Showing posts with label G-20. Show all posts
Showing posts with label G-20. Show all posts

Friday, September 25, 2009

Wake wa Viongozi wa nchi za G-20

Naona leo Mke wa Rais Obama, Michelle Obama amepozi na wake wa mawaziri wa fedha na magavana wa mabenki ya nchi za G-20. Kikundi cha G-20 kilundwa mwana 1999 kuongelea maswala ya uchumi wa dunia.

Nchi za G-20 ni:

Argentina
Australia
Brazil
Canada
China
France
Germany
India
Indonesia
Italy
Japan
Mexico
Russia
Saudi Arabia
South Africa
South Korea
Turkey
United Kingdom
United States of America