Saturday, January 13, 2018

Serikali Yazipiga Marufuku Shule Binafsi Kukaririsha au Kufukuza Wanafunzi Walioshindwa Kufaulu

Serikali imezuia shule binafsi kumrudisha darasa, kufukuza mwanafunzi aliyefaulu mtihani darasa la 4, kidato cha 2 kwa kutofikia ufaulu wa shule husika.

Waraka wa Elimu Namba 7 wa Mwaka 2004 umepiga marufuku utaratibu wa shule zisizo za serikali kukaririsha Darasa, kufukuza au kuhamisha mwanafunzi aliyefaulu Mtihani wa Darasa la Nne, Kidato cha pili kwa kigezo cha wanafunzi hao kutofikia wastani wa ufaulu wa shule husika.




No comments: