Showing posts with label Water shortage. Show all posts
Showing posts with label Water shortage. Show all posts

Wednesday, September 11, 2013

Ziwa Lagunduliwa chini ya Jangwa Nchini Kenya!

Walikuwa wanatafuta mafuta, badala yake wakagundua maji! Kuna maji kibao chini ya janwa la Kenya. Wataalamu wanasema kuwa hayo maji yanaweza kutosheleza mahitaji ya nchi ya Kenya kwa miaka 70! Hiyo sehemu ambapo wamegundua maji ina ukame ile mbaya! Je, wakifanikiwa kuweka mabomba hayo maji yatatumika vizuri?  Na kumbuka wamegundua maji chini ya Sudan lakini bado hawajachimba kwa sababu ya vita.

 ********************************************************
 Kutoka Christian Science Monitor
 
Delaware-sized lake discovered beneath Kenya desert

Scientists say the aquifer may have enough water to fill the parched area's needs indefinitely.

Scientists using technology for discovering oil have found a vast underground water reservoir in one of Kenya’s driest regions that could supply the country's needs for nearly 70 years, potentially turning arid zones into lush farmlands
The new reserves are located in a basin in the extreme northwest that has a surface area the size of Delaware, and is estimated to hold billions of gallons, nearly nine times Kenya’s current reserves.
Almost half of Kenya’s 41 million people have no access to clean water, and farmers in arid areas struggle to raise crops without adequate irrigation.

Scientists say it is possible that, along with water run-off from surrounding hills and plains that replenish the aquifer, the newly discovered resources could fulfill the country's water demands indefinitely.

Tapping the new reserves in the basin, located in Kenya's northern Turkana region, may allow for vast new zones of farmland in landscapes where today even the hardiest plants struggle to survive.
“The news about these water reserves comes at a time when reliable water supplies are highly needed,” Judi Wakhungu, cabinet secretary at the Kenyan environment, water, and natural resources ministry, said in a statement.
“This newly found wealth of water opens a door to a more prosperous future for the people of Turkana and the nation as a whole," Ms. Wakhungu added. “We must now work to further explore these resources responsibly and safeguard them for future generations."

THE HITCH
If there is one hitch, the basin is in a remote area in the extreme northwest. It lies close to Kenya's borders with South Sudan, Ethiopia, and Uganda in an area sparsely populated and prone to conflict over existing scarce resources.
The land that lies above the reservoir is among the most hostile in Kenya. There are few roads or electricity supplies, and the Turkana, Samburu, and Pokot tribes that live there are regularly at war with each other.
The border area between Kenya, South Sudan, and Ethiopia, known as the Ilemi Triangle, has never been officially delineated.
Constructing, fueling, and maintaining boreholes, and building pipelines to bring the water supplies to remote communities, can pose significant difficulties.
WHO FOUND IT?
The discovery was made by researchers from a Texas-based company, Radar Technologies, with assistance from the Kenyan government and Unesco. The team layered satellite, radar and geological maps on top of each other and then used seismic techniques developed to find oil, to identify the reservoir.
“It is important to say that these are early estimates, and these resources must be managed well in order that they benefit the people of Kenya,” says Mohamed Djelid, Unesco’s East Africa director. “But if all goes well, we can say that this really is a game changer.”

Kenya’s government will now carry out further drilling in areas surrounding the sites where the new water supplies were first drawn to the surface, to gather more data on their full extent.
In the past there have been similar announcements of massive new water finds beneath Africa’s driest areas. In 2007, scientists said that they had identified an underground “megalake” in Sudan’s war-torn Darfur region that was 10 times the size of the Kenyan discovery, but its bounty has yet to be tapped.
“Knowing there’s water there, and then getting it to the surface, are two different things,” says Brian McSorley, a water expert at Oxfam in Nairobi. He added that, "There will need to be decent follow up studies and then proper investment to ensure that these newly-discovered resources benefit the poorest people.”

The aquifers lie as deep as 1,000 feet, which poses significant technological and cost challenges compared to shallower reserves, Mr. McSorley says but notes that, “Having said all that, the figures are encouraging and I think this needs to be cautiously welcomed.”

Thursday, December 18, 2008

Tatizo la Maji DSM - Maoni ya Mdau

Tanzania sijui ni Shida sijui ni Umaskini sijui ni nini?

Baada ya wiki nzima ya mateso ya kukosa maji leo asubuhi maji yametoka hapa jijini Dar es saam na umeme ukakatika kwa hivyo vimepokezana,na kutoka kwenyewe yaani yale sio maji ni mchanganyiko wa udongo yaani kama maji ya Cocoa vile.Nikisoma baadhi ya maoni ya wabeba mabox hapa kwenye kijiji chetu cha jamii,uwa wanasema wao wanakunywa maji moja kwa moja toka bombani na bila kudhurika,nikasema lo! Wenzetu wanafaidi sana,na wanapunguza gharama za kuchemsha maji ya kunywa kwenye mkaa,maana ukidhubutu kunywa maji ambayo hayajachemshwa hapa bongo ni kujitakia kupelekwa hospitali ya rufaa kwa kipundupindu na hata kuweza kupoteza maisha kabisa.

Je vipi kuhusu mbanano wa ndani ya mabasi, imagine umepanda basi la kivukoni mbagala au Kariakoo-Mbagala,mwanangu iyo harufu ya samaki na mchanganyiko wa jasho la siku nzima kama ni mgeni lazima utazimia tu,najiuliza ni kwa nini Serikali yetu kama wao hawawezi wakaruhusu wawekezaji wakaja kuwekeza kwenye usafiri wa jumuia hapa mjini ili kuepukana na hii adha ya usafiri ambayo inaweza ikakuambukiza magojwa ya ngozi,mafua,TB na magonjwa mengine ya kuambukiza kwa hewa na mgusongamano?.

Pia uwa najiuliza wapanga miji wako wapi,wewe Mtanzania unayeishi Masaki,Mikocheni,Osterbay Mbezi beach n.k,je umewahi fika maeneo kama ya mburahati ndani ndani ukaona wenzako wanavyoishi huko,choo bado ni passport size,mifereji ya kupitisha maji taka hakuna,mvua ikinyesha vyoo vinatapishwa,unaambiwa utakuta watoto wanaogelea juu ya vinyesi vya binadamu maana ya hapo nenda sasa Amani hosp utakutana na watoto kibao wanapoteza maisha kwa kipundupindu, Tena maeneo kama hayo ukipita usithubutu kifungua kifurushi kilichofungwa cheusi cheusi hivi,wewe yaani kwa jina lingine vinaitwa vibomu huko uswahilini,basi utakutana na kinyesi nyumba zima wamejiachia humo,hii inatokea pale choo kimejaa na hakuna mvua kwa muda kuwezeka kukifungua choo kiondoke mtaani.

Yaani unaweza kusema kipindupindu ni ugonjwa wa maskini,maana idadi kubwa ya wagonjwa ni hao ni wakipato cha chini mno,

Vipi kuhusu Uchafu barabarani na barabara mbovu sizizo na mpangilio hapa town,yaani ni balaa tupu,mimi niliwahi kukaa pale Upanga toka nizaliwe hadi leo,unaambiwa hata siku moja sijaona wakiweka barabara ya rami,kipindi cha kiangazi ni vumbi hadi chumbani,kipindi cha mvua ni kukanyaga maji ya mvua nje yaliyochanganyika na maji taka yaliyoziba kwa sababu ya uchakavu wake ,maana nahisi toka wahindi waijenge enzi hizo hadi leo haijaweza kurekebishwa na watu ndo ivyo wanazidi kuongezeka,Sasa hapo Serikali za mitaa zinafanya nini au ziko kwa ajili ya nini.

Achana na hilo,hadi leo tumekosa kabisa wazoa taka wa kuweza kusema taka zinazolewa hakuna,magari ni mabovu yaani sio Gari la takataka ni Gari taka.na wale wanaozoa wenyewe hawana groves,mabuti wala mask za kuzuia harufu ya uchafu,na utakuta wanakaa juu ya uchafu.

Elimu yetu je ikoje,leo hii ukitaka kuomba kazi lazima waandike uwe unajua kiingereza safi cha kuandiaka na kuongea,mimi kajamba nani vyeti ninavyo lakini School bus huko sekondari na primary sijapanda(yaani sijasoma shule ya kizungu)hivyo kiingereza changu si salama sana. Na watu kama mimi hapa bongo tuko wengi kuliko hao waliopanda School bus,sasa hapo hauoni wametutenga?.

Mimi nasema viongozi wetu wanabahati sana,wanatoa ahadi na hawatekelezi vilevile lakini wananchi wao tumetulia tuli kama maji mtungini tukiomba ipo siku tutakuwa kama angalau mazingira kama Ulaya(Lol)

Umewahi kutembelea mbuga za wanyama kama mkiwa group hivi mmetoka Dar mnakwenda huko,labda vyumba mlivyofikia jirani na vyumba vya wazungu watalii,basi mkiongea na kucheka kwa nguvu,wahudumu wanawafuata,nyie mbona mnapiga makelele kuna wageni watawashangaa.mnyamaze au tutawahamisha,lakini huko mnawasikia hao wageni wazungu wakiongea na kupiga makelele kweli,wangine wanaimba na kucheza hadi usiku kweli,tena nyie mlionyamaza sasa hata usingizi mnakosa kuwasubiri hao wageni hadi nao wachoke walale.Sasa sielewi makelele ya wazungu watalii ni mazuri kuliko makelele ya Wa Tz watalii.

Kuna vitu vingi sana vinaumiza Bongo,kama Rushwa,Kodi kubwa zinazomuumiza mTanzania,Mikataba inayonufaisha wachache n.k

Wadau mimi nafikiri hii Blog inasomwa hata na Serikali yetu sasa tunaweza labda kuwapa maoni wafanye nini ili na sisi tuwe na unafuu hapa Nchini kwetu.

Mdau Dar es Salaam

Tatizo la Maji Dar!


Hivi jamani, kwa nini baada ya siku kumi maji bado ni tatizo mjini Dar es Salaam. Na ni miaka mingapi baada ya Uhuru? Ni aibu kwa Dar kuwa na tatizo la maji kama Harare au Monrovia enzi za vita! Aibu kubwa sana.

Wale wataalam wa maji waliosomeshwa na Chuo cha Maji nk. wako wapi? Kuna nini hasa kinachofanya maji yaye ya shida hivyo wakati tumebarikiwa ma maziwa makubwa kama Ziwa Victoria, Tanganyika na Nyasa na mito kibao!

Nakumbuka enzi zile sisi tuliokuwa tunaishi Chuo Kikuu cha DSM tulikuwa tunachekwa kwa sababu ya matatizo ya maji. Walikuwa wanashindwa kuyapandisha mlimani eti.

Serikali infanya nini kutatua matatizo ya maji? Wasipofanya kitu tutasikia watu wanaugua kipindupindu na magonjwa mengine ya kuharisha.


*****************************************************

Kutoka ippmedia.com

Dar vendors pray for prolonged water scarcity

2008-12-18
By Correspondent Gadiosa Lamtey

An acute water shortage that had hit Dar es Salaam and its outskirts for the past ten days, had turned into a blessing in disguise for others.

Vendors selling the precious liquid have been making lucrative business, praying for the scarcity to continue a little bit longer.

A vendor, Hamisi Majaliwa, said God had listened to their prayers as they could now afford to celebrate the year end festivals.

``The scarcity guarantees my daily bread. I no longer worry about celebrating Christmas because I have earned quite a sum over the past few days,`` said Majaliwa.

A survey conducted by The Guardian across the country`s commercial hub found out that the scarcity was getting worse, with a 20-litre gallon of tap water selling at between 800/- and 1,000/- respectively.

The high prices have forced some low income earners in the city to resort to drawing water from the drainage system, thus inviting grave health risks.

Margaret Richard, a resident of Ubungo suburb, said she resorted to buying bottled water as it was safe to cook and brush her teeth with.

``I am skeptical with the water sold by street vendors,? said Margaret.

She said the scarcity had made vendors fetch water from any place for the sake of money, while ignoring all the health risks.

``Worse still, their prices are unfair,`` she said. Margaret, however, wondered how the unemployed and housewives afford buying water from street vendors.

``I can`t blame vendors because survival is for the fittest. Everyone must earn their bread. However, I call upon Dawasco to speed up their efforts to restore water supply.

Dar es Salaam is densely populated. No one will survive should it happen that there is a cholera outbreak,`` said Margaret.

Alfa Laizer of Kinondoni said some people had already suffered after consuming salty water drawn from shallow wells.

Laizer said: ``Salty water is only good for washing clothes and house cleaning, but you can`t use it to cook or drink. Some people are already becoming allergic from bathing salty water.``

``We are not comfortable with what is going on, although we are aware what the problem is.

The authorities should find a solution before the situation gets worse, especially for children,`` he said.

A resident of Chang`ombe, Fatuma Kamugisha, said water had become as precious as gold but the digging of boreholes had in a way helped to avert the problem.

When contacted for comments, Dawasco public relations officer Mary Lyimo said their engineers were busy working on a defective transformer.

``Since last Saturday, our engineers have been tirelessly working on the transformer and by tomorrow (yesterday) things will be back to normal,`` she confidently said.

Last week, Dawasco announced that the city would temporarily go without water because of a defective transformer that supplies power to water pumps at Lower Ruvu.

As we went to press, Dawasco public relations officer Mary Lyimo said water supply had been restored in several Dar es Salaam suburbs, except Magomeni, Sinza, Mwenge and Ilala.

She said problems affecting such areas would be sorted out within the shortest possible time
``It will not take long to normalize the city supply. The delay has been caused by low pressure from our pumping machines,`` she said.

SOURCE: Guardian