Showing posts with label Girls. Show all posts
Showing posts with label Girls. Show all posts

Saturday, March 19, 2016

Uamuzi wa Kutoa Elimu Bure Utachochea Usawa wa Kijinsia

Hayo yalisemwa na Waziri wa Afya na Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mheshimiwa Ummy Mwalimu (Mb.)wakati akitoa taarifa ya nchi katika Mkutano wa 60 wa Kamisheni ya Umoja wa Mataifa kuhusu Hali ya Wanawake Duniani (CSW).

Mhe Ummy alieleza kuwa Adhma ya Mheshimiwa Dkt John Pombe Magufuli, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ya kutoa Elimu bure kwa shule za Msingi na Sekondari itakuwa na matokeo makubwa ya kuongeza udahili wa wanafunzi katika Elimu ya msingi, Sekondari na Elimu ya juu.

Akaongeza kwamba uimarishwaji wa upatikananaji wa elimu kwa wanawake ni msingi mkubwa wa kuwezesha wanawake kiuchumi, kwakuwa elimu hutoa ujuzi, maarifa na hali ya kujiamini kwa wanawake kuendea fursa za kiuchumi.

Ummy Mwalimu -CSW

Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu ( Mb) akizungumza wakati wa majadiliano kuhusu dhima ya uwezeshwaji wa wanawake na uhusiano wake na utekelezaji wa Agenda 2030. katika mchango wake Waziri anayeongoza ujumbe wa Tanzania katika mkutano huu wa Kamisheni ya Umoja wa Mataifa kuhusu hali ya Wanawake amesema Serikali inatambua umuhimu wa mwanamke katika utekelezaji wa ajenda mpya ya maendeleo endelevu ( Agenda 2030) na kwamba itaendelea kumwezesha.

Katika Taarifa hiyo, Mheshimiwa Waziri, alieleza kuwa Serikali ya Tanzania inatambua kuwa uwezeshaji wa wanawake na Usawa wa jinsia unachangia kwa kiasi kikubwa kufikiwa kwa wepesi kwa Malengo ya Maendeleo Endelevu ( Sustainable Development Goals). Kwa kutambua hilo Tanzania imejipanga kuhuisha Ajenda 2030 katika Sera, Sheria na Mipango ya nchi kwa kuhakikisha kunakuwa wa sheria zinazolenga kuleta Usawa wa Jinsia na uwezeshaji wa wanawake, ambapo pamoja na mambo mengine utekelezaji wa Mikakati, Sera na Sheria utaendelea kuzingatia haki ya kielimu kwa Wanawake na Wasichana.

Mheshimiwa Ummy, aliongelea pia umuhimu wa Afya kwa wanawake na Wasichana (ikiwa ni pamoja kupunguza vifo vya wajawazito na watoto) kama njia ya kumuwezesha mwanamke kushiriki kikamilifu katika uzalishaji mali.

Mkutano huo wa wiki mbili unafanyika NewYork, Marekani kuanzia tarehe 14-24 Machi 2016, ukihusisha wawakilishi kutoka serikali mbalimbali duniani na Asasi za Kiraia ambapo hujadiliana na kubadilishana uzoefu na kuelimishana kuhusu hatua mbalimbali ambazo Serikali zao zinachukua katika kuboresha maisha ya mwanamke na mtoto wa kike.

Ummy Mwalimu - CSW

Mheshimiwa Ummy Mwalimu akiwa pamoja na Mhe. Balozi Tuvako Manongi na Mhe Peter Serukamba (Mb.), mara baada ya kuwasilisha taarifa ya Tanzania kuhusu Masuala ya Maendeleo ya Wanawake.

Saturday, May 03, 2014

Help the 200+ Kidnapped Nigerian Girls



Please support 1 Billion Rising by signing this petition and sharing it with all your friends.

RISE FOR OUR SISTERS IN NIGERIA
Dear One Billion Rising and V-Day Activists,
Two weeks ago, 234 teenage girls were kidnapped in the Nigerian city of Bornu while taking their exams. It is assumed that the girls were taken by Boko Haram, a local Islamic extremist group whose name means "western education is forbidden." It is feared that the girls have been sold into marriage to the militants and some have been moved to nearby countries of Cameroon and Chad. Long-time V-Day activist and One Billion Rising coordinator in Nigeria, Amy Oyekunle, writes to us about the horrific situation there - where conflicting information about the girls' whereabouts and their current status and situation has left parents and loved ones devastated. We are asking you, our fellow One Billion Rising and V-Day activists to put the girls in your thoughts, prayers, and meditations, as well as those of the Nigerian women, men, and activists who have been taking and continue to take to the streets until the girls are brought back to their families safely.
We are calling on all of our One Billion Rising and V-Day activists to stand and rise for justice with our sisters in Nigeria, and to call for global solidarity for Nigeria.
Please do the following:
1. SIGN THE PETITION
http://www.change.org/petitions/over-200-girls-are-missing-in-nigeria-so-why-doesn-t-anybody-care-234girls
2. ‪#‎BRINGBACKOURGIRLS‬:
USE SOCIAL MEDIA TO SPREAD THE WORD ABOUT THE SITUATION IN NIGERIA
The focus is to put massive pressure on the government, security forces, and the neighboring governments (of Chad and Cameroon) to spur them to action - specifically to #BringBackOurGirls. It is deplorable that this situation has been happening for quite some time now and hasn't received the attention it needs to stop the killings, abductions, and constant insecurity plaguing women and girls in the North and the rest of Nigeria.
3. HOLD A SOLIDARITY DAY OF ACTION ON 5 MAY
The Nigerian government is currently focused on preparing for the World Economic Forum (WEF) taking place in Abuja/Lagos from 6 May - 10 May holding various meetings and activities. While the event was welcomed before the kidnappings happened, there is growing anger that the WEF has taken priority over the lives and welfare of over 200 Nigerian citizens. A huge rally is being planned in Lagos on Monday, 5 May to call for justice for the missing girls, and to use it as an opportunity to show that "Women and Girls Matter."
WE ARE CALLING ON OUR ONE BILLION RISING NETWORKS ALL OVER THE WORLD TO STAND OUTSIDE THE NIGERIAN EMBASSIES IN YOUR COUNTRIES TO DEMAND JUSTICE AND TO SHOW SOLIDARITY WITH OUR SISTERS IN NIGERIA.
RISE FOR JUSTICE FOR OUR SISTERS IN NIGERIA!
RISE TO DEMAND THEIR RELEASE!
http://www.change.org/petitions/over-200-girls-are-missing-in-nigeria-please-help-find-them-bringbackourgirls