Saturday, January 16, 2016

Ndoto ya Dr. Martin Luther King Jr


Marehemu Dr. Martin Luther King Jr. alipigania haki za watu weusi Marekani. Aliota kuwa siku moja wazungu hawatabagua weusi na kutuheshimu. Aliuawa na Mbaguzi mwaka 1968 akiwa na miaka 39.

Kwa Habari zaidi za Dr. King BOFYA HAPA:

No comments: