Saturday, May 09, 2015

Habari ya Tsumani Tanzania Si ya Kweli

 Simu: 255 22 2460735/2460706
FAKSI: 255 22 2460735/2460700 S.L.P. 3056
Barua pepe: met@meteo.go.tz DAR ES SALAAM
Tovuti: www.meteo.go.tz
Unapojibu tafadhali nakili:
Kumb. Na.: TMA/1622 08 Mei, 2015



TAARIFA KWA UMMA: TAARIFA ZA UWEPO WA TSUNAMI SI ZA KWELI.

Tahadhari ya Tsunami inayosambazwa kwenye mitandao ya Jamii sio ya kweli.
Kumekuwapo na taarifa zinazosambazwa kwa njia ya mtandao wa simu kuhusiana na uwepo wa tsunami kati ya kuanzia saa 1 usiku na saa 3 usiku leo hii siku ya Ijumaa tarehe 8/5/2015.Taarifa hiyo imemtaja Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Hali ya Hewa na Televisheni ya Taifa (TBC) kutoa tangazo hilo.

Taarifa hizo si za kweli unaombwa umjulishe na mwenzio.

Aidha, Mamlaka inapenda kutoa wito kwa umma kuacha kutoa taarifa za kupotosha katika mitandao ya kijamii.

Imetolewa na:
Kitengo cha Uhusiano
Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania

No comments: