Showing posts with label Sex. Show all posts
Showing posts with label Sex. Show all posts

Thursday, January 05, 2017

Aloanisha Kitanda katika Mapenzi

Kumbe staili zingine za ngono ni balaa!!!! 


Saturday, May 28, 2016

Waziri wa Serikali ya Zanzibar Afumaniwa Gesti Akiwa na Binti yake wa Kambo!

Aliyekuwa Mkuu wa Kkoa wa Kaskazini Pemba na Katibu Ikulu Ndogo ya Pemba Mh.Faki Dadi Faki.amekutwa guest akiwa na mtoto wa mke wake wa ndoa!

Iinasemekana ni mtu na mpenzi wake. Ila baada ya mtoto kutiliwa mashaka akajaribu kuficha ficha leo ametegwa na kunaswa kwenye mtego ulioshuhudiwa na mama yake mzazi (mtoto akikutwa kitandani na baba wa kambo) hayo yalifanyika katika hotel ya Excutive iliopo pembeni ya makao makuu ya uhamiaji.

Saturday, October 24, 2015

"Magufuli Asipopita Sitombwi! "- Mshabiki wa CCM


Ushabiki wa Uchaguzi safari hii ni balaa! Watu watanyimnana uroda kweli mtu wao asipopitwa!

Sunday, May 11, 2014

Afya ya Vijana Leo ni Mbaya Ukilinganisha na Yetu Zamani



Na Freddy Macha



Kwa ufupi:
Desturi ya kula inayozagaa nchini kote hususan majiani ni ile iitwayo ‘fast food’ huku Majuu. Ilianzia Marekani.

Tumalizie mada yetu leo iliyoanza wiki tatu zilizopita.
Kitakwimu idadi ya vijana Tanzania ni kubwa zaidi ya wazee, nchi zilizoendelea walipitisha miaka 70 ni wengi sababu ya ubora wa maisha. Lakini hapo hapo Uzunguni yapo ‘mabaya’ yanayostahili kuangaliwa.
Azma ya kutamani ‘maendeleo ya haraka haraka’ bila simile imeanza kuchangia aina ya maradhi ya kisasa. Zamani kisukari, ugonjwa wa moyo au kupoteza nguvu za mapenzi yalikuwa magonjwa ya wazee, walakin leo yanawakaba na kuwasepetua vijana.
Katika makala mbili zilizopita tumejadili namna taratibu nzima ya maisha, siasa- uchumi, elimu na utambuzi yanavyochangia adha hii. Mathalani kama hulali saa nane kwa siku, unaharibu akili, sura, tabia na afya yako.
Kipindi cha miaka 30 iliyopita. kumekuwa na tatizo la Wazungu, hata weusi waliozaliwa huku Majuu, kupungukiwa mbegu za uzazi. Ndoa nyingi zinavunjika. Tatizo hili linaloitwa “low sperm count” au kwa wanawake ‘infertility problems’, limefanyiwa utafiti sana. Mathalan nchini Marekani, imethibitishwa kuwa kutozaa husababishwa na udhaifu wa mayai ukihusisha wote, wanawake na wanaume. Asilimia 30 wanaume na asilimia 30 wanawake wana tatizo hilo.
Sababu zilizotolewa ni pamoja na kurithi hali hiyo, kutokula vyakula asilia, maradhi ya zinaa, uchovu kutokana na kazi na maisha ya kasi sana (“stress”). Tatizo hili lilifikia kilele miaka ya 1980 ambapo wenyeji walipendelea zaidi ndoa na sisi tunaotoka nchi za joto au zinazoendelea.
Kwa nini?
Aina ya maisha (Afrika, Asia na Marekani ya Kusini) ni tofauti na ya Uzunguni. Joto, kutokimbiakimbia ovyo (“stress”), vyakula na hewa safi asilia isiyoathiriwa na moshi, pia mashine za kisasa ni baadhi ya mambo yaliyochangia mbegu, haiba na tabia zetu kimapenzi kuwa bora.
Hivi sasa Wazungu wamegundua kula vyakula asilia (“organic food”) na kufanya mazoezi hustawisha siha ya mapenzi na ngono. Miaka 15 iliyopita vuguvugu la maisha ya siha, limetanda kiasi ambacho maduka yamejazana vyakula asilia vinavyonunuliwa nchi maskini. Mathalan hivi karibuni nilikuwa nakwenda duka moja hapa London kununua nyama ya nyati wa Zimbabwe.
Kwa nini Wazungu wanalipia zaidi vyakula asilia ?
Hapo! Wamegundua njia waliyokuwa wakiipitia baada ya maendeleo ya mashine yaliyoanza karne ya 18 na kufikia kilele karne ya 20 inawaharibia afya na maisha. Sisi tumejaza vitu hivyo, lakini hatuvithamini.
Mwaka 1976 wakati nilipoanza kazi Gazeti la Uhuru, tulikuwa tukila katika vibanda na magenge ya Mama Ntilie. Enzi hizo ubwabwa kwa maharage na ndizi mbivu vilikuwa sehemu mahsusi ya mlo wa mchana. Mwisho wa juma tulipotoka dansini au disko, kando ya barabara yalikaangwa mayai (macho ya ng’ombe) kwa nyanya na vitunguu.


Nilikuwa na rafiki yangu mwanahabari (marehemu) mpigapicha, Awadh Shebe, akiishi Kariakoo. Kila mchana siku za Jumamosi tuliingia Mnazi Mmoja kupata “fruti” yaani bilauri za mseto wa matunda. Leo kinachotiliwa mkazo ni vinywaji vya “kisasa” kama Cocacola, Mirinda kwa “chips” kavu baada ya kazi. Mafuta ya hizo “chips” huwa yameshapikia hata wiki nzima bila kubadilishwa. Sawa kweli?
Desturi ya kula inayozagaa nchini kote hususan majiani ni ile iitwayo ‘fast food’ huku Majuu. Ilianzia Marekani.
Huko ndiko walikojenga maduka na migahawa maarufu ya MacDonalds. Wamarekani haohao wanasemwa hawajui kupika, hawali vyakula asilia. Wanakumbwa na maradhi ya unene na moyo. Haya ndiyo mambo yanayoingia kwetu Afrika. Tena kwa haraka sana.
Je, wangapi leo tunapika nyumbani?
Ni vijana wangapi wanajua kupika msosi ukalika?
Tunakimbilia nyama na ndizi choma tu. Kula nyama choma siyo vibaya hata kidogo. Ubaya imegeuzwa chakula kikuu. Waafrika tunapenda nyama. Twazila kila siku. Nyama nzuri ndiyo. Lakini yanatuponza. Afrika Magharibi na ya Kati wamefikia kula nyama mwitu : panya, nyani na popo! Matokeo ndiyo hiyo Ebola inayoangamiza watu Guinea sasa hivi.
La pili ni ulevi.
Wiki ya jana vyombo vya habari Uzunguni vilitangaza matokeo ya utafiti wa Shirika la ‘Slimming World’ linaloangalia matatizo ya unene kwa walevi 2,000, hapa Uingereza. Kawaida mwanaume anatakiwa asizidishe bia tatu kwa siku, yaani kipimo cha vitengo (“units”), kumi. Ikizidi, mwili hubadilika na kuharibika. Wanawake wanashauriwa vitengo vinane, yaani glasi 2 za mvinyo kama bia mbili. Ulevi unapokiuka vitengo hivyo, mtu hutaka kula zaidi.
Utafiti ulisema, tabia ya kilevi ni kutaka kula ‘chochote kile’ kiwe kibaya au kizuri, kujaza tumbo baada ya kulewa.
Matokeo ni nini? Kutapika, vitambi, ushuzi, unene, harufu mbaya ya mdomo na mwili na mambo kama hayo.
Utafiti wa pili ulichunguza wazee wenye umri wa zaidi ya miaka 60. Ukadadavua kuwa kadri umri unavyokwenda, ndivyo ubongo husinyaa na kupungua uwezo, hii husababisha kusahau, kutofanya mambo sawasawa-yaani ‘dementia’ kwa lugha ya kitaalamu. Utafiti ukashauri kuwa, mazoezi ya viungo kama kutembea (dakika 20 hadi 45 kwa siku), kuogelea, kukimbia na kadhalika kwa watu wa makamo kuimarisha bongo zetu.
Je, yanaathiri vipi vijana?
Vijana leo, (Uzunguni na nyumbani) wanaonyesha dalili za kuwa na matatizo yanayostahili kuwapata wazee. Kwa kuwa bangi ni rahisi kupandisha nishai kuliko pombe (aghali) vijana huanza kuivuta wakiwa wadogo sana. Bangi na dawa za kulevya, humfanya mtumiaji kutojali wakati, kujisikia mzito, mvivu na mwenye usingizi, moyo kukimbia na kadhalika. Bangi inasababisha pia maradhi ya akili (‘schizophrenia’). Ukishazoea sana bangi unakuwa sugu; unataka “kali zaidi.” Unatafuta (‘cocaine’), sindano za ‘heroin’, na kadhalika. Ushetani huu huathiri mzunguko wa damu, jambo linalochangia kupungua nguvu za kufanya mapenzi.
Mwisho, tuangalie ulimbukeni.
Neno hili limetokana na “limbua” au “kulimbuka” yaani mara ya kwanza, kama ua linalochanua. Ulimbukeni ulioenea Tanzania na Afrika unatokana na azma ya kujaribu kupambana na hali duni ya maisha. Kijana anayekua sasa hivi anahitaji uongozi thabiti. Je, ikiwa uongozi bora haupo tutafanyaje? Itabidi tuyakubali maneno ya mwanamuziki wa Kispanyola Manu Chao aliyefanya mahojiano hapa London mwaka 2007 akadai: “Hatuhitaji viongozi. Kila mmoja wetu ahitaji kuwa kiongozi.” Siyo kuvuta bangi na ushetani. Siyo kuwa wavivu. Bali kujituma. Kujielewa sisi nani. Kuipenda nchi yetu; kuipigania. Kujisomea na kujipenda zaidi.

Thursday, March 13, 2014

Mashoga wa Kike Waambukizana UKIMWI

Wadau, hii mpya! Kwa kawaida ni wasenge, mashoga wa kiume wanaoambukizana virusi vya UKIMWI (HIV/AIDS) kwa vile wanapenda mchezo wa kufirana. Sasa leo kuna habari shoga wa kike amemwambukiza shoga mwenzake kwa kupenda mchezo wa kutumia  sex toy (mboo bandia)!  Walisema kuwa walikuwa wanafanya mabo yao hata wakati wakiwa kwenye siku zao! Jamani, damu si ndo ina virusi!  Hii kali!  Walikuwa wanasema kuwa wanawake wakifanya ngono wenyewe kwa wenyewe yaani ushoga hawawezi kuambukizana! Kumbe

*************************************
 
 Kutoka Yahoo.com

Washington (AFP) - A rare case of suspected HIV transmission from one woman to another was reported Thursday by US health authorities.
The 46-year-old woman "likely acquired" human immunodeficiency virus while in a monogamous relationship with an HIV-positive female partner in Texas, said the Centers for Disease Control and Prevention.
The woman, whose name was not released, had engaged in heterosexual relationships in the past, but not in the 10 years prior to her HIV infection.
Her HIV-positive partner, a 43-year-old woman who first tested positive in 2008, was her only sexual partner in the six months leading up to the test that came back positive for HIV.
She did not report any other risk factors for acquiring the virus that causes AIDS, such as injection drug use, organ transplant, tattoos, acupuncture or unprotected sex with multiple partners.
The strain of HIV with which she was infected was a 98 percent genetic match to her partner's, said the CDC in its weekly report.
Authorities first learned of the case in August 2012 from the Houston Department of Health.
The couple said they had not received any counseling about safe sex practices, and reported that they routinely had sex without barrier methods.
"They described their sexual contact as at times rough to the point of inducing bleeding in either woman," said the CDC report.
"They also reported having unprotected sexual contact during the menses of either partner."
The partner who was infected since 2008 had been prescribed antiretroviral drugs in 2009 but stopped taking them in November 2010, and was lost to follow up in January 2011.
The CDC warned that although such cases are rare, "female-to-female transmission is possible because HIV can be found in vaginal fluid and menstrual blood."
People with HIV should be under the care of a doctor and take their prescribed medicines to keep their viral load down and reduce the risk of infecting a partner, the CDC said.
Very few cases of this kind have been documented, and confirmation "has been difficult because other risk factors almost always are present or cannot be ruled out," said the report.
One survey of 960,000 female blood donors found 144 who tested positive for HIV and were therefore blocked from donating.
Of 106 of those women who agreed to interviews, none described female-to-female sexual contact as their only risk factor.
The CDC also described one case of a woman in the Philippines who tested positive for HIV and said she had sex only with women and did not inject drugs, though no source of infection could be confirmed.
One other case is known of a 20-year-old woman who was diagnosed with HIV after a two-year monogamous relationship with a female partner who was HIV positive. While both women had the same drug-resistant HIV mutations, no tests were done to identify if their HIV strains were a genetic match.

Wednesday, March 05, 2014

Mzungu Akamatwa Akifanya Ngono Na Mbwa Florida!

Wadau, huyo mzungu alikuwa anafuga mbwa kwa ajili ya kufanya ngono nao!  Sasa amekamtwa laivu akiwa amemwingilia mbwa. Anashitikawa kwa kos ya kumtesa mnyama, na kumjeruhi mnyama!  Sheria za Marekani ni kali sana kwa wanaotesa wanyama!  Naona kafanya ngono na mbwa muda mrefu kiasi kwamba uso wake unafanana na mbwa!

BOFYA LINKI HAPO CHINI KWA HABARI ZAIDI!

**************************



Tampa man accused of sex with pit bull. Eight dogs were removed from his home after shocked neighbors complained.

STORY: http://www.myfoxtampabay.com/story/24892576/2014/03/05/man-accused-of-sex-with-pit-bull
— with William Fueshko, Paul Fraser, Daniel McGuinness, Kristin Lambert and Kimberly Heselton Nicholson.

Monday, February 10, 2014

Hospitali Maalum Kwa Ajili ya Wanawake Walikeketwa Inafunguliwa!

Hii hospitali itasaidia wanawake waliokatwa Kisimi yaani Tohara!  Kuna kabila mabazo ambazo wanazikata ili ashki ya mwanamke ipungue.  lakini inaleta matatizo wakato wa uzazi.

*************************************
PRESS RELEASE
 
World's 1st Clitoral Repair Hospital for FGM Victims to Open in West Africa on March 7
 
Chantal Compaore, First Lady of Burkina Faso, will preside at the ceremony
 
OUAGADOUGOU, Burkina-Faso, February 10, 2014 -- The world’s first clitoral repair hospital for victims of female genital mutilation (FGM), located in Bobo-Dioulasso, Burkina Faso, will open on March 7, according to a statement released today by the U.S.-based, nonprofit organization Clitoraid (http://www.clitoraid.org). Chantal Compaore, First Lady of Burkina Faso, will preside at the ceremony.
 
 
 
Photo 1: http://www.photos.apo-opa.com/plog-content/images/apo/photos/kamkaso.jpg (The world’s first clitoral repair hospital for victims of female genital mutilation (FGM), located in Bobo-Dioulasso, Burkina Faso, will open on March 7)
 
Photo 2: http://www.photos.apo-opa.com/plog-content/images/apo/photos/nadine-gary.jpg (Clitoraid Communications Director Nadine Gary)
 
Photo 3: http://www.photos.apo-opa.com/plog-content/images/apo/photos/marci-bowers-md.jpg (Dr. Marci Bowers, M.D., and Dr. Harold Henning Jr., M.D., will perform surgeries at the new hospital and also train other surgeons to do it)
 
Photo 4: http://www.photos.apo-opa.com/plog-content/images/apo/photos/harold-henning-md.jpg (Dr. Harold Henning Jr., M.D., and Dr. Marci Bowers, M.D., will perform surgeries at the new hospital and also train other surgeons to do it)
 
The hospital was built with donated funds and through the efforts of worldwide volunteers.
 
“Having Chantal Compaore's support and presence on March 7 is such a wonderful way to celebrate this opening!” said Clitoraid Communications Director Nadine Gary. “She has been a steadfast voice against the horrors of FGM, and we’re honored that she will be there.”
 
Gary said hundreds of women are already on Clitoraid’s waiting list to have the surgery, which will be free for any woman who wants it.
 
“Their wait is almost over,” Gary said. She said the new facility, called “the Kamkaso,” which means “the house for women,” has been nicknamed “the Pleasure Hospital,” since the surgery “will restore their dignity as women as well as their ability to experience physical pleasure, which was taken from them against their will.”
 
Gary went on to explain how the idea of the hospital came about.
 
“After spiritual leader Maitreya Rael heard about a clitoral repair procedure developed by Dr. Pierre Foldes in France, he launched Clitoraid and the idea of building clinics that offer free surgery for FGM victims. After the United Nations adopted a resolution banning FGM, there’s been universal agreement that it’s a violation of human rights and the integrity of individuals. And eliminating FGM  is essential for women’s health, so governments must keep passing laws against it. But Rael realized that it’s also important to repair the damage already caused to living victims. This hospital is the result of his vision.”
 
Gary said Clitoraid volunteer surgeons from the United States, Dr. Marci Bowers, M.D., and Dr. Harold Henning Jr., M.D., will perform surgeries at the new hospital and also train other surgeons to do it.
 
“The goal is to help as many victims as possible have this surgery, which will also help discourage the barbaric practice of FGM,” Gary said.  “When its effects can be surgically reversed for free, what would be the point?”
 
Distributed by APO (African Press Organization) on behalf of Clitoraid.
 

Thursday, November 28, 2013

Mzee wa Miaka 77 allitaka Kufanya Ngono na Mtoto wa Miaka 7!

Kuna wazungu wazee wanaopenda kufanya ngono na watoto. Wanasafiri kwenda nchi za nje kama Thailand na India na kubaka watoto huko.  Huyo Mzee David Herman mwenye miaka 77 aliwahi kuwa mtangazaji maarufu alitaka kufanya ngono na mtoto wa miaka 7. Alifanya mpango na kuwanunulia mama mtoto na mtoto tiketi za ndege ili wakutane kwenye hoteli Virgin Islands. Kumbe mtoto alikuwa ni polisi anayejifanya mtoto!  SHENZI ZAKE! HIZO NYEGE ZA AJABU ZIKOME!

******************************************

By DAVID PORTER
Associated Press
   NEWARK, N.J. (AP) - A tearful former New York City radio personality made his first appearance in federal court Wednesday, five weeks after he was arrested in the U.S. Virgin Islands and charged with trying to arrange to have sex with a 7-year-old girl.
Mzee David Herman (77)

   David Herman didn't enter a plea before U.S. Magistrate Mark Falk and will remain jailed pending a hearing to determine whether he will be released on bail while he awaits trial. Herman was caught in a sting operation, and his attorney said investigators pushed his client into implicating himself.

   Herman believed he was communicating with a 36-year-old single mother with a young daughter, and tried in multiple telephone and online conversations to arrange illegal sexual encounters with the child in New York and New Jersey, investigators said. At one point he allegedly indicated he wanted to fly the pair to St. Croix so he could engage in sexual activity with the child there. The woman was actually an undercover officer employed by Bergen County, and the child was fictional.

   Herman purchased airline tickets for the pair to fly from LaGuardia airport to St. Croix, according to prosecutors. He arrived at the airport on Oct. 24 to pick them up, according to the U.S. attorney's office, but was instead arrested by special agents of U.S. Homeland Security and Immigration and Customs Enforcement.

   Herman's attorney, Marc Agnifilo, said Herman only engaged in banter about the child because he was interested in the 36-year-old, and that the woman, not Herman, initiated conversations about the child.

   "There was an attempt by the investigator to get him to say things on tape to implicate himself," he said.

   Herman was a well-known disc jockey at FM radio station WNEW in New York. Agnifilo said Herman suffers from emphysema and before his arrest was "just happy that a 36-year-old woman wanted to come to St. Croix to see him."

   He acknowledged the undercover officer came across Herman in a chat room "that dealt mostly with incest."

   Herman has been in custody since his arrest and arrived in New Jersey on Tuesday, according to the U.S. attorney's office.

   The 77-year-old walked into court in handcuffs and yellow prison garb. He spoke during the hearing only to say that he understood his rights, and he appeared to be crying when he looked out into the gallery.

   Assistant U.S. Attorney Francisco Navarro told the judge Wednesday that the government would oppose bail and called Herman "a severe danger to the community."

   Herman is charged with attempting to transport a minor in interstate commerce with the intent of engaging in illegal sexual activity. If convicted, he could face life in prison and would have to serve a mandatory 10-year minimum sentence, a U.S. attorney's office spokeswoman said.

Sunday, November 17, 2013

Makufuli ya Mboo - Si Utani

Wakina mama watafurahia hizo makufuli ya mboo.  Ambaye atazaiingiza barani Afrika atatajrika. Ume unafungwa, na mwanamke/mpenzi wako anakaa na ufunguo! Hivyo unapata ruksa kufanya mambo ukifunguliwa!  Dume ataweza kujisaidia haja ndogo, lakini ngono hapana mpaka afunguliwe. Mambo si ndo hayo!

Dada atamwambia mchumba wake, "Kama kweli unanipenda kweli basi utavaa huo kufuli!'  Mke atamlazimisha mume wake avae akiwa safarini. Mwanamke anayejua mume/mpenzi wake nyege mwasho atahakikisha huo ume anafaidi yeye tu!

Makufuli ya Mboo Oyee!

***************************************

 Kusoma habari kamili BOFYA HAPA:

Friday, September 27, 2013

Si Huyo Tu, WaBongo Wengi Wanakuwa Malaya Ughaibuni!!!

Yaani ni bora kubaki nyumbani kulkioni kujingiza kwenye biashara ya umalaya. Na si wanawake tu, hata wanaume siku hizi malaya. Wanaume wanatembea na vizee wa kizungu ili wapate hela ya chapuchapu!  Wengine wananyonya dhakari a wasenge na hata kuamua kifrwa kwa ajili ya dola!  Hao wanaojiuza wanajikuta wantumia madawa ya kulevya pia.  

Anayofanya huyo dada chini si modelling bali ni kujiuza kwenye site za wanaotaka kupiga punyeto, au kukutana na mtu kama malaya! 

***************************************************
Kutoka gazeti la Mpekuzi

Sakata zima la mwanamke wa kitanzania aliyeamua kuugeuza mwili wake kuwa KITEGA UCHUMI huko ughaibuni

 
Ni  mwanamke  anayejulikana  kwa  jina  la  Florah Lymo  ambaye alijipatia  umarufu  mkubwa  baada  ya  kujitokeza  hadharani  na  kudai  kubakwa  na  mbunge  Lema....

Wengi  waliyaamini  madai hayo kutokana  na  ujasili  aliokuwa  nao wakati  akiieleza  dunia  kuhusu  tendo  la  ubakwaji  alilotendewa....

Hakika  jambo  usilolijua  ni  kama  usiku  wa  giza...Amini  usiami, mwanamke  huyu  hakubakwa  .Ujasili  wake ulikuwa  ni  mchezo  wa  kuigiza na  tayari  mtandao  huu  umefanikiwa  kupata  sehemu  ya  mchezo  huo ambao  ni  komedi  tupu.

Baada  ya  mchezo  huo  kukosa  mafanikio  na  hali  ya  maisha  kuwa  ngumu  kifedha, mtandao  huu umedokezwa kuwa   Florah  amejikuta  akiwa  ni mtumwa  wa  mwili  wake ndani  ya  nchi  za  watu....

Utumwa  huo  unadaiwa  kutokana  na  kitendo  cha  yeye  kuugeuza  mwili  wake  kuwa  kitega  uchumi..

Zifuatazo  ni  picha  chafu  za  mwanamke  huyo  ambazo  zimekuwa  zikitundikwa  katika  mtandao  wake  kwa  lengo  la kujiongezea  wateja....

PICHA  YA  KWANZA: <<  BOFYA  HAPA>>

PICHA  YA  PILI:         << BOFYA  HAPA >>

PICHA  YA  TATU:      << BOFYA  HAPA>>

Picha  si  nzuri  na  hatuwezi  kuzianika  moja  kwa  moja.Bofya  hapo juu  kuziona( kwa  watu  wazima  tu )

Sunday, July 07, 2013

Anaomba Ushauri - Ndugu Yake Ameingizwa Kwenye Uzinzi!

 Nimepokea kwa E-Mail:

Na Mdau A.R.

Jamaa yangu mmoja ameajiri na kampuni inayomilikiwa na mme na mke.
mke immediate bosi wa kijana huyu ambaye hata hajaoa
Siku moja akapewa pesa laki moja akimwambia atafute usafiri na maekezo kwa wakutane hoteli fulani kuna kazi anataka wafanye mahali tulivu.
Kijana alijua mambo ya kiofisi, kachukua usafiri hadi kaenda kule hotelini; kufika kamkuta mama akimsubiri mapokezi, akampokea na kumeleka chumbani, kijana na laptop yake hajui hili na lile.
Mama kakaa, kitandani kijana kwenye kochi, mama yule bosi akaanza kusimulia matatizo ya mumewe, kwamba yupo busy na mambo ya biashara ampi tunda.  Kijana pamoja na kwamba hajaoa, akaanza kumpa shule jinsi ya kumfanya mmewe ampe atakacho, kabla ya kijana kumaliza maelezo yake yule mama akamwambia hata hamwelewi anamwambia nini maana anajisikia hamu sana ya kufanya ni muda mrefu.
Yule kijana kwa hofu akasema ngoja nikimbie pale famasi labda kuna dawa za kutuliza hamu nikuchukulie umeze; mama akasema hataki dawa, mara akaingia chooni maana chumba alichokua kilikuwa na choo ndani.
Alipotoka huko alikuja mtu nguo zote kaacha huko chooni, kijana akataka kutoka nduki, mama akamdaka na kumrusha kitandani huku huku akimpa ishara ya kutokupiga kelele, kammkwangua sruali na ile kitu ya Ludoviki, kijana naye akapa hamu, wakacheza. Walipomaliza mama akampa yule kijana miloni moja na kumwambia asante sana kwa kazi nzuri
Asubuhi ofisini kijana anaona aibu hata kumwangalia lakini mama hajari hata kidogo, siku tatu baada ya ile kapewa laki tena na maelekezo ya kwenda kule hotelini, kijana katii amri ya bosi na kwenda hotelini kutoa dozi
SASA yamekua mazoea lakini si mapenzi maana anapewa aamri. sasa anahisi bosi mkubwa (mme) kajua sasa anataka kuacha kazi maana mkubwa anamuogopa sana. sasa aniomba ushauri nami sina, mwenye uzoefu katika haya anisaidie nimuokoe maana kuacha kazi na kuja kupata nyingine kasheshe

Wednesday, May 15, 2013

Uke Yapotea Baada Ya Kufanya Mapenzi na Mwanaume Aliyeoa Kenya



Duh! Hii kali, huyo mganga wa kienyeji Kenya ana dawa kali sana.

Kuna dada fulani kutoka Ukambani, Kenya mwenye miaka 29. Alikuwa na mazoea ya kutembea na wanaume wa watu. Mke wa jamaa fulani kamwonya huyo dada kuwa ataathirika vibaya akiendelea kutmbea na mume wake.  Yule dada hakusikia na badala yake kaendelea kutembea na jamaa. Basi wiki hii baada ya kufanya kitendo na yule jamaa aliamka kwenda kukojoa (haja ndogo)....Akakuta uke/kuma yakeimezibwa kabisa!   Baada ya yule dada kuomba msamaha kwa yule mama, waliondoa ile dawa. 

Hii dawa inafaa sana!  Mganga huyo atatajirika!

Kwa habari kamili BOFYA HAPA:

Thursday, May 02, 2013

Nyege Mwasho za Padri Urbanus Ngowi

Father Urbanus Ngowi Phooto from Catholicweb.com

Father Urbanus Ngowi afumaniwa na Mke wa Mtu akivunja amri 10 Mjini Moshi


KANISA Katoliki Jimbo la Moshi limeingia katika kashfa nzito baada ya padri wake, Father Urbanus Ngowi wa moja ya parokia zake kudaiwa kufumaniwa na mwanamke anayesemekana ni mke wa mtu, Ijumaa Wikienda lina sakata zima.

Sakata la fumanizi hilo linadaiwa kutokea Jumatatu ya wiki iliyopita chumbani kwa padri huyo, Marangu Wilaya ya Moshi Vijijini ambako Father Ngowi inasemekana alikutwa ‘laivu’ akiwa na mwanamke huyo aliyejulikana kwa jina la kijamii la Mama P.

Pamoja na kunaswa huko, vyanzo havijaeleza humo chumbani wawili hao walikuwa wakifanya nini!

Habari zinadai siku ya tukio, mwanamke huyo aliingia nyumbani kwa padri huyo ambapo baadhi ya ndugu wa mumewe walikuwa wakimfuatilia baada ya madai yaliyokuwepo kwamba ana ukaribu wenye maswali mengi na mtumishi huyo wa Mungu.

“Unajua siku nyingi ilivuma kwamba Mama P na Father Ngowi wana ukaribu wenye maswali mengi, mume wake alifuatilia na kubaini ni kweli lakini akashindwa kuutenganisha ukaribu wao,” kilidai chanzo.

Chanzo kikaendelea kudai kwamba baada ya kuona mkewe amejikita kwa mtumishi wa Mungu, mumewe (jina tunalo) alinyoosha mikono juu na kumwachia Mungu.

Chanzo: Sasa siku hiyo baada ya ndugu wa mume kumfuatilia mpaka anaingia kwa Father Ngowi, wakaona ni bora watafute mpigapicha ili kupata picha za tukio ambazo zitakuwa ushahidi siku za mbele.

“Walipompata wakazama ndani, sekeseke likaanzia hapo. Walimkuta mwanamke huyo na mtumishi wa Mungu wapo kitandani.”

AWEKWA KITIMOTO

Habari zinadai kwamba kufuatia tukio hilo, tayari Kanisa Katoliki limemweka kitimoto padri huyo ambaye alikuwa akihudumu katika Parokia ya Korongoni, Moshi Vijijini kabla ya kuhamishwa na kupelekwa Parokia ya Makomu, Marangu ambako inadaiwa ameshushwa cheo.

Inadaiwa kuwa baada ya tukio hilo, Father Ngowi alikana kukutwa na mke wa mtu chumbani kwake lakini alipobanwa sana na mabosi wa Jimbo Kuu la Kanisa Katoliki Moshi, alikiri na kudai ibilisi alimpitia na kuomba kanisa limsamehe na kutompa adhabu kali ambayo itamuathiri kisaikolojia.

Hili ni tukio kubwa na la aina yake kuwahi kulikumba Kanisa Katoliki nchini kwa padri wake kudaiwa kukutwa na mke wa mtu chumbani kwake!

SIKU ZA NYUMA

Kuna madai kwamba mwaka jana (2012), Father Ngowi, mbele ya waumini wake alisoma barua yenye kukana shutuma zote zilizoelekezwa kwake kwamba amekuwa na ukaribu wenye maswali mengi na wake za watu.

Taarifa zilidai kuwa padri huyo aliweka wazi akisema si kweli kwamba amekuwa na ukaribu unaotajwa, akawataka waumini wake wapuuze tuhuma hizo alizosema zina mwelekeo wa kuchafua sifa yake na taswira ya Kanisa Katoliki kwa jumla.

Hayo ni madai ya vyanzo vyetu ambavyo viliambatanisha na picha mbalimbali za tukio hilo lenye kushtua waumini sambamba na namba za simu za padri huyo kwa ajili ya mawasiliano ili kujiridhisha.

IJUMAA WIKIENDA NA FATHER NGOWI SASA

Baada ya kujazwa madai hayo, kama ilivyo desturi ya Magazeti ya Global Publishers likiwemo hili (Ijumaa Wikienda), lilimsaka Father Ngowi kwa udi na uvumba ambapo Ijumaa iliyopita nyakati za mchana lilifanikiwa kuzungumza naye lakini kabla ya kufanya hivyo, kifaa cha kunasia sauti kiliwekwa sawa na mambo yalikuwa hivi:

Wikienda: Haloo, naongea na Father Ngowi wa Parokia ya Korongoni, Marangu, Moshi?

Father Ngowi: Naam ni mimi, nani mwenzangu?

Wikienda: Naitwa…(mhariri anataja jina), napiga simu kutoka Magazeti ya Global Publishers.

Father Ngowi: Uko wapi?

Wikienda: Makao Makuu ya Global Publishers, Dar es Salaam.

Father Ngowi: Eeh…unasemaje?

Wikienda: Kuna madai ya wewe kukutwa na mke wa mtu chumbani. Je, unaweza kunielezea kama ni kweli na tukio lilikuwaje?

Father Ngowi: Siyo mimi.

Wikienda: Wewe siyo Father Urbanus Ngowi?

Father Ngowi: Nimekwambia siyo mimi, hao ni matapeli wanataka pesa ndiyo wametengeneza hizo picha.

Wikienda: Kwa hiyo unataka kuniambia hizi picha ni za kutengeneza?

Father Ngowi: Nimekwambia hao ni matapeli wanataka pesa.

Wikienda: Ulishaziona picha zenyewe?

Father Ngowi: Sijui.

NGOMA YATUPWA KWA MKUU WA JIMBO

Wikienda: Mbona tayari tukio hilo linadaiwa limeshafika kwenye ngazi ya jimbo, Moshi kwa Father Paul Uria?

Father Ngowi: Muulize yeye ndiye mkubwa wangu.

Wikienda: Basi nisaidie namba yake ya simu ya mkononi.

Baada ya takribani dakika 10, Father Ngowi alituma namba ya simu ya Father Uria na mambo yakawa hivi:

Wikienda (huku kinasa sauti kikiendelea kufanya kazi): Haloo…naitwa …(mhariri anajitambulisha) kutoka Magazeti ya Global Publishers, Dar es Salaam, naongea na Mkuu wa Jimbo Kanisa Katoliki, Moshi, Father Uria?

Father Uria (kwa sauti yenye unyenyekevu): Ndiyo.

Wikienda: Una taarifa za mtumishi wako, Father Ngowi kunaswa na mke wa mtu chumbani?

Father Uria: Kwanza mimi si mkuu wa jimbo, ni mwakilishi wa mkuu wa jimbo. Sipo mjini kwa sasa nipo Kilema huku vijijini kwenye huduma lakini nilikuta ‘missed calls’ zake jana (Alhamisi) kwani ilikuwa tukutane kwa sababu alishanijulisha kuwa kuna tukio kama hilo unaloniambia wewe.

NGOMA YAWA NZITO, YATUPWA LEO JUMATATU

“Kweli tulikuwa tukae jana lakini ikashindikana, leo (Ijumaa) ni sikukuu (Muungano), kesho (Jumamosi) na keshokutwa (Jumapili) ni wikiendi. Kwa hiyo tutakaa Jumatatu (leo) hivyo nipigie saa 10:00 jioni siku hiyo ili nikupe maagizo tutakayofikia na mengine.

Wikienda: Lakini Father Ngowi alikueleza tukio lilikuwaje?

Father Uria: Nimekwambia tukikaa ndiyo tutajua kilichotokea. Wewe nipigie hiyo saa 10 nikupe kitakachojiri.

Wikienda: Shukrani Father Uria kwa ushirikiano.

CHANZO: GLOBAL PUBLISHERS



Father Ngowi na Mama P wakiwa na nyuso za aibu baada ya Kufumaniwa!


Monday, April 29, 2013

Padri MKatoliki Afumaniwa na Mke wa Mtu!

 Wadau, lazima niseme kuwa nafahamu mapdri wa Kanisa Katoliki waliozaa watoto, wana mke na familia kabisa! Pia, nilipokuwa Daily News, mwandishi wa habari mwenzangu (marehemu) alikuwa anatamba kuwa alikuwa antembea na Sista wa Kanisa Katoliki. Anasema alipokuwa anakutana na yule sista anavua shela yake, wakimaliza anaivaa! Duh! Hapa Boston walikuta skeletons za watoto wachanga kwenye basement ya convent fulani!  Kanisa Katoliki inazuia mapadri kutokuoa maana wanakuwa na ashki kama watu wa kawaida.  Pia umesikia skandali ya mapari wa Kanisa Katoliki kuwafanywa watoto vibaya.  Jamani, hebu waruhusu kuoaAu wakatwe dhakari kabla ya kuwa padri!

***********************************



Kutoka Global Publishers:


KANISA Katoliki Jimbo la Moshi limeingia ,katika kashfa nzito baada ya padri wake, Father Urbanus Ngowi wa moja ya parokia zake kudaiwa kufumaniwa na mwanamke anayesemekana ni mke wa mtu



Father Ngowi akiwa ameduwaa baada ya kufumaniwa akiwa na mke wa mtu aliyejulikana kwa jina la kijamii la Mama P.

Sakata la fumanizi hilo linadaiwa kutokea Jumatatu ya wiki iliyopita chumbani kwa padri huyo, Marangu Wilaya ya Moshi Vijijini ambako Father Ngowi inasemekana alikutwa ‘laivu’ akiwa na mwanamke huyo aliyejulikana kwa jina la kijamii la Mama P.

Pamoja na kunaswa huko, vyanzo havijaeleza humo chumbani wawili hao walikuwa wakifanya nini!

Habari zinadai siku ya tukio, mwanamke huyo aliingia nyumbani kwa padri huyo ambapo baadhi ya ndugu wa mumewe walikuwa wakimfuatilia baada ya madai yaliyokuwepo kwamba ana ukaribu wenye maswali mengi na mtumishi huyo wa Mungu.

“Unajua siku nyingi ilivuma kwamba Mama P na Father Ngowi wana ukaribu wenye maswali mengi, mume wake alifuatilia na kubaini ni kweli lakini akashindwa kuutenganisha ukaribu wao,” kilidai chanzo.


Father Ngowi akijaribu kuomba samahani baada ya kufumaniwa.

Chanzo kikaendelea kudai kwamba baada ya kuona mkewe amejikita kwa mtumishi wa Mungu, mumewe alinyoosha mikono juu na kumwachia Mungu.

Chanzo: Sasa siku hiyo baada ya ndugu wa mume kumfuatilia mpaka anaingia kwa Father Ngowi, wakaona ni bora watafute mpigapicha ili kupata picha za tukio ambazo zitakuwa ushahidi siku za mbele.

“Walipompata wakazama ndani, sekeseke likaanzia hapo. Walimkuta mwanamke huyo na mtumishi wa Mungu wapo kitandani.”


Father Ngowi na Mama P wakivaa nguo zao kwa aibu baada ya kufumaniwa.
Habari zinadai kwamba kufuatia tukio hilo, tayari Kanisa Katoliki limemweka kitimoto padri huyo ambaye alikuwa akihudumu katika Parokia ya Korongoni, Moshi Vijijini kabla ya kuhamishwa na kupelekwa Parokia ya Makomu, Marangu ambako inadaiwa ameshushwa cheo.

Inadaiwa kuwa baada ya tukio hilo, Father Ngowi alikana kukutwa na mke wa mtu chumbani kwake lakini alipobanwa sana na mabosi wa Jimbo Kuu la Kanisa Katoliki Moshi, alikiri na kudai ibilisi alimpitia na kuomba kanisa limsamehe na kutompa adhabu kali ambayo itamuathiri kisaikolojia.

Hili ni tukio kubwa na la aina yake kuwahi kulikumba Kanisa Katoliki nchini kwa padri wake kudaiwa kukutwa na mke wa mtu chumbani
Father Ngowi na Mama P wakiwa na nyuso za aibu baada ya tukio hilo.
Kuna madai kwamba mwaka jana (2012), Father Ngowi, mbele ya waumini wake alisoma barua yenye kukana shutuma zote zilizoelekezwa kwake kwamba amekuwa na ukaribu wenye maswali mengi na wake za watu.

Taarifa zilidai kuwa padri huyo aliweka wazi akisema si kweli kwamba amekuwa na ukaribu unaotajwa, akawataka waumini wake wapuuze tuhuma hizo alizosema zina mwelekeo wa kuchafua sifa yake na taswira ya Kanisa Katoliki kwa jumla.

Hayo ni madai ya vyanzo vyetu ambavyo viliambatanisha na picha mbalimbali za tukio hilo lenye kushtua waumini sambamba na namba za simu za padri huyo kwa ajili ya mawasiliano ili kujiridhisha.
Father Ngowi akipatiwa suruali yake.
poleni sana mtakao ghafilika ni taarifa tu wandugu.myie wanaume mnamuona mwenzenu? itikadi za kidini weka pembeni tuzungumze fumanizi!


************************************************************************
 
Father Urbanus Ngowi  photo from Catholicweb.com



Father Urbanus Ngowi
 http://home.catholicweb.com/moshidiocese/index.cfm/NewsItem?ID=201906&From=Home