Showing posts with label Bikira. Show all posts
Showing posts with label Bikira. Show all posts

Saturday, October 27, 2012

Mwalimu Ajiua Dar Baada ya Hii Picha Kutoka!!!

Mwalimu ni kiungo muhimu sana katika malezi ya wanafunzi hapa nchini.Wao hushinda na watoto wetu kutwa nzima .......
Kwa mantiki hiyo, tabia ya mtoto yeyote aliyewahi kalia madawati ina asilimia zaidi ya 70 ya tabia za walimu wake......
Siku hizi mambo yamebadilika sana.Mwalimu wa miaka ya 90 ni tofauti kabisa na mwalimu wa miaka ya leo.
Walimu wa leo wengi wao ni vijana wadogo ambao wengi wamejawa na tamaa za mapenzi.Wao hawajui kutongoza bali wanajua kulazimisha....
Inashangaza na kusikitisha kuona walimu wetu wakishindana KUTOA BIKRA ZA WATOTO WA KIKE......Mtoto akikataa basi cha motoatakiona ....
Mtandao huu umebahatika kuongea na mwanafunzi mmojaambaye ni mhanga wa tukio hilo la kulazimishwa mapenzi na mwalimu wake..........
HILI NI SIMULIZI LAKE:
--------------------------------------------------------------------
Mwalimu akimbaka mwanafunzi wake darasani. Baada ya picha hii kutoka kwenye gazeti la Udaku Mwalimu huyo mbakaji mshenzi alijiua!

"Mwalimu alianza kunitaka tangu nikuwa form one.Nilipomkataa alianza kunichapa tena bila kosa maalumu na kunipa adhabu kila mara...
Baada ya kufanya hivyo kwa muda, aliamua kuniita ofisini na kuniambia kuwa anatanisaidia kimasomo endapo ntamkubalia.Niliamua kumkubali kwa kwa kuhofia viboko na aliniambia nisimwambie mtu.

Siku ya kwanza kufanya mapenzi alinipeleka gesti na aliniambia kuwa atatumia condom.Kwa kuwa ilikuwa ni mara yangu ya kwanza hatukuweza kutumia kinga na alifanya hivyohivyo.

Baada ya hapo tuliendelea kufanya hicho kitendo hata tukiwa shule.Wakati wa kutawanyika, mwalimu alikuwa akiniita katika ofisi yake na kunilazimisha tufanye.....

Miezi kadhaa baadaye, nilianza kujihisi tofauti na wazazi wangu waliyagundua mabadiliko hayo.Walinipeleka hospitali na vipimo vilionesha kuwa nna mimba.Waliponibana ilinibidi niwaeleze ukweli.....

AFISA ELIMU AINGILIA KATI:
Baada ya kubaini hali hiyo, baba alinipeleka moja kwa moja mpaka kwa afisa elimu wa mkoa.Sikuwa na jinsi zaidi ya kueleza ukweli.Mwalimu aliitwa na kuhojiwa.Mwanzo alikataa kabisa lakini baada ya kubanwa ilibidi akubali.

Mwalimu alisimamishwa kazi kwa muda na kufunguliwa mashitaka.Alikaa polisi kwa siku mbili, siku ya tatu alipata dhamana akatoka.....

Alipotoka, mwalimu aliamua kujiua kwa sumu.Shule niliachishwa.nipo nyumbani na mtoto.

Saturday, April 10, 2010

Afariki Baada ya Kubikiriwa na Kulawitiwa na Mume Wake!


Jamani, kwa kweli nimesikitika sana baada ya kusoma habari hii. Huko Yemen, kuna binti wa miaka 13, ambaye aliozwa na wazazi wake kwa kijana mwenye miaka 23. Siku ya ndoa, mume wake alimfunga kamba, alimtoa ubikira , kamnajisi na pia kamlawiti! Hospitali walisema kuwa uke na mkundu ulikuwa umechanika! Jamani! Jamani!

Mola aipokee roho ya binti na kumweka mahala pema peponi. AMIN.


********************************************************

SHUEBA, Yemen (AP) - A 13-year-old Yemeni child bride who died shortly after marriage was tied down and raped by her husband, her mother said.

Nijma Ahmed, 50, told the Associated Press late Friday that just before her daughter lost consciousness she described how her 23-year-old husband had tied her up and forced himself on her. She bled to death hours later.

Elham Assi died April 2, four days after she was married. A forensic report said her vagina and rectum were deeply ripped, causing her to hemorrhage.

The practice of marrying young girls is widespread in impoverished Yemen. Traditional families prefer young brides and poor families can be lured with hundreds of dollars in gifts.

The UN child agency, UNICEF, says one of three girls in Yemen is married before the age of 18.
"Early marriage places girls at increased risk of dropping out of school, being exposed to violence, abuse and exploitation, and even losing their lives from pregnancy, childbirth and other complications," said regional director Sigrid Kaag, in a statement Wednesday condemning the death.

Tribal custom also plays a role, including the belief that a young bride can be shaped into an obedient wife, bear more children and be kept away from temptation.
Last month, a group of the country's highest Islamic authorities declared those supporting a ban on child marriages to be apostates.

A February 2009 law set the minimum age for marriage at 17, but it was repealed and sent back to parliament's constitutional committee for review after some lawmakers called it un-Islamic. The committee is expected to make a final decision on the legislation this month.
The issue of Yemen's child brides got widespread attention three years ago when an 8-year-old girl boldly went by herself to a courtroom and demanded a judge dissolve her marriage to a man in his 30s. She eventually won a divorce, and legislators began looking at ways to curb the practice.

In September, a 12-year-old Yemeni child-bride died after struggling for three days in labor to give birth, a local human rights organization said.