Friday, September 19, 2014
Rais Kikwete Awasili Washington DC Kwa Mikutano Mbalimbali Pamoja na Hafla ya Usiku
Sunday, September 14, 2014
Kenny, Mtoto wa Mama Bishanga Aoa!
| Bwana harusi Kenny na mkewe Florence wakiwa pwani Oster Bay mara baada ya kufunga ndoa |
| Florence na Herry waikikata Keki |
| Wanaharusi wakikabidhiwa Top Tier ya Keki yao |
| Wanaharusi wakigonga Champagne Toast na Wageni wao |
| Dada wa bwana harusi Sizelina ambae ni mtoto wa kwanza wa mama Bishanga akilisakata rumba kwa raha na furaha tele ya harusi ya mdogo wake. |
| Wayao na Wamakua wakicheza wimbo wao maarufu wa Tilamaundee huku wakiongozwa na aliyekuwa mbunge wao Mzee Ray Mrope |
Saturday, September 13, 2014
Tanzanian Appointed Head of Rusumo Power Project
Ubaguzi Dar es Salaam - Mhindi Atukana Weusi - Eti Manyani (Monkeys)
Kutoka FACEBOOK:
Today, I received extremely disturbing screen shots of posts by an Indian lady who is calling Tanzanians of African origin "monkeys". She had the audacity to attack people that stood up to her indicating that what she did was wrong but she stuck to her guns and continued to call them monkeys and other Non Tanzanians with different ethnic background "monkey lovers". This has extremely upset me to no end. How can this be happening in our country and it is done by a person who is well known in Dar with various businesses which some of us frequent often? I am hoping that someone has hacked her account and can therefore excuse the contents of the said posts. However, if the account is not hacked then we need to share these posts as the original posts have since been deleted in Crime Alert Tanzania FB Page to ensure that the appropriate authorities take this matter seriously and do something against such inappropriate racist language. Please note that I do not welcome any comments slandering Indians as majority of my friends are of Indian origin both in and outside of Tanzania and they are great people with deep respect for other human beings regardless of their ethnic background.
Msanii Lucy Komba Aolewa!
Hatimaye yule mwigizaji mkongwe nchini Lucy komba amefunga ndoa na mchumba wake wa siku nyingi aishie nchini Denmark aliyefahamika kwa jina la Stanley,. Kupitia ukurasa wake wa mtandao mmoja wa kijamii nchini lucy ameandika
"..Asante Mungu kwa siku hii nzuri na muhimu sana katika maisha yangu, wengi hawakutaka nifikie siku hii, kunawengine walinuna, kunawengine waliniombea mabaya, kuna wengine walichukia na wengine waliambiana wanichunie walifikiri bila wao Mungu hawezi kuifanikisha siku hii, nasema asante Mungu kwa sababu aliifanikisha siku hii kwa nguvu zake wqtu wanaonipenda walisheherekea siku hii vizuri walikunywa na kula na kusaza watu zaidi ya miasita walikuwa ukumbini wakishangilia pamoja nami haleluyaaaaaaaaaaaaaaa anachokiunganisha Mungu binadamu hawezi kukitenganisha hata ieeje.."
Hongera sana lucy.
Saturday, September 06, 2014
Barua za Kitapeli
************************************************************
HELLO MY DEAR
I am writing this mail to you with tears and sorrow from my heart. With due respect trust and humanity, I appeal to you to exercise a little patience and read through my letter, I wish to contact you personally for a long term business relationship and investment assistance in your Country so I feel quite safe dealing with you in this important business having gone through your remarkable profile, honestly I am writing this email to you with pains, tears and sorrow from my heart, I will really like to have a good relationship with you and I have a special reason why I decided to contact you, I decided to contact you due to the urgency of my situation, My name is Miss Amanda Kipkalya Kones, 23yrs old female and I held from Kenya in East Africa. My father was the former Kenyan road Minister. He and Assistant Minister of Home Affairs Lorna Laboso had been on board the Cessna 210, which was headed to Kericho and crashed in a remote area called Kajong,
in western Kenya. The plane crashed on the Tuesday 10th, June, 2008.
You can read more about the crash through the below site:
http://edition.cnn.com/2008/WORLD/africa/06/10/kenya.crash/index.html
After the burial of my father, my stepmother and uncle conspired and sold my father's property to an Italian Expert rate which the shared the money among themselves and live nothing for me. I am constrained to contact you because of the abuse I am receiving from my wicked stepmother and uncle. They planned to take away all my late father's treasury and properties from me since the unexpected death of my beloved Father. Meanwhile I wanted to escape to the USA but they hide away my international passport and other valuable traveling documents. Luckily they did not discover where I kept my fathers File which contains important documents. So I decided to run to the refugee camp where I am presently seeking asylum under the United Nations High Commission for the Refugee here in Ouagadougou, Republic of Burkina Faso.
One faithful morning, I opened my father's briefcase and found out the documents which he has deposited huge amount of money in one bank in Burkina Faso with my name as the next of kin. I traveled to Burkina Faso to withdraw the money for a better life so that I can take care of myself and start a new life, on my arrival, the Bank Director whom I met in person told me that my father's instruction/will to the bank is that the money would only be release to me when I am married or present a trustee who will help me and invest the money overseas. I am in search of an honest and reliable person who will help me and stand as my trustee so that I will present him to the Bank for transfer of the money to his bank account overseas. I have chosen to contact you after my prayers and I believe that you will not betray my trust. But rather take me as your own sister or daughter.
Although, you may wonder why I am so soon revealing myself to you without knowing you, well I will say that my mind convinced me that you may be the true person to help me. More so, my father of blessed memory deposited the sum of $6.7M ( Six Million seven Hundred Thousand Dollars ) in ISLAMIC GROUP AFRICAN DEVELOPMENT BANK BURKINA FASO with he used my name as the next of kin. However, I shall forward you with the necessary documents on confirmation of your acceptance to assist me for the transfer and statement of the fund in your country. As you will help me in an investment, and I will like to complete my studies, as I was in my 1year in the university when my beloved father died. It is my intention to compensate you with 30% of the total money for your services and the balance shall be my capital in your establishment. As soon as I receive your positive response showing your interest I will put things into action immediately. In the light of the above. I shall appreciate an urgent message indicating your ability and willingness to handle this transaction sincerely.
1. Can you handle this transfer for me?
2. Can i trust you as a genuine friend?
AWAITING YOUR URGENT AND POSITIVE RESPONSE, Please do keep this only to your self for now un till the bank will transfer the fund. I plead to you not to disclose it till I come over because I am afraid of my wicked stepmother who has threatened to kill me and have the money alone, I thank God Today that am out from my country (KENYA) but now In (Burkina Faso) where my father deposited these money with my name as the next of Kin. I have the documents for the claims.
please reply me here ( missamandakipkalya@yahoo.com ) for a confidential discussions may be like that we can become best friends in future sorry for my pictures i will enclose it in my next mail and more about me when i hear from you okay i am living now in a refugee camp the only person i have now is Rev Pastor.Godwin Emmanuel (+226 777 458 10 ) Please you can get me though Rev Pastor Godwin number Please if you call him tell him that you want to speak with me he will send for me in the hostel,Kisses and warmest regards
Yours Sincerely
Miss Amanda Kipkalya Kones
***************************************************
Your account has some security Issues and need to be fixed at once
WE THE MONEY GRAM URGENT REMMITTING OFFICE HAVE SENT YOUR FULL
COMPENSATION PAYMENT OF $1.5million USD TO YOU THROUGH
MONEY GRAM,YOU WILL BE RECEIVING $4,500.00USD PER DAY.NOW WE HAVE SEND
THE FIRST PAYMENT TO YOU.SO CONTACT OUR DIRECTOR Mr.Mahugnon E. Metonwaho
AND ASK HIM TO GIVE YOU THE MONEY GRAM PAYMENT INFORMATION SO THAT YOU
CAN BE ABLE TO PICK UP YOUR FUNDS THROUGH MONEY GRAM WITHOUT ANY
PROBLEM.
HERE IS THE CONTACT INFORMATION OF MONEY GRAM DIRECTOR
GENERAL. Mr.Mahugnon E. Metonwaho EMAIL ADRESS (money_02gram@foxmail.com)
TELL (+229) 68550986 THEN CONTACT HIM WITH YOUR FULL INFORMATION.
OFFCE TEL( 229) 68620380
Your Name:========
Country:======
Phone No:========
Address/City:==========
Age/Sex:==========
CALL OR EMAIL HIM NOW SO THAT HE CAN PROVIDE THE MONEY GRAM
INFORMATION TO YOU AS URGENT AS YOU CAN.
THANKS AND GOD BLESSING YOU
Sincerely.
Mrs Cameron Harnish
I am Dr.Kat MHD Maher,originally from Turkey but I am presently in Afghanistan as an expert doctor of medicine. I have a business proposal worth $4.5 million US dollars that might be of interest to you. All I require is your honest cooperation. I'll send you details of this proposal including my International passport for you to know me better/verification from my embassy in your country, as soon as I hear from you.
E-mail: mhdmkat@gmail.com
Sincerely
Dr.Kat MHD Maher
Friday, September 05, 2014
RAIS Kikwete akutana na Bibi yake Rais Obama wa Marekani Jijini Nairobi
Mtoto wa Baba wa Taifa na Viatglis Membe Kupanda Mlima Kilimanjaro Kuchangia Jukwaa la Sanaa
Afisa Habari wa shirika lisilo la kiserikali la Culture and Development East Africa (CDEA), Mandolin Kahindi akitambulisha viongozi wa CDEA kwa waandishi wa habari (hawapo pichani) pamoja na dhumuni la kuitisha mkutano huo.
Na Mwandishi wetu
Madaraka Nyerere, Mtoto wa Hayati Baba wa Taifa Julius Nyerere, pamoja na Mwanamuziki Mzalendo Vitali Maembe wameteuliwa na shirika lisilo la kiserikali Culture and Development East Africa (CDEA) kuwa mabalozi wa kushiriki kampeni ya kupanda Mlima Kilimanjaro ili kuhamasisha jamii kuchangia ujenzi wa jukwaa la sanaa na ubunifu jijini Dar es Salaam.
Kampeni hiyo ya kupanda Mlima Kilimanjaro imeandaliwa na CDEA kupitia njia ya kupanda Mlima Kilimanjaro kuanzia Septemba 7 hadi 13 mwaka huu ili kujenga jukwaa na sanaa na ubunifu litakalowapa fursa wasanii na vijana kukutana, kufikiri na kubuni kwa pamoja ambapo mawazo ya kisayansi yatakutana na sanaa na pia sanaa kukutana na taaluma nyinginezo nyingi.
Mkurugenzi Mtendaji wa CDEA, Ayeta Wangusa anasema “ili kufanikisha kampeni yetu ya mwaka mmoja tuliyoipa jina la ‘FUN FOR FUNDS’, tumeona ni vyema kupanda mlima Kilimanjaro kwa kumtumia Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi ya CDEA, Madaraka Nyerere pamoja na Vitalis Maembe ambaye ni mwanamuziki mzalendo”
Mkurugenzi Mtendaji wa shirika lisilo la kiserikali la Culture and Development East Africa (CDEA), Ayeta Wangusa (wa pili kushoto) akielezea lengo la kuanzishwa kwa Jukwaa la sanaa na ubunifu ambalo vijana watapata fursa ya kukutana, kufikiri na kubuni kwa pamoja.
Wangusa anasema fedha zitakazopatikana kwenye kampeni hii maalumu zitatumika kusaidia uzalishaji wa kazi za ubunifu za njia mbalimbali za mawasiliano-bunifu, kuwekeza katika kuanzisha maabara ya Filamu(yaani film lab) na kuchangia gharama za uendeshaji wa shughuli za Jukwaa la sanaa na ubunifu.
Kwa upande wake Madaraka Nyerere anasema, “Nimekuwa nikipanda Mlima Kilimanjaro mara kwa mara kwa lengo la kuchangia ujenzi wa shule na shughuli nyinginezo za maendeleo, hivyo mwaka huu nimeona nifanye jambo hili kuhamasisha uchangiaji wa jukwaa hili la sanaa na ubunifu kwa kushirikiana na CDEA”
Madaraka anawaomba wadau mbalimbali kujitokeza kuchangia katika kampeni hii ili kufanikisha kufikiwa kwa lengo lake. “Wadau watakaopenda kuunga mkono zoezi hili,wanaweza kutuma michango yao kwa njia zifuatazo: M-PESA: 0765544714, TIGOPESA: 0713160668 Au Benki: CRDB BANK PLC, Jina la Akaunti: CULTURE AND DEVELOPMENT EAST AFRICA TZS ACC: 0150210421400, USD ACC: 0252210421400, SWIFTCODE: CORUTZTZ”
Mwenyekiti wa bodi ya wakurugenzi na Balozi wa kampeni ya "Fun For Funds", Madaraka Nyerere (wa tatu kushoto) akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam dhumuni lake la kupanda Mlima Kilimanjaro kwa ajili ya kuchangisha fedha za jukwaa la sanaa na ubunifu ili kukuza vipaji vya vijana kupitia mafunzo mbalimbali ya sanaa na kutoa muongozo wa jinsi ya kuanzisha wazo la ubunifu na kulikamilisha.
Na kuongeza pia vijana wataunganishwa na majukwaa mengine kama hili kwa nchi za Afrika Mashariki kama vile The Nest, PAWA 254 na Creative Garage yote ya Kenya na Africa Sanaa Kollective ya Uganda.
Kwa upande wake Mzee wa ‘Sumu ya Teja’, Vitali Maembe amesema pamoja na kuwa hii ni mara ya kwanza kupanda Mlima Kilimanjaro amefanya mazoezi ya kutosha kumuwezesha kufika kwenye kilele jambo ambalo ni ndoto yake kubwa kama mwanamapinduzi wa kimuziki.
Culture and Development East Africa (CDEA) ni shirika lisilo la kiserikali linalotoa huduma kwa wasanii, viongozi wa utamaduni, wajasiriamali, maafisa utamaduni na mipango miji. Pia hufanya kazi na Mashirika makubwa ya kimaendeleo, taasisi za kiraia na Elimu katika maendeleo ya utamaduni, mipango na utekelezaji kwa Tanzania na Ukanda wa Afrika Mashariki kwa ujumla.
Balozi wa kampeni ya kuchangisha fedha, “FUN FOR FUNDS” mwanamuziki mzalendo mzee wa ‘Sumu ya Teja’ , Vitali Maembe akizungumza na waandishi wa habari ambapo amewataka wasanii wenzake kuungana kuwa kitu kimoja katika kukuza utamaduni wetu kwa kubadilishana uzoefu wa kazi zao bila choyo.
Mjumbe wa bodi ya shirika lisilo la kiserikali la Culture and Development East Africa (CDEA), Rose Haji Mwalimu akitoa rai kwa waandishi wa habari waliohudhuria mkutano huo (hawapo pichani) na kuwataka kutumia kalamu zao vizuri na kuhakikisha kampeni hii inafanikiwa.
Vitali Maembe akitoa vionjo vya wimbo wake Vuma.
Vitali Maembe akionyesha moja ya kazi zake za sanaa atakazoenda kuzitundika kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro panapo majaliwa.
Picha ya pamoja baada ya mkutano na waandishi wa habari.
Wednesday, September 03, 2014
Rais Obama Anayobaguliwa na Republicans!
Tuesday, September 02, 2014
Dr. & Mrs. Aleck Che-Mponda Washerekea Miaka 52 ya Ndoa
Tuesday, August 26, 2014
Jamaa Aibiwa Baada ya Kutoka Benki Mlimani City
JAMANI HALI INATISHA SANA,NIPO HAPA NILIKUWA NA MTU NAFANYA NAE KAZI ANANIHADITHIA JINSI ALIVYOIBIWA PESA IJUMAA ILIYOPITA NIMEOGOPA,SIJUI TUFANYEJE TUWAPO NA PESA UUWIIIIIII.
NAHISI KABISA WAHUDUMU WA BANK AU MAMENEJA WA BANK WANASHIRIKI HUU MCHEZO,ANASEMA ALICHUKUA MKOPO NMB SH MILIONI 30!!KWA NIA YA KUMALIZIA UJENZI,SIKU YA IJUMAA KUNA KAZI ALITAKA KUFANYA NA FUNDI KUNA VIFAA WALITAKIWA WANUNUE PAMOJA NA GHARAMA ZA UFUNDI INGEFIKA KM MILION 10 HIVI,AKAENDA BANK MLIMANI CITY KUCHUKUA HIZO PESA,
AKIWA TAYARI AMESHAZICHUKUA FUNDI AKAMPIGIA SIMU KUWA AMEFIWA KWA HIYO KAZI HAITAFANYIKA KWA SIKU 3,YULE KAKA AKAONA ASIKAE NA PESA NYINGI HIVYO AKAAMUA AZIWEKE TENA MILION 7 ABAKI NA 3,NAHISI ALIVYOCHUKUA ZILE PESA AKAWA AMESHALENGESHWA,ALIPOTOKA TU BANK AKAPIGIWA SIMU NA MTU MWINGINE WALIONGEA DILI LA TILES KUWA AMRUSHIE M 1 KWENYE M PESA MAANA DILI LIKO TAYARI,AKAINGIA PALE VODA AKAWEKA PESA AKAMTUMIA AKABAKI NA M 2 AKAWEKA NA NYARAKA ZAKE FULANI MLE KWENYE BAHASHA YA FEDHA,AKATOKA,ANASEMA MUDA WOTE KUNA KIJANA ALIKUWA ANAMFATA NYUMA AKIINGIA SEHEMU YULE KIJANA ANASIMNAMA NJE KUZUGA LKN HAKUMTILIA MAANANI,AKAINGIA KWENYE GARI AKAONDOKA KUPITIA GETI LA UPANDE WA SURVEY,ILE ANAKATA KONA PALE ZINAPOPAKI BAJAJ KUNA PIKIPIKI IKAM BLOCK,AKAJA KIJANA MMOJA DIRISHANI ANA BASTOLA AKAMWAMBIA TUPE HIZO MILION 10 ZETU,USIPIGE KELELE KISHA ONDOA GARI FASTA,KWA KUKUHURUMIA HATUKUUI,TUPE HELA NA HUO MKOPO TUTAUTUMIA WOTE!!!.
YULE KAKA ANASEMA ALIBAKI MDOMO WAZI,HAWA WATU WAMEJUAJE KM NIMEKOPA??BASI ALICHOFANYA AKAWAPA ILE BAHASHA FASTA IKIWA NA MILION 2 LKN IMETUNA NA YALE MANYARAKA MENGINE WAKAJUA MILION 10 IKO MLE KUMBE MWENZAO ALIZIRUDISHA NYINGINE,AKAONDOA GARI MBIO,ANASEMA ILE TU KUNUSURIKA KUFA ALICHANGANYIKIWA AKATOKA MBIO MOJA KWA MOJA HADI MSIKITINI MWENGE,AKASWALI KUMSHUKURU MUNGU,AKARUDI NYUMBANI,ANASEMA ANAOGOPA KBS KWENDA TENA BANK NDO ALIKUWA ANAOMBA NIMUELEKEZE JINSI YA KUHAMISHA FEDHA TOKA KWENYE ACOUNT KWENDA M PESA ILI AWE ANATOLEA KWA WAKALA,TUWE MAKINI JAMANI PESA ZETU WENYEWE ZITATUUA!!!

Facebook ya Zitto Kabwe imekuwa Hacked!
*******************************
TAHADHARI: KUNA MTU AMEHACK FACEBOOK ACCOUNT YA ZITTO KABWE
Muda mchache uliopita nimepokea ujumbe kwa anayejifanya Zitto Kabwe ( Impersonate) unaosomeka hapo chini ambao niliutilia mashaka kutoka sentesi ya kwanza. Usome....
"Habari, samahani kwa ujumbe huu endapo kama utakukera ila napenda kukurekebisha lengo kukuweka sawa na kukuepusha katika matatizo. Kuna taarifa umepost katika group ya facebook view timeline kupitia link hii hapa www.facebook-view-timeline.wap
Thursday, August 21, 2014
Ubaguzi Marekani- Inasikitisha
Tuesday, August 19, 2014
Rais Kikwete Atoa Rambirambi Kwa Familia ya Jaji Makame
Monday, August 18, 2014
Ubaguzi Marekani - Mauaji ya Michael Brown
It is a shame that Racism is Alive and Well in America today. A Black person is always guilty until proven innocent. A white cop shoots 18 year old Michael Brown 6 times. While that officer is free and in hiding somewhere the police make every attempt to discredit the deceased. Good cops do not execute people! Will there be justice for Michael Brown?
Jumuiya ya waTanzania D.C., Maryland & Virginia (DMV)
| Mubelwa Bandio kati akiwa na aliyekuwa mgombea wa nafasi za Mwenyekiti wa Jumuiya DMV Liberatus Mwang'ombe (L) na mgombea nafasi ya Katibu Msaidizi Solomon Chris (R0 wakati wa mahojiano |
Matokeo yake yamekuwa yakipingwa na waliokuwa wagombea wa uchaguzi huo kutokana na sababu mbalimbali.
Wamaketi na Vijimambo Blog na Kwanza Production kueleza sababu hasa za kupinga matokeo hayo siku ya Jumatano ya Agosti 13, 2014.
Karibu uungane nasi kusikia wanachopinga
Thursday, August 14, 2014
SUMATRA Mko Wapi? Abiria Wanateseka
Gari hilo lenyenamba za usajili T102 AVX Wamekwama maeneo ya kibamba jiji dar es salamu huku kina mama na watoto wakizidi teseka
Mama Huyu Akiteseka na mtoto mdogo
Abiria wakiwa nje ya basi
Saturday, August 09, 2014
Kibonde wa Clouds FM Akamatwa na Polisi Leo
********************************
Habari na picha kutoka FACEBOOK:
![]() |
| Askari wa Trafiki Akimkamata Ephraim Kibonde |
![]() |
| Ephraim Kibonde ndani ya Lock Up |
Mtangazaji Mahiri wa Redio 88.5 Clouds FM kupitia kipindi cha Jahazi, Ephrahim Kibonde akipingana na Askari wa Usalama barabarani wakati alipotakiwa kutii sheria bila shurti,mapema asubuhi hii jijini Dar es salaam.
Kibonde anadaiwa kusababisha ajali asubuhi hii eneo la Makumbusho, ikiwa gari aliyokuwa akiendesha kuigonga gari ya dereva mwingine kwa nyuma. Trafiki walifika eneo la tukio na kupima ajali, Kibonde alipoona hivyo akarudi nyuma na kuendesha gari lake kuondoka eneo la tukio bila kufuata taratibu za usalama barabarani,hali iliyomlazimu yule Trafiki katumia gari lililogongwa kumfukuzia.
Walifanikiwa kumkamata eneo la Mwenge na Trafiki aliingia katika gari lake na kumwomba arudi eneo la ajali ili wakapime na kuchora mchoro wa ajali. Kibonde aligoma na kumtaka trafiki ashuke katika gari lake,Trafiki naye hakutana kufanyi kwa maana ya kuwa aligoma kushuka na kumuamuru Kibonde arudi eneo la tukio.
Kibonde aliondoa gari na kuendelea na safari yake huku yule Trafiki akiwa ndani ya gari hiyo, Trafiki aliwasiliana na wenzake ambao walianza kuifuatilia gari hiyo ya Kibonde kama walivyopewa maelekezo na mwenzao aliopo ndani ya Gari hiyo.
Mara Kibonde akatokea maeneo ya mataa ya Ubungo, hapo kulikuwa na Trafiki mwingine aliyekua eneo hilo akaipiga mkono gari ya Kibonde na ambapo inasemekekana hakusimama na badala yake ikaja gari nyingine na kuichomekea kwa mbele na hapo ndipo alipotiwa mbaroni! Aligoma kuendesha gari ikabidi livutwe hadi polisi Urafiki na yeye kuwekwa chini ya ulinzi na baadae akahamishiwa Kituo cha Oystabay ambako yupo mpaka sasa.
Inadaiwa kuwa Kibonde alikuwa amelewa sana,hali iliyopelekea kufanya hayo yote ikiwa ni pamoja na kuwajibu vibaya Askari hao.





























