Tuesday, February 07, 2017

Rais Mstaafu George H.W. Bush ni Mzima!

Wadau, siku Rais Donald Trump anaapishwa tulidhani kuwa Rais Mstaafu George H. W. Bush, yuko mahututi atakufa dakika yoyote. Mke wa Barbara naye alikuwa hoi hospitalini. Ajabu juzi tuliwaona kwenye mchezo wa Super Bowl, wakitabasamu,kupungia watu na hata kufanya coin toss, kujua nani atarusha mpira kwanza. Wataishi maisha mrefu hao. Sasa watu wanafanya matani !😂😂😂
j

No comments: