Showing posts with label Mama Ntilie. Show all posts
Showing posts with label Mama Ntilie. Show all posts

Tuesday, December 09, 2008

Ni Dhambi kula kwa Mama Ntilie?

Jamani! Hivi ni dhambi kula kwa Mama Ntilie? Ni lazima kula chakula cha kizungu kwenye hoteli za kifahari ili uonekane mtu? Khaa! Sielewi kwa nini magazeti wanamchora mrembo Miriam Odemba kwa kula kwa Mama Ntilie. Nakumbuka nilivyokuwa Daily News kulikuwa na Mama Ntilie waliokuwa na chakula kizuri kweli kweli tena kitamu! Of course usafi ni muhimu, na wengi walijitahidi kwa usafi kuliko hata ungekula hotelini.

Wadau mnaonaje?