Showing posts with label Uhuru. Show all posts
Showing posts with label Uhuru. Show all posts

Saturday, March 18, 2017

Dk. Ryoba Awaona Waanidshi wa Habari wa Uhuru Leo

DK. AYUB RIOBA AWANOA KWA SEMINA YA WELEDI WAANDISHI WA HABARI WA GAZETI LA UHURU, JIJINI DAR ES SALAAM, LEO
 Mwandishi wa habari nguli wa siku nyingi,Dk. Ayub Ryoba, akiendesha semina ya kunoa weledi wa taaluma ya uandishi wa habari kwa waandishi wa habari na baadhi ya watumishi wa Kampuni ya Uhuru Publications Ltd, Wachapishaji wa Magazeti ya Uhuru, Mzalendo na Burudani, leo katika Ukumbi wa Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam. Dk. Ryoba ambaye ni Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Utangazaji Tanzania (TBC), ana shahada ya Udaktari wa Falsafa (PhD) katika Sayansi ya Jamii aliyoipata katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam.
 Mwandishi wa habari nguli wa siku nyingi,Dk. Ayub Ryoba, akiendelea kutoa 'nondoz' kwa wafanyakazi hao wa UPL, huku wafanyakazi hao wakimsikiliza kwa makini sana
 Mwandishi wa habari nguli wa siku nyingi,Dk. Ayub Ryoba, akifafanua mada zake kwenye semina hiyo ya kunoa weledi wa kitaaluma
 Washiriki wa semina hiyo wakiwa ukumbini
 Dk. Ayub Ryoba, akiendelea kutoa mada kwenye semina hiyo
 Washiriki wakifuatilia kwa makini mafunzo ya Dk. Ryoba
 Yassin Kayombo (aliyesimama) akijitambulisha kwa Ryoba (kulia) na kwa washiriki wengie wa semina hiyo
 Mgaga akijitambulisha
 Jongo akijitambulisha
 Mnkondo akijitambulisha
 Ally akijitambulisha
 Furaha Omari akijitambulisha 
 Gailanga akijitambulisha
 Utambulisho ukiedelea
 Utambulisho ukiendelea
 Washiriki wakiwa ukumbini
 Dk. Ryoba akiendelea na semina hiyo
 Washiriki wakiwa katika kundi la kwanza kujadili mada
 Washiriki katika kundi la pili kujadili mada
 Washiriki katika kundi la tatu kujadili mada
 Washiriki kundi la nne wakijadili mada
 Dk Ryoba akipitiapitia mada zake wakati akisubiri mrejesho wa maswali aliyowapa washiriki 
 Dk. Ryoba akijadiliana jambo na baadhi ya washiriki wa semina hiyo wakati wa mapumziko. Kulia ni Furaha Omar na Bashir Nkoromo
 Dk. Ryoba akijadiliana jambo na baadhi ya washiriki wa semina hiyo wakati wa mapumziko. Kulia ni Furaha Omar na Bashir Nkoromo
(PICHA ZOTE NA KAMERA YA BASHIR NKOROMO)

Saturday, September 17, 2016

Mwenge wa Uhuru Wawasili Mkoani Singida na Ishara ya Uhuru wa Tanganyika

MWENGE wa Uhuru baada ya kuwasili mkoani Singida Mwenge huu ni ni kitu mfano wa kikombe chenye mpini mrefu na utambi ambacho aghalabu huwasha na kukimbizwa katika kusheherekea au kutukuza tukio fulani
Askari wa Jeshi la Polisi wakiulinda Mwenge ishara ya kuwasili muda mfupi kabla ya kukabidhi kwa uongozi wa Mkoa wa Singida

Kushoto ni Katibu tawala wa Mkoa wa Singida Dkt Angelina M. Lutambi akimkabidhi Mwenge Mkuu wa Wilaya ya Manyoni Mhe Geofrey Mwambe tayari kwa ajili ya kumulika Miradi 18 katika Wilaya hiyo

Friday, July 04, 2014

Leo ni SIkukuu ya Uhuru Marekani - Independence Day

1123156635066_united_states_independence_day_picture.jpg (465×308)

HAPPY INDEPENDENCE DAY! 

238 Years of Independence from the British!

 1776 - 2014


Wadau, leo Marekani inasherekea miaka 238 tangu Uhuru kutoka kwa Waingereza!

Saturday, January 18, 2014

Tunamkumbuka Mh. Patrice Lumumba

 Mh. Patrice Lumumba alikuwa Waziri Mkuu wa Congo baada ya nchi hiyo kupata Uhuru kutoka Ubelgiji. Aliuawa na CIA, na maiti yake iliyeyshhwa kwenye pipa la tindikali.  Wadau, wazungu waliuumiza sana maendeleo ya Afrika miaka ya 1960's-1970's wakati nchi nyingi za Afrika zilikuwa changa. 

******************

Kutoka THE GUARDIAN

Patrice Lumumba: the most important assassination of the 20th century

The US-sponsored plot to kill Patrice Lumumba, the hero of Congolese independence, took place 50 years ago today
patrice lumumba
Patrice Lumumba became the first prime minister of the Democratic Republic of the Congo in 1960, and was killed in 1961. Photograph: EPA
Patrice Lumumba, the first legally elected prime minister of the Democratic Republic of the Congo (DRC), was assassinated 50 years ago today, on 17 January, 1961. This heinous crime was a culmination of two inter-related assassination plots by American and Belgian governments, which used Congolese accomplices and a Belgian execution squad to carry out the deed.
Ludo De Witte, the Belgian author of the best book on this crime, qualifies it as "the most important assassination of the 20th century". The assassination's historical importance lies in a multitude of factors, the most pertinent being the global context in which it took place, its impact on Congolese politics since then and Lumumba's overall legacy as a nationalist leader.
For 126 years, the US and Belgium have played key roles in shaping Congo's destiny. In April 1884, seven months before the Berlin Congress, the US became the first country in the world to recognise the claims of King Leopold II of the Belgians to the territories of the Congo Basin.
When the atrocities related to brutal economic exploitation in Leopold's Congo Free State resulted in millions of fatalities, the US joined other world powers to force Belgium to take over the country as a regular colony. And it was during the colonial period that the US acquired a strategic stake in the enormous natural wealth of the Congo, following its use of the uranium from Congolese mines to manufacture the first atomic weapons, the Hiroshima and Nagasaki bombs.
With the outbreak of the cold war, it was inevitable that the US and its western allies would not be prepared to let Africans have effective control over strategic raw materials, lest these fall in the hands of their enemies in the Soviet camp. It is in this regard that Patrice Lumumba's determination to achieve genuine independence and to have full control over Congo's resources in order to utilise them to improve the living conditions of our people was perceived as a threat to western interests. To fight him, the US and Belgium used all the tools and resources at their disposal, including the United Nations secretariat, under Dag Hammarskjöld and Ralph Bunche, to buy the support of Lumumba's Congolese rivals , and hired killers.
In Congo, Lumumba's assassination is rightly viewed as the country's original sin. Coming less than seven months after independence (on 30 June, 1960), it was a stumbling block to the ideals of national unity, economic independence and pan-African solidarity that Lumumba had championed, as well as a shattering blow to the hopes of millions of Congolese for freedom and material prosperity.
The assassination took place at a time when the country had fallen under four separate governments: the central government in Kinshasa (then Léopoldville); a rival central government by Lumumba's followers in Kisangani (then Stanleyville); and the secessionist regimes in the mineral-rich provinces of Katanga and South Kasai. Since Lumumba's physical elimination had removed what the west saw as the major threat to their interests in the Congo, internationally-led efforts were undertaken to restore the authority of the moderate and pro-western regime in Kinshasa over the entire country. These resulted in ending the Lumumbist regime in Kisangani in August 1961, the secession of South Kasai in September 1962, and the Katanga secession in January 1963.
No sooner did this unification process end than a radical social movement for a "second independence" arose to challenge the neocolonial state and its pro-western leadership. This mass movement of peasants, workers, the urban unemployed, students and lower civil servants found an eager leadership among Lumumba's lieutenants, most of whom had regrouped to establish a National Liberation Council (CNL) in October 1963 in Brazzaville, across the Congo river from Kinshasa. The strengths and weaknesses of this movement may serve as a way of gauging the overall legacy of Patrice Lumumba for Congo and Africa as a whole.
The most positive aspect of this legacy was manifest in the selfless devotion of Pierre Mulele to radical change for purposes of meeting the deepest aspirations of the Congolese people for democracy and social progress. On the other hand, the CNL leadership, which included Christophe Gbenye and Laurent-Désiré Kabila, was more interested in power and its attendant privileges than in the people's welfare. This is Lumumbism in words rather than in deeds. As president three decades later, Laurent Kabila did little to move from words to deeds.
More importantly, the greatest legacy that Lumumba left for Congo is the ideal of national unity. Recently, a Congolese radio station asked me whether the independence of South Sudan should be a matter of concern with respect to national unity in the Congo. I responded that since Patrice Lumumba has died for Congo's unity, our people will remain utterly steadfast in their defence of our national unity.

Sunday, December 04, 2011

Ni lini tuta sherehekea Uhuru wa Tanganyika?

Bendera ya Tanganyika

Imeandikwa na Mdau VM

Ni lini tuta sherehekea Uhuru wa Tanganyika?
Kila mwaka utasikia sherehe za Uhuru wa Tanzania Bara!!!!!
Ni lini sasa tutasherehekea Uhuru wa Tanganyika? Hivi kweli huu ni umbumbumbu wa Historia kwa miongoni mwetu watanganyika au ni unyanyapaa wa Tanganyika, na ustaarabu kwa Z'bar? Mimi Sipendi!

Mapinduzi ya Z'bar yapo kila Januari 12 tena kwa mbwembwe zote, sherehe za kumbukumbu ya Muungano zipo kila Aprili 26 kwa kwa kila hamasa, lakini Uhuru wa  Tanganyika ni lini??? Mimi sipendi!!!

Tunaambiwa eti Uhuru wa Tanzania Bara! Sipendi!!!
Ok. Potelea mbali. Sasa hivi Tanzania Bara imefikisha umri gani? Miaka 47 au 50? Hivi Tanzania Bara haikuzaliwa Aprili 26, 1964. Sasa hiyo ni miaka mingapi, 50 au 47? Mi sipendi kabisa kuvuruga na kuchanganya historia.

Sipendi watoto wetu, wadogo zetu, kupotoshwa kwa makusudi kuhusu Uhuru wa Tanganyika! Tunawadanganya ili iweje? Sipendi kabisa!!!.
Siendi kwenye sherehe za Uhuru wa Tanzania Bara wala siangalii televisheni kuhusu uhuru huo, hadi ntakapo sikia tunaazimisha miaka kadhaa ya Uhuru wa Tanganyika! Labda mnisaidie kuelewa, vinginevyo hakuna. Asante.

Vins

Sunday, September 11, 2011

Taifa Msibani, Umoja Wetu na Utu Wetu Shakani

Mh. Zitto Kabwe
Ndugu zangu wanawavuti salam kwenu, naomba mnifikishie ujumbe huu kwa watanzania. Shukrani zangu za dhati.

*******************************************
(Nimeandika makala haya nikiwa katika Benchi la Hospitali ya Mnazi Mmoja hapa Zanzibar. Mniwie radhi kama kuna spelling mistakes kwani nilitaka hisia zangu ziwe as raw as possible -Zitto Zitto and not Zitto a politician).

Jana asubuhi tarehe 10 Septemba 2011 Taifa liligubikwa na habari za kushtusha za maafa. Mwanzoni taarifa zilisambaa kwamba zaidi ya watu 2000 walikuwa kwenye Boti MV Spice Islander lililopinduka na kuzama mbele kidogo ya Nungwi likielekea kisiwani Pemba.

Habari hazikuwa za uhakika sana kwani vyombo vyetu vya habari na hasa Televeshini ya Taifa havikuwa vikitoa habari juu ya ajali hii. Habari zilisambaa kupitia mitandao ya intaneti na kufuatia uchu wa habari nilianzisha #ZanzibarBoatAccident katika mtandao wa twitter ili tuweze kufuatilia kwa karibu habari zote za ajali hii.

Habari zilisambaa kuwa Televisheni ya Taifa ilikuwa inaonyesha muziki wa Taarab na Baadaye vipindi vingine vya kawaida bila kutoa habari kwa Umma kuhusu msiba huu.

Watanzania waliokoa wakiwasiliana kupitia twitter na facebook walikuwa na hasira sana na kituo cha TBC1 kutoonyesha au kupasha habari juu ya ajali hii. Mpaka saa moja jioni kituo hiki cha Televisheni ya Taifa kilikuwa kinaonyesha watu wakicheza muziki wa Kongo, wanawake wakikatika viuno na hata ngoma za asili. 'Hallo, washa TBC1 uone Televisheni yenu inachoonyesha' yalikuwa ni maneno ya Mwakilishi Ismael Jussa Ladhu aliponipigia kuonyesha kusikitishwa kwake na kituo hiki.

Mpaka jioni tulikuwa tumepata taarifa kuwa Watanzania wenzetu 198 walikuwa wamepoteza maisha. 570 hivi walikuwa wameokolewa. Binafsi nilipotembelea Hospitali ya Mnazi Mmoja niliweza kumwona Binti aliyeitwa Leyla, akisoma darasa la Nne huko kisiwani Pemba. Leyla alipona, aliokolewa. Nilimwambia leyla atapona na kurudi Shuleni. Mpaka ninapoandika tumeambiwa kuwa Watanzania 240 wamegundulika kupoteza maisha na zaidi ya 600 wameokolewa. Napenda kuwapongeza sana waokoaji wetu, wavuvi wa kijiji cha Nungwi na vijiji jirani, wamiliki wa mahoteli waliojitolea vifaa vyao kwenda kuokoa watu na wanajeshi wetu wa majeshi ya ulinzi na usalama kwa kazi hii kubwa ya kuokoa. Kwa kweli tumeokoa watu wengi kuliko ilivyotarajiwa. Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imejitahidi sana, ilitulia na kuonyesha uongozi dhabiti katika juhudi za uokoaji.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akafuta ziara yake huko Canada, ziara iliyokuwa imeandaliwa muda mrefu na kwa gharama. Lakini Rais aliona ni vema kupata hasara kuliko kuwa nje ya Nchi kipindi hiki. Hakutaka hata kumtuma Makamu wa Rais au Waziri Mkuu. Alifuta. Akatangaza siku 3 za kuomboleza. Hata hivyo waandaaji wa Miss Tanzania waliona hasara kubwa kuahirisha shindano la Urembo usiku huo. Wangepata hasara! Hata wafadhili wao Kampuni ya simu za mkononi ya vodacom ambao miongoni mwa waliofariki wamo wateja wa vodacom, waliendelea na shindano hili. Jumatatu, tarehe 12 Septemba 2011 ni siku ya khitma ya kuwaombea marehemu wetu. Nimeamua kutotumia simu ya ngu ya Voda kwa siku nzima, sina njia ya kuiadhibu Kampuni hii isipokuwa kugoma kutumia simu yao japo kwa siku moja kuonyesha kutoridhishwa kwangu na uamuzi wao wa kutojali msiba huu kwa Taifa.

Misiba huweka jamii pamoja. Msiba huu uliotokea Zanzibar ni jaribio kubwa kwa Umoja wa Taifa letu. Shirika la Utangazaji la Taifa limeshindwa jaribio hili la kudhihirisha Umoja wetu katika kipindi hiki. Nataraji wakubwa wa Shirika hili linaloendeshwa kwa kodi watawajibika au kuwajibishwa!

Jumla ya Majeruhi na marehemu sasa inafikia zaidi ya Abiria 800! Asubuhi ya jana 10 Septemba 2011 tuliambiwa na Serikali kwamba uwezo wa Boti la MV Spice Islander ilikuwa ni abiria 500 na wafanyakazi 12. Pia tumejulishwa kuwa boti hili lilikuwa la Mizigo na sio la Abiria. Natumai mara baada ya kumaliza maombolezo haya ya siku tatu Wakuu wa Mamlaka zinazohusika na usafiri wa Majini wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar watawajibika au kuwajibishwa. Mkuu wa Bandari ya Zanzibar Mustafa Aboud Jumbe na Waziri wa Miundombinu Hamad Masoud wanapaswa kufukuzwa kazi mara moja kama hawatawajibika wenyewe kwa kujiuzulu.

Kufukuzwa kwao kazi hakutarudisha ndugu zetu duniani bali itakuwa ni somo kuwa hatutarudia tena kufanya makosa yaliyoleteleza ajali kama hii.

Mwenyezimungu atupe subira wakati huu wa msiba mkubwa katika Taifa letu. Alaze roho za marehemu wetu mahala pema peponi na awape unafuu wa haraka majeruhi wetu.

Zitto Kabwe

--

Kabwe Z. Zitto,MP- Kigoma North, Tanzania.
Chairman Parliamentary Public Investments Accounts Committee (POAC),
Deputy Secretary General CHADEMA and Deputy Leader of the Opposition,
Shadow Minister of Finance
Mobile: +255756809535
Blog: http://www.zittokabwe.com/

Saturday, July 09, 2011

South Sudan

(Warembo wa Miss South Sudan Pageant)


From the Associated Press:

JUBA, South Sudan (AP) - South Sudan raised the flag of its new nation for the first time Saturday, as thousands of South Sudanese citizens and dozens of international dignitaries swarmed the new country capital of Juba to celebrate the country's birth.

South Sudan became the world's newest country Saturday with a raucous street party at midnight. At a packed midday ceremony, the speaker of parliament read a proclamation of independence as the flag of Sudan was lowered and the flag of South Sudan was raised, sparking wild cheers from a crowd tens of thousands strong.

"Hallelujah!" one resident yelled, as other onlookers wiped away tears.

The U.S. and Britain announced their recognition of South Sudan as a sovereign nation. President Barack Obama said the day was a reminder that "after the darkness of war, the light of a new dawn is possible."

"A proud flag flies over Juba and the map of the world has been redrawn," Obama said in a statement. "These symbols speak to the blood that has been spilled, the tears that have been shed, the ballots that have been cast, and the hopes that have been realized by so many millions of people."

The noon-hour ceremony hosted by Salva Kiir, who was sworn in as South Sudan's president, took place under a blazing hot sun. Sudan President Omar al-Bashir, a deeply unpopular man in Juba, arrived to a mixture of boos and surprised murmurs.

"Wow, this is a great day for me because it's a day that reflects the suffering that all southerners have had for almost 50 years," said David Aleu, a 24-year-old medical student.

Thousands of South Sudan residents thronged the celebration area, and organizers soon learned they did not have enough seats for all the visiting heads of state and other VIPs. The heat was strong enough that Red Cross workers attended to many people who fainted.

Susan Rice, the U.S. ambassador to the U.N. and the American envoy at Saturday's celebration, urged South Sudan residents and leaders to build a country worthy of the sacrifice of all the lives lost during the five decades of conflict.

"Independence was not a gift you were given. Independence is a prize you have won," she said. "Yet even on this day of jubilee we remain mindful of the challenges that await us. No true friend would offer false comfort. The path ahead will be steep... but the Republic of South Sudan is being born amid great hopes."

The black African tribes of South Sudan and the mainly Arab north battled two civil wars over more than five decades, and some 2 million died in the latest war, from 1983-2005. It culminated in a 2005 peace deal that led to Saturday's independence declaration.

Thousands of South Sudanese poured into the ceremonial arena when gates opened. Traditional dancers drummed in the streets as residents waved tiny flags. Activists from the western Sudan region of Darfur, which has suffered heavy violence the past decades, held up a sign that said "Bashir is wanted dead or alive." Bashir has been indicted by the International Criminal Court for war crimes in Darfur.

U.N. Secretary-General Ban Ki-moon pointedly noted in his speech that Sudan and South Sudan have not yet resolved all of their political issues. The status of the contentious border region of Abyei - where northern and southern troops are standing off - remains in flux. South Kordofan, which is a part of the north but which has many southern supporters, has seen heavy fighting in recent weeks.

"Let their differences be resolved around the negotiating table," Ban said.
South Sudan is expected to become the 193rd country recognized by the United Nations next week and the 54th U.N. member state in Africa.

Though Saturday is a day of celebration, residents of South Sudan must soon face many challenges. Their country is oil-rich but is one of the poorest and least-developed on Earth. Unresolved problems between the south and its former foe to the north could mean new conflict along the new international border, advocates and diplomats warn.

Violence has broken out in the contested border region of Abyei in recent weeks, and fighting is ongoing in Southern Kordofan, a state that lies in Sudan - not South Sudan - but which has many residents loyal to the south. The 1,300-mile (2,100-kilometer) north-south border is disputed in five areas, several of which are being illegally occupied by either northern or southern troops.
Obama said that South Sudan and Sudan must recognize that they will be more secure and prosperous if they move beyond past differences peacefully. He said the 2005 peace deal - the Comprehensive Peace Agreement - must be full implemented and the status of Abyei resolved.
The young government faces the huge challenge of reforming its bloated and often predatory army, diversifying its oil-based economy, and deciding how political power will be distributed among the dozens of ethnic and military factions. It must also begin delivering basic needs such as education, health services, water and electricity to its more than 8 million citizens.

While South Sudan is now expected to control of more than 75 percent of what was Sudan's daily oil production, it has no refineries and southern oil must flow through the north's pipelines to reach market.

But for Saturday, at least, those problems lay on the back burner. Smiles, singing and dancing instead took precedence.

Adut Monica Joseph waited for the ceremony with her sister and uncle as world leaders arrived. She said she looked forward to a day when women in South Sudan don't face the hardships they have in recent decades. The risk to the mother of death during child birth is extremely high in the poor and underdeveloped rural south.

"I'm very grateful to see many people from other countries," said the 22-year-old. "I'm appreciating that they have come to celebrate with us. I hope when we have independence we shall have freedom and education for women."
---

Kwa habari zaidi soma:

http://www.sfgate.com/cgi-bin/article.cgi?f=/c/a/2011/07/08/MNA31K8B6R.DTL

Nchi Mpya - South Sudan


(pichani: Bendera ya SOUTH SUDAN)

Wadau, Sudan Kusini sasa ni nchi huru. Mungu Awabariki maana wamepigana vita vya wenyewe kwa wenyewe kwa miaka 50. Waarabu wa kaskazini waliwatesa na kufanya ndugu zao waafrika weusi wa kusini kuwa watumwa na kuwaua ovyo. Safari yao ndefu lakini watumie hela ya mafuta vizuri kujenga nchi. Sidhani kama itabaki na jina la SoutH Sudan kwa muda mrefu, huenda wakaiita jina la kimila kama

*********************************************************************

JUBA, South Sudan — South Sudan raised the flag of its new nation for the first time Saturday, as thousands of South Sudanese citizens and dozens of international dignitaries swarmed the new country capital of Juba to celebrate the country's birth.

South Sudan became the world's newest country Saturday with a raucous street party at midnight. At a packed mid-day ceremony, the speaker of parliament read a proclamation of independence as the flag of Sudan was lowered and the flag of South Sudan was raised, sparking wild cheers from the crowd.

Mnaweza kusoma habari zaidi hapa:

http://www.ajc.com/news/nation-world/a-new-flag-raised-1004971.html

Sunday, July 04, 2010

Happy 4th of July!


Wadau, leo waMarekani wanasherekea miaka 234 ya Uhuru kutoka kwa Waingereza!

Happy Independence Day!

Thursday, December 17, 2009

Tanzania Uhuru Day Party: Saturday, December 19, 2009

The Tanzania Community Association – Midwest USA, NFP (TCA) cordially invites you to celebrate Tanzania’s Uhuru Day on Saturday, December 19, 2009 starting at 6 pm (Central Standard Time) .

This is going to be a big event for our community, friends of Tanzania, the East African communities and Africa as a whole. Embassy officials from the Permanent Mission of the United Republic of Tanzania to the United Nations in New York led by Ambassador Dr. Augustine P. Mahiga will be in attendance. Several dignitaries and friends of our community from all over the US have been invited and will be in attendance so this event will present a good networking opportunity.

Entrance Fee: $15.00 early bird, $20 at the door for adults and free for children up to 12 years of age. Dinner is included in the entrance ticket.

Venue:
Beaconridge Community Center
220 Beaconridge Drive , Bolingbrook , IL 60440 .

Event Format:
• Open Bar, Authentic East African Dinner
• Tanzanian Uhuru Presentations,
• Dance Party with live performance by Lambert Tibaigana (Singer/Actor) from Houston Texas: http://www.jake-productions.com/projects.html
• DJ Mchopa, "The Boss", will be spinning the Discs to your satisfaction
Tickets are on sale from the following people:
John Munuo: 773-615-7776
Lupo Chambaka: 630-303-1478
Angeline Kileo: 773-593-7881
James Kitia: 773-474-4225
Rachel Wasira: 773-507-7277
Saul Mwakatapanya: 630-881-1782
Dick Manumbu: 269-352-1088
Jackson Munuo: 773-343-1177

We encourage that you purchase your entrance ticket before the day of the event both for personal convenience and for logistical reasons. Donations to TCA are greatly encouraged and appreciated.

In an effort to raise funds we are preparing an Advertisement Book which will be available for pickup at the party. If you are interested in advertising your business or event please contact Lupo Chambaka for more information.

For event updates and other news please visit our website: http://www.tanzaniamidwestusa.org/

Best Regards,
Saul Mwakatapanya
TCA President

Tuesday, December 09, 2008

Uhuru 9-12-61

Bendera ya Tanganyika


Uhuru wa Tanganyika ulikuwa Disemba 9, 1961. Ni miaka 47 iliyopita. Pichani ni mezi kadhaa kabla ya uhuru mwaka 1961, Mwalimu akiwa na Mama Barbro Johansson nyumbani kwake Kahororo, Bukoba. ( Picha kwa hisani ya Maggid Mjengwa Blog)

Friday, July 04, 2008

Leo ni sikukuu ya Uhuru Marekani - Julai 4

Leo ni sikukuu ua Uhuru Marekani. July 4th, Independence Day. Walipata uhuru wao, siku ya July 4th, 1776, kutoka kwa Mwingereza. Hivyo, nchi ya Marekani ina miaka 232 tangu ipate uhuru kwa kumwaga damu. Kabla ya hapo Marekani ilikuwa koloni kwa miaka karibu mia na hamsini. Waingereza walikuwa wakatili na waliua watu waliotaka uhuru.

Leo kuna sherehe kibao nchini. Watu wanafanya barbecue na kukutana ndugu na marafiki. Jioni kuna kuwa na fireworks katika kila mji.

HAPPY FOURTH OF JULY!