Showing posts with label Dar es Salaam International Airport. Show all posts
Showing posts with label Dar es Salaam International Airport. Show all posts

Thursday, January 01, 2015

Aibu Kubwa Uwanja wa Ndege Dar es Salaam

Aibu kubwa imetokea uwanja wa kimataifa wa ndege jijini Dar es salaam,baada ya mvua kubwa kunyesha na kuvuja sehemu ambapo abiria mbalimbali hukaguliwa ticket zao,kabla yakwenda kwenye ndege!

 

Sunday, March 04, 2012

Poleni Wana Kipawa - Upanuzi wa Dar Airport

Wadau, hii habari ya watu kufukuzwa Kipawa halafu hakuna ujenzi inasikitisha. Halafu waliohamishwa kwa nguvu wamelipwa fidia ndogo sana.  Kulikuwa hakuna mkoa wa kula hapo kweli?


***********************************************

Kipawa Baada ya Nyumba Kubomolewa



Private Chinese Investment to Extend Tanzania's Main Airport has led to the Eviction of 1,300 families and brought Few Gains


Kipawa, a district of Tanzania's commercial capital, Dar es Salaam, used to be a lively neighbourhood, home to about 1,300 families. Many residents had lived there for most of their lives. Now, the area has been completely demolished and fenced in. A sign on the fence says a Chinese company, China International Fund, is to construct a terminal building here as part of a project to extend the country's main airport.
It is almost two years since the community was evicted to make way for the development, and yet there are no signs of construction in Kipawa. The area has become a deserted field. Most former residents were relocated 36km to the west; they no longer have access to electricity, clean water, roads or schools, and they face long journeys.
More than 480 families protested against a proposed compensation package that, they said, undervalued their homes by 50% and was based on an obsolete land acquisition act dating from 1967. Nevertheless, in February 2010, the eviction was carried out suddenly. Teargas was used and more than 300 buildings were demolished within two days. Many people became homeless overnight, according to the Legal and Human Rights Centre, a Tanzania-based NGO.
Like many other Kipawa residents, Eric had to prioritise his spending when he used his compensation of 6m Tanzanian shillings ($3,800) to build a new house. His budget only allowed him to put a roof over one room, which now accommodates the family of eight.
Eric told us the family got by living without electricity. Doing without clean water is harder, but even that remains an unaffordable luxury. The only available water comes from a muddy ground well dug by the locals. Machines to drill and pump clean underground water cost at least 10m shillings.
One of the hardest things to bear is that the displacement may turn out to be pointless, since the Tanzanian government has admitted the investment for its airport projects is not yet in place.
Suleiman Suleiman, managing director of the Tanzanian Airports Authority (TAA), told us negotiations with the Chinese investors had broken off and the terminal project has been suspended until new investment comes in. The signs bearing the name of the Chinese investors on the fence has now been painted over.
According to local sources, it all looked a rather different story in March 2007, when Chinese businessman Sam Po flew his private jet into Tanzania. Po represents the 88 Queensway Group, a body of companies – including the China International Fund (CIF) and China Sonangol International Holding – registered at that address in Hong Kong. His visit was well received by high-ranking Tanzanian officials, not least because he offered to upgrade Julius Nyerere international airport and revive Air Tanzania, the troubled national flag-carrier.
Po's companies have done substantial business in Africa. Building a new terminal at Dar es Salaam airport will cost at least $300m, says Suleiman. Po has promised six other projects to upgrade the airport, according to a memorandum of understanding between China Sonangol and the TAA.
A few months after signing the memorandum, China Sonangol was granted licences to explore two oilfields in the Lake Rukwa basin in south-west Tanzania. Zitto Kabwe, chairman of one of the Tanzanian parliamentary accounts committees, says it is clear the two deals were linked.
The Guardian made repeated attempts to obtain comment from CIF and China Sonangol, but they failed to respond.
A decision by the Tanzanian parliament may explain the retreat of the Chinese investors and the silence on the planned construction in Kipawa. Kabwe set up an inquiry, which found that China Sonangol has been granted oil concessions outside normal procedure in 2009. A year later, the parliament forced the authorities to withdraw the oil licences granted to the Chinese company.
But Kabwe said he was concerned at "how Tanzanians will have to pay back the Chinese". The near-bankrupt Air Tanzania pulled itself back into doing business by using the $21m from China Sonangol. "The Chinese investors have left behind two airplanes, which we are using," says Paul Chizi, CEO of Air Tanzania. The VIP terminal at Dar es Salaam airport was also built free of charge by the Chinese company, at an estimated cost of $6m.
Meanwhile, the 1,300 families evicted from Kipawa are still struggling to rebuild their lives.
This article was researched with a grant from the journalism department of the University of Witwatersrand, South Africa
http://www.guardian.co.uk/global-development/2012/mar/02/chinese-investment-tanzania-airport-eviction?newsfeed=true

Kwa habari zaidi BOFYA HAPA:

Wednesday, February 16, 2011

Mabomu Dar!

Habari nilizopata nikuwa Julius Nyerere International Airport imefungwa!

Watu watano wamekufa na 4o wameumia. Wanasema idadi itaongezeka.

Kuna bomu ilielekea Ubungo/Magomeni/Kigogo.

Wananchi wameelekezwa waende Uwanja wa Taifa kulala leo. Barabara ya kwenda uwanja wa ndege, Nyerere Road (Pugu Road) Imejaa watu.

Simu hazipatani. Najribu kuwapigia watu pamoja na wazazi wangu Tenki Bovu Dar siwapati.

Tuesday, December 02, 2008

Vilio Uwanja wa Ndege Dar

Nami nilivyokuwa Bongo 2006 na 2007 niliona mbinu huko Airport. Yaani wafanyakazi wengine hawana haya kabisa! Ni kama mradi vile kufanya kazi pale.

********************************************************************
Kutoka Michuzi Blog:

Michuzi,

Pole kwa vacation na pia kwa kukosa ndege. Nipe nafasi kidogo niongelee wizi mdogo mdogo hatimae mkubwa katika Julius Nyerere International Airport maana inakera na inauma ile mbaya Ni kwamba kuna utaratibu kwenye viwanja vya ndege kuzuia abiria kubeba vichupa vyenye vimiminika zaidi ya ml100. Kwa hiyo inalazimu abiria kulazimisha kupima mzigo hata kama una 6kg ili mradi kusalimisha mafuta na vi-manukato kwa namna moja ama nyingine.

Kitu kilichojitokeza pale ni kwamba kampuni ya kupakia na kupakua mizigo ya Swiss port imeshindwa kudhibiti wafanyakazi wake na hivyo kupoteza hadhi ya kuchukua dhamana ya mizigo ya abiria. Nilichokiona mimi ni kwamba wale jamaa wanaobeba mizigo hufungua zipu na kukagua kilichomo ndani. Wakiona kitu cha thamani wanaweka mifukoni mwao.

Na kinachoumiza ni kwamba kama kuna vitu vilikuwa kwenye mifuko midogo ndani ya begi ambavyo labda ulitaka visigusane na vingine basi utavikuta tofauti, maana wanachana vimifuko ili kutafuta wanachokitafuta wao (WIZI MTUPU), ustaarabu hakuna hata kidogo.

Sasa nataka kuuliza kuna usalama gani kama mtuu amepima mzigo ili kufuata sheria za usalama wa usafiri wa anga na hatimae wajinga wachache wapitie vitu vya thamani kwenye mizigo yake? Na je, hii itatoa picha gani kwa abiria wapendao kutumia viwanja vyetu kusafiri kwa kuchukulia kuwa ni salama kwa kwa mali na mizigo yao.
MIMI NI MDAU NA NIKO AIRPORT.

Naomba kuuongezea machache.Ni kweli kabisa,ni kweli tupu kuhusu huo wizi hapa Uwanja wa DIA...

Kweli huwa mabegi yanafunguliwa tena wana utaalamu kuliko unavyodhani wanafungua zipu bila kuiharibu,na wanatoa vile wanavyovitaka wao kama Camera,Simu ,I-pod ,Laptop... na biashara kubwa ya kuviuza inafanyika huko NJIA PANDA sehemu ya kwenye Bar na Makazi ya watu....na huwa wanajisifu sana, na isitoshe ni kweli wana maisha mazuri sana LOADER AMA PORTER WA BONGO NI SAWA NA PORTER AMA LOADER WA ULAYA nikiwa namaana ya kwamba maisha yao yako juuu na ni matawi kuliko hata Maboss wao waliopo maofisini ,maana wao hupata Pesa kila aingiapo Shift.

Kulikuwa na utaratibu wa kuwapekua wakati wakitoka kazini,lakini sasa hakuna ila hata hivyo ni wajanja sana mara nyingine wanauza humu humu jengoni.na tunapata sana malalamiko mengi kutoka kwa wageni wetu watakao na kuingia nchini.Binafsi inaniuma sana maana ni juzi tu nilitumiwa na ndugu yangu mzigo wa Camera na wakailamba.
Na Juzi kuna wawili walijaribu kuiba mzigo wa mama mmoja Mmalawi waliushusha kwenye Air Malawi wakadai kuwa unaenda na Precision Air lakini Askari aliwashuku na kuwakamata sasa sijui kesi imeendaje.... WIZI WIZI WIZI KILA KONA......

Nini kwenye mabegi ya abiria, na wizi wa mafuta ya ndege je??? tena hiii ni issue sana kubwa maana hadi baadhi ya watu ambao hawastahili kuwepo wanashiriki kwenye hiii....jaribuni kufuatilia.

USHAURI WANGU kwa TAA na SWISSPORT wangetengeneza bango kubwa kuwasaidia wageni wanaondoka Departure liwekwe Getini pale nje kabla ya security liandikwe kwa kiingereza na kiswahili hata french kuwa ABIRIA ASIWEKE CAMERA, SIMU, LAPTOP AMA HELA MAANA NASIKIA KUNA WATU HUWA WANAWEKA HELA KWENYE MABEGI...PLEASEACHENI AIRPORT IMEKUWA MBAYA..

NA ABIRIA WA KUTOKA NJE WATAJUA HILI SUALA TARATIBU TUWASAIDIE HAWA WAONDOKAO....