Thursday, October 16, 2014

Mbinu Mpya ya Majambazi

Nimepata kwa Email:

Kuna watu 3 au 4 wanapita majumbani wakidai wanatoka kampuni ya maji wamekuja kuweka bomba ya mvua ili kuokoa upotevu wa maji au watadai wanatoka Eskom au sehemu kama hizo wanabadilisha balbu bure. Wameonekana sehemu nyingi. USIWARUHUSU kuingia ndani ni wezi majambazi wa kutumia bunduki. Wataarifu wote kwenye kitabu chako cha simu kwani unaweza kuokoa maisha yao. Hakikisha milango na madirisha umefunga na usiwaruhusu watoto kuwafungulia wageni wasiowajua

No comments: