Showing posts with label Killers. Show all posts
Showing posts with label Killers. Show all posts

Thursday, August 21, 2014

Ubaguzi Marekani- Inasikitisha

Hao wazungu pichani wote wameua watu! Lakini wamekamatwa na wako hai, wako jela.! Mweusi akishukiwa kufanya uhalifu anauawa kama mnyama na Polisi!