Showing posts with label Meya Jerry Silaa. Show all posts
Showing posts with label Meya Jerry Silaa. Show all posts

Sunday, June 15, 2014

Hackers Waiba Akaunti ya Facecook ya Meya Jerry Silaa

Napenda kuwajulisha marafiki zangu wote kwamba akaunti yangu ya facebook ime-hackiwa na kuanza kutuma ujumbe kwa marafiki zangu kuwataka waingie kwenye link kwani nina maongezi ya siri.

Tafadhali puuzia ujumbe huo kwani utasababisha akaunti yako nayo ku-hackiwa.
Tafadhali sambaza ujumbe huu, wakati tunaendelea kujaribu kuiokoa. Nawaomba radhi wote walopatwa na usumbufu huu.
Jerry Silaa

Dar es Salaam Mayor Jerry Silaa