Showing posts with label Abdulrahman Kinana. Show all posts
Showing posts with label Abdulrahman Kinana. Show all posts

Thursday, July 13, 2017

Mh. Kinana Akitana na Mabalozi wa Marekani, Palestina and Algeria

 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha Ofisini kwake, Kaimu Balozi wa Marekani hapa Nchini, Inmi Pettersom,alipofika kwa ajili ya mazungumzo, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Jijini Dar es Salaam, leo.
 Karibu uketi: Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimkaribisha Ofisini kwake, Kaimu Balozi wa Marekani hapa Nchini, Inmi Pettersom,alipofika kwa ajili ya mazungumzo, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Jijini Dar es Salaam, leo. 
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akipiga picah maalum na Kaimu Balozi wa Marekani hapa Nchini, Inmi Pettersom, alipofika kwa ajili ya mazungumzo, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Jijini Dar es Salaam, leo.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na Kaimu Balozi wa Marekani hapa Nchini, Inmi Pettersom, alipofika katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Jijini Dar es Salaam, leo.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimpa mkono Kaimu Balozi wa Marekani hapa Nchini, Inmi Pettersom, baada ya kumfurahisha jambo wakati wa mazungumzo yao yaliyofanyika katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Jijini Dar es Salaam, leo. 
Kaimu Balozi wa Marekani hapa Nchini, Inmi Pettersom, akifafanua jambo wakati wa mazungumzo yake na Katibu Mkuu wa CCm Abdulrahman Kinana katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba Jijini Dar es Salaam, leo. 
 Walinzi wa Kamu Balozi huyo wakiedelea na kazi yao wakati mazungumzo yakiendelea
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akipiga picha maalum na Blozi wa Algeria hapa nchini, Saad Belabed 
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa Palestina hapa nchini Hazen Shabat, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akimkaribisha Ofisini kwake Balozi wa Palestina hapa nchini Hazen Shabat, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akimkaribisha Ofisini kwake Balozi wa Palestina hapa nchini Hazen Shabat, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo
  Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akipiga picha maalum na Balozi wa Palestina hapa nchini Hazen Shabat, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa Palestina hapa nchini Hazen Shabat, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo
 Maofisa katika Ofisi ya Katibu Mkuu wa CCM, Suleiman  Serera (kushoto) na Cuthbert Midala wakichukua nukuu wakati wa mazungumzo ya Katibu Mkuu  na Balozi wa Palestina
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akizungumza na Balozi wa Palestina hapa nchini Hazen Shabat, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akimsindikiza Balozi wa Palestina hapa nchini Hazen Shabat, baada ya mazungumzo yao katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo. PICHA BASHIR NKOROMO

Saturday, February 18, 2017

Kinana Akutana na Waziri Mkuu Majaliwa Leo

KINANA AFANYA MAZUNGUMZO NA WAZIRI MKUU MAJALIWA,LEO LUMUMBA JIJINI DAR ES SALAAM
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akimpokea Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa, alipowasili katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo, Februari 18, 2017, kwa ajili ya mazungumzo baina yao
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwa na Waziri Mkuu Majaliwa Kassim Majaliwa, alipowasili katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo, Februari 18, 2017, kwa ajili ya mazungumzo baina yao
Wakienda eneo la kufanyia mazungumzo
Wakiwasili eneo la mazungumzo Ofisini kwa Katibu Mkuu wa CCM.
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana (kulia) akizungumza na Waziri Mkuu, Majaliwa Kassim Majaliwa, katika Ofisi Ndogo ya Makao Makuu ya CCM, Lumumba jijini Dar es Salaam, leo Feb 18, 2017. (Picha zote na Bashir Nkoromo)

Saturday, June 20, 2015

Kampeni ya Kinana Katika PIcha

KINANA APIGA KAZI BUSANDA NA MJI MDOGO WA KATORO LEO, MIKUTANO YAFURIKA MAELFU YA WATU, AACHA GUMZO KWA HOTUBA ZAKE NZITO, NAPE AWANYAMAZISHA WAPINZAI KUONA PICHA TAFADHALI>BOFYA HAPA AU CHUKUA CODES HAPA CHINI
 
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, akiwasili katika viwanja vya stendi kuhutubia mkutano wa hadhara katika mji mdogo wa Katoro, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama, mkoani Geita, leo. Kulia ni Msemaji wa Chama, Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye.
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, akihutubia mkutano wa hadhara kwenye viwanja vya stendi katika mji mdogo wa Katoro, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama, mkoani Geita, leo
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, akisisitiza jambo alipohutuba mkutano huo katika mji mdogo wa Katoro
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akihutubia mkutano wa hadhara wa Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, uliofanyika leo katika mji mdogo wa Katoro mkoani Geita
 Nape akisisitiza kuwa CCM ni imara, hivyo itashinda uchaguzi mkuu wa Oktoba mwaka huu kwa kupata kura za kishindo kutokana na kuwa ndicho chama ambacho bado kinakubalika Tanzania kutokana na kuonyesha kwa vitendo kuwajali wananchi.
 Maelfu ya wananchi wakiwa wamefurika kwenye viwanja vya stendi, katika mji mdogo wa Katoro, Kinana alipohutubia mkutano wa hadhara katika mji huo mkoani Geita leo
 Baadhi ya wananchi wa mji mdogo wa Katoro wakiwa wamepanda hadi kwenye majengo ili kuweza kumshuhudia Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana alipohutubia mkutano wa hadhara katika eneo hilo mkoani Geita,leo
Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akisalimia na 'msela' wa mji mdogo wa Katoro, aliyefuata meza kuu, wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika katika mji huo mdogo mkoani Geita leo
 Mbunge wa Busanda, Lorencia Bukwimba, akisalimia wananchi katika mkutano huo wa Kinana uliofanyika katika mji mdogo wa Katoro mkoani Geita leo
 Mbunge wa Viti Maalum Vicky Kamata akisalimia wananchi katika mkutano huo wa Kinana uliofanyika leo katika mji mdogo wa Katoro mkoani Geita
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kulima barabara katika kijiji cha Nyakanga, katika jimbo la Busanda, mkoani Geita, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM mkoani humo leo.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi alipofika kukagua shughuli za vikundi vya wajasiriamali na vijana wanaoshiriki mchezo wa soka, katika mji mdogo wa Katoro, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama mkoani Geita, leo. Kushoto ni Mbunge wa Busanda Lorencia Bukwimba.
  Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi alipofika kukagua shughuli za vikundi vya wajasiriamali na vijana wanaoshiriki mchezo wa soka, katika mji mdogo wa Katoro, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama mkoani Geita, leo. Kushoto ni Mbunge wa Busanda Lorencia Bukwimba.
  Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na wananchi alipofika kukagua shughuli za vikundi vya wajasiriamali na vijana wanaoshiriki mchezo wa soka, katika mji mdogo wa Katoro, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama mkoani Geita, leo. Kushoto ni Mbunge wa Busanda Lorencia Bukwimba.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi alipofika kukagua shughuli za vikundi vya wajasiriamali na vijana wanaoshiriki mchezo wa soka, katika mji mdogo wa Katoro, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama mkoani Geita, leo. Kushoto ni Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye.
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana azungumza na wananchi alipofika kukagua shughuli za vikundi vya wajasiriamali na vijana wanaoshiriki mchezo wa soka, katika mji mdogo wa Katoro, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya CCM na uhai wa Chama mkoani Geita, leo..
Mbunge wa Busanda Lorencia Bukwimba akisalimia wananchi kwenye mkutano huo
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwasili katika Kijiji cha Chikobe,  kukagua ujenzi wa Ofisi ya CCM na kuzungumza na wananchi katika kijiji hicho jimbo la Busanda
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akizungumza na wananchi katika kijiji hicho cha Chikobe
 Kinamama wa kijiji cha Chikobe wakimshangilia Kinana alipozumgumza na wananchi katika mkutano wa hadhara
 Katibu wa NEC, Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumzana wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika Kijiji cha Chikobe, katika jimbo la Busanda mkoani Geita leo
 Mbunge wa Busanada Lorencia Bukwimba akisalimia wananch katika mkutano huo wa Chikobe
 Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akiwasili katika kijiji cha Nyakanga, jimbo la Busanda mkoani Geita ambapo wananchi walimlaki wa nderemo na vifijo
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akisalimia wananchi wa Kijiji cha Inyala, katika Jimbo la Busanda mkoani Geita, leo
 Wananchi katika ijiji cha Nyakanga jimbo la Busanda wakimshangilia Kinana alipohutubia mkuano w hadhara katika kijiji hicho leo
 Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana, akisalimiana na Mbunge wa Viti Maalum Vicky Kamata alipowasili katika kijiji cha Nyakanga, kuanza ziara yake katika jimbo la Busanda mkoani Geita leo
Katibu Mkuu wa CCM Abdulrahman Kinana akiwasalimia wananchi wa kijiji cha Nyarugusu, ambako alipokea malalamiko kuhusu wananchi kunyimwa eneo la kufanya uchimbaji mdogowa madini huku serikali na mwekezaji wakiwa hawalitumii eneo hilo kwa zaidi ya miaka mitano sasa.
 Kijana akionyesha machejo wakati kikundi cha ngoma ya Baswezi kilipotumbuiza kumpokea Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana, katika kijiji cha Nyan'kanga, jimbo la Busanda mkoani Geita leo
 Nyumba ya Mganga inayoendelea kujengwa katika Kijiji cha Inyala, jimbo la Busanda  mkoani Geita
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akishiriki kupiga lipu nyumba hiyo ya mganga wa Zahanati ya Kijiji cha Inyala katika jimbo la Busanda, akiwa katika ziara ya kukagua utekelezaji wa ilani ya uchaguzi na uhai wa Chama mkoani Geita, leo. PICHA ZOTE NA BASHIR NKOROMO-CCM BLOG