Saturday, August 22, 2020

Waandishi wa Habari wa Voice of America Walazimishwa Kuondoka Marekani!

 


Rais Trump amebadilisha Uongozi Voice of America.  Ni wabaguzi na hawajali watu bali wanalinda maslahi ya Rais  Trump!  Leo tunaambiwa kuwa baadhi ya waandish wa habari VOA watalazimishwa kuondoka nchini kwa vile uongozi wamekataa kushughulikia visa zao za kukaa nchini.

VOA inaajiri waandishi wa habari wengi kutoka nchi mbalmbali ikiwemo Tanzania. Inamilikiwa na Serikali ya Marekani.

**************

Some VOA Journalists Forced to Leave US soon as Visas Expire

WASHINGTON (AP) - More than a dozen journalists with the U.S. government's premier international broadcaster may soon have to leave the United States as their visas expire with no action from the agency's new leadership. Congressional aides say some 16 Voice of America journalists will be forced to return to their native countries in the coming weeks unless the government agrees to either renew their visas or extend grace periods for them to depart. Several of them could face difficulties at home because of their work for VOA, the aides said. The agency has said it's conducting a review of its visa practices but has offered no other details. 

No comments: