Showing posts with label Dodoma. Show all posts
Showing posts with label Dodoma. Show all posts
Saturday, March 11, 2017
Saturday, December 17, 2016
Naibu Katibu Mkuu Mpya wa CCM Akagua Mali za Chama Dodoma
MPOGOLO AKAGUA MALI ZA CHAMA LEO MJINI DODOMA, LUHWAVI AMKABIDHI KILA KITU HADI MSAIDIZI
Naibu Katibu Mkuu mstaafu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi akimpa maelezo Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rodrick Mpogolo, kuhusu jengo la mikutano la CCM, lililopo Kilimani mjini Dodoma wakati Naibu Katibu Mkuu huyo mpya alipotembelea jengo hilo akiwa katika ziara ya kukagua mali za CCM, leo. Kushoto ni Mkuu wa Utawala Makao Makuu ya CCM, Innocent Msena na kulia ni Katibu Msaidizi Mkuu Idara ya Utumishi na Uendeshaji Makao Makuu ya CCM Filbert Mdaki.
Naibu Katibu Mkuu mstaafu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi akimpa maelezo Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rodrick Mpogolo, kuhusu jengo la mikutano la CCM, lililopo Kilimani mjini Dodoma wakati Naibu Katibu Mkuu huyo mpya alipotembelea jengo hilo akiwa katika ziara ya kukagua mali za CCM, leo. kulia ni Katibu Msaidizi Mkuu Idara ya Utumishi na Uendeshaji Makao Makuu ya CCM Filbert Mdaki.
Mafara wa Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rodrick Mpogolo ukiwa mbele ya jengo hilo la mikutano la CCM
Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rodrick Mpogolo, akimoji jambo, Naibu Katibu Mkuu mstaafu wa CCM-Bara Rajabu Luhwavi baada ya kukagua jengo hilo, akiwa katika ziara ya kukagua mali za Chama, leo mjini Dodoma.
Katibu Msaidizi Mkuu Idara ya Utumishi na Uendeshaji Makao Makuu ya CCM Filbert Mdaki akiongeza maelezo kwa Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rodrick Mpogolo alipoenda kukagua kiwanja cha CCM kilichopo eneo la Kilimani mjini Dodoma, akiwa katikaziara ya kukagua mali za Chama, leo mjini Dodoma.
Naibu Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi, akimuonyesha mwisho wa shamba la CCM, Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rodrick Mpogolo (wapili kulia), Naibu Katibu Mkuu huyo alipoenda kukagua kiwanja hicho kilichopo eneo la Kilimani mjini Dodoma, akiwa katikaziara ya kukagua mali za Chama, leo mjini Dodoma, leo.
Mkuu wa Utawala Makao Makuu ya CCM, Innocent Msena akimpa maelezo Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rodrick Mpogolo, aliyefika kukagua nyumba ya Chama atakayoishi, akiwa katika ziara ya kukagua mali za Chama mjini Dodoma, leo
Katibu Msaidizi Mkuu Idara ya Utumishi na Uenedeshaji Filbert Mdaki akionyesha sehemu ya jikoni, wakati Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rodrick Mpogolo alipokagua nyumba ya CCM ya Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, akiwa katika ziara ya kukagua mali za Chama leo mjini Dodoma. Kushoto ni Luhwavi
Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rodrick Mpogolo akikagua meza kwenye jiko, alipokuwa akikagua nyumba ya CCM ya Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, akiwa katika ziara ya kukagua mali za Chama mjini Dodoma leo. Kulia ni Msaidizi Msaidizi wa Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Mbwana Kambangwa.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rodrick Mpogolo akikagua kabati la jikoni, alipokuwa akikagua nyumba ya CCM ya Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, akiwa katika ziara ya kukagua mali za Chama mjini Dodoma leo
Naibu Katibu Mkuu mstaafu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi akimpa maelezo Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rodrick Mpogolo wakati wakiizunguka kuikagua nyumba ya CCM ya Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Mpogolo alipokuwa katika ziara ya kukagua mali za Chama mjini Dodoma, leo.
Naibu Katibu Mkuu mstaafu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi akimpa maelezo Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rodrick Mpogolo baada ya kuikagua nyumba ya CCM ya Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Mpogolo alipokuwa katika ziara ya kukagua mali za Chama mjini Dodoma, leo.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Rodrick Mpogolo (wapili kushoto), akipatiwa maelezo na Fundi wa magari, Ramadhani Mbelwa (kushoto), kuhusu hali ya magari yaliyoharibika, Mpogolo alipokuwa akikagua magari hayo akiwa katika ziara ya kukagua mali za Chama mjini Dodoma, leo.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rodrick Mpogolo amhoji jambo Fundi wa magari ya Chama, Ramadhani Mbelwa (kushoto), alipokuwa akikagua magari mabovu ya Chama, akiwa katika ziara ya kukagua mali za Chama mjini Dodoma, leo. Kulia ni Luhwavi.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rodrick Mpogolo akionyeshwa gari lililofunguliwa boneti, kupata uthibisho wa gari tatizo la gari, alipokuwa akikagua magari mabovu ya Chama, akiwa katika ziara ya kukagua mali za Chama, leo mjini Dodoma.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rodrick Mpogolo akimshukuru Naibu Katibu Mkuu mstaafu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi baada ya kumalizika kazi ya kukagua baadhi ya mali za Chama, mjini Dodoma leo.
KUNZIA SASA HUYU NDIYO BOSS WAKO, SIYO MIMI TENA: Naibu Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi akimtambulisha aliyekuwa Msaidizi wake, Mbwana Kambangwa(kulia), kwa Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rodrick Mpogolo kabla ya kuagana, mwishoni mwa ziara ya Mpogolo kukagua mali za Chama, mjini Dodoma, leo. Picha zote na Bashir Nkoromo-theNkoromo Blog
Naibu Katibu Mkuu mstaafu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi akimpa maelezo Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rodrick Mpogolo, kuhusu jengo la mikutano la CCM, lililopo Kilimani mjini Dodoma wakati Naibu Katibu Mkuu huyo mpya alipotembelea jengo hilo akiwa katika ziara ya kukagua mali za CCM, leo. kulia ni Katibu Msaidizi Mkuu Idara ya Utumishi na Uendeshaji Makao Makuu ya CCM Filbert Mdaki.
Mafara wa Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rodrick Mpogolo ukiwa mbele ya jengo hilo la mikutano la CCM
Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rodrick Mpogolo, akimoji jambo, Naibu Katibu Mkuu mstaafu wa CCM-Bara Rajabu Luhwavi baada ya kukagua jengo hilo, akiwa katika ziara ya kukagua mali za Chama, leo mjini Dodoma.
KIWANJA
🔻
Meneja wa Miliki wa Makao Makuu ya CCM, Abdallah (kulia) Msangi akimpatia maelezo Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rodrick Mpogolo (wapili kushoto), alipoenda kukagua kiwanja cha CCM kilichopo eneo la Kilimani mjini Dodoma, akiwa katikaziara ya kukagua mali za Chama, leo mjini Dodoma. Kulia ni Naibu Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi.Katibu Msaidizi Mkuu Idara ya Utumishi na Uendeshaji Makao Makuu ya CCM Filbert Mdaki akiongeza maelezo kwa Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rodrick Mpogolo alipoenda kukagua kiwanja cha CCM kilichopo eneo la Kilimani mjini Dodoma, akiwa katikaziara ya kukagua mali za Chama, leo mjini Dodoma.
Naibu Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi, akimuonyesha mwisho wa shamba la CCM, Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rodrick Mpogolo (wapili kulia), Naibu Katibu Mkuu huyo alipoenda kukagua kiwanja hicho kilichopo eneo la Kilimani mjini Dodoma, akiwa katikaziara ya kukagua mali za Chama, leo mjini Dodoma, leo.
NYUMBA YA CCM YA NAIBU KATIBU MKUU-BARA
🔻
Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rodrick Mpogolo akiwasili kukagua nyumba ya CCM ya Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, akiwa katika ziara ya kukagua mali za Chama, mkoani Dodoma, leoMkuu wa Utawala Makao Makuu ya CCM, Innocent Msena akimpa maelezo Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rodrick Mpogolo, aliyefika kukagua nyumba ya Chama atakayoishi, akiwa katika ziara ya kukagua mali za Chama mjini Dodoma, leo
Katibu Msaidizi Mkuu Idara ya Utumishi na Uenedeshaji Filbert Mdaki akionyesha sehemu ya jikoni, wakati Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rodrick Mpogolo alipokagua nyumba ya CCM ya Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, akiwa katika ziara ya kukagua mali za Chama leo mjini Dodoma. Kushoto ni Luhwavi
Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rodrick Mpogolo akikagua meza kwenye jiko, alipokuwa akikagua nyumba ya CCM ya Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, akiwa katika ziara ya kukagua mali za Chama mjini Dodoma leo. Kulia ni Msaidizi Msaidizi wa Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Mbwana Kambangwa.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rodrick Mpogolo akikagua kabati la jikoni, alipokuwa akikagua nyumba ya CCM ya Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, akiwa katika ziara ya kukagua mali za Chama mjini Dodoma leo
Naibu Katibu Mkuu mstaafu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi akimpa maelezo Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rodrick Mpogolo wakati wakiizunguka kuikagua nyumba ya CCM ya Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Mpogolo alipokuwa katika ziara ya kukagua mali za Chama mjini Dodoma, leo.
Naibu Katibu Mkuu mstaafu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi akimpa maelezo Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara Rodrick Mpogolo baada ya kuikagua nyumba ya CCM ya Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Mpogolo alipokuwa katika ziara ya kukagua mali za Chama mjini Dodoma, leo.
KUKAGUA MAGARI WHITE HOUSE
🔻
Msafara wa Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rodrick Mpogolo na Rajabu Luhwavi, ukiwa umepumzika kwa mda katika jengo la White House la Makao Makuu ya CCM kabla ya kuanza kazi ya kukagua magari, Mpogolo alipokuwa katika ziara ya kukagua mali za Chama mjini Dodoma, leo.Naibu Katibu Mkuu wa CCM, Rodrick Mpogolo (wapili kushoto), akipatiwa maelezo na Fundi wa magari, Ramadhani Mbelwa (kushoto), kuhusu hali ya magari yaliyoharibika, Mpogolo alipokuwa akikagua magari hayo akiwa katika ziara ya kukagua mali za Chama mjini Dodoma, leo.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rodrick Mpogolo amhoji jambo Fundi wa magari ya Chama, Ramadhani Mbelwa (kushoto), alipokuwa akikagua magari mabovu ya Chama, akiwa katika ziara ya kukagua mali za Chama mjini Dodoma, leo. Kulia ni Luhwavi.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rodrick Mpogolo akionyeshwa gari lililofunguliwa boneti, kupata uthibisho wa gari tatizo la gari, alipokuwa akikagua magari mabovu ya Chama, akiwa katika ziara ya kukagua mali za Chama, leo mjini Dodoma.
Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rodrick Mpogolo akimshukuru Naibu Katibu Mkuu mstaafu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi baada ya kumalizika kazi ya kukagua baadhi ya mali za Chama, mjini Dodoma leo.
KUNZIA SASA HUYU NDIYO BOSS WAKO, SIYO MIMI TENA: Naibu Katibu Mkuu Mstaafu wa CCM-Bara, Rajab Luhwavi akimtambulisha aliyekuwa Msaidizi wake, Mbwana Kambangwa(kulia), kwa Naibu Katibu Mkuu wa CCM-Bara, Rodrick Mpogolo kabla ya kuagana, mwishoni mwa ziara ya Mpogolo kukagua mali za Chama, mjini Dodoma, leo. Picha zote na Bashir Nkoromo-theNkoromo Blog
Saturday, October 22, 2016
Mchungaji Daniel Kulola Ziarani Mkoa wa Dodoma
Huduma ya injili iliyofanywa na mchungaji kiongozi wa Kanisa la "EAGT Lumala Mpya Internationa Church " lililopo Sabsaba Ilemela Jijini Mwanza, Dkt.Daniel Moses Kulola (pichani), mkoani Dodoma imekuwa ya kufaana na watu wengi wameokoka na kubarikiwa.
Ni katika mkutano wa injili ulioandaliwa na kanisa la Siloam EAGT Ipagala mkoani Dodoma kwa juma zima ambapo unatariwa kufikia tamati kesho Oktoba 23, 2016.
Picha na Jorum Samwel
Mchungaji Dkt.Daniel Kulola, akiendelea na huduma ya maombezi mkoani Dodoma
Wengi waliponywa na wanaendelea kuponywa kwa jina la Yesu, vifungo vilivyowatesa kwa muda mrefu.
Mchungaji Dkt.Daniel Kulola, akifanya maombezi mkoani Dodoma.
Labels:
Dodoma,
Kanisa,
Pastor Daniel Moses Kulola
Saturday, June 11, 2016
Watoto waliozaliwa na Maanbukizi ya VVU (HIV) Wataka Jamii Kuwakumbuka!
Imeelezwa ili kuwawezesha watoto yatima ambao walizaliwa wakiwa na Virusi vya UKIMWI ambao wanapatikana katika Kituo cha Matumaini kilichopo Manispaa ya Dodoma, Watanzania wametakiwa kuungana kwa pamoja na kuwasaidia watoto hao ambao wanaishi katika kituo hicho ili kuwawezesha kuishi mazingira bora pamoja na kupata huduma za bora za afya.
Hayo yalisemwa na Msimamizi wa Kituo cha Matumaini, Sister Maria Rosaria Gargiulo, alisema kituo hicho chenye watoto 151 wakati kimeanzishwa kilikuwa kikipokea msaada kutoka Wizara ya Afya, Ustawi wa Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto na TACAIDS lakini kwa sasa msaada umesimama na hivyo kuwafanya kwa sasa kuishi katika mazingira magumu.
Sister Maria alisema kuwa hali ya maisha kwa watoto hao ni ngumu na hivyo kuwataka Watanzania kuwakumbuka watoto hao ambao walizaliwa wakiwa na maambukizi ya Virusi vya UKIMWI ili waweze kupata huduma bora ambazo zitawawezesha kuishi katika mazingira bora, kupata elimu na kupata dawa ambazo zitaimarisha afya zao.
Mlimbwende wa Taji la Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu (kushoto) na mfanyakazi mwenzake Beatrice Mkiramweni wakiongozwa na Msimamizi wa Kijiji cha Matumaini, Sista Rosaria Gargiulo mara baada ya kuwasili katika kituo hicho kilichopo katika manispaa ya Dodoma karibu na Hoteli ya Mtakatifu Gasper.(Imeandaliwa na Zainul Mzige wa Modewjiblog)
“Hapa wanakuja tu watu wa hapa Dodoma mara nyingi siku za Jumamosi na Jumapili ila tofauti na hivyo hatuna msaada mwingine, watoto hawa wanahitaji faraja kutoka kwa watu wengine inapendeza kuona watu wanakuja kuwaona na kuwasaidia nao wanafurahi,
“Ukiangalia hali ya kimaisha inazidi kupanda tunafanya jitihada kujisimamia sisi wenyewe lakini tunashindwa bado tunahitaji msaada sisi tumejitoa kuwasaidia hawa watoto hata hatulipwi lakini tunahitaji sana msaada wa Watanzania,” alisema Sister Maria.
Nae Mlimbwende wa Taji la Miss Tanzania 1999 na Mtalaam wa Mawasiliano wa Shirika la Umoja wa Mataifa (UN), Hoyce Temu ambaye alifika kituoni hapo kwa ajili ya kutoa msaada ambapo alituma ujumbe kwa Watanzania wengine ambao wamekuwa hawana utaratibu wa kutoa misaada kwa wahitaji na kuwataka kubadilika.
Bi. Temu alisema kuwa mazingira ambayo wanaishi watoto hao ni magumu na hawana wazazi kutokana na wazazi wao kuwa wamefariki hivyo kuwataka Watanzania kujitoa kwa pamoja na kuwasaidia watoto hao kwa chochote ambacho kinaweza kuwasaidia kuimarisha maisha yao ili waishi mazingira bora.
“Jamani kama watu wanasema tunapoishi kuna shida basi hakuna, shida zipo huku, ukiangalia kuna watoto wengine wana wiki moja na hawana wazazi wametupwa wanahitaji kupata misaada ya Watanzania,
Mlimbwende wa Taji la Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu akimsikiliza kwa makini mmoja wa watoto wanaoishi kituoni hapo aliyewahi kumuona mara ya kwanza alipofika kituoni hapo.
“Nitoe rai kwa Watanzania wenzangu kama una pesa au nguo au chochote ambacho kinaweza kuwasaidia tutoe kwa watoto hawa mazingira yao ni magumu sana, hawana makosa hawa hata mbele za Mungu naomba tuwasaidie,” alisema Bi. Temu.
Kwa yoyote atakayeguswa na angependa kufika kituoni hapo kusaidia anaweza kupiga simu kwa Msimamizi wa Kituo cha Matumaini, Sister Maria Rosaria Gargiulo +255754272707
Mlimbwende wa Taji la Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu (kulia) na mfanyakazi mwenzake Beatrice Mkiramweni wakiwa wamewabeba watoto yatima wanaoishi kituoni hapo.
Mlimbwende wa Taji la Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu akifurahia jambo mara tu baada ya kuwasili katika kijiji cha Matumaini kilichopo mkoani Dodoma kinacholea watoto yatima ambao 98% wanaishi na Virusi vya Ukimwi.
Mlimbwende wa Taji la Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu akiwa kwenye wodi ya watoto wachanga ambao ni yatima wanaoishi waliozaliwa na maambuki ya Virusi vya Ukimwi.
Mlimbwende wa Taji la Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu na mfanyakazi mwenzake Beatrice Mkiramweni pamoja na Msimamizi wa Kijiji cha Matumaini, Sista Rosaria Gargiulo (kulia) walipotembelea wodi ya watoto wachanga waliozaliwa na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi.
Mlimbwende wa Taji la Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu akifurahi na watoto wachanga ambao ni yatima waliozaliwa na maaumbikizi ya Virusi vya Ukimwi waliolazwa katika wodi ya watoto kijiji cha Matumaini kilichopo mkoani Dodoma.
Wewe acheka afurahi kumuona Aunty....Jiji jiji jiji.....jamani acheka....Ni maneno ya Mlimbwende Hoyce Temu akicheza na mmoja wa watoto hao katika wodi hiyo.
Meneja Mwendeshaji wa mtandao wa Habari wa Modewjiblog, Zainul Mzige akimbeleza mmoja wa watoto waliozaliwa na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi wanaolelewa katika kijiji cha Matumaini kilichopo mkoani Dodoma.
Eweee Mwenyezi Mungu, mwingi wa Rehema, tunakuomba wajaalie Malaika wako hawa afya njema, maisha marefu, wape uponyaji viumbe hawa wasiokuwa na hatia, Amen!
Msimamizi wa Kijiji cha Matumaini, Sista Rosaria Gargiulo akimsimulia Mlimbwende wa Taji la Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu historia ya mtoto Richard aliyeshikwa mikono na mlimbwende huyo.
Mmoja wa Masista wanaohudumia watoto hao Sista Mary Shayo akifurahi jambo wodini mbele ya kamera ya Modewjiblog.
Mlimbwende wa Taji la Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu akicheza kwaya ya wimbo maalum aliokuwa akiimbiwa na bendi ya kijiji cha Matumaini kabla ya kukabidhi msaada wa vitu mbalimbali.
Hoyce Temu akigawa zawadi kwa watoto wanaolelewa kwenye kijiji cha Matumaini mkoani Dodoma.
Mlimbwende wa Taji la Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu akikabidhi 'Pampers' kwa mmoja wafanyakazi wanaohudumia (jina lake halikuweza kupatikana) watoto kituoni hapo.
Mlimbwende wa Taji la Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu akikabidhi mfuko wa sukari.
Mlimbwende wa Taji la Miss Tanzania 1999, Hoyce Temu akikabidhi makopo ya maziwa. (Picha zaidi ingia hapa)
Tuesday, May 20, 2014
Bosi wa EWURA Afariki Hotelini
Kutoka The Citizen:
Bosi wa EWURA akutwa amefariki hotelini
*Dar es Salaam/Dodoma.* A top director with the Energy and Water Regulatory
http://www.thecitizen.co.tz/News/Ewu...z/-/index.html
Bosi wa EWURA akutwa amefariki hotelini
*Dar es Salaam/Dodoma.* A top director with the Energy and Water Regulatory
Authority (Ewura), Mr Julius Gashaza, was yesterday found dead in a Dar es
Salaam hotel. He had reportedly committed suicide, according to official
reports.
His baffling death came on the night of the day that he had returned to the
city from Dodoma, where alongside other government officials, were grilled
by the Budget Committee on the tax revenue collected from petroleum
products and the amount forwarded to the Road Fund and the rural
electrification agency (Rea).
Mr Gashaza was Ewura's Director of Petroleum and had represented the
authority's director general, Mr Felix Ngamlagosi, at the Dodoma meeting
with the Bunge committee chaired by Bariadi West MP and former minister
Andrew Chenge.
Family members confirmed the deceased arrived from Dodoma on Saturday and
expressed fear for his life. According to the family, Mr Gashaza told his
wife he feared some unnamed people were after his life.
The family then prayed together before the officer expressed his wish to
sleep in a hotel instead of his house for his own safety. He booked into a
hotel at Yombo Kigilagila from where he was found dead in his room
yesterday morning. Shocked family members were gathering at his home in the
city but did not want to speak to the media on the death of their kin. A
close relative who declined to be named said the family had decided to let
the police speak on any queries regarding the incident.
Dar es Salaam Special Police Zone Commander Suleiman Kova referred
reporters to the Temeke Region Police Commander Engbert Kiondo whose phone
went unanswered as this report was being filed.
In Dodoma, Mr Chenge expressed shock when told of the sudden death of the
Ewura director. He confirmed his committee had interrogated the officer and
Tanzania Revenue Authority (TRA) officials over discrepancy in the
statistics presented to the Budget Committee.
According to Mr Chenge, the team had sent both Ewura nad TRA officials to
reconcile their figures and come up with true information as what they had
separately presented was in conflict. He said it was not acceptable that
the two state agencies had diffirent figures on the tax due to petroleum.
However, Mr Chenge said he wouldn't speak on Mr Gashaza' death as that was
now a police matter.
Information gathered from within members of the Budget Committee indicated
that Ewura and TRA were in a serious conflict over the figure tabled before
Parliament. It was revealed that the figures shown by Ewura wer much higher
than those shown by TRA, a fact that allude to massive tax loss or
pilfering.
Salaam hotel. He had reportedly committed suicide, according to official
reports.
His baffling death came on the night of the day that he had returned to the
city from Dodoma, where alongside other government officials, were grilled
by the Budget Committee on the tax revenue collected from petroleum
products and the amount forwarded to the Road Fund and the rural
electrification agency (Rea).
Mr Gashaza was Ewura's Director of Petroleum and had represented the
authority's director general, Mr Felix Ngamlagosi, at the Dodoma meeting
with the Bunge committee chaired by Bariadi West MP and former minister
Andrew Chenge.
Family members confirmed the deceased arrived from Dodoma on Saturday and
expressed fear for his life. According to the family, Mr Gashaza told his
wife he feared some unnamed people were after his life.
The family then prayed together before the officer expressed his wish to
sleep in a hotel instead of his house for his own safety. He booked into a
hotel at Yombo Kigilagila from where he was found dead in his room
yesterday morning. Shocked family members were gathering at his home in the
city but did not want to speak to the media on the death of their kin. A
close relative who declined to be named said the family had decided to let
the police speak on any queries regarding the incident.
Dar es Salaam Special Police Zone Commander Suleiman Kova referred
reporters to the Temeke Region Police Commander Engbert Kiondo whose phone
went unanswered as this report was being filed.
In Dodoma, Mr Chenge expressed shock when told of the sudden death of the
Ewura director. He confirmed his committee had interrogated the officer and
Tanzania Revenue Authority (TRA) officials over discrepancy in the
statistics presented to the Budget Committee.
According to Mr Chenge, the team had sent both Ewura nad TRA officials to
reconcile their figures and come up with true information as what they had
separately presented was in conflict. He said it was not acceptable that
the two state agencies had diffirent figures on the tax due to petroleum.
However, Mr Chenge said he wouldn't speak on Mr Gashaza' death as that was
now a police matter.
Information gathered from within members of the Budget Committee indicated
that Ewura and TRA were in a serious conflict over the figure tabled before
Parliament. It was revealed that the figures shown by Ewura wer much higher
than those shown by TRA, a fact that allude to massive tax loss or
pilfering.
Sunday, July 31, 2011
Nafasi za Kazi - University of Dodoma (UDOM)
VACANCIES - UNIVERSITY OF DODOMA
The University of Dodoma invites applications from suitably qualified Tanzanians to fill the following positions.
1. POSITION: ACCOUNTANT (5 Positions)
Required qualifications Bachelor Degree/Advanced Diploma in Accounting, Finance, or its equivalent from a recognized University/Institution PLUS a recognized professional accountancy qualifications (CPA (T) or its equivalent.
Basic Duties
Heads a sub-Section such as revenue, Expenditure, Students¡¦ Accounts, Budgets, Final Accounts, Salaries etc. and Supervises staff in the respective sub-section.
2. Assistant Accountant (8 Positions)
Required qualifications Bachelor Degree or Advanced Diploma in Accountancy, Finance or a full Intermediate Professional stage with Module C&D with ability to use relevant computer application software. Basic Duties Maintains accurate accounts records and custodian of accounts documents
3. Accounts Assistant (10 Positions)
Required qualifications Diploma in Accounting/ATEC II from a recognized University/Institution or its equivalent Basic Duties Receives and keeps in proper custody all incoming bills and claims and maintains primary books of accounts
4. Internal Auditors (3 Positions)
Required qualifications Bachelor Degree/Advanced Diploma in Accounting, Finance, Commerce or its equivalent from recognized University/Institution PLUS CPA (T), ACCA or equivalent professional qualification. Basic Duties Executes audit programmes and advises the Chief Internal Auditor on audit issues and Financial Management
5. Human Resources/Administrative Officer (12 Positions)
Required qualifications Bachelor Degree/Advanced Diploma in Public Administration, Business Administration, Law, Human Resources, Management Education, or its equivalent from a recognized University/Institution. Basic Duties Deals with general University administration and Management
6. Records Management Assistant/Clerical Officers (7 Positions)
Required qualifications Secondary Education Certificate PLUS Certificate/Diploma in Records Management from Public Service College or any other recognized College/Institution Basic Duties Handles all registry activities and office records
7. Receptionists (7 Positions)
Required qualifications Form IV/VI certificate with pass in English and Kiswahili who has undergone the Receptionist course at a recognized institution. He/ she must be fluent in English and Kiswahili languages Basic Duties Receives and directs guests/visitors of the University
8. Personal Secretaries (5 positions)
Required qualifications Form IV/VI certificate with secretarial services Certificate/Diploma from Public Service College who passed 80 w.p.m. shorthand either in Kiswahili or English, Certificate in computer programs e.g. windows, Microsoft office Internet, E-mail and Publisher. Use of modern office equipment will be a necessary requirement. Basic Duties
Performs secretarial duties including typing of all correspondence
9. Drivers (15 positions)
Required qualifications Secondary School Examination Certificate plus a combination of Driving Licence Class D and E, C1, C2 and C3 in a new system OR class ¡§C¡¨ Driving License in old licensing system with a clean record in a reputable institution including of not causing an accident for at least the past three years. He/she must have attended and passed Advanced Drivers Course Grade II at the National Institute of Transport or any other recognized institution OR Driving Trade Test II from a recognised institution.
Basic Duties:
Drives and Maintains institutional vehicles
10. Office Attendants (12 Positions)
Required qualifications Holder of National Form IV Certificate with passes in English and Kiswahili
Basic Duties:
After receiving appropriate orientation attendants will be assigned duties and responsibilities as per specific requirements of the area of deployment.
11. Public Relations Officer (1 Position)
Required qualifications Bachelor Degree or Advanced Diploma in Journalism, Public Relations, Mass Communication, or any degree in Social Sciences with a major in communication from a recognized University/institution Basic Duties: Assists in the routine public relations and advertisement activities
12. Assistant Medical Officers (6 Positions)
Required qualifications Advanced Diploma in Clinical Medicine and must be registered with Tanganyika Medical Board Basic Duties Attends to general outpatient and in-patient clinics
13. Clinical Officers (10 Positions)
Required qualifications Diploma in Clinical Medicine from a recognized University/ institution Basic Duties Makes proper diagnosis of disease and prescribes treatments
14. Graduate Nurse (2 Positions)
Required qualifications Bachelor of Science Degree in Nursing or its equivalent from a recognised University/institution and must be registered with Nurses and Midwives Council of Tanganyika Basic Duties To provide Quality nursing care to patients
15. Health Administrators (2 Positions)
Required qualifications Bachelor Degree/Advanced Diploma in Hospital Administration or its equivalent from a recognised University/institution Basic Duties Assist the Medical Officer in Charge in the administration and management of the University Health Centre and Dispensaries
16. Health Attendants (12 Positions)
Required qualifications National Form IV Certificate with one year nursing course from a recognised Nursing Training University/institution. Basic Duties Assists nurses and maintains cleanliness of the infrastructure including floors, walls, windows lockers, toilets bathrooms and surroundings, as well as making beds and tiding rooms and wards
17. Health Lab Assistants (3 Positions)
Required qualifications National Form Four Examination Certificate with a Certificate in Medical Laboratory Technology or its equivalent from a recognized University/institution Basic Duties Performs specified health laboratory jobs under close supervision and takes care of instruments and equipment in the laboratory
18. Health Laboratory Technologist (2 Positions)
Required qualifications Diploma in Medical Lab Technology or its equivalent from a recognised University/institution Basic Duties Carries out, independently, specified routine medical laboratory duties which require a higher degree of technical knowledge and skills.
19. Health Officers (3 Positions)
Required qualifications Degree or Advanced Diploma in Public Health/Environmental Health Sciences from a recognized University/institution Basic Duties
(i) Supervises Plans and co-ordinates health activities in the campus including sanitation, controls of communicable diseases like malaria, cholera, etc.
(ii) Ensures that food taken by students and staff on the University Campus meet standards set by Government
20. Health Records Technician (2 Positions)
Required qualifications Diploma in Health Records Technology/Management or its equivalent from a recognized institution Basic Duties Opens and maintains inpatients and outpatients files and their an up-to-date register
21. Medical Officers (2 Positions)
Required qualifications Degree in Medicine from a recognised University/institution and must have undergone internship for a period of one year with provisional registration as Medical Officer with the Tanganyika Medical Council Duties and responsibilities
all medical duties pertaining to internal medicine, surgery, obstetrics and gynaecology, paediatric diseases and preventive medicine
22. Enrolled Nurse/Midwife (10 Positions)
Required qualifications Form IV certificate plus a Nurse/Midwife certificate or Public Health Nurse Certificate from a recognized institution. Basic Duties Administers drugs and treatment as prescribed by the Medical Officers and provides health education on family planning, nutrition, vaccination, sanitation and child spacing
23. Pharmaceutical Technician (2 Positions)
Required qualifications Diploma in Pharmaceutical Technology or its equivalent from a recognized University/institution Basic Duties Carry out dispensing duties and responsibilities including Pharmaceutical Production i.e. compounding/manufacture under supervision of senior staff
24 .Nursing Officer (3 Positions)
Required qualifications Form IV/VI certificate with Diploma in Nursing from a recognised University/institution Basic Duties Supervises Nursing Assistants and Trained Nurses/Midwives in line with nursing ethics and general nursing services
25. Deputy Estates Managers (3 Positions)
Required qualifications Masters Degree in Architecture, Building Economics, Land Management and Valuation, Civil, Electrical, Environmental Engineering or its equivalent from a recognized University/Institution with at least twelve years working experience in related field. Duties and responsibilities Assists the Estates Manager in coordination and supervision of the maintenance and repair activities for the University buildings and other related activities.
26 Estates Officers (4 Positions)
Required qualifications Bachelor Degree/Advanced Diploma in Architecture, Building Economics, Land Management and Valuation, Civil, Electrical or Environmental Engineering from a recognized University/Institution or equivalent.
Basic Duties
Assists in the planning of Estate activities and services
27. Artisans (10 Positions)
Required qualifications Secondary Education Certificates with Trade Test Grade III/level I with at least three years working experience in related field.
Basic Duties
Performs with minimum supervision-large technical jobs requiring high level of skills/craftsmanship
28. Auxiliary Police (10 Positions)
Required qualifications Form IV certificate with passes in English, Kiswahili, and History, Civics or Form VI certificate with National Service Training or People¡¦s Militia Training Phase II and must be vetted by Police.
Basic Duties
Guards University property and ensures that peace and order at the University campus is highly maintained
29. Planning Officers (2 Positions)
Required qualifications Bachelor Degree/Advanced Diploma in Economics, Educational Planning, Statistics, Planning or equivalent from a recognised University/Institution Basic Duties:
- Implements the University¡¦s rolling strategic plan
- Participates in the preparation of the University budget
-Collects, analyses and keeps University statistics and data
30. Systems / Network Administrator (4 Positions)
Required qualifications Bachelor Degree/Advanced Diploma in Computer Science, Information Technology, Electronics or equivalent from a recognized University/Institution. Basic Duties Assists in managing and maintaining server operating systems and networks
31. Games Tutor (1 Position)
Required qualifications Bachelor Degree/Advanced Diploma in Physical Education and Sports or equivalent from a recognized University/institution Basic Duties Conducts basic training in various sports and games and assists in taking charge of play grounds, sports and equipment. 32 Janitors (18 Positions) Required qualifications Diploma in Education, Home Economics, Community Development or equivalent qualification from a recognised University/ institution. Basic Duties In-charge of the maintenance of the entire hall of residence including rooms, offices and compound
33. Wardens (10 Positions)
Required qualifications Bachelor Degree in Education, Psychology, Counselling Sociology and Home Economics or equivalent from a recognized University/Institution. Basic Duties Co-ordinates administrative chores pertaining to halls of residence and ensures that University By-laws and regulations guiding the students' life in halls of residence are being observed;
34. Instructors (5 Positions)
Required qualifications Bachelor Degree in Fine Art, Music, Language, Engineering, Theatre Art, or its equivalent from any recognized university/institution. Basic Duties Assists teaching of relevant areas of specialization e.g. preparation of teaching materials, arrangement of the labs, studio etc.
35. Laboratory Technicians (4 Positions)
Required qualifications NTA Level 6, Diploma in Medical Lab. Technology, (DMLT), City & Guilds I & II (CGLT), Civil, Electrical, Water Resources Engineering, Higher National Cert. (HNC) or its equivalent from a relevant recognised University/ institution Basic Duties
(i) Carries out specified tasks connected with research, laboratory practical, students' projects, consultancy and services.
(ii) Assists in the repair and maintenance of laboratory or workshop facilities and University buildings and related activities in the Estates Department.
36. Laboratory Engineer/Scientist (4 Positions)
Required qualifications Bachelor Degree/Advanced Diploma in Science/Engineering or its equivalent from a recognised University/institution Duties and Responsibilities Assists in planning and organization of practical for undergraduate students; plans and supervises maintenance of laboratory/workshop facilities; assists in research and consultancy activities
37. Supplies/ Procurement and Logistics Officers (3 Positions)
Required qualifications Bachelor Degree/Advanced Diploma in Material Management, Supplies, Procurement or its equivalent from a recognized Institution. Must possess a CSP/CPSP/IPS and registered as Approved Supplies Officer or Stock Verifier by Procurement and Supplies Professional Board. Basic Duties
(i) Co-ordinates purchasing, stores, clearing and forwarding, inventories and supplies control services.
(ii) Implements policies pertaining to materials management
38. Assistant Supplies/Procurement and Logistics Officer (2 Positions)
Required qualifications Bachelor Degree/Advanced Diploma in Materials Management, Procurement or its equivalent from a recognized University/institution, Professional Level II or equivalent qualification, who is registered as Provisionally Approved Supplies Officer or Stock Verifier. Must be conversant with the Public Procurement Act and its Regulations and should be computer literate with knowledge of procurement and materials management packages.
Basic Duties
Takes charge of Section/Department stores and becomes responsible for safety and accounting of all stocks under his/her care and supervision
39. Supplies/Procurement and Logistics Assistants (6 Positions)
Required qualifications Form IV/VI with a certificate in procurement and logistics or its equivalent from a recognized Institution
Basic Duties
Prepares purchase requisitions/orders upon approval by his/her supervisor
40. Library Assistants (30 Positions)
Required qualifications Secondary Education Certificate with Certificate/Diploma in Library Services or its equivalent. Basic Duties Administers the library and library records, references and readers services
41. Library Officers (12 Positions)
Required qualifications Bachelor Degree in Library Studies, Information Studies or its equivalent from a recognized University/Institution. Basic Duties Assist in the management and administration of library services
REMUNERATION: According to public service salary scales
MODE OF APPLICATION:
Complete application package that consists of application letter supported with detailed Curriculum Vitae, relevant copies of certificates i.e. Degree/Diploma certificates /testimonials, academic transcripts plus Secondary School Certificates and dully filled referee report form which is available at www.udom.ac.tz (for those who cannot access the form must submit names and addresses of at least two referees and mode of communication, e.g. telephone, fax and email) should be submitted to: DEPUTY VICE CHANCELLOR, (PLANNING, FINANCE AND ADMINISTRATION) UNIVERSITY OF DODOMA, P.O. BOX 259 DODOMA
DEADLINE: 10th August, 2011
Wednesday, July 28, 2010
Wake wa Chifu!
Wednesday, September 30, 2009
Dodoma 1950's


Hii picha ilipigwa 1953, wakati tuko chini ya Ukoloni wa Uiingereza. (British Empire) Mnaona kituo cha reli ya kati na nyuma, Dodoma Hotel.
Friday, June 19, 2009
Friday, November 21, 2008
Waziri Mkuu Pinda
Asante Faustine's Baraza Blog:
Thursday, August 21, 2008
Wabunge wakistarehe
Kweli mambo yanabadilika Bongo. Zamani ni mwanamke ndo alikuwa anacheza na ungo. Siku hizi hata wanaume wanacheza nazo. Kushoto ni Mbunge Kapiteni John Komba. picha kutoka Lukwangule Blog
Subscribe to:
Posts (Atom)



























