TAARIFA RASMI KUTOKA Mtandao Wa Kijamii Wa MJENGWA BLOG
Sunday, 17 March 2013 | Written by Mjengwa Blog
Ndugu zangu,
Kutokana na kuwepo kwa taarifa rasmi za kipolisi zenye kumtuhumu Ludovic Joseph kuhusika na matukio ya kigaidi.
Uongozi wa Mtandao wa Kijamii wa Mjengwablog unasitisha rasmi, kuanzia
leo Jumapili, Machi, 17,2013, kuwa na Ludovick Joseph kama msaidizi wa
Mtandao wa Kijamii wa Mjengwablog na website ya Kwanza Jamii.
Maggid Mjengwa,
Mmiliki wa Mjengwablog /Kwanzajamii
Showing posts with label Ludovic Joseph. Show all posts
Showing posts with label Ludovic Joseph. Show all posts
Sunday, March 17, 2013
Subscribe to:
Posts (Atom)

