Sunday, June 09, 2013

Acheni Mchezo wa Tigo Jamani!

Wadau, nasikia huko Bongo mambo ya Tigo yanashamiri. Wanasema ni kwa sababu ya video za nchi za magharibi na Asia. Nilisikia hiyo habari hata nilipokuwa Dar mwaka juzi. Wanaume walikuwa wanasema mwanamke akijamba ina maana yuko tayari kufanya Tigo (kulwiti/kufirwa). 

Aathari za mchezo wa Tigo ni nyingi. Baada ya muda huko myuma pana legea, haja kubwa haikai, mimavi inatoka kila saa. Itabidi mvae nepi!  Lakini midume haiogopi mavi kuingia kwenye ume zao na kuwasababishia magonjwa?

Halafu nasikia wanawake wanakubali kutoa nyuma kwa kuhofia wanaume wao hawatawapenda au watawaacha na kwenda kwa wengine. Mchezo wa Tigo ni mbaya na miili yetu haikuumbwa kwa ajili ya mchezo huo mchafu!

************************************



Mdau Hildegard Kiwasila alitoa ushauri huo kwa dada fulani ambaye alikuwa anajadili ampe mpenzi wake nyuma kwa vile alihofia atamwacha:
 
Tatizo ni la wanawake, mwanamke anapopenda anaingia mzima mzima anapenda kwa moyo, kichwa, tumbo, miguu, macho anakuwa haoni kingine tena na masikio-kiziwi haoni na kusikia mifano ya wenzake. Hakubali.

Ndio maana mwanamke au msichana akiachwa na boyfriend au mume-anachanganyikiwa kuliko mwanaume na anawerza kujiua au kufeli mitihani. Na ikiwa huyo ni bwana wake wa kwanza aliyemtokea-ndio haoni kabisa kipofu, hasikii na anaweza akaharibu masomo au kazi kama ataachwa ghafla. Hivyo anapata tabu kuamua aachane naye anaona kama mbingu itashuka imuangukie, bora avumilie hivyo hivyo baadae kicha kinakuja kuchanganya.

Mwenzake huyo alizoea siku nyingi ila alikuwa anamlia time tu amzoee ili amwambie. Yeye-alishindwa kugundua au kutambua alama za nyakati.

Ndio hao wanawake wasio maamuzi. Mume anabaka housegirl anatia mimba, anambaka mdogo wake anayeishi naye au mwanae wa kufikia anawazalisha wote bado mke yup radhi kuficha evidence amwache aende jela naye akasulubiwe huko eti anampenda, hataki afungwe kama amekosa amemsamehe. Hapo ndio sheria za nchi zinatakiwa zimkamate na huyo mama msicha siri akalale ndani na mume pia.
Akikataa uchafu huo eti mume analeta bibi wa nje  kwa vile yeye hataki hiyo Tigo na anamlazwa chini au mke unalala na watoto chumba kingine na bado upo.

Tujifunze ujasiri na kuweka kuwa na maamuzi. Atakapokubali na kuharibika ataachwa pia atatafuta mwingine. Madhara ni mengi sana pamoja na kuambukizwa magonjwa ya zinaa, kuchubuka maana huko hakukuumbika kwa kazi hiyo na mengine kisaikolojia.

Zipo study nyingi sana za sexual violence, sexual abuse na extent of sodomy in Tanzania zilizofanywa na wadaktari na wengineo Muhimbili, NGOs.

Binafsi nimefanya ya sexual abuse kwa wanafunzi Kilosa, Lindi, DSM na ya Extent of Sodomy TZ sample dar, bagamoyo, ZNZ na kujumlisha na ile ya sodomy kwa wanafunzi. Sodomy ni tatizo ktk ndoa. 1% ya ndoa huathiriwa na suala hili. Wanafunzi mashuleni sexually active waliofanya sodomy tulipata ktk sampo yetu 67% wanaongoza kwa hiyo Tigo. Hufanya jambo hili kuzuia mimba. Wanaume mpaka wa umri wa 26 waliripoti kubakwa/kulawitiwa. Wanaume (2%) walitoa taarifa ya kufanyiwa mchezo huu na waajiri wao mpaka baba mwenye nyumba kwa vijana houseboys au waajiri wenye maduka anakofanya kazi (hawa umri mdogo). Wanaobakwa umri mkubwa huwa ni mpango na ushindani kibiashara, kugombania mwanamke/msichana, kufumaniwa. Unasukiwa zari ili uhame eneo la ushindani au umuache mwanamke mnayegombania baada ya kukutumia vijana bangi bangi wanakutesa na kukupiga picha na kukutishia kuziweka hadharani; au kukutangaza na ukipita watu wanakucheka au ulitendewa ukaachwa hoi ukaokotwa huna nguo na umechafuka.

Wanaume tuliowahoji ambao walitoa taarifa za kubakwa tuligundua kuwa ndio waundao magenge ya ubakaji. walipoulizwa  kama wataendelea na sodomy walisema 'Yes'. why? alijibu-anapomfanyia hivyo mtu 'me' au 'ke' anapata ahuheni au nafuu kisaikolojia kuona kwamba amemuadhibu mtu kama yeye alivyoadhibiwa kwa kumfanyia hiyo Tigo. hawa wanaume hawapati ushauri nasaha na hawajitokezi kama wanawake wabakwao. Yupo baba mmoja Dodoma alibakwa akitoka kulewa pombe alifariki kutokana na depression ya kufanyiwa tendo hilo. Yupo yule aliyetolewa ktk gazeti ambaye alikuwa akibaka wake za watu (Dodoma). akawamaliza mjini eneo lake na akaanza kuwafanyia wanaume (Kiuchawi) akakamatwa nyumba ya mlokole mmoja anayesali sana uchawi ukaishia hapo. Ndipo aliposimulia yote aliyofanya. Wapo wengine wana mapepo na wapo watumiao uchawi wasionekane bali wanafanya uchafu majumbani mwa watu na mashuleni. Hawa wana laana. wapo wanafunzi wanaofanyiana wenyewe kwa wenyewe au kuonea wale wadogo kuwaingiza machakani, mabanda mabovu etc. Fundisha mwanao vizuri aepuke haya.

Wapo ndugu unaokaa nao na kuwalaza na watoto wako wadogo hao ndugu au mgeni aliyekuja, au kulala na houseboy, shamba boy/mfuga mifugo wako wa dairy cattle DSM-hawa tazama weka onyo kwamba ukimsikia na kupata taarifa kwa mtoto utamfunga tu. waelimishe na watoto ambao hutishiwa na kuhongwa visent, kaka anampenda sana na kumlea vizuri kumbe anamuharibu wewe hujui. kagua watoto me na ke mbele na nyuma ili nao waogope na hao waishio nao. Usichanganye watoto wakubwa na wadogo ktk malazi kutokana na uhaba wa vyumba na kuchanganya watoto wa umri tofauti-wengi wameharibika na ndio chanzo cha ushoga-anazoea.

Wapo changudoa ambao ni Toigo na Voda kwa bei tofauti hawa huharibu waume za watu. Anapozoea-inakuwa tatizo ktk ndoa. Tulipowahoji wale ambao walifanya mchezo huu mbaya kimila na maadili ya kiafrika na kidini:-wale walioanza na wasichana mambo ya Tigo-HAWAKUWAOA HAO WALIOFANYA NAO HAYO. WALIOA WENGINEO AMBAO HAWAKUENDELEA NAO HAYO. Wasichana/wanawake walioanza mambo hayo shuleni walipoolewa-hawakufanya na waume zao ambao hawakuomba suala hilo na wala mume hakujua kama huyo alishafanya hivyo. Ni wachache sana waliolazimisha wake zako kufanya tendo na kutishia talaka, moto unawaka daily na anakwenda nje anamaliza mambo yake anarudi apendavyo. kama wewe hutaki, wenzako wanataka-bye-anatoka!!

Utafiti huu tulifanya 1997 na tuliangalia kama mchezo huu mtu alianza kwa sababu ya kuwa pwani (sample, DSM, Bagamoyo, ZNZ). Utafiti haukuona uhusiano wa kuwahi kuja au kuishi Dar na kupenda upotofu huu wa Tigo. Mtu alianza akiwa Songea, Iringa, Mwanza, Mbeya. Ni pale yalipomkuta maisha na matatizo hayo akiwa dar au popote pale kwani tuliangalia alizaliwa wapi Tigo, kabila lake na Dar, Bgmoyo, ZNZ kafika lini. Mazingira  ya maisha ni muhimu zio kuwa Pwani au visiwani. yupo ambaye aliweka alama ya vema kuonyesha akiwa mwanaume-ameolewa, ameoa, ametalikiwa na ametaliki. Hii ilituchanganya. Lakini alikuwa na bwana (sodomy-kama gay) akaachwa na bwana; akaoa akaona haimfai akamuacha mke -akataliki.

Utafiti tumeuendeleza kila mwaka alipopatikana mtu au kikundi cha masuala haya hadi sana. Tumeongea na bisexuals, gays, transgender na lesbians. Tumeangalia pia alianzaje akiwa wapi na circumstances, anaishije, maisha na matatizo. Tusijidanganye, matatizo ni makubwa sana na source 80% ndani ya familia kunatoka watu hawa. Sasa wale ambao ndio wateja wa gays wamebadilika sura na gays wanakotoka imebadilika sana kidini (imechanganyika) na kikabila uelekeo umebadilika na huwezi kuamini. sitoongea hapa.Aina za gays na lesbians ni nyingi pia sio moja tu. Ndani ya familia (ndoa) na mahusiano kwa sasa kuna usumbufu zaidi wa watu kupenda haya unayoongea hapa tracy pamoja na kuwepo ukimwi na elimu juu ya magonjwa ya STDs na cancer za koo kutokana na watu kufanya mila iliyokataza. sio sigara tu kuleta cancer au viroba na mengine yaingizayo virus kooni. Waafrika hatupendi kuongea ukweli-tunajidanganya lakini nyuma ya pazia-ndio wenyewe.
Tukazane na maadili ya kiafrika katika mahusiano. Kiafrika mume akitaka Tigo ilikuwa ni leseni ya ndoa kuvunjwa. wapo wanaowafundisha wasichana wasiojua kuwa hiyo ni njia ya kawaida ya mapenzi nao wajinga hawajui. watu wa race nyingine hutumia Tigo kama uonevu na kukomoa kuchezea hao masikini si unampa hela. Wanawapangia vyumba/nyumba lakini akirudi kwake unamuona kama mtu safi mheshimiwa lakini amempangia shoga hata kama home hafanyi hivyo na mkewe.

Siku mke akimfumania mumewe na shoga marafiki wakimtonya-anamvaa shoga na kumpiga mume anamuacha-analinda ndoa na penzi. Yawezekanaje kakijana kadogo kamlazimishe baba mtu mzima ambaye ni mumeo umemfumania lakini humpigi? unaleta umma kumpiga shoga? shoga wamelalamika mengi wanapokamatwa na kuwekwa korokoroni. Sitosema hapa.

Huenda kitabu kitatoka kabla mwaka kuisha ili tujione katika kioo chetu wenyewe tuavche unduma kuwili. NGO yetu imetibu kwa kujitolea watoto wanafunzi wanaobakwa majumbani na njia ndefu ya kwenda wenye STDs (kilosa) na kujaribu kufikisha mahakamani baadhi ya kesi za ubakaji-ikashindikana kutokana na rushwa; mila za kiafrika za usiri kufanya mke, ndugu kuzuia na viongozi wa kijiji kutokutoa ushirikiano.

Asiyefahamu afahamu haya ni ya ukweli si porojo. Chunga wanao na vijana wako, akizoea anakuwa anataka haya ktk ndoa.

Mkundu enye ugonjwa shauri ya mchezo wa Tigo! Lazima anapata taabu wakati wa kunya! (Samahani kwa lugha lakini ukikubali kufanyiwa vituko ndo maneno yenyewe!)


 *************************************************

Kusoma habari zaidi za jinsi vijana wanavyooza Bongo kwa mchezo wa Tigo BOFYA HAPA:

Saturday, June 08, 2013

Mzee Mh. Nelson Mandela Amelazwa Tena

Wadau, tumwombee Mzee wetu, Mh. Nelson Mandela (Mzee Madiba) wa Afrika Kusini. Amelazwa tena jijini Johanses burg kutokana na uginjwa wa mapafu.  Mzee Mandela ana miaka 94 na pia anasumbuliwa na matatizo ya uzee.

*****************************************


Former South African President, Nelson Mandela
Kutoka CNN.Com

Johannesburg (CNN) -- Former South African leader Nelson Mandela is in "serious but stable condition" at a Pretoria hospital with a recurring lung infection, the presidential spokesman said Saturday.
Mandela was hospitalized early Saturday after the state of his health deteriorated in the last few days, according to spokesman Mac Maharaj.

"He's receiving the best possible care," he said. "Everything is being done to ensure that he is comfortable and that he is getting better."

Maharaj said that the anti-apartheid icon is breathing on his own.

Mandela's wife, Graca Machel, is at the hospital with him, sources told CNN. She canceled her plans to attend the Hunger Summit meeting in London on Saturday.

South Africa's first black president gets round-the-clock care, and his house is retrofitted with medical equipment that mirrors that of an intensive care unit.
 
Mandela, 94, has become increasingly frail over the years and has not appeared in public since South Africa hosted the World Cup in 2010.
Despite his rare public appearances, news of his ailment spark concerns worldwide.

Kusoma habri kamili BOFYA HAPA:

Thursday, June 06, 2013

Khadija Kopa Yu Hoi Kwa Majonzi - Msiba wa Mume Wake Jaffari Ally

Yaani namwonea huruma Dada Khadija, alikuwa safarini hakupata nafasi ya kumwaga mume wake,  mume wake amefariki ghafla yaani. Mimi mwenyewe kama mjane mara mbili ninaelewa uchungu wake. Sasa hebu cheki hiyo picha ya chini. Huyo jamaa anayecheka anastahili kuzabwa kibao!  Hata haya hana!

Picha hizi ni kwa Hisani ya Ofisi wa Makamu wa Rais


 Mkuu wa mkoa Rukwa Eng. Stella Manyanya kushoto akimfariji msanii na taarab na malkia wa mipasho Tanzania Khadija omar Kopa alipokua kwenye chumba maalum cha kupumzikia wageni kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda baada ya kupewa taarifa ya kufiwa na mumewe Jafari Ali Yussuf aliyefariki Dunia leoa alfajiri kutokana na ugonjwa. Bi Khadija Kopa alikua akitokea kwenye maadhimisho ya siku ya mazingira Duniani kitaifa yaliyoadhimishwa Namanyere Mkoani Rukwa jana (Picha na ofisi ya Makamu wa Rais).


Picha juu na chini ni Baadhi ya viongozi na wananchi wa mkoa wa Rukwa na Mpanda wakimsindikiza kupanda ndege msanii wa taarab na malkia wa mipasho Tanzania Khadija Omar kopa kwenye uwanja wa ndege wa Mpanda baada ya kupewa taarifa ya kufiwa na mumewe Jafari Ali Yussuf.


Siku ya Harusi ya Dada Khadija Kopa na Jaffari Ally Mwaka 2008 (picha za harusi kwa hisani ya Michuzi Blog)

*****************************************
Kutoka Tanzania Daima

Mume wa Khadija Kopa afariki


\na Andrew Chale, Bagamoyo

DIWANI wa Kata ya Magomeni mjini hapa, ambaye alikuwa mume wa Malkia Mipasho nchini, Khadija Kopa, Jaffar Ali Yusuf amefaiki usiku wa kuamkia jana katika Hospitali ya Muhimbili jijini Dar es Salaam.

Akizungumza na Tanzania Daima mjini hapa jana, Mkuu wa Wilaya ya Bagamoyo, Ahmed Kipozi, alisema msiba huo umepokelewa kwa masikitiko makubwa.

“Msiba tumeupokea kwa masikitiko makubwa na shughuli za mazishi zinaendelea, ambapo marehemu anatarajiwa kuzikwa, kesho...” alisema Kipozi.

Baadhi ya watu wa karibu wa marehemu, walibainisha kuwa alikuwa akiumwa muda mrefu bila kutaja ugonjwa uliokuwa ukimsibu.

Kwa upande wake, Katibu wa Tanzania One Theater (TOT), Gasper Tumaini, alithibitisha kupokea msiba huo na kubainisha kuwa malaria kali ndiyo iliyosababisha kifo hicho.

Marehemu alinyakua kiti hicho cha udiwani wa Magomeni miezi michache iliyopita baada ya diwani wa awali aliyekuwa anaongoza kata hiyo, Abdalah Mshindo kufariki mwaka jana.


Mazishi ya Albert Mangwea Leo


 





Wadau mbali mbali wakiwa wamekusanyika kwa wingi kwenye uwanja wa Ndege Julius Nyerere kwa ajili ya kuupokea Mwili wa Marehemu Albert Mangwea uliowasili mchana huu kutokea nchini Afrika ya Kusini.

The Late Albert Mangwea

Khadija Kopa Afiwa na Mume Wake!

Nimepata taarifa kuwa mume wa malkia ya mipasho, Khadija Kopa,  Mr. Jaffari Ally amefariki dunia saa 9 usiku wa kuamkia leo. Nitabandika updates nikipata. 

Pole sana Dada Khadija Kopa.   Mungu akutie nguvu katika kipind hiki kigumu.  Mungu ailaze roho yake mahala pema peponi. Amin.

Naona salamu za pole zinamiminika kwenye Facebook page yake: https://www.facebook.com/MalkiaKhadijaKopa?fref=ts 
  
Jafari na Khadija Kopa, walifunga ndoa mwaka 2008.
 
 Wakati kifo hicho kinatokea mke wake hakuwepo jijini Dar, kwani alikuwa safarini Rukwa alikokwenda na kundi zima la TOT kwa ajili ya kusherehesha Sherehe za Siku ya Mazingira Duniani zilizofanyika Kitaifa mkoani humo, ambapo leo anatarajia kuwasili jijini. 

Ratiba kamili ya msiba huo bado hadi sasa haijafahamika lakini inadhaniwa huenda msiba huo ukawa  maeneo ya Chaline au Lugoba ambako ni nyumbani kwa wazazi wa Marehemu.
***********************************************
Khadija Kopa (kulia) mume wake na watoto wao mwaka jana kwenye tuzo.

Khadija Kopa akiwa na mumewe kabla ya kupanda jukwaani kutoa burudani  (picha ilipigwa 2012)


MUME WA KHADIJA OMARY KOPA"MALKIA WA MIPASHO TANZANIA"AMEFARIKI USIKU HUU MIDA YA SAA TISA USIKU POLEE SANA KHADIJA KOPA NDUGU JAMAA NA MARAFIKI

BWANA AMETOA BWANA AMETWAA JINA LA BWANA LIHIMIDIWE!
"AMEN"

Saturday, June 01, 2013

Mavuzi Yapotea Baada ya Kula Matango Fulani!

Duh! Haya matango  ya Monsanto, yanasabisha upungufu wa mavuzi. Yaani huko sehemu nyeti panakuwa kipara!  Lakini huko Bongo msiwe na wasiwasi ni sisi tuliyoko USA na Canada ndo tunahaha sasa.  Acheni kula pickles pia maana zinatengenezwa na hayo matango! Wanatumia dawa gani katika ulimaji? Wasije wakafanya Africa iwe dumping ground ya hiyo dawa!  Lakini huenda ni habari njema kwa wanaopenda kuwa vipara huko mahala!  Ila biashara ya 'waxing' inaweza kufa kabisa.





Monsanto Cucumbers Cause Genital Baldness


 A six-month study by AgriSearch, an on-campus research arm of Dalhousie University, has shown that genetically modified (GM) cucumbers grown under license to Monsanto Inc. result in serious side effects including total groin hair loss and chafing in "sensitive areas", leading to the immediate and total ban of sales of all that company's crop and subsequent dill pickles.
The tracking study of 643 men and women in Nova Scotia came about after reports began to surface about bald field mice and the bald feral cats that ate them being discovered by farmers on acreages growing the new crop. 

"The bald wild animals raised a huge flag and we immediately obtained subpoenas for the medical records of all 600 plus adults who took part in focus groups and taste tests of the cucumbers by Monsanto in Canada," said Dr. Nancy Walker, Director of Public Health Research at Dalhousie. "Fully 3/4 of the people who ate these cukes had their crotch area hair fall out. This is not a joking matter at all...these people now have hairless heinies."

Nova Scotia became the first province or state in North America to ban a Monsanto GM food product, although GM corn and other food crops are currently outlawed in Ireland, Japan, New Zealand, Germany, Austria, Switzerland, Greece and Hungary. Governments in Australia, Spain, UK, France, Turkey, India and Mexico have public petitions or legislative bills under consideration. Californians recently voted down a bill that would have required all GM foods to be clearly labeled. Monsanto cucumbers have been ordered removed from all food stores in Nova Scotia, while Quebec stores have begun a voluntary removal, partially because the UPC code stickers contain some English.
"I pulled down my boxer shorts to get ready for bed one night and there it was...a pile of hair that looked like a chihuahua puppy," said Eric LaMaze, who was paid $50 by Monsanto to compare the tastes of natural cucumbers to Monsanto GM cucumbers in March of this year in Halifax. "Then I saw my bits and whoa they were like all shiny skin. Bald."

Mr. LaMaze and other taste test participants said the GM cucumbers tasted the same as the naturally grown cucumbers but made a slight "fizzing noise" when swallowed. The participants also complained of raw skin in their genital area and some bed wetting.

Monsanto Inc., a self-described Sustainable Agriculture Company based in Creve Coeur, Missouri, where they share offices with major shareholder Bain Capital, issued a statement saying, "Next generation fruits and vegetables, including VO5 cucumbers, are safe for human consumption with some potential minor side effects. Some fine-tuning is underway."

McDonald's Corp. issued a statement following the Nova Scotia ban announcing that they will replace dill and sweet cucumber pickles on their burgers with non-GM pickled zucchini as a precaution until it is proven that no Monsanto pickles were sold into the North American market. McDonald's website contains a bulletin to that effect and includes a revised hip-hop Big Mac jingle that now sings, "Two all-beef patties, special sauce, lettuce, cheese, pickled zuke, onions on a sesame seed bun."

Federal Minister of Health Leona Aglukkaq said a Canada-wide recall and ban will be issued within 24 hours. "The Government of Canada takes this very, very seriously," said the Minister. "Being hairless down there should be a matter of personal choice for Canadian men and women and not one taken away by a cucumber."
"They used to have the real cucumber slices in those salad things at the City Hall Dining Club," sighed Former Toronto Mayor Rob Ford on the courthouse steps after being impeached by a Provincial Judge. "Those were good times..."
Robin Steel
Reporting for The Lapine

Ukweli wa Mambo


Japan Inashindana na China Afrika!


African and Japanese leaders hold a bilateral meeting ahead of the Tokyo International Conference Photo by AFP
 
YOKOHAMA, Japan (AP) - Japan is wooing African nations, promising 3.2 trillion yen ($32 billion) as government and private-sector aid to foster growth in a region that is increasingly an appealing market and business partner.

   The package for the next five years, including 1.4 trillion yen ($14 billion) in government aid called ODA, or official development assistance, was announced at a three-day conference in Yokohama, near Tokyo, opening Saturday.

   Japan is eager to catch up with neighboring Asian rival China, which has a big head start in courting Africa, investing heavily in infrastructure projects.

   Prime Minister Shinzo Abe, who took office late last year, is bullish about investing in and exporting to Africa.

   "What Africa needs now is private sector investment," he said in his opening speech, in between meetings with officials from African nations, including Zimbabwe, Ghana, Sudan and Kenya.

   "If we recognize this as a new reality, then it will be necessary to revolutionize the way of providing assistance to Africa," he said.

   Among other measures, Tokyo will invite 1,000 people from Africa to study and work as interns at Japanese companies, according to the Foreign Ministry.

   Japan will also provide 650 billion yen ($6.5 billion) in assistance for infrastructure projects, including support for transportation in cities, it said. Aid for education, farming, energy projects and water sanitation is also being offered.

   "Africa could be the next global growth pole," said Ethiopian Prime Minister Hailemariam Desalegn.

   Japan's conference for Africa, held every five years, began in 1993, and the latest is the fifth such gathering. Japanese companies have set up booths, to showcase their efforts to win business in Africa, such as Nissin Foods, the maker of Cup Noodles.

   U.N. Secretary-General Ban Ki-moon took part in the conference and urged the world to do more to ensure security in the region, noting the value of investing in Africa is now clear.

   "But millions of Africans still lack jobs, health care and food. Too many suffer in conflict. To find solutions, we must address the links between peace, security and government," he said.

Albert Mangwea atazikwa Jumatatu Morogoro

The Late Albert Mangwea

 

By FATUMA ABDU, Tanzania Daily News

Tanzania Music Federation (TMF) in collaboration with a committee coordinating the burial of the late Albert Mangwea, has asked Tanzanian to contribute funds in order to transport the body of the artist from South Africa.

TMF and the committee leaders told reporters in Dar es Salaam on Thursday Mangwea’s body is expected to arrive in the country from Johannesburg on Saturday. The committee spokesman Adam Juma said that Tanzanians are aware of the deceased’s contribution towards developing Bongo flava and urged them to participate in his burial.

For his part, TMF President Addo Mwasongwe asked Tanzanians to be patient as they wait for Mangwea’s body to arrive. Some of the artists who attended the press conference talked about how they were shocked by the late musician’s sudden death.


TID, Juma Mchopanga (popularly known as as Jay Moe), Professor J, Noora, Mez B, and producer P. Funk described the deceased as being generous and a man of the people. The late Mangwea is expected to be buried in Morogoro on Monday.

********************************

AUTOPSY REPORT

The Medical report from Helen Joseph hospital, Dr Shirley Radcliffe  confirming that Albert Mangwair died from “alcohol toxicity” after drinking too much,Over-exhaustion and drugs overdose....The inquest heard that Albert 28, collapsed in the his friends home had been more than five-times the legal S.A drink-drive limit with 416mgof alcohol per 100 millilitres of blood in his system....Radcliffe described the mreasons for ICU admission included hypoxemia and one of his friend found “two empty vodka bottles[found] on the Car” and he had been suffering from the eating disorder Bulimia for several months before his death and endless partying session with little or no resting...sample taken from his stomach showed poly-drug cocktail and he overdosed Heroin,Cocaine 'crack' and cannabis 0.08gms was also found in his blood...and his death was caused by massive heart attack and respiratory failure followed by sudden Heart stop...and end up dead within seconds! R.I.P Mangwear!

*********************************************



Wednesday, May 29, 2013

Mwanamke Auawa na Majambazi Dar

Hii ilitokea Mei 5, 2013 Mjini Dar es Salaam
 
 
 
 
Majambazi yamempora mama mmoja kiasi cha shilingi milioni kumi na kutokomea kusikojulikana....

Tukio hilo limetokea leo saa 5:16 jioni na inavyosemekana ni kuwa mwanamke huyo alikuwa akitoka benki ya CRDB tawi la Uhuru ambapo majambazi yakiwa na pikipiki yalikuwa yakimfuatilia..

Alipotoka ,majambazi hayo yalimfuata na kuligonga gari lake makusudi na ndipo dada huyo aliposimama ili angaalie nani kagonga gari yake ambapo jambazi mmoja alishuka na kumpiga risasi ya kifuani na kutokomea na kiasi hicho cha pesa. ..

Monday, May 27, 2013

Mshiko Boston - Kazi Kwenye Sinema (Hakuna haja ya Makaratasi) $100 kwa siku

Huyo Mama ni rafiki yangu. Anatafuta wenye nguo za Vitenge. Itakuwa June 1 au 2, Utalipwa $100 Cash mwisho wa siku.  Tofauti na sinema za Hollywood hii haina haja ya makaratasi. Ni independent film.

*********************************



Jodi Purdy Casts seeks Non-Union Actors for the following roles for music video shooting June 1st and 2nd in the Boston area.
Please submit PHOTOS to:
norwaymvcasting@gmail.com  (Tafadhali Katika email sema Chemi referred you)
Subject: Role - Your Name - Your Email - Your Phone
(THIS MUST BE DONE TO BE CONSIDERED)
PAY $100 PER DAY

Gospel Choir

Gospel singers. African American women, with lots of energy and charm.


Africans / Ugandan's
African Men & Women with traditional clothing
Age 30-60


Barua Pepe za Matapeli

Yaani! Janja yake paka sisi Kwisha Gundua!

*****************************************

YOU MAY RECEIVE THIS MESSAGE IN YOUR SPAM DUE TO POOR INTERNET CONNECTIVITY, KINDLY FORWARD IT YOUR INBOX BEFORE YOU REPLY. 

Dear Beloved One,
Greeting to you,

I know that this letter will be a very big surprise to you, I just came across your email contact from my personal search, I’m a business woman from France dealing with gold exportation here in Republic of Faso. I was diagnosed with ovarian cancer disease which doctors have confirmed that i have just few days to leave, Now that I’m ending the race like this, without any family members and no child, I have decided to hand over the sum of ($750.000.00) in my account to you for the help of orphanage homes/the needy once in your location to fulfill my wish on earth. You may be wondering why I chose you. But someone lucky has to be chosen according to the revelation I heard after my prayers today.

But before handing over my data’s to you, kindly assure me that you will take only 50% of the money and share the rest to orphanage homes/the needy once, response quickly to enable me forward you the bank contact details and my valid International passport now that I have access to internet before it will be too late as the bank is aware of my decision over the fund and awaiting for whom I will instruct to contact them  forward a scanned copy of my valid international passport for their confirmation, Note that it will only cost you for change of ownership according to the bank, and please don’t be discouraged about the change of ownership because at this stage if no one apply for the money it will go to bank treasury when I’m gone and they will not use it to help the needy once to fulfill my wish,

Remain Bless
Mrs N Marois
 **************************************************
Dear friend,

How are you and your family? I hope fine.

My name is Joyce Peters from United State and I am suffering from vaginal cancer for 3 years now and my husband James Peters died Six years ago. I am the next of kin to all my husband's asset but now my husband's brother and sister's are fighting to take away all the fortunes I inherited from my late husband. I am contacting you now to help me secure the sum of US$25,000,000.00) Twenty Five Million United State Dollars. I want you to assist me secure this fund in your bank account. The fund is deposited in a finance company in safe location, which I will tell you once I confirm your honest willingness to assist me secure this fund. I do not know you before but I found your email and I decided to contact you. I am contacting you at this my most difficult time of need because this people are determined to take away my fortune. I am also ready to compensate you for securing this fund for me.

I will tell you more details about this matter once I hear from you.

Please, I do not want to have any telephone talks with you because my husband's family  are always around me.

Reply to this my private email (joycepeters33@yahoo.com)

Joyce Peters,

****************

Hi I am considering visiting your country. My name is Miss Anita and I
am 23 year old, single and never married never had any kid before. am
5.8 fit tall, average stature, I am interested in exploring another
language, culture,and a nicer family with great counterparts in your
country.Today I found your id , and then I seized the opportunity to
write you. If you are interested in the conduct of our friendship
together in harmony, feel free to write me back .I look forward to
having the opportunity to discuss things in details with you. Please
my official language is English. Yours sincerely Miss Anita

******************************************************

This message might meet you in utmost surprise; however, it’s just my
urgent need for foreign partner that made me to contact you for this
transaction. I am MR HEMANN HAMSA ,MANAGER AUDIT AND ACCOUNTANCY
DEPARTMENT Bank of Africa(B.O.A)

I need your urgent assistance in transferring the sum of $17.3MILLION
Dollars immediately to your account. I will send you full
information’s on how the business will be executed and also note that
you will receive 40% of the above mentioned amount while 60% is for me
if you agree to help me execute this business reply me back for more
clarification

MR  HEMANN HAMSA
****************************************************

E-mail from Mary Young

 I have a confidential inheritance for you to handle. Email: aidah.abdul.barii@hotmail.com

****************************************************
 I decided to WILL/donate
My name is Mrs. Sara Pablo; I am a dying woman who has decided to donate what I have to you and the charity organization around your community. I am 90 years old and I was diagnosed for cancer for about 4 years ago immediately after the death of my husband who has left me everything he worked for and because the doctors told me I will not live longer than some weeks because of my health i decided to WILL/donate the sum of $2.700.000.00 to you. Here is the Contact information of my Attorney below:BARR: PASI ENZO Address: s-Gravelandseweg 50-A; 1381 HK Weesp Netherland,Email: barrenzo@live.nl and tell him that I have WILLED $2.700.000.00 to you I know I don’t know you but I have been directed to do this
Best Regards
Mrs. Sara Pabl

************************************************

 FedEx International Remittance Dept, IRD.
ATM MasterCard Payment Department.
Unit 22A Kilroot Business Park,
Carrickfergus Co Antrim, BT38 7PR,
United Kingdom

Call Line: +4470 3192 9240
REG No/FedEx-503309

Attention: Beneficiary,

This is to acknowledge the receipt of the order from Rt Hon David Cameron MP (Prime Minister), in respect with the provision Statutes such as the Magna Carta of 1215 and the Act of Settlement of 1701; I am directed to inform you that your payment verification and confirmations is correct. Therefore, we are happy to inform you that arrangements have been concluded to effect your payment as soon as possible and in our bid to transparency.

It is my pleasure to inform you that ATM MasterCard Number; 5338 4412 3412 3456 have been approved in your favor. Your Personal Identification Number is 503309. The ATM MasterCard Value is £1.2,000,000 GBP Only. You are advised that a maximum withdrawal value of £5, 000 GBP is permitted on withdrawal per Day and we are duly Inter Switch and you can make withdrawal in any location of ATM Center of your choice.

We have concluded delivery arrangement with Dispatch Officer, FedEx Courier Company and your MasterCard is fully insured by Nicon Insurance Corporation. In view of this development, you are to have your ATM MasterCard along with other vital documents delivered to you. And remember that the only commitment you have in this transaction is to have the courier fee paid So your ATM MasterCard can be immediately delivered to you. All verifications have been made and you are the sole beneficiary of the funds.

Ensure top confidentiality in the process of your ATM MasterCard to avoid impersonation and hindrances in the delivery of your ATM MasterCard.

You are to send your personal information along so that they will remit your consignment to your stipulated address.

(1)Your Full Name: (2)Your Address where you want the payment center to send your ATM MasterCard: (3)Phone and Fax Number: (4)Age: (5)Occupation: (6)Your Nearest International Air Port in your City of residence: (7)Company Name:

You are to contact our Dispatch officer at once with your full name and address on the requirements to sending your consignment to you. Below are their contact details:

Director's Name: Mr. Morrison Dacus
Company Name: FedEx Express
Email: fedex-express@dgoh.org
Telephone +4470 3192 9240
World Courier Company.

********************************************************

Sir/Madam,

I am Michael Rake, 65 years, a bank auditor, Chairman of the Board Audit
Committe, and a born British man, residing at Greater London EC1A 7AJ United
Kingdom.

I am seeking out for an immediate investment opportunity in your country's
economy, which I intend to discuss with you. It will be of great benefit to
both of us, and I believe we can handle it together once we have a common
understanding and mutual cooperation in the implementation of the project.

Should you be interested, please e-mail back to me for more details. I await
your earliest response.

Yours sincerely,

Michael Rake.
Reply Via this email: michaelrake22@yahoo.com
**************************************************

Re:  Your Payment Update.


Attention: Beneficiary,


The auditors are presently verifying all contract payments, inherited and winning payments that originated from Africa.

Your name/email contact was found in the central computer among the list of unpaid beneficiaries that have not received their payment, a part payment of US$1.5million was approved to all fund beneficiaries which you are among. The auditors have instructed the Nigerian debt settlement department to release the approved US$1.5million payment to you.

Do forward your information's to Mr. J. George of the debt settlement with the below email contact for the receiving of your payment.

Contact person:  Mr. J. George ( Debt Settlement Director)
His email:      ( agent02@mynet.com )

Do let us know once you receive your US$1.5million payment from Mr. George for the updating of our record.

Yours faithfully .

Jenet Michael.
Payment Coordinator.
NOTE: YOU ARE ONLY ADVISE TO FORWARD REPLY TO Mr. George'S EMAIL :

*****************************************************

FROM JENNY KOSSA

I AM MRS JENNY KOSSA.FROM GEORGIA USA BUT LIVED IN LOME, TOGO IN WEST AFRICA,I AM A WIDOW TO LATE MR.KOSSA MOSES. I AM 59 YEARS OLD. I AM NOW SUFFERING FROM LONG TIME CANCER OF THE BREAST.

FROM ALL INDICATIONS, MY CONDITIONS IS REALLY GETTING WORST AND IT IS QUITE OBVIOUS THAT I MAY NOT LIVE MORE LONG ACCORDING TO MY DOCTORS. THIS IS BECAUSE THE CANCER STAGE HAS GOTTEN TO A VERY BAD STAGE. MY LATE HUSBAND DIED LAST FIVE YEARS AND DURING THE PERIOD OF OUR MARRIAGE, WE COULD NOT PRODUCE ANY CHILD.

MY LATE HUSBAND WAS VERY WEALTHY AND AFTER HIS DEATH, I INHERITED ALL HIS BUSINESS AND WEALTH. THE DOCTORS HAVE ADVISED ME THAT I MAY NOT LIVE FOR MORE THAN FIVE MONTHS. SO I NOW DECIDED TO DEVIDE THE PART OF THIS WEALTH TO CONTRIBUTE TO THE DEVELOPMENT OF THE CHURCH IN AMERICA, ASIA,AND EUROPE AND AFRICA, I SELECTED YOU AFTER VISITING THE WEBSITE AND I PRAYED OVER IT. I AM WILLING TO DONATE THE SUM OF US$3,000.000.00( THREE MILLION UNITED STATES DOLLARS) TO THE LESS PRIVILEGED. PLEASE, I WANT YOU TO NOTE THAT THE MONEY IS DEPOSITED IN TOGO WHERE MY LATE HUSBAND HAD SOME OF HIS BUSINESS INVESTMENTS MOSTLY ON COCOA BECAUSE TOGO IS THE WORLD'S GREATEST PRODUCER OF COCOA.

THE MONEY IS IN ONE OF MY HUSBAND`S SUSPENDED ACCOUNT AND I WILL ORDER THE BANK TO TRANSFER THE MONEY TO YOU SO THAT YOU CAN USE IT TO HELP AS MANY AS ARE IN NEED OF HELP IN YOUR AREA

************************************

 
 Je suis madame  FERER Josiane, une citoyenne  Française.
Avant la mort subite de mon mari, nous étions des personnes de bonne
moralité. Mais mon mari et moi avons été rejetés par notre différente
famille tout simplement parce que nous avons relâché la religion
islamique et nous avons donné, notre vie a Jésus christ.
Suivant récemment les nouvelles sur ma santé, mon docteur m'a informé
que je ne vivrai pas encore longtemps. et m'a indique que dans deux
mois il aura une saturation de cette maladie dans plusieurs parties de
mon corps (CANCER). j'ai perdu mon fils par un accident.
Maintenant que je connais la situation que je vis,et j'ai décidé de
faire un DON  pour en faire bon usage, c'est-à-dire, pour aider les
pauvres qui souffrent et qui sont dans la déprime,aider les communautés
chrétiens,groupes des jeunes gens,investir dans le domaine agricole et
pour l'établissement d'un fond de financement.
je vous accorde CE DON et si vous accepter alors que le nom du seigneur
soit béni.je demande une prière pour moi qui souffre en ce moment sur
mon lit d'hôpital je vous envoie mes photos après votre réponse pour
mieux me connaitre. Merci de me répondre.
Veillez m'écrire a cet adresse e-mail: josianeferer@yahoo.fr
A bientôt.
Dame/ FERER Josiane

Umahiri Wetu wa Lugha Unadidimia!

Na Freddy Macha

Umahiri wetu wa lugha umeanza kudidimia.

Si tu lugha za kikabila, pia Kiswahili na Kiingereza. Njia moja ya kujiendeleza ni kusoma na kusikiliza mashairi na fasihi...



http://www.freddymacha.com

Wednesday, May 22, 2013

East Africans in USA gear up for Massive Toronto Conference


Pastor Jared Mlongecha of the International Gospel Church in Chelsea, MA, USA

By Harrison Maina, AjabuAfrica.com,


BOSTON, MA_Dozens of Tanzanians, Kenyans Ugandans, Rwandese and other nationals from the east African countries in Boston and Kansas are planning to attend a major Christian revival conference to be held in Toronto Canada next month presided by renowned Tanzanian evangelist, Bishop Zachary Kakobe of Zachary Kakobe International Ministries.

Dubbed the “The Toronto Miracle Healing Crusade & Restoration Retreat”, the 5 day conference has also attracted the attendance by top world gospel musicians including Don Moen, Donnie Mcclurkin Martha Munizzi and the Krystal Brothers.

It is scheduled to start on Thursday June 20th to Sunday June 23rd at the Canada Tennis Rexall Center, a popular stadium that hosts major world Tennis tournaments.

According to Rev. Jared Mlongecha pastor of the International Gospel church in Chelsea, MA, who is the main coordinator of the conference, about 50 east Africans in Boston and about 60 from Kansas Missouri are planning to attend the unique event.

Pastor Mlongecha said that the believers will travel to Toronto in busloads as a group to minimize expenses and maximize the unique experience at the 5 day conference.The trip also includes a one day relaxation trip to the famous Niagra Falls a short distance from the crusade venue.

“This is a major conference. Bishop Kakombe has done tremendous work in the spiritual world leading many to experience healing, deliverance, signs and wonders. Barren women have conceived, cancers and tumors have been healed, real problems have been solved,” said Rev. Mlongecha during an interview with AjabuAfrica.com on the upcoming conference.

He added that there will also be a Restoration Retreat where singles, couples and the youth will be ministered to Bishop Kakobe.( View more details here >> )

“We expect massive restoring broken marriages and relationships, breaking the spirit of celibacy, bad habits, addictions and many more debilitating issues of life.”

At the end of the conference, the group plans to take a time off to visit the legendary Niagara Fall for sightseeing and general entertainment, Mlongecha leads the International Gospel Church in Chelsea that is frequented by worshippers from practically all the east African nations.

“However, we are welcoming other east Africans in the region who would like to attend the unique Toronto conference to join us so they can also be ministered to by Bishop Kakobe,” he added.

Pastor Mlongecha has been closely involved at organizing international conferences for Bishop Kakobe in many different countries including motherland Tanzania, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC and many others.

He said that the bishop has traveled in many other parts of the world including a sermon at the Yoido Full Gospel Church, an Assemblies of God church led by Dr. David Yonggi Cho in South Korea.

The church is considered to host the world's largest congregation with a membership of 1,000,000. (Wikipedia)

As the main coordinator for Bishop Kakobe’s international conferences, Rev. Mlongecha has been working together with a committee of pastors from different evangelical churches across Canada to organize the Toronto crusade.

According to Mlongecha, the trip to Toronto from Boston is a 9 hour drive and all the logistics have been worked out for all those who would like to accompany them for the conference.

The pastor said that conference attendees from the Boston region will take buses to Toronto at a cost of $120 per person for the roundtrip.

Plans have been worked out with the Toronto Airport Marriot Hotel, a 5 Star Hotel in Toronto where where four people can l share a room at a discounted rate of $35 a night per person.

After attending difference sessions and retreats at the conference, we will take a trip to the Niagara falls which is about 1 hour drive from the Rexall Center. There is no extra cost of this leisure trip to before we go back to our hotel for the final evening dinner.”
\
The trip has been generating a lot of excitement among many east African faithful from Boston, Kansas City, Kansas, Ohio, Michigan, and elsewhere in USA have contacted organizers with plans to attend the crusade.

This is a special kind of crusade that I will be attending together with my wife. We are looking forward to a great time with other believers,” said Rev. John Baker Katende, pastor of the global Evangelical church, a predominantly Ugandan church based in Burlington, MA.

Other east Africans reached by AjabuAfrica.com about the trip said that the trip is worth every penny as it provided a great opportunity to experience spiritual revival and taking a road trip to Toronto provides a break from the busy working schedules of most people who cherish a summer vacation.

“I will go for the trip because it provides me an opportunity to attend the crusade and take a little vacation with my family. I would also like to experience the Niagra falls in the company of people that I am familiar with. This is a great opportunity,” said Alex Kamau a Kenyan living in Boston.

For more information or to sign up for the trip, interested readers are requested to contact: Pastor Daniel Kungu (913) 850-4698 E-mail: pastor Kungu @ gmail.com

Alex Kamau (618) 509-1386. International Gospel Church (617)884-1951.

On the Net: https://bishopzacharykakobe.org/en/events/upcoming-events

Tuesday, May 21, 2013

Kwa Nini Bibi Harusi Hulia Siku ya Harusi?


Swali uliulizwa:

Hawa najiuliza, kwanini mabibi harusi wengi wanapenda kulia siku ya ndoa?

1. Jee! Ni uchungu au furaha kwa kupata mume?

2. Ni uchungu au kufaraha ya kuondoka mazingira ya nyumbani kwao?

3. Ni furaha ya kwenda kuanza kumiliki kitanda na mumewe mfululizo na
kwa muda anao upenda (lile tendo)?

3. Au wanaogopa fedheha kwa kuwa wanaolewa /anaolewa akiwa si bikra?

4. Ni uoga wa kuanza kulala bila nguo ya ndani akiwa kwenye ndoa na mumewe?

Kwa nini mabibi harusi wengi huangua vilio?!
Dada Leila Sheikh kajibu hivi:
Kwetu sisi uswahilini usipolia wafinywa na kungwi.
Seriously huwa tunalia kwa sababu tunaondoka kwa wazazi wetu na kwenda kujiunga na koo jingine.
huwa tunafundwa- "Mama Mkwe ndiyo Mama Yako sasa. Ba Mkwe ndiyo Baba Yako kuanzia leo. Hawa usiwachukulie kama mawifi au mashemeji bali ndiyo ndugu zako kuanzia leo. Mume akiwa kachacha, gongesha vikombe majirani wafikiri munakunywa chai kwa bajia. Chakula kikikosekana, hakikisha unachoma iliki ili majirani waamini unapika pilau. Mume akichelewa kurudi, mlaki mlangoni kwa tabasamu. Akikukaripia, mwimbie wimbo wa mapenzi "Sabalkheir (ishakuwa asubuhi anaporudi) Mpenzi, waonaje hali yako?".
Na kwa nini nisilie baada ya kuambiwa hivyo?Unaondoka kwenu ulipodeka wenda ugenini.
Leila Sheikh

Sunday, May 19, 2013

Rais Obama kutua Tanzania


President Barack Obama

 Kutoka Gazeti la Mwananchi

Rais wa Marekani Barack Obama ambaye anatarajiwa kudhuru Tanzania siku za hivi karibuni 
Kwa ufupi;
Akizungumza na Mwananchi Jumapili Profesa Ibrahim Lipumba ambaye ni mchumi kitaaluma, amesema kuwa ujio wa Rais Obama unaweza kuleta neema hasa kama atakuwa ameambatana na wataalamu wa masuala ya maendeleo.

Hii itakuwa ziara ya pili ya Rais Obama katika Bara la Afrika.
Dar es Salaam. Imeelezwa kuwa ujio wa Rais Barack Obama wa Marekani nchini, ni fursa nyingine kwa Tanzania kukuza uchumi na kuimarisha uwekezaji.

Akizungumza na Mwananchi Jumapili Profesa Ibrahim Lipumba ambaye ni mchumi kitaaluma, amesema kuwa ujio wa Rais Obama unaweza kuleta neema hasa kama atakuwa ameambatana na wataalamu wa masuala ya maendeleo.

Hii itakuwa ziara ya pili ya Rais Obama katika Bara la Afrika.
Ziara yake ya kwanza aliifanya wakati wa awamu yake ya kwanza madarakani, wakati ziara ya safari hii ni kipindi chake cha lala salama.

Rais Obama alianza rasmi awamu yake ya kwanza kama Rais wa Taifa kubwa, Januari 20, 2009, wakati ng’we yake ya mwisho ilianza Januari 21, 2013.

Rais Obama anatarajiwa kufanya ziara hiyo mwishoni mwa Juni mwaka huu, ambapo Tanzania itakuwa miongoni mwa nchi za mwanzo za Afrika Mashariki kutembelewa na kiongozi huyo.
Ziara ya Rais Obama inafanyika baada ya ziara ya Rais Xi Jiping wa China aliyeitembelea Tanzania Machi 28, mwaka huu, ambapo Tanzania ilikuwa nchi yake ya kwanza kuitembelea kwa Afrika tangu achaguliwe kuwa rais, Machi 14, 2013.

Akizungumzia ziara hiyo tarajiwa, Mwenyekiti wa Taifa wa Chama cha Wananchi (Cuf), Profesa Ibrahim Lipumba ambaye ni mchumi, alisema amani, utulivu na uimara wa mfumo wa demokrasia ya vyama vingi kwa kulinganisha na nchi nyingine za jirani, vimechangia kuwapo kwa ziara hiyo.
Profesa Lipumba alisema pia ugunduzi wa rasilimali za asili kama vile gesi, mafuta na madini ya urani ni sababu nyingine iliyomfanya Rais huyo kuja nchini.

Hivyo aliwashauri viongozi wa Serikali kujipanga kwa ajili ya kufungua mlango huo mwingine wa uchumi na uwekezaji.

Alisema pamoja na hali hiyo pia kuna mambo ambayo yanaweza kuchafua taswira ya nchi kama vile ubovu wa miundombinu ya barabara, msongamano wa magari barabarani na msongamano wa meli bandarini wakati zikisubiri kushusha mizigo.

Jumatano ya wiki hii, Waziri wa Mambo ya Nje wa Marekani, John Kerry alitangaza mbele ya wajumbe wa Kamati ya Ushirikiano kati ya Marekani na Afrika, kwamba Rais Obama hivi karibuni atafanya ziara Afrika.

Ingawa Kerry hakutoa maelezo zaidi ya nchi gani za Afrika ambazo Rais Obama atazitembelea, lakini baadhi ya vyombo vya habari vya Nigeria vilieleza kiongozi huyo atafanya ziara Tanzania, Rwanda na Nigeria.

Kiongozi wa kwanza wa Afrika kukutana na Rais Obama tangu awe Rais wa Marekani, alikuwa Rais Jakaya Kikwete aliyekutana naye Mei 2009, Washington, Marekani.

Kwa nini ni Tanzania na Rwanda
“Kenya asingeweza kwenda kutokana na suala la Rais na Makamu wake kutuhumiwa kuhusika katika mauaji ya kimbari yaliyotokea baada ya uchaguzi mkuu 2007/2008, kwani msimamo wa Marekani ni kutaka wahusika wa vitendo vile wakamatwe na kufikishwa mahakamani. Hivyo kwake kuwatembelea watuhumiwa asingeeleweka,” alisema Profesa Lipumba.

Alibainisha kuwa Rwanda ina uhusiano wa karibu na Marekani na pengine suala la mgogoro wa Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC) litachukua nafasi.

Kulingana na taarifa za Ikulu ya Marekani, Rais Obama alikuwa amepanga muda wake mwingi wa awamu ya pili ya uongozi wake kujihusisha na masuala ya Afrika.

Tanzia - Mzee Ally Sykes

The Late Mzee Ally Kleist Sykes
Mzee Ally Sykes amefariki hospitalini Nairobi.   Poleni wanafamilia wa Sykes. Baba yake marehemu Kleist Sykes alikuwa moja wa waanzilishi wa TANU.

May his soul rest in eternal peace. Amen.

*********************************************************************

FAMILIA YA SYKES INASIKITIKA KUTANGAZA KIFO CHA  MZEE WAO ALLY KLEIST SYKES  (PICHANI) KILICHOTOKEA LEO MEI 19, 2013  KATIKA HOSPITALI YA AGA KHAN JIJINI NAIROBI, KENYA,  ALIKOKUWA AMELAZWA.

MSIBA UKO NYUMBANI KWA MAREHEMU MBEZI BEACH JIJINI DAR ES SALAAM. MWILI WA MAREHEMU UNATARAJIWA KUWASILI JIJINI USIKU HUU.

MAZISHI YAMEPANGWA KUFANYIKA KESHO MEI 20, 2013 KATIKA MAKABURI YA KISUTU BAADA YA MWILI WA MAREHEMU KUSWALIWA KATIKA MSIKITI WA KIPATA WAKATI WA SWALAT ALAASIR.

HABARI ZIWAFIKIE NDUGU, JAMAA NA MARAFIKI POPOTE PALE WALIPO.

Inna-na lillahi wa inna ilayhi raji'un. Hakika sisi sote ni waja wa Mwenyezi Mungu, na kwake tutarejea.
Surely we belong to Allah, and to Him shall we return.

Wednesday, May 15, 2013

Uke Yapotea Baada Ya Kufanya Mapenzi na Mwanaume Aliyeoa Kenya



Duh! Hii kali, huyo mganga wa kienyeji Kenya ana dawa kali sana.

Kuna dada fulani kutoka Ukambani, Kenya mwenye miaka 29. Alikuwa na mazoea ya kutembea na wanaume wa watu. Mke wa jamaa fulani kamwonya huyo dada kuwa ataathirika vibaya akiendelea kutmbea na mume wake.  Yule dada hakusikia na badala yake kaendelea kutembea na jamaa. Basi wiki hii baada ya kufanya kitendo na yule jamaa aliamka kwenda kukojoa (haja ndogo)....Akakuta uke/kuma yakeimezibwa kabisa!   Baada ya yule dada kuomba msamaha kwa yule mama, waliondoa ile dawa. 

Hii dawa inafaa sana!  Mganga huyo atatajirika!

Kwa habari kamili BOFYA HAPA:

Saturday, May 11, 2013

Happy Mother's Day!

Happy Mother's Day!



Nawatakia akina mama wote sikuukuu njema ya Akina Mama!