Naona leo Mke wa Rais Obama, Michelle Obama amepozi na wake wa mawaziri wa fedha na magavana wa mabenki ya nchi za G-20. Kikundi cha G-20 kilundwa mwana 1999 kuongelea maswala ya uchumi wa dunia.Nchi za G-20 ni:
Argentina
Australia
Brazil
Canada
China
France
Germany
India
Indonesia
Italy
Japan
Mexico
Russia
Saudi Arabia
South Africa
South Korea
Turkey
United Kingdom
United States of America

