Saturday, December 17, 2016

Kongamano la Kumuenzi Fidel Castro


Nilibahatika kuhudhuria japo kwa muda mfupi Kongamano ya Kumuenzi Marahemu Rais Fidel Castor wa Cuba, iliyofanyika mjini Dar es Salaam, Tanzania, jumapili iliyopita December 11, 2016 kwenye hall ya Taasisi ya Watu Wazima. (Symposium to Honor the Legacy of Fidel Castro).  Waliongolea jinsi Castor alivyotoka kwenye familia ya matajiri lakini alipenda kusaidia na kunyanua maskini.  Pia jinsi Cuba ilivyosaidia Tanzania.


Jenerali Ulimwengu Akiongea
Audience Participants
The Symposium Leaders

No comments: