ya kifahari The London West Hollywood na alitoka.  Alivyorudi alikuta gauni imeibiwa.

Sasa indaiwa kuwa aliyeiiba, kariudisha baada ya kugundua kuwa hizo lulu ni feki.  Mwizi alinyofoa lulu mbili na kuzipeleka kwenda kuuza kwa sonara, ndo kaambiwa ni feki.
 
Lupita Nyong'o ni mcheza sinema kutoka Kenya aliyepata umaarufu baada ya kushinda Oscar mwaka jana, Aliigiza kama mtumwa katika sinema,  12 Years a Slave.  Pia, alipendwa kwa urembo wake hasa baada ya wanafesheni kugundua kuwa anaweza kuvaa nguo vizuri  na kupendeza kuliko Model!

Kwa habari kamili BOFYA HAPA.

Sunday, March 02, 2014

MKenya Lupita Nyong'o Ashinda Oscars!!!!




Mwigizaji, Lupita Nyong'o kutoka Kenya ameshinda tuzo za Oscar!!!!!! Anakuwa mwafrika mweusi wa kwa kushinda. Mzungu Charlize Theron kutoka Afrika Kusini amewahi kushinda.  Kweli Hollywood inabadilika maana miaka mingi ilikuwa vigumu mwigizaji mweusi kuteuliwa na hasa kushinda! Katika miaka 86 ya historia ya Oscar Lupita, ni mwanamke wa saba mweusi kupokea Tuzo ya Oscar!

HONGERA LUPITA NYONG'O!!!!


Lupita Nyong'o leo kabla ya Tuzo za Oscars Kuanza

Lupita Nyong'o katika sinema  12 Years a Slave

Lupita akicheza na mwimbaji Pharell


Monday, May 27, 2013

Mshiko Boston - Kazi Kwenye Sinema (Hakuna haja ya Makaratasi) $100 kwa siku

Huyo Mama ni rafiki yangu. Anatafuta wenye nguo za Vitenge. Itakuwa June 1 au 2, Utalipwa $100 Cash mwisho wa siku.  Tofauti na sinema za Hollywood hii haina haja ya makaratasi. Ni independent film.

*********************************



Jodi Purdy Casts seeks Non-Union Actors for the following roles for music video shooting June 1st and 2nd in the Boston area.
Please submit PHOTOS to:
norwaymvcasting@gmail.com  (Tafadhali Katika email sema Chemi referred you)
Subject: Role - Your Name - Your Email - Your Phone
(THIS MUST BE DONE TO BE CONSIDERED)
PAY $100 PER DAY

Gospel Choir

Gospel singers. African American women, with lots of energy and charm.


Africans / Ugandan's
African Men & Women with traditional clothing
Age 30-60


Tuesday, January 22, 2013

Mimi Katika Sinema Here Comes the Boom

Haya wadau, katika sinema, Here Comes the Boom, niliigiza kama moja wa wanafunzi wa darasa la watu wazima wanaotafuta uraia wa Marekani. Darasa ilikuwa inafundishwa na Mr. Voss (Kevin James) ambaye anatafuta hela zaidi ya mshahara wake kwa ajili ya kusaidia wanafunzi wa muziki katika shule ya sekondari anayofundisha.  Mimi nilikuwa background actor, hivyo siongei. Nimefananikiwa kupata picha za scenes zangu.








Monday, April 30, 2012

Tanzanian - American Business Conference - June 9th, 2012, Hollywood, CA

Dear Diaspora Member,


We are pleased to inform you that Tanzania Investment Group of USA - TIGU Incorporated, is inviting you to attend the 2012 Tanzanian America Business Conference, themed: “Developing Business Relationships” on June 9, 2012. The conference will take place at the Renaissance Hollywood Hotel – 1755 North Highland Avenue, Hollywood, California, USA.

Attendees at this conference will mainly be Tanzanians and Americans who would like to expand the business opportunities here in the USA and in Tanzania for our mutual benefit.

Presenters at this meeting will include the:

• Tanzanian Ambassador to the United States, Mheshimiwa Balozi Mwanaidi Sinare Maajar and her staff from Tanzania Embassy, Washington, DC.

• Director of the Diaspora desk of the Tanzanian Ministry of Foreign Affairs, Bertha Somi (Mama Diaspora)

• Cooperative Rural Development Bank, CRDB

• National Social Security Fund, NSSF

• Parastatal Pension Fund, PPF

• Tanzania Investment Center, TIC

• Tanzania Tourism Board, TTB

• Successful Tanzanians Diasporas doing business in U.S.A.

• American businesses doing business in Tanzania including

• AgriSol

• Pike Electric

To round out a day of business presentations, there will be a “Special Dinner Event” with entertainment and fashion show.

• Mitindo House and Asia Idarous Khamsin will present a fashion show

• Theevening will end with dancing and socializing

The Tanzanian Embassy staff will have a table for all counselor needs including passport renewals and other embassy related issues.

This is a great opportunity for you, Tanzanians and Americans to meet and exchange ideas with other like-minded folks.

For registration and other event information please visit www.tiguinc.com

• Space is limited! Please register as early as possible.

Kind regards,

Iddy Mtango

Director of Public and Media Relations

TIGU Incorporated

Monday, April 09, 2012

Marehemu Kanumba Alipata Nafasi ya Kwenda Hollywood!

Kwenye taarifa hii kutoka gazeti la THE CITIZEN, wanasema kuwa marehemu Steven Kanumba alipata nafasi ya kuigiza katika sinema ya Hollywood. Alikuwa anajiandaa kwenda  Hollywood kabla ya kifo chake.  Nafasi hiyo alipata baada ya kushinda mashindano fulani nchini Ghana.

Wadau, kama navyoelewa Hollywood naweza kusema sidhani kama hii habari ni kweli. Huenda ni kweli alipata nafasi kufika Hollywood lakini si kama stelingi  (A-list) wa sinema. Wadau, siasa za Hollywood ni ngumu hasa kwa sisi weusi. Visa/Work Permit za waigizaji kutoka nje ya Marekani zinatolewa kwa wazungu kutoka nchi za Ulaya na Canada kwanza.  Mara nyingi wanatumia waigizaji waliopo hapa tayari. Waafrika kama marehemu Fela wamewahi kulalmika juu ya upungufu ya hizo visa kwa weusi.  Hivyo kama ni kweli marehemu Kanumba, alipata hiyo Visa/Work Permit kama mwigizaji kutoka Afrika itakuwa kama kashinda bahati nasibu. Wenye taarifa zaidi, hebu tujulishe. Ilikuwa kampuni gani inamsponsor?  Na kama ni kweli basi watampa MTanzania mwingine nafasi hiyo, hivyo akina Ray ...polish those audition skills.

REST IN PEACE STEVEN KANUMBA! IT IS  HARD TO BELIEVE YOU ARE REALLY GONE.

*********************************************************
KUTOKA THE CITIZEN
Dreams that Kanumba could not Live to Realise

Monday, 09 April 2012

The late Steven Kanumba

By Songa wa Songa

Dar es Salaam. Fallen movie star Steven Kanumba had won a chance to make what would have been a historic debut of a Tanzanian actor in Hollywood, we can report today.

The Citizen can also reveal that Kanumba was planning to permanently settle as a husband and father, all dreams which have now evaporated with his death on Saturday.

New details emerging now as the country continues to mourn the passing of the iconic actor indicate that he was set for unparalleled trajectory ever attained by a local film artiste as a Hollywood role would have not only added to his fame on the global stage, but also come with a hefty pay cheque.


Based in the United States, Hollywood is the epitome of the world movie industry and rakes in billions of dollars in annual revenues and has made millionaire actors even for the simplest of hit appearances.


Held closely to his chest, Kanumba had just arrived from Ghana a few days ago where he apparently won an audition for a Hollywood appearance.

“He was heading there not as an inspiration seeker like he did in the past but this time to work. He had his US visa ready but fate dictated otherwise,” revealed Mr Dennis Sweya popularly called Dino, a friend of Kanumba since 2003 when they first met in the start-up days at Kaole Sanaa Group.

“When he broke the news to me, I told him; ‘The Great’ once you make it, don’t forget me in your ‘kingdom’ and he replied ‘I will never forget you my brother,” said Dino.

The news of the US job was given credence when Kanumba’s mother Ms Flora Mutegoa told Journalists that her son called and asked her to urgently return to Dar es Salaam for a meeting ahead of his departure.

The mother was away in Kagera Region visiting the actor’s maternal grandmother and received the call on the same night that he died. Friends say mother and son were not only family but great friends.

Meanwhile, before his untimely demise, Kanumba was deeply longing for a family of his own.

Those who knew the person behind the personality say ‘The Great’ wanted to have children more than anything else and prayed to God to bring him the right woman to marry.

“He longed for the warmth of a family of his own to complement the success he had achieved so far,” said Dino who recalled that during his last meeting with Kanumba, the actor had played and joked with his kids while expressing his wish to have his own.

Yvonne Cheryl, an actor popularly known as Monalisa, said she had been taken aback by Kanumba’s great love for children seen in his recent works.

“He was not only making movies for children; he was making friendship with children of late and my own child was his best friend…they called each other and talked over the phone several times,” she said.

Kanumba’s friend and career rival Vincent Kigosi, also known as Ray, said his last work-in progress, Ndoa Yangu, which literary translates to My Marriage initially scheduled for release this month and his recently new-found film niche (for kids) told volumes on how he felt about family.

“I will remember and immortalize his work and life by making movies for children as he did during his last days,” said Ray.

In his recent interviews, Kanumba faulted those who envied his ‘little’ success, asserting that the last time he checked his vision and mission, he was not there yet.

“I feel proud to be a source of inspiration to many aspiring actors and actresses but I want everyone to understand that I have not yet achieved my biggest dream” he once said.

He said the two had purchased an expansive piece of land at Mbezi Mpiji with the vision of developing it into a Tollyhood village—residential villas and offices exclusively for the film industry.

But according to Mr Chiki Mchoma, the Bongo Movies coordinator, Steve Kanumba somehow knew that death had come very close to him. He says Kanumba called him one week ago, praised his work and said he wanted to talk to him in details.

“I was at the border on my way to a neighbouring country, so we did not talk much. But when I came back I met another friend whom Kanumba had also called and learned that he had bought a new Bible, wanted to meet and talk to all his friends; tell them their shortcomings and apologise for his own weaknesses and wrong doings” he said and added:

“I think he has died without accomplishing this noble mission…it is something he really wanted to do and he insisted on meeting in person.

The death of Steven Kanumba has sent both the national leaders and ordinary citizens into a deep sorrow with a huge crowd of mourners of all ages flocking his Sinza home since early Saturday morning throughout Easter Sunday.

Meanwhile, President Jakaya Kikwete yesterday led thousands of mourners in consoling the family, including Kanumba’s mother who was seemingly overwhelmed and remained speechless.

President Kikwete said the death of Kanumba has robbed Tanzania of its finest performing art ambassador at a time when his services were needed the most.

“I was scheduled to travel outside the country but upon receiving the sad news I decided to postpone the trip so that I could join you (Kanumba’s family), fellow Tanzanians and all his fans all over the world in mourning his demise,” he said

According to a programme issued last night, mourners will pay their last respects to Kanumba tomorrow at Leaders’ Club in Dar es Salaam before his burial at the nearby Kinondoni cemetery later in the day.

Meanwhile, the Kinondoni regional police commander, Assistant Commissioner of Police (ACP) Charles Kenyela, said last night police were continuing with investigations into Kanumba’s death.

He said the Police collected samples of drinks found in the room of the deceased and sent them to the chief government chemist for tests.

ACP Kenyela added that the police were also awaiting a postmortem report on the body of Kamumba from Muhimbili National Hospital pathologists.

The police are still questioning the 18-year-old girlfriend of the deceased identified as Elizabeth Michael alias Lulu.

Sunday, June 22, 2008

75th Anniversary Screen Actors Guild Celebration - Boston

Jana nilikuwa kwenye sherehe ya kusherekea miaka 75 ya Screen Actors Guild (SAG) hapa Boston. Party ilifanyika katika hoteli ya Ritz Carlton, mjini Boston. SAG ni chama kinachowakilisha actors wote wa Hollywood. Mimi ni mwanachama na tawi letu hapa ni Boston Branch. Nilibahatika kupata mwaliko wa kujiunga na SAG baada ya kuigiza katika sinema mbalimbali. Nilijiunga mwaka huu. Bado nangojea 'break', yaani nafasi ya kupata role kubwa katika sinema ya Hollywood.

SAG ilianzishwa mwaka 1933 kutetea haki za waigizaji wa sinema za Hollywood. Kabla ya hapo walikuwa wanateswa na wakati mwingine kuwa kama watumwa wa studios. Mnaweza kusoma historia ya SAG hapa. Bofya hapa.

Hapa niko na baadhi ya marafiki zangu ambao ni actors wa hapa Boston. Katikati ni rafiki yangu, Ellen Becker-Gray (gauni nyekundu) Kutoka Kushoto, Ron Murphy, Rob Gray, Paul, mimi, Doug Weeks na Maria.


Monday, June 02, 2008

Moto Universal Studios Hollywood!


Seti kadhaa za sinema huko Universal Studios Hollywood, ziliangamizwa kwa moto jana. Baadhi ya seti zilizoungua ni zote za New York City, ile ambayo unaona kwenye sinema za Back to the Future na exhibit ya King Kong.

Pia kanda za sinema zaidi ya 40,000 ziliangamizwa wakati vault ambako zilihifadhiwa iliungua. Sinema hizo nyingi ni za tangu miaka ya 1920's! Kwa bahati nzuri Universal wanasema kuwa wanazo copy za sinema zote zilizoungua!

Kwa habari zaidi someni:



Thursday, April 17, 2008

Hollywood Africa

Illustration by The New York Times; photographs by Rufus F. Folkks/Corbis and Bill Gentile/Corbis

Karibuni mtoe Captions!

Saturday, February 02, 2008

Hollywood in Bostwana!



Tanzania tujifunze kutoka Botswana. Serikali ya Botswana imetoa baraka zote kwa ajili ya kutengeneza hii sinema huko. Hata mawaziri na viongozi wa dini wana acti kwenye hii filamu!

Kwa habari zaidi za hii sinema bonyeza hapa:

The No. 1 Ladies Detective Agency

Tuesday, January 22, 2008

Bi Ruby Dee ni mweusi pekee kuteuliwa kupata Oscar mwaka huu!


Leo asubuhi majina ya walioteuliwa kupata Oscar yalitangazwa. Bi Ruby Dee (84) ni mweusi peke yake kuteuliwa mwaka huu. Ameteuliwa katika category ya Best Supporting Actress. (naomba mnisaidie kutafsiri hapo) Mwigizaji Bora wa kike ........
Ametueliwa kwa kazi aliyo fanya katika sinema, American Gangster. Katika sinema hiyo alicheza kama Mama Lucas ambaye ni mama mzazi wa Frank Lucas, mhusika mkuu wa sinema hiyo. Nafasi hiyo ilichezwa na Denzel Washington.
Bi Ruby Dee ameigiza katika sinema nyingi tena vizuri sana lakini hii ndo mara ya kwanza yeye kuteuliwa. Tena ana miaka 84! Nangojea kusikia anasemaje kuhusu kuteuliwa kwake!

Hakuna sinema kutoka Afrika iliyoteuliwa mwaka huu.

Sherehe ya kutuza Oscar itafanyika Februari 24, mwaka huu huko Kodak Theatre, Hollywood.

Thursday, January 17, 2008

Steven Kanumba apata Tuzo Hollywood???




Kaka Kanumba, nimeulizwa na wengi na sina jibu. Ni Tuzo gani uliyopata huko Hollywood? Je, wafadhili wametoa Press Release, je umefanya press conference? Ni tarehe gani ulikabidhiwa? Je, ni akina nani wengine waliopata maana kama ni International awards lazima kuna wengine waliopata pia kutoka nchi zaidi ya Nigeria. Ulipata kwa ajili ya sinema gani na ulicheza kama nani?

Hiyo Trophy inafanana sana na zile unazaopata kwenye souvenir store huko Hollywood. Tena ukiongeza hela wanaweka na jina. Haifanani na Oscar maana ni mwiko kampuni yoyote kutengeneza replica (inayofanana). Tunaomba jina la Award Committee.

Tueleze kusudi tukupambe na tukupongeze kama unavyostahili maana kama ni kweli ni habari kubwa sana! Na ukirudi Tanzania ni lazima upokelewe kwa shangwe.

Sunday, January 13, 2008

Steven Kanumba yuko Hollywood!








Wadau mliuliza na hii ni jibu:

Mcheza sinema maarufu wa Tanzania, Steven Kanumba aka. Denzel wa Tanzania, yuko ziarani Marekani. Kwa sasa yuko Hollywood. Amenitumia picha za safari yake na nazi-share na wadau.
Ametembelea Warner Brothers na Universal Studios.
* Steven Kanumba allitutuembelea kwenye seti ya sinema ya Bongoland II tulivyokuwa tunashuti Magomeni. Alitambulishwa kwa crew wetu kama Denzel Washington wa Tanzania. Naona hiyo nickname ni sawa maana amecheza kama lead kwenye sinema/video kadhaa, sijui kama yupo aliyemfikia.