Showing posts with label Biashara. Show all posts
Showing posts with label Biashara. Show all posts

Saturday, March 01, 2014

MChina Achoma Mahindi Mtaani Nairobi

Haya mmekaribisha waChina na sasa wanachukua kazi za walalahoi! Si angechoma mahindi kwao Uchina? Je, mwafrika akienda kuchoma mahindi huko China itakuwaje?

MChina akichoma mahindi mtaani Nairobi

Kwa habari zaidi BOFYA HAPA:

Sunday, July 07, 2013

Anaomba Ushauri - Ndugu Yake Ameingizwa Kwenye Uzinzi!

 Nimepokea kwa E-Mail:

Na Mdau A.R.

Jamaa yangu mmoja ameajiri na kampuni inayomilikiwa na mme na mke.
mke immediate bosi wa kijana huyu ambaye hata hajaoa
Siku moja akapewa pesa laki moja akimwambia atafute usafiri na maekezo kwa wakutane hoteli fulani kuna kazi anataka wafanye mahali tulivu.
Kijana alijua mambo ya kiofisi, kachukua usafiri hadi kaenda kule hotelini; kufika kamkuta mama akimsubiri mapokezi, akampokea na kumeleka chumbani, kijana na laptop yake hajui hili na lile.
Mama kakaa, kitandani kijana kwenye kochi, mama yule bosi akaanza kusimulia matatizo ya mumewe, kwamba yupo busy na mambo ya biashara ampi tunda.  Kijana pamoja na kwamba hajaoa, akaanza kumpa shule jinsi ya kumfanya mmewe ampe atakacho, kabla ya kijana kumaliza maelezo yake yule mama akamwambia hata hamwelewi anamwambia nini maana anajisikia hamu sana ya kufanya ni muda mrefu.
Yule kijana kwa hofu akasema ngoja nikimbie pale famasi labda kuna dawa za kutuliza hamu nikuchukulie umeze; mama akasema hataki dawa, mara akaingia chooni maana chumba alichokua kilikuwa na choo ndani.
Alipotoka huko alikuja mtu nguo zote kaacha huko chooni, kijana akataka kutoka nduki, mama akamdaka na kumrusha kitandani huku huku akimpa ishara ya kutokupiga kelele, kammkwangua sruali na ile kitu ya Ludoviki, kijana naye akapa hamu, wakacheza. Walipomaliza mama akampa yule kijana miloni moja na kumwambia asante sana kwa kazi nzuri
Asubuhi ofisini kijana anaona aibu hata kumwangalia lakini mama hajari hata kidogo, siku tatu baada ya ile kapewa laki tena na maelekezo ya kwenda kule hotelini, kijana katii amri ya bosi na kwenda hotelini kutoa dozi
SASA yamekua mazoea lakini si mapenzi maana anapewa aamri. sasa anahisi bosi mkubwa (mme) kajua sasa anataka kuacha kazi maana mkubwa anamuogopa sana. sasa aniomba ushauri nami sina, mwenye uzoefu katika haya anisaidie nimuokoe maana kuacha kazi na kuja kupata nyingine kasheshe

Saturday, June 01, 2013

Japan Inashindana na China Afrika!


African and Japanese leaders hold a bilateral meeting ahead of the Tokyo International Conference Photo by AFP
 
YOKOHAMA, Japan (AP) - Japan is wooing African nations, promising 3.2 trillion yen ($32 billion) as government and private-sector aid to foster growth in a region that is increasingly an appealing market and business partner.

   The package for the next five years, including 1.4 trillion yen ($14 billion) in government aid called ODA, or official development assistance, was announced at a three-day conference in Yokohama, near Tokyo, opening Saturday.

   Japan is eager to catch up with neighboring Asian rival China, which has a big head start in courting Africa, investing heavily in infrastructure projects.

   Prime Minister Shinzo Abe, who took office late last year, is bullish about investing in and exporting to Africa.

   "What Africa needs now is private sector investment," he said in his opening speech, in between meetings with officials from African nations, including Zimbabwe, Ghana, Sudan and Kenya.

   "If we recognize this as a new reality, then it will be necessary to revolutionize the way of providing assistance to Africa," he said.

   Among other measures, Tokyo will invite 1,000 people from Africa to study and work as interns at Japanese companies, according to the Foreign Ministry.

   Japan will also provide 650 billion yen ($6.5 billion) in assistance for infrastructure projects, including support for transportation in cities, it said. Aid for education, farming, energy projects and water sanitation is also being offered.

   "Africa could be the next global growth pole," said Ethiopian Prime Minister Hailemariam Desalegn.

   Japan's conference for Africa, held every five years, began in 1993, and the latest is the fifth such gathering. Japanese companies have set up booths, to showcase their efforts to win business in Africa, such as Nissin Foods, the maker of Cup Noodles.

   U.N. Secretary-General Ban Ki-moon took part in the conference and urged the world to do more to ensure security in the region, noting the value of investing in Africa is now clear.

   "But millions of Africans still lack jobs, health care and food. Too many suffer in conflict. To find solutions, we must address the links between peace, security and government," he said.

Monday, April 30, 2012

Tanzanian - American Business Conference - June 9th, 2012, Hollywood, CA

Dear Diaspora Member,


We are pleased to inform you that Tanzania Investment Group of USA - TIGU Incorporated, is inviting you to attend the 2012 Tanzanian America Business Conference, themed: “Developing Business Relationships” on June 9, 2012. The conference will take place at the Renaissance Hollywood Hotel – 1755 North Highland Avenue, Hollywood, California, USA.

Attendees at this conference will mainly be Tanzanians and Americans who would like to expand the business opportunities here in the USA and in Tanzania for our mutual benefit.

Presenters at this meeting will include the:

• Tanzanian Ambassador to the United States, Mheshimiwa Balozi Mwanaidi Sinare Maajar and her staff from Tanzania Embassy, Washington, DC.

• Director of the Diaspora desk of the Tanzanian Ministry of Foreign Affairs, Bertha Somi (Mama Diaspora)

• Cooperative Rural Development Bank, CRDB

• National Social Security Fund, NSSF

• Parastatal Pension Fund, PPF

• Tanzania Investment Center, TIC

• Tanzania Tourism Board, TTB

• Successful Tanzanians Diasporas doing business in U.S.A.

• American businesses doing business in Tanzania including

• AgriSol

• Pike Electric

To round out a day of business presentations, there will be a “Special Dinner Event” with entertainment and fashion show.

• Mitindo House and Asia Idarous Khamsin will present a fashion show

• Theevening will end with dancing and socializing

The Tanzanian Embassy staff will have a table for all counselor needs including passport renewals and other embassy related issues.

This is a great opportunity for you, Tanzanians and Americans to meet and exchange ideas with other like-minded folks.

For registration and other event information please visit www.tiguinc.com

• Space is limited! Please register as early as possible.

Kind regards,

Iddy Mtango

Director of Public and Media Relations

TIGU Incorporated