Showing posts with label Cocaine. Show all posts
Showing posts with label Cocaine. Show all posts

Saturday, January 14, 2017

Serikali Kuendeleza Mapambano ya Madawa ya Kulevya Nchini

 Waziri  wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba (katikati), akihutubia katika Maadhimisho ya Siku ya Familia ya Polisi Mkoa wa Kipolisi wa Kinondoni Dar es Salaam leo. Kutoka kushoto ni Katibu Tawala wa Wilaya ya Kinondoni, Gift Msuya,Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Simon Sirro, Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni, Ali Hapi, Kamanda wa Polisi Kinondoni, Suzan Kaganda na Meya wa Manispaa hiyo, Benjamini Sitta.
 Waziri  wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba, akimkabidhi zawadi Mkaguzi wa Polisi, David Mabula.
 Ofisa wa Polisi Hamad akikabidhiwa zawadi na Waziri Nchemba.
 Askari wa Kikosi cha Usalama Barabarani Sajeni, Moses Alphance Sinyagwa akipongezwa baada ya kukabidhiwa zawadi ya pikipiki kutokana na ufanyakazi bora.
 Mkuu wa Wilaya ya Kinondoni Ali Hapi akitoa neno la shukurani katika maadhimisho hayo.
 Maofisa wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Kinondoni wakiwa katika shindano ya kumkamata kuku kwenye maadhimisho hayo.
 Maofisa wa jeshi la polisi wakiwa kwenye maadhimisho hayo.
 Waziri Nchemba akiwa katika picha ya pamoja na viongozi mbalimbali.
 Waziri Nchemba akiwa katika picha ya pamoja na maofisa wa polisi waliotunukiwa vyeti.
 Hapa Waziri Nchemba akiwa katika picha ya pamoja na wadau 
kutoka akampuni yaliyodhamini maadhimisho hayo.
 Bendi ya Jeshi la Polisi ikitoa burudani.
Askari polisi, jamaa zao na waandishi wa habari  wakiwa kwenye hafla hiyo.

Na Dotto Mwaibale

WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kupambana wa waingizaji na wauzaji wa dawa za kulevya nchini.

Mwigulu alitoa kauli hiyo wakati akihutubia katika Maadhimisho ya Siku ya Familia ya Polisi Mkoa wa Kinondoni jijini Dar es Salaam leo ambapo alikuwa mgeni rasmi.

"Serikali imejipanga  kupambana na dawa za kulevya ambazo zimekuwa janga la kitaifa ambapo vijana wengi wanakuwa waanga wakubwa'' alisema Mwigulu.

Mwigulu alisema serikali ya awamu ya tano haitamfumbia macho mtu yeyote atakaye kwamisha jitihada za kupambana na uhalifu nchini ambao wamepanga kuupunguza kwa asilimia 10 ifikapo mwaka 2019.

Aliongeza kuwa kanuni na sheria zilizowekwa na mkoloni ambazo zinazotumika ndani ya jeshi la polisi zimekuwa na changamoto kubwa kwa askari polisi. 

Akitolea mifano kadhaa alisema askari polisi aliyekosa nyumba ya kuishi ya jeshi hilo anapaswa kupewa fedha za kulipia pango nje ya kambi ya polisi na suala hilo si la kumuonea huruma askari husika bali ni haki yake.

Alisema kwa upande wa askari polisi aliyeumia au kupoteza kiungo wakati wa mapambano dhidi yake na wahalifu askari huyo anapaswa kulipa fidia yake kwa wakati badala ya kuunda tume ya kuchunguza jinsi alivyoumia akiwa katika mapambvano hayo.

"Mambo mengine hayahitaji mpaka uwe na elimu kubwa askari amepambana na majambazi mbele ya watu lakini majambazi hayo yamemjeruhi fidia yake anashindwa kulipwa eti mpaka iundwe tume haya si mambo ya ajabu" alihoji Mwigulu.

Alisema kwa muda mrefu askari anapopangiwa kituo cha kazi amekuwa akijigharamia kwa nauli na fedha za kujikimu kwa zaidi ya miezi mitatu na zaidi bila ya sababu za msingi.

Alisema hali hiyo kama askari husika anakuwa si mzalendo anaweza kujiingiza katika tamaa na kutumia silaha aliyonayokufanya uhalifu hivyo akaomba wahusika kuliangalia jambo hilo kwa karibu kwani mshahara na posho kwa askari hao ni haki yao.

Mwigulu alisema serikali kupitia Rais Dk. John Magufuli imejipanga kuweka mazingira mazuri kwa askari polisi ikiwa ni pamoja na kujengewa nyumba na kuona namna ya kubadilisha sheria ambazo zinaonekana hazina tija kwa wakati huu katika kuliongoza jeshi hilo.

Sunday, July 13, 2014

Drug Lord Akatamatwa Zanzibar! Alikuwa na Zaidi ya Kilo 5,000 za Unga!

 Duh! Kilo 5,605 za Unga!!!!  Street Value Je?

******************************************

Kutoka Ippmedia.com

Police arrest drug baron in Zanzibar

12th July 2014

Abeid Aman Karume International Airport
 
Police in Zanzibar arrested Ali Sleyum Rashid at the Abeid Aman Karume International airport on Wednesday in connection with possession of 5.605 kilogrammes of cocaine.

Rashid (39) who had boarded Oman Air flight No WY.717 that landed at the airport from Muscat was arrested at around 2: 45 pm.

The police were also holding four airport employees believed to be close friends of the suspect. It was not immediately stated if the four employees acted as accomplices.

Speaking to the press yesterday in Zanzibar, the Isles Director of Criminal Investigation Yussuf Ilembo said the police worked on a tip off from some sources to search his luggage immediately after arrival.
He said they found 14 hand bags for women before they found cocaine stacked in each of them.

The suspect had travelled using passport number AB 363906 issued on December 29, 2009 by the Immigration Department head office in Dar es Salaam.

 He said the passport showed the suspect travelled to many countries, including Brazil, China, Hong Kong, Japan, South Africa and some Arab states.
SOURCE: THE GUARDIAN

Saturday, June 01, 2013

Albert Mangwea atazikwa Jumatatu Morogoro

The Late Albert Mangwea

 

By FATUMA ABDU, Tanzania Daily News

Tanzania Music Federation (TMF) in collaboration with a committee coordinating the burial of the late Albert Mangwea, has asked Tanzanian to contribute funds in order to transport the body of the artist from South Africa.

TMF and the committee leaders told reporters in Dar es Salaam on Thursday Mangwea’s body is expected to arrive in the country from Johannesburg on Saturday. The committee spokesman Adam Juma said that Tanzanians are aware of the deceased’s contribution towards developing Bongo flava and urged them to participate in his burial.

For his part, TMF President Addo Mwasongwe asked Tanzanians to be patient as they wait for Mangwea’s body to arrive. Some of the artists who attended the press conference talked about how they were shocked by the late musician’s sudden death.


TID, Juma Mchopanga (popularly known as as Jay Moe), Professor J, Noora, Mez B, and producer P. Funk described the deceased as being generous and a man of the people. The late Mangwea is expected to be buried in Morogoro on Monday.

********************************

AUTOPSY REPORT

The Medical report from Helen Joseph hospital, Dr Shirley Radcliffe  confirming that Albert Mangwair died from “alcohol toxicity” after drinking too much,Over-exhaustion and drugs overdose....The inquest heard that Albert 28, collapsed in the his friends home had been more than five-times the legal S.A drink-drive limit with 416mgof alcohol per 100 millilitres of blood in his system....Radcliffe described the mreasons for ICU admission included hypoxemia and one of his friend found “two empty vodka bottles[found] on the Car” and he had been suffering from the eating disorder Bulimia for several months before his death and endless partying session with little or no resting...sample taken from his stomach showed poly-drug cocktail and he overdosed Heroin,Cocaine 'crack' and cannabis 0.08gms was also found in his blood...and his death was caused by massive heart attack and respiratory failure followed by sudden Heart stop...and end up dead within seconds! R.I.P Mangwear!

*********************************************



Thursday, February 23, 2012

Producer wa Amazing Race Afariki Uganda

Wadau, kama mtakumbuka kama miaka mitatu iliyopita TV Show Amazing Race, walipitia Tanzania.  Katika Amzaing race timu zinasafiri katika nchi kadhaa za dunia, timu ya kwanza kufika katika sehemu mjia kadhaa inashinda siku hiyo.  Zanzibar ilipata umaarufu walipopitia hapo.

Leo kuna habri kuwa moja wa maproducer, Jeff Rice, amefariki dunia mjini Kampala.  Alikuwa anafuatilia habari tofauati lakini.  Polisi wa Uganda wanasema kuwa kafa kwa cocaine overdose.  Jamani,  kama kweli kafa kwa cocaine overdose itakuwa si mara ya kwanza mzungu/mtalii kufa kwa overdose barani Afrika.  Wakati nafanya kazi Daily News kuna mwarabu kutoka Royal Family alikufa kwa overdose Embassy Hotel lakini tulizuiliwa kuchapisha hiyo habari.

Kuna watalii ambao kazi yao ni kwenda nchi zingine kutumia madawa ya kulevya na kufanya ngono ya ajabu kwa vile wakifanya hapa Marekani sifa zao zinaharibika na wanaweza kufungwa.

Lakini familia ya marehemu, Jeff Rice, wanadai kuwa huenda alipewa sumu kwa vile alikuwa anafanya uchunguzi sijui kuhusu nini.  Ukweli utajulikana.

REST IN PEACE JEFF RICE.


***************************



Production facilitator Jeff Rice, who worked for reality shows including the current season of 'The Amazing Race,' was found dead after a suspected poisoning.
'Amazing Race' Producer's Death: Police Await Assistant's Recovery to Gain More Info


By BAZI KANANI and KEVIN DOLAK
Good Morning America –

....Investigators and family of the former "Amazing Race" producer Jeff Rice, who was found dead in a Uganda hotel room last Friday, are waiting to learn more about what might have killed him -- a cocaine overdose or suspected poisoning -- from his assistant, who remains in critical condition in a Kampala hospital.

Rice's body was found at the luxury Serena hotel in the capital city of Kampala. His assistant, Katheryne Fuller, was found unconscious.

"Ms. Fuller is slowly recovering, and when she is recovered enough we will be able to talk to her and find out more about what happened," Uganda Police Force spokesman Asuman Mugenyi said. "She is not able to speak. Although she is responding to the treatment, she is not yet available to explain what transpired."

Police say hotel staff noticed a man hanging on a balcony last Friday, and when they went to the room they found the 39-year-old's body on the balcony and Fuller unconscious in the room. Staff called police and rushed the two to a hospital, where Rice was declared dead, police said.

Investigators initially believed Rice and Fuller may have been sickened by some type of food poisoning. Later Mugenyi denied reports that Rice had been poisoned after he rebuffed a shakedown attempt from local "thugs," although friends remain skeptical.

"I was shocked. Jeff was someone who was terrific at his job," Josh Gates, a friend of Rice's told ABC News. "I don't know exactly what to think about what happened to Jeff. I hear conflicting reports coming out of the region."

Ugandan police said they have now ruled out poisoning and said further testing found high-levels of cocaine in Rice's system. Sources said Rice and Fuller were working on an investigative documentary, and many fear they might have been targeted by locals.

"For him to pass away so young so suddenly is alarming, obviously, but also is surprising because he was someone who was really able to take care of himself in the field. He was excellent at what he did," Gates added.

Rice was a veteran producer who worked on the latest season of the hit reality series "The Amazing Race" and the Emmy-nominated Animal Planet series "Whale Wars." In addition to raising two young kids, Rice and his wife, Sally Blackman, operated a television and film production company called SB Productions in Durban, South Africa.

Katheryne Fuller's father Stuart Fuller confirmed Rice were shooting a documentary, and other crew members who were with them should know more about what sickened them. Stuart Fuller said he is now with his daughter at the hospital in Kampala.

"She is OK. We are trying to get her back to South Africa. She needs medical attention that they can't do here," he said.

Kwa habari zaidi BOFYA HAPA: