Showing posts with label Busha. Show all posts
Showing posts with label Busha. Show all posts
Wednesday, September 04, 2013
Dawa ya Kuzuia Busha
Hawatokwenda kunywa dawa za kuzuia upofu, ngirimaji-busha na watagoma kupasuliwa busha kwa imani potufu lisha ya mabango haya vijijini na mijini. NGO hadi za nchi ya nje zipo kutuelimisha na kutugharimia lakini matokeo madogo lawama tu.
Labels:
Busha,
Imani,
NGO,
Tanzania,
Uchawi,
Wachawi,
Witchcraft,
Witchdoctors
Subscribe to:
Posts (Atom)